Thursday 12 February 2009

... hata hivyo ameonyesha uungwana!

hivi karibuni niliandika kuwa mheshimiwa waziri mkuu wetu alikosea mara 2.

pamoja na makosa hayo aliyoyafanya bado anastahili pongezi kwa kuonyesha ukomavu wa kiuongozi pale alipoomba msamaha hadharani (ndani ya bunge). ni ustaarabu unaostahili kuigwa. nategemea yaliyotokea yatakuwa funzo na hayatatokea tena huko mbeleni.

nakupa 5 mhe mizengo p. k. pinda!

No comments: