Thursday 27 December 2012

Transifomaaa! TUTASHINDA!

mzee wa Upako, ulithubutu, ukanena, tumeona!!! (pat on yr back!!!)

Tuesday 16 October 2012

Wabunge wetu na Posho mfukoni!!!!

Sheria mpya ya kuzuia malipo ya mafao, mwanasheria mkuu wa serikali alisema ilifikishwa bungeni na vufungu vilivyofutwa vilitajwa kwa namaba. inaonekana hakuna mbunge hata mmoja aliyefanya-homework kujua namba za vifungu husika vinavyofutwa vilikuwa vinahusu nini!!!!! ajabu sheria ilipoanza kutumika, wabunge wakawa wa kwanza kulaumu na kuikataa na kutishia kuleta hoja binafsi n.k. ili kupinga matumizi ya sheria mpya!!! swali langu .... mlikuwa wapi wakati imeletwa na mkaipitisha?? manebo na minong'ono ikaanza kuwa serikali imeingiza vifungu vipya "kinyemela", lakini mwanasheria wa serikali akatoa kauli ya serikali kwamba ilipitishwa na bunge

Wednesday 26 September 2012

Gambooo! (Gamble), Courage or Anointing?

Mzee wa Upako, amefanya maombi - YAMEJIBU! El Nino mwezi wa ujao (Oktoba) HAIPO!! tena amesema kwa herufi zote kubwa! (ila ameongeza kwamba: bondeni hameni na Red Cross endeleeni na maandalizi maana ni kazi yenu lakini El-Nino imeshayeyuka!!!) Huyu ndiye Mzee wa Upako (Transfoma!!) Kanena bila kutafuna maneno, na kama el nino itakuja yuko tayari kufunga kanisa na kurudi kijijini! Msemo wa Alan Hansen wa BBC One 'Match of the Day' ........... gamboo...! akimaanisha washambuliaji ku'gambo' ktk kuingia positions kubahatisha pasi za kumalizia mpira (tap-ins) (To be fair, amesema wazi kuwa mvua za kawaida za vuli zitanyesha lakini si kwa kiwango kikubwa cha el nino!!!!!!!) Is it a GAMBLE? Only TIME will tell, folks!!! (SOURCE: Channel Ten TV (Tanzania), Saturday 22/September/2012 around 21:30)

Wednesday 5 September 2012

'I am Back!!'

niko hewani wapendwa!!! (kichwa cha habari nimem-quote Didier Drogba 2007/08 alipofunga goli mechi ya kwanza baada ya kuwa majeruhi kwa muda mrefu!) NB: Mr Frank Kubwera (pole sana mheshimiwa, tutawasiliana)