Saturday 28 February 2009

Nafasi za kazi majeshini

Nyumbani kwetu Tanzania ni vigumu wananchi kujua nafasi za kazi ktk majeshi yetu zinapotokea (Jeshi la Wananchi (JWTZ), Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Polisi, Magereza n.k.)

Inatakiwa nafasi ziwe zinatangazwa hadharani kupitia vyombo vyote vya habari (magazetini, tv, na internet kupitia tovuti za serikali) ili wananchi wote wenye sifa wapate nafasi sawa ktk usaili na hatimaye ajira majeshini.

No comments: