Tuesday 29 April 2008

Majambazi usiku wa manane!

(SOURCE: Alasiri, 29 Apr 2008. By Mwanaidi Swedi, Temeke)
Watu wapatao kumi (majambazi) wakiwa na silaha, wamevamia nyumba moja Jijini Dar es Salaam na kukomba vitu mbalimbali pamoja na pesa taslimu shilingi milioni moja. Mali zilizoibwa ni pamoja na televisheni (1), deki (1) na simu za mkononi (2) aina ya Nokia.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanueli Kandihabi, amesema tukio hilo lilitokea jana majira ya saa 8:20 usiku huko Yombo Dovya.

Watu hao walivamia vyumba ya Bw. John Martine,43, na kuvunja mlango kwa kutumia jiwe kubwa almaarufu kama fatuma. Baada ya kuvamia nyumba hiyo, walimjeruhi mwenye nyumba kwa panga kabla hawajaanza kupora mali. Majeruhi alitibiwa katika hospitali ya Temeke na kuruhusiwa.

Kamanda amesema Polisi wanaendelea na uchunguzi ili kuwatia mbaroni watuhumiwa hao.

Man Utd tonight

Hints;
if it finishes 0-0 AET, be ready for penalties. Everybody should be capable of hitting the target and probably score. Make the home crowd advantage count for you!
Possible line-up:
van der Sar
Brown-Ferdinand-Pique-Evra
Park-Fletcher-Scholes-Nani
Tevez-Ronaldo


ALL THE BEST and see you in Moscow (Final)

Urembwende na skuli

Binti mmoja wa umri wa miaka 16 (Berks) amepigwa stop kufanya mitihani ya 'gsce' (kidato cha 6?) kwa kujitoboa juu ya midomo yake na kujiwekea mapambo ya vyuma kama heleni. Sheria za shule haziruhusu mapambo kama hayo. Binti huyo alijiwekea urembo huo wakati wa likizo ya pasaka na akaambiwa na 'mtaalamu' wake kuwa asivitoe viheleni kwa wiki 5 mfululizo!
Sasa itabidi aamue; mtihani au urembo! Kazi kwake!!
Mambo haya hata Ulaya yanapigwa vita -yasichanganywe na elimu mashuleni, lakini huko kwetu watu ndio kwanza watoto wanaiga! Labda ni kwa vile hawaelewi kinachoendelea upande wa pili wa shilingi.
Tusiige kila kitu jamani!

Ukweli na Haki

Mara nyingi ingetegemewa watu wakweli na watenda haki katika jamii wangekuwa wanapendwa na watu wote. Lakini kinyume chake watu hao wanaweza kukumbwa na wakati mgumu sana ktk maisha yao kwa ujumla. Hasahasa hawapendwi na wenye mamlaka, madaraka ya juu na watu walio ktk nafasi kama hizo!
Wanyonge wasio na nguvu na uwezo kimaisha ndio huwakumbatia na kuwatuza wasema kweli na watenda haki.
Kuna msemo, 'shujaa hathaminiwi nyumbani kwao'. Na watu wengine husema hata Yesu hakuthaminiwa na ndio maana aliteswa kwao!

Monday 28 April 2008

Chelsea 2 Ma Utd 1

Manchester United are on top of Premier League table with goal differencedespite losing 1-2 away to Chelsea. United now have to win the remaing two games to win the Premiership title.

Stadium: Stamford Bridge

Attendance:

Competition: Premier League

Line-up (Man Utd):
van der Sar
Brown-Ferdinand-Vidic-Sylivestre
Fletcher-Carrick-Anderson
Nani-Rooney-Giggs

Subs in:Hargreaves for Vidic, O'shea for Anderson, Ronaldo for Rooney
Subs not used: Kuscscak (GK), Tevez

Results: Chelsea 2 Man Utd 1 Rooney 1-1
Star-men:

Position: 1st
Standing (Man United):
P(36), W(25), D(6), L(5), GF(74), GA(21), GD(53), Pts(81)
Perfomance meter: 6/10 (average to good)

Remaining matches:
April
29 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 H
May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 12:45 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A
21 May UEFA Champions League Possible UEFA Champions League Final 19:45 A

MAN UTD GOALS! (As on Sat 26/04/2008 15:45BST)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(28) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =38
2. Carlos Tevez-Prem:(13) FA Cup:(1)Cham Lg:(4) =18
3.Wayne Rooney-Prem:(12) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =18
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Owen Hargreaves: Prem:(2), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =2
12.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 Away, W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Away, Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3

Addicted to expensive clothes?

Are you addicted to expensive clothes?
People (design expert and 'some' celebrity) say that expensive clothing has no bearing on how someone's appearance.
Some customers now have realized that they don't have to buy expensive clothes to appear smart or look beautiful.
The important thing is to buy what you can afford because, 'clothes is not what you wear but how you wear it!'*
.............
*LK today; fashion talk, itv1 28/4/2008

The difference that 'B' and 'S' makes!

Someone was introducing Senator Obama in a meeting, where he used an 's' instead of a 'b' in Obama's name.
The Senator, who is running for for presidential candidacy nomination, was not happy at all!
He said that he had heard it many times and it's many people who are doing that, and it is done purposely!
If you put 's' for a 'b' -that's completely a different person!!
O...AMA!!!!

Friday 25 April 2008

Mnyama mbwa wa Ulaya!

Mbwa ni mnyama ambae anathaminiwa na wengi nchini Uingereza. Anapewa matunzo ya hali ya juu na anaishi ndani ya nyumba (na sio nje kama sisi Afrika tulivyozoea kufanya)!

Jana jamaa mmoja alisema ktk mahojiano kuwa, 'choosing a dog is like choosing your partner, because dog is for life ...'*

Yaani mbwa anatunzwa na kuthaminiwa kama vile binadamu. Bajeti yake ya matunzo ni kubwa kuliko bajeti zetu ktk kaya nzima, ukizingatia hali yetu kiuchumi Bongo.

Haya nayo ni maisha!
....................

(* mahojiano ktk kipindi the one show, kituo cha televisheni bbc-one)

U/Taifa ni wa nini?

Mbona Uwanja wa Taifa unabaniwa-baniwa sana! Kwani ni wa maonyesho tu au umejengwa kwa ajili ya kutumika ktk michezo na kama kitega uchumi!! Watu wa serikalini wananishangaza sana!!!
........................

Stars ruksa kutumia Uwanja Mpya - Mkuchika
(SOURCE: Nipashe, 25 Apr 2008. By Mwandishi Wetu)
Serikali imeruhusu timu ya soka ya taifa, Taifa Stars kutumia Uwanja Mpya wa Taifa kwa ajili ya mechi zake za michuano ya awali ya Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao.

Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Kapteni George Mkuchika, alisema serikali imechukua uamuzi huo baada ya kuzingatia ndio pekee uliokaguliwa na Shirikisho la soka la Kimataifa (FIFA).

Mkuchika alieleza kuwa serikali imetoa ruhusa kwa mechi za Stars tu kuchezewa kwenye uwanja huo.

``Serikali baada ya kushauriana na wataalamu wa michezo wa hapa nchini pamoja na wajenzi wa uwanja huu mpya, imeridhia kuanzia hivi sasa, mechi zote za kimataifa zinazohusu Taifa Stars tu, zitachezwa katika uwanja wetu mpya,``

Mechi ya kwanza, ambayo Stars itatumia uwanja kwa ajili ya mechi hizo itakuwa ile dhidi ya Mauritius, itakayochezwa Mei 31, 2008.

Stars haitaweza kucheza usiku kutokana na matatizo ya umeme na wahusika wamepeleka maombi Shirikisho la Kimataifa la soka (FIFA) ili kuomba mechi za Stars zichezwe kuanzia saa 10 jioni.

Alisema ili kulinda uhai wa majani katika uwanja na kudumisha uzuri wake, wataalamu wamependekeza kwamba mechi mbili tu kwa wiki zinaweza kuchezwa kwenye uwanja huo.

Serikali ilikuwa imezuia matumizi ya uwanja huo kutokana na kuwepo kazi ndogo ndogo za kukamilisha katika uwanja huo. Alitoa mfano wa kazi ya kuweka ving'amuzi katika njia za kuingilia, umeme na pia kutokuwepo kwa uongozi wa kuendesha uwanja huo kibiashara.

Uwanja Mpya ulioanza kujengwa Januari 2005, ulitumika mwaka jana kwa mechi mbili za Stars, moja ya kirafiki dhidi ya Uganda na nyingine ya Kombe la Mataifa ya Afrika ilipokabiliana na Msumbiji.

Mechi hizo zilichezwa katika uwanja huo wenye thamani ya Sh. bilioni 56.4 kutokana na mechi ya Stars na Msumbiji kutakiwa kuchezwa usiku na hakukuwa na uwanja mwingine wenye taa.

Thursday 24 April 2008

Hakuna tena kurudia 'form II'

(kutoka: majira, 24.04.2008 0146 EAT. Na Joseph Lugendo, Dodoma)

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe amesema wanafunzi watakaopata alama za chini katika mtihani wa kidato cha pili, wataruhusiwa kuendelea kidato cha tatu chini ya uangalizi maalumu wa waalimu.

Alisema hayo bungeni jana alipokuwa akijibu hoja ya Mbunge wa Kongwa, Bw. Job Ndugai (CCM), aliyesema kuwa mtihani huo umekuwa kero kwa wanafunzi na wazazi kwa kuwa wanafunzi wanaofeli hutakiwa kurudia mwaka.

Bw. Ndugai ambaye aliipongeza Serikali kwa kuondoa adhabu ya kurudia kwa watahiniwa wa mtihani wa darasa la nne, alisema mfumo wa ufundishaji kwa lugha ya Kiswahili katika elimu ya msingi unasababisha wanafunzi wengi kufeli mtihani wa kidato cha pili kwa kushindwa kumudu lugha ya Kiingereza.

Prof. Maghembe, alisema mtihani huo unashabihiana na wa darasa la nne kwakuwa unawaandaa wanafunzi kukabili mtihani wa kidato cha nne bila woga, pia unasaidia kupima mafanikio na maendeleo ya mwanafunzi ili kubaini iwapo malengo yaliyokusudiwa katika ufundishaji yamefikiwa.

Umuhimu mwingine wa mtihani huo ni pamoja na kusaidia katika tathimini itakayowawezesha wataalamu wa elimu kubaini matatizo mbalimbali katika ufundishaji na kujifunza ili kuweza kuboresha mitaala na kurekebisha mapema kasoro zinazojitokeza.

Alisisitiza kwamba upimaji wa wanafunzi katika kila somo ni muhimu kwasababu unawapa wanafunzi ari ya kuongeza bidii katika masomo yote na kuongeza kuwa mitihani hiyo itaendelea kuwepo kama kawaida ila itakuwa na lengo la kutathimini ufundishaji na kujifunza kwa wanafunzi na siyo kumfanya arudie darasa anaposhindwa kufikia alama.

Alibainisha kwamba wanafunzi ambao watashindwa kufikia alama zinazotakiwa, watapewa msaada katika maeneo yanayowapa shida kadri watakavyokuwa wakiendelea na elimu ya sekondari.

Inflation up in TZ

(SOURCE: Guardian, 24 Apr 2008. By Guardian Correspondent)

Tanzania`s inflation rose marginally to 9.0 per cent in March from 8.9 per cent in February due to higher food prices, the National Bureau of Statistics said yesterday.

Food has a weight of 55.9 per cent in the basket of items that the country uses to measure inflation.

``The increase in the rate of inflation was largely attributed to a high increase in food inflation of 11.2 per cent over the period,`` NBS said in a statement on its Web site.

Among food items whose prices rose were cereals, vegetables, fruits, fish, cooking oil and sugar, the bureau added.

Non-food items whose prices rose include kerosene, charcoal, petrol and diesel.

Tanzania`s national consumer price index covers market prices of 207 items collected in 20 towns in mainland Tanzania.

Barcelona 0 Manchester United 0

Manchester United drew 0-0 with Barcelona away last night, as Ronaldo missed a crucial penalty kick in the opening 2 minutes.

Stadium: Nou Camp

Attendance:

Competition: UEFA Champions League (Semi finals, 1st leg)

Line-up (Man Utd):
van der Sar
Hergreves-Ferdinand-Brown-Evra
Rooney-Carrick-Scholes-Park
Tevez-Ronaldo

Subs in: Giggs for Tevez, Nani for Rooney
Subs not used: Kuszczak (GK), Pique, Sylivestre, O'shea, Anderson

Results: Barcelona 0 Man Utd 0

Star-men: All the Defence-line

Perfomance meter: 5/10 (average)

Remaining matches:
April
26 Apr Barclays Premier League United Vs Chelsea 12:45 A
29 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 H
May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 12:45 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A
21 May UEFA Champions League Possible UEFA Champions League Final 19:45 A

MAN UTD GOALS! (As on Wed 23/04/2008 21:45BST)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(28) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =38
2. Carlos Tevez-Prem:(13) FA Cup:(1)Cham Lg:(4) =18
3.Wayne Rooney-Prem:(11) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =17
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Owen Hargreaves: Prem:(2), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =2
12.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 Away, W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Away, Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3

Wednesday 23 April 2008

Barca v Man Utd

It will be a very big match tonight. For Manchester United fans we would like to see our team winning at the end of 90 minutes.
The key thing is to keep clean sheet throught the game, and we might get a chance or two.
Important hints to get us through the game with positive results!
1. Don't concede unnecessary fouls in danger areas
2. Keep passing simple and straight forward
3. Crosses should be accurate
4. Finishing should be precise
5. Corner kicks should aim at the Man Utd players
6. Winning 2nd balls is crucial
etc.

I don't worry about you as you are true professionals.

All the best Man Utd

Sare mpya za Polisi

(kutoka: majira, 23.04.2008 0129 EAT. Na Rehema Mohamed )
Polisi kuvaa sare mpya

JESHI la Polisi nchini limezindua sare mpya za aina mbalimbali na alama za vyeo kwa askari wake zitakazovaliwa kulingana na mazingira ya kiutendaji hatua inayolenga kuboresha utendaji wake.

Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi hilo, Bw.Clodwig Mtweve, amesema sare hizo ni pamoja na zile zitakazovaliwa na maofisa wakuu katika tafrija maalum, kufanyia kazi na usafi kwa askari na maafisa wa ngazi zote.

Sare ya kwanza: 'tacron' ya kaki au 'jugle' ya kijani kwa wanaume, blauzi ya 'tacron' nyeupe na sketi ya nevi bluu kwa wanawake pamoja na kofia ya bereti ya brauni.

Nyingine ni suti ya khaki au 'jungle' ya kijani kwa wanaume na blauzi ya 'tacron', sketi ya nevi-bluu kwa wanawake pamoja na mkanda wa 'tacron' khaki au 'jungle' ya kijani kwa maofisa wanaume na kofia ya aina ya bereti nyeusi au nyekundu.

Sare nyingine ni shati nyepesi ya khaki aina 'jungle' ya kijani kwa wanaume na shati nyeupe kwa wanawake,suruali 'tacron' khaki au 'jungle' ya kijani kwa wanaume na sketi ya nevi- bluu kwa wanawake,kofia aina ya bereti nyeusi au nyekundu itakayovaliwa na askari na maofisa wa ngazi zote.

Nyingine ni kombati aina ya 'jungle' ya kijani na kofia aina ya bereti nyeusi au nyekundu itakayovaliwa wakati wa operesheni tu, pamoja na sare ya suti ya khaki na kofia ya khaki itakayovaliwa wakati wa kufanya usafi kwa maaskari wa ngazi zote.

Sare hizo zitaanza kuvaliwa kuanzia Mei mosi mwaka huu.

Extended/Joint family

(From Wikipedia, the free encyclopedia)

Extended family (or joint family) is a term with several distinct meanings.

First, it is used synonymously with consanguineous family. Second, in societies dominated by the conjugal family, it is used to refer to kindred who does not belong to the conjugal family. Often there could be many generations living under the same roof, depending on the circumstances.

In extended families the network of relatives acts as a close-knit community. Extended families can include, aside from parents and their children:
-spouses of children
-cousins, aunts, uncles
-foster children/adopted children etc.

In the cultures where the extended family is the basic family unit, growing up to adulthood does not necessarily mean severing bonds between oneself and one's parents or even grandparents. When the child grows up, he or she moves into the larger and more real world of adulthood, yet he or she doesn't, under normal circumstances, establish an identity separate from that of the community....

Workload is equally shared among the members. The women are often housewives and cook for the entire family. The patriarch of the family (often the oldest male member) lays down the rules, works (if not retired) and arbitrates disputes. Other senior members of the household baby sit infants. They are also responsible in teaching the younger children their mother tongue, manners and etiquette. The members of the household also look after each other in case a member is ill.

In many cultures, such as in those of many of the Africans, Japanese, Korean, the Middle Easterners, the Jewish family of central Europe, the Latin Americans, the Indians, the East Asians and the Pacific Islanders, extended families are the basic family unit. Cultures in which the extended family is common usually happen to be collectivistic cultures.

Australian Aborigines are another group for whom the concept of family extends well beyond the nuclear model. Aboriginal immediate families include aunts, uncles and a number of other relatives who would be considered "distant relations" in context of the nuclear family. Aboriginal families have strict social rules regarding who they can marry. Their family structure incorporates a shared responsibility for all tasks.

St. George's Day

St. George's Day is celebrated by several nations of which Saint George is the patron saint, including England, Portugal, Georgia, Serbia, Bulgaria, Bosnia and Herzegovina, and the Republic of Macedonia, as well as the region of Catalonia (Spain) and the city of Moscow.

For England, St. George's Day also marks its National Day. Most countries who observe St. George's Day, celebrate it on 23 April, the traditionally accepted date of Saint George's death in 303 AD.

For those Eastern Orthodox Churches that follow the Julian Calendar (the Old calendarists), the 23 April (Julian Calendar) date of St George's Day falls on 6 May of the Gregorian Calendar in the 20th and 21st centuries.

Besides the 23 April feast, some Orthodox Churches have additional feasts dedicated to St George. The country of Georgia celebrates the feast St George on 10 November (Julian Calendar), which currently falls on 23 November (Gregorian Calendar). The Russian Orthodox Church celebrates the dedication of the Church of St George in Kiev by Yaroslav I the Wise in 1051 on 26 November (Julian Calendar), which currently falls on the Gregorian 9 December.

The Scout movement has been celebrating St. George's Day on 23 April since its first years.

In the Latin Rite Roman Catholic Church, 23 April has long been Saint George's feast-day. It is classified as an optional memorial, equivalent to a commemoration in the calendar as revised by Pope John XIII in 1960, and to a simple feast in the General Roman Calendar as in 1954. The feast is ranked higher in England and in certain other regions. It is the second most important National Feast in Catalonia, where the day is known in Catalan as Diada de Sant Jordi and it is traditional to give a rose and a book to a loved one. This tradition inspired UNESCO to declare this the International Day of the Book, since 23 April 1616 was also the date of death of both the English playwright William Shakespeare (according to the Julian calendar) and the Spanish author Miguel de Cervantes (according to the Gregorian calendar).

-from: wikipedia

Stop and think!

I have received this (below) from my friend!
....................

An airplane was about to crash; there were 5 passengers on board but only 4 parachutes.

The first passenger said,
"I'm Zinedine Zidane, the world's number 1 footballer. FIFA needs me, I can't afford to die." So he took the first pack and left the plane.

The second passenger, Hillary Clinton, said,
"I am the wife of the former President of the United States, I am the most ambitious woman in the world. I am also a New York Senator and a potential future President." She just took the second parachute and jumped out of the plane.

The third passenger, Robert Mugabe, said,
"I'm President of Zimbabwe and I have 13 million helpless people who always look to me for guidance. Above all I'm the cleverest President in African history, and Africa's people won't let me die". So he put on the pack next to him and jumped out of the plane.

The fourth passenger, Nelson Mandela, says to the fifth passenger, a 10 year old Chinese school boy,
"I am old and have lived a fruitful life, God will decide my fate, so I'll let you have the last parachute". The boy said, "It's OK, there's a parachute left for you. Africa's cleverest President has taken my schoolbag"

Tuesday 22 April 2008

'Plans to build more houses'

(SOURCE: Guardian, 22 Apr 2008. By Lydia Shekighenda, Dodoma)
The government yesterday ruled out plans to further sell government houses. Instead, it promised to build more houses to ensure that needy civil servants got accommodation.

Lands, Housing and Human Settlement Development minister John Chiligati told the National Assembly in Dodoma about the government decision when responding to a supplementary question by Samson Mpanda (Kilwa North, CCM) who had wanted to know if the government had plans to sell more of its houses.

``The government will not sell more houses. It will reconstruct and build new ones which will accommodate more people,`` Chiligati said.

``Currently the government is implementing several settlement projects including projects being implemented by the National Housing Corporation (NHC) and the Tanzania Buildings Agency,`` he said.

He said a national policy on settlement development formulated in 2000 clearly showed that the responsibility to improve settlements in rural areas rested in many stakeholders such as the central government, local governments, NGOs as well as individual citizens.

Chiligati said the government had established the NHC and TBA for the purpose of developing human settlements in the country through research and advice in the construction industry.

He however said it was the responsibility of local government authorities to sensitise the people on the importance of having better houses.

Vimini kanisani vya nini?

(SOURCE: Alasiri, 22 Apr 2008. By JACQUELINE MOSHA , JIJINI 'Dar')
Baada ya kukithiri kwa baadhi ya wadada wanaotinga na viguo vifupi vinavyoweza kuwakwaza wengine, Kanisa la Watakatifu Mashahidi wa Uganda lililopo Magomeni Jijini limewapiga `stop` waumini wa aina hiyo kuhudhuria ibada zake hadi watakapovaa kistaarabu.

Wito huo na tahadhari vimetolewa na Paroko msaidizi wa Kanisa hilo, Padri Venance Tegete wakati wa ibada ya Jumapili kanisani hapo.

Padri Tegete akasema kuwa, ni aibu kwa baadhi ya waumini wanaovaa mavazi hayo yanayoonyesha jiografia ya maumbile yao na kisha kujaribu kuhudhuria ibada kanisani.
Mbaya zaidi, wanaofanya hivyo wanajua wazi kwamba kila vazi lina mahala pake na kwamba kanisani ambako mwanadamu hujinyenyekeza mbele ya Mungu, kamwe si mahala pa kuvaa viguo vya ajabu kiasi cha kuwakwaza wengine.

``Jamani kuna wengine hawana uvumilivu, wengine uimara wao katika kuvumilia ni mdogo, sasa kwanini mnataka kuwaharibia ibada zao kwa kuvaa nguo zinazoonyesha Jiografia ya maumbo yenu? Si vizuri, naomba muwe makini katika uvaaji wenu kabla ya kuhudhuria ibada. Yawezekana, baadhi ya watu wakajikuta wakiacha kusali na kuwakodolea macho wale wanaovaa viguo vya ajabu... mnawakwaza. Na si busara kuwatia majaribuni wenzenu... mjikague vyema kabla ya kuingia kanisani ili ibada zifanyike vizuri,`` akasisitiza Padri Tegete.

Akasema mavazi ya ufukweni yavaliwe ufukweni, ya muziki yavaliwe kunako kumbi za muziki na yale ya staha ndiyo yanayostahili zaidi kanisani, ambako viguo vifupi na vya kubana havina nafasi.

Katika hatua nyingine, kanisa hilo limeanzisha utaratibu wa kuwapa khanga wale wote wanaoonekana wakiwa na mavazi yasiyostahili ili kuwafanya wasiwakwaze wenzao wakati wa ibada.

Elimu, madaraka na uaminifu!

Mara nyingi mimi husikia watu wakiulizia watu wenye wadhifa au madaraka fulani kuwa wana elimu gani. Wingi wa miaka masomoni huashiria mtu husika kukubalika ktk cheo alichonacho.

Sina tatizo na hilo.

Jamii yetu inahitaji walioenda shule ili iwakomboe wao na vizazi vyao. Pata elimu, rudisha 'kitu' kwa jamii kupitia utumishi wako au ujuzi wako - ndivyo inavyotakiwa.

Lakini kuna baadhi ya walienda shule (wasomi) tena wamebobea ktk nyanja walizosomea wamekuwa wakichafua umuhimu wa elimu.

Sina haja ya kwenda mbali.

Kwani walioweka mikataba ya feki yenye kuumiza wananchi wameenda shule au ni vihiyo?

Jamani kihiyo anaweza kupata wadhifa wa juu wizarani hadi kusaini mukataba ya kimataifa? Haiwezekani. Kwa hiyo wahusika ni wasomi tena waliobobea. Hilo halina ubishi.

Misamaha ya kodi kwa wawekezaji kwa miaka mitano, kisha wanatimua au wanabadilisha majina na wanapewa miaka mitano tena ya msamaha wa kodi -yaani wanarithishana kutoka mzazi hadi mjukuu kwa miaka mitano mitano huku sisi waTZ hatuambulii chochote.

Mikataba ya madini isiyo na uwiano sawa kati ya mwananchi na mwekezaji. Inamlinda zaidi mwekezaji huku mwananchi akibaki mtupu na mashimo matupu ya migodi.

Mikataba ya rada, IPTL, Richmond na Dowans Ltd. Hadi uchotaji wa hela Benki Kuu (EPA) n.k.

Usisahau, ununuaji jengo 'hewa' la ubalozi Italia uliofanywa na balozi tena profesa!!

Kashfa zote hizi zinafanywa na wasomi walioenda shule!

Watoto wetu wanajifunza nini juu ya ubadhirifu wa kiwango hiki. Mimi naona kinakuja kizazi cha 'soma, iba, tajirika'!

Man Utd's initiatives

Manchester United are not only a group of 16 players you see in the stadiams every weekend or wednesdays, but also they are out and about to help to promote football all over the country (UK) from the grassroots level.

Yesterday Man Utd inaugurated their National Curriculum Education Program at Old Trafford. This means that what is being taught at the academy at OT will be the same as the one taught in, say, Plymouth through its academies spread nationalwide.

This is an example which I strongly recommend be followed by other big clubs in developing countries. Let big clubs return something back to local communities. And the kids who would benefit through these kind of schemes, will be tomorrow's big stars!

Man Utd off to Barcelona

Manchester United left this morning for Spain ready for tomorrow's match of UEFA Champions League semi-final first leg to be held at Nou Caamp k.o. 19:45 BST
Man Utd squad:
GKs: Heaton, Kuszczak, van der Sar;
Defenders: Brown, Evra, Ferdinand, Neville, Pique, Silvestre, Vidic;
Midfielders: Anderson, Carrick, Fletcher, Giggs, Hargreaves, Nani, O'Shea, Park, Ronaldo, Scholes;
Srikers: Rooney, Tevez, Welbeck

Monday 21 April 2008

Yanga Bingwa TZ (Bara) 2008/09

(SOURCE: Nipashe, 21 Apr 2008. By Somoe Ng'itu)

Pamoja na kubanwa na kujikuta ikifungana 2-2 na Prisons ya Mbeya, Yanga jana ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa soka wa Tanzania Bara katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa, jijini, Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo iliweza kufikisha pointi 48, ambazo haziweza kufikiwa na timu nyingine yeyote katika ligi hiyo.

Yanga sasa imekata tiketi ya kushiriki mwakani katika Ligi ya Mabingwa wa Afrika.

Pia timu hiyo inatazamiwa kupata kitita cha Sh. milioni 30 kutoka wadhamini wa ligi hiyo, ambayo ni kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom na kiasi cha Dola 12,000 (sh. milioni 14) kutoka kampuni ya televisheni ya GTV.

Hata hivyo, ubingwa huo unaweza kuingia utata ikiwa Kamati ya Usuluhishi ya Shirikisho la soka la Kimataifa (CAS) itasikiliza na kukubali rufaa iliyokatwa na Simba kudai pointi zake tatu ilizopokonywa katika mchezo wake na Coastal Union.

Simba yenye pointi 40 ikiwa itashinda mechi zake mbili zilizosalia itakuwa na pointi 46 na ikibahatika ikapewa na zile za CAS basi itakifikisha pointi 49.

Yanga imeacha kizaizai cha vita ya kuwania nafasi ya pili kati ya wapinzani wao wa jadi, Simba na Prisons.

Prisons baada ya sare ya jana, imeweza kufikisha pointi 42 na imebakiwa mchezo mmoja wakati Simba ina pointi 40 wakati imebakiza mechi mbili mojawapo ikiwa dhidi ya watani wa jadi, Yanga.

Yanga ilianza kwa kishindo mchezo huo uliofanyika katika hali ya mvua na huku uwanja ukiwa umejaa maji na kuweza kujipatia bao la kuongoza lililofungwa katika dakika ya nane na Maurice Sunguti baada ya kupokea pasi ya Prisons, ambapo mabeki wa Prisons walijichanganya kuokoa mpira huo.

Prisons walicharuka na kufanikiwa kusawazisha bao hilo katika dakika ya 32 kwa bao lililozamishwa kwa kichwa na Godfrey Bonny baada ya kuunganisha kwa kichwa kona iliyopigwa na Stephen Mwasika.

Yanga ilianza kwa nguvu kipindi cha pili lakini ikapata bao la kutatanisha baada ya Jerry Tegete kuujaza mpira wavuni lakini baada ya kuunawa lakini kinyume na matarajio ya wengi mwamuzi Aranusi Luena akakubali bao hilo.

Prisons, hata hivyo, ilicharuka na kurudisha bao hilo katika dakika ya 77 kupitia kwa Godfrey aliyeunganisha krosi ya Mwasika.

Akizungumza baada ya mchezo huo Kocha wa Yanga, Dusan Kondic alisifia kiwango cha timu ila akaonya msimu ujao anautaka uongozi wa Yanga kuongeza makipa.

Naye Kocha wa Prisons, Juma Mwamusi alidai kiwango cha uamuzi nchini iko chini na kuonya ni vizuri waamuzi wakapandisha kiwango chao ili kuweza kupata mabingwa wa kweli.

Alimponda mwamuzi wa mchezo wa jana, Luena kwa kuonyesha wazi kuibeba Yanga kwa kukubali bao la utatanishi la Yanga na kukataa lile la Oswald Morris kwa madai alikuwa ameotea katika dakika ya 71.
Timu zilikuwa:

Yanga: Bernjamin Hakule, Fred Mbuna, Abuu Ntiro, Nadir Haroub, Wisdomu Ndlovu, Hamisi Yussuf,
Mrisho Ngassa, Maurice Sunguti, Ben Mwalala na Athumani Iddi.

Prisons: Xavery Mapunda, Lusanjo Mwakifamba, Stephano Mwasika, Aloyce Adam, Mbega Daffa, Msafiri Hassan, Misanga Migayi, Geofrey Bonny, Oswald Morris, Shabaan Mtupa na Yona Ndabila.

Save the our planet!

'reduce, re-use, recycle'

Barca has only one trophy to play for!

Manchester United ambition to clinch a double this season will taste a tough test this week, and the next, from Barcelona as the latter has no hope of winning the domestic title this season.
Barca had a luxury of resting players on Saturday night and will manage to do so in the coming weekend because they have 'no' chance of catching Real Madrid at the top of La Liga.

Nothing to choose between the two (2007/08 Champions League):
Manchester Utd: Played: 10 Won: 8 Drawn 2 Lost 0 Scored: 18 Conceded: 5
Barcelona: Played: 10 Won: 8 Drawn 2 Lost 0 Scored: 18 Conceded: 5

Mhe Rais 2: Chenge nje!

Shukurani kwa Mheshimiwa Rais kwa kusikiliza kilio cha wengi. Nilikuwa nimemwandikia hapo chini kumkumbusha, lakini nimeona hahitaji kukumbushwa kwa hili. Kama wapo wengine wa namna hii, ni vizuri wenyewe waanze mapema kujitokeza na kujiondoa madarakani kabla mkono wa wananchi/sheria haujawaibua hadharani.
Hongera sana Mheshimiwa JK. Daima tuko pamoja ktk kuijenga nchi yetu kwa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya!
-mosonga

......................

Chenge abwaga manyanga (SOURCE: Nipashe, 21 Apr 2008. By Waandishi Wetu)
Kwa mujibu wa taarifa fupi iliyotolewa na Ikulu, jijini Dar es Salaam jana usiku na kukaririwa na Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC), Bw. Chenge alimwandikia barua ya kujiuzulu Rais Jakaya Kikwete jana. Rais ameridhia uamuzi huo na kusema ni kitendo cha busara hasa katika mazingira yaliyopo hivi sasa.

Kujiuzulu kwa Bw. Chenge, kunafuatia kuhusishwa kwake na kashfa ya kuwa na akiba ya Sh. bilioni 1.2 kwenye akaunti yake katika kisiwa cha Jersey, nchini Uingereza. Tuhuma za Bw. Chenge ziliripotiwa na gazeti la The Guardian la Uingereza la Aprili 12 mwaka huu.

Wakati huo, Bw. Chenge alikuwa katika ziara ya nchini China na India akiwa ameambatana na msafara wa Rais. Aliporejea nchini, alikaririwa akisema kiasi hicho cha fedha ni vijisenti, hali iliyosababisha ghadhabu miongoni mwa wananchi ambao wengi na maskini.

Aidha, vyama vya upinzani vilivyo katika ushirikiano, vilipanga leo kwenda ofisi hiyo kudai jalada linaloonyesha mali zinazomilikiwa na Bw. Chenge.

Bw. Chenge ni mbunge wa Bariadi Magharibi kwa tiketi ya CCM.
Wiki iliyopita, wafuasi wa vyama vya upinzani na wananchi walioguswa, waliahidi kuandamana kupinga Bw. Chenge kuingia bungeni.

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri afariki dunia!

Dito aaga dunia (SOURCE: Nipashe, 21 Apr 2008. By Idda Mushi, PST, Morogoro)
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (65), amefariki dunia.
Ditopile alifariki dunia ghafla jana asubuhi akiwa amejipumzisha akiangalia televisheni kwenye hoteli ya Hilux, mkoani Morogoro. Imeelezwa kuwa, Ditopile alikuwa amepanga chumba namba 106 katika hoteli hiyo akiwa na mke wake, Bi. Tabia.
Taarifa kutoka hotelini hapo zilieleza kuwa, aliaga dunia muda mfupi baada ya kuswali Swala ya Alfajiri.

Kabla ya kifo chake hicho, Ditopile alikuwa akikabiliwa na kesi ya mauaji ya kumpiga risasi dereva wa daladala, Hussein Mbonde Novemba, 2006 jijini Dar es Salaam. Wakati wa tukio hilo, Ditopile alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambapo kutokana na kesi hiyo, aliwekwa rumande kwa miezi kadhaa kwa ajili ya upelelezi. Mapema mwaka jana, kesi yake ilibadilishwa kutoka ya mauaji na kuwa ya kuua bila kukusudia na kuachiwa kwa dhamana. Mwishoni mwa mwaka jana, Ditopile aliripotiwa kujihusisha na ujasiriamali kwa kununua asali mkoani Tabora na kuuza Dar es Salaam.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Meshack Massi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Bw. Thobias Andengenye na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Said Kalembo, walithibitisha tukio hilo na kueleza kuwa alifariki dunia jana saa 3:00 asubuhi.

Mganga Mkuu wa Mkoa, Dk. Massi alisema alipokea taarifa ya kuzidiwa kwa Ditopile asubuhi na kuagiza gari la wagonjwa kumfuata ambapo baada ya kuwasili alipelekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi na alipopimwa ilibainika kuwa alikwishakata roho.

``Aliletwa akiwa hana dalili za uhai, hadi sasa hatujafahamu kilichosababisha kifo chake, lakini tunaendelea na uchunguzi ili kubaini,`` alisema Dk. Massi mara baada ya mwili wake kutolewa katika chumba cha uangalizi maalum wa wagonjwa (ICU), daraja la kwanza ili kupelekwa chumba cha kuhifadhi maiti.

Mganga Mkuu alisema wafanyakazi wa hoteli ya Hilux walipiga simu hospitalini hapo kuomba msaada wa gari la kubeba wagonjwa ili kumsaidia mteja wao huyo ambaye wakati huo alikuwa mgonjwa.

Naye Kamanda wa Polisi, Bw. Andengenye alisema baada ya kupokea taarifa ya kuwasili kwa mwili wa Ditopile hospitali ya Mkoa, waliongea na mdogo wa marehemu, Bw. Selemani Mzuzuri aliyekuwa amefuatana naye aliyesema hadi juzi saa 4 :00 usiku, walipoachana kaka yake alikuwa mzima.

Kwa mujibu wa Bw. Andengenye, marehemu, mkewe na mdogo wake, walifika Morogoro Ijumaa iliyopita na baada ya shughuli zao walipanga kurejea Dar es Salaam juzi wakitokea shambani Mgongola wilayani Mvomero.

Hata hivyo, kutokana na ubovu wa barabara walichelewa na kuwalazimu kulala Morogoro.

``Baada ya kurejea walitembelea jamaa na marafiki hadi saa 4:00 usiku walipolala na asubuhi waliamka kwa swala.`` alisema Kamanda Andengenye.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Kalembo aliyekuwa hospitalini hapo na viongozi wengine mbalimbali wa serikali alieleza kusikitishwa kwake na kifo cha ghafla cha Bw. Ditopile ambapo alisema wamekipokea kwa mshtuko mkubwa.

``Dito ni mdogo wangu, ndugu yangu ni zaidi ya kumfahamu akiwa Mkuu wa Mkoa...madaktari wanadhani alikuwa na ugonjwa wa moyo, kwani juzi na jana alifanya shughuli zake kama kawaida hakuwa na tatizo hadi asubuhi wakati akiangalia televisheni,`` alisema.

Alisema kifo hicho kimemshtua kwa vile hivi karibuni aliwasiliana na Bw. Ditopile kwa simu ya mkononi akimweleza kuwa, anakwenda mkoani humo kibiashara na alitaka wakutane.

Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Bi. Mary Chatana, aliyefika hospitalini hapo, alieleza kusikitishwa na kifo hicho cha ghafla.

Mdogo wa marehemu, Bw. Mzuzuri alishindwa kuongea na waandishi wa habari.

Ditopile amefariki dunia huku akiacha kesi iliyokuwa ikisikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Baada ya kusomewa maelezo hayo kesi hiyo, ilihamishiwa Mahakama Kuu lakini hadi kifo chake, ilikuwa haijapangiwa tarehe.

Wakati huo huo, Lucy Lyatuu anaripoti kuwa, mwili wa Ditopile unatarajia kuzikwa kesho katika shamba lake lililoko Kinyerezi, jijini Dar es Salaam. Mwili wake ulitarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam jana kwa gari la wagonjwa la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambapo pia umehifadhiwa katika hospitali Kuu ya JWTZ Lugalo.

Mdogo wa marehemu, Bw. Abdallah Mwinshehe, aliyasema hayo jana nyumbani kwa marehemu Upanga Mtaa wa Mfaume. Alisema wakati wa uhai wake, Ditopile alikuwa akisumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari tangu mwaka 1995 na magonjwa hayo yalichachamaa zaidi wakati wa kesi yake.

Wakati wa uhai wake, Ditopile aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika chama na serikali. Baadhi ya nyadhifa alizowahi kushika ni Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Mwanza, Tabora na baadaye kuteuliwa kuwa mbunge wa Ilala.

Pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Kigoma, Lindi, Pwani na Tabora.

Alisema marehemu ameacha wajane wawili na watoto watatu.
Baadhi ya viongozi waliofika nyumbani kwa marehemu jana ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Abbas Kandoro na Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Jaka Mwambi, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Bw. John Guninita.

Akimzungumzia marehemu Ditopile Bw. Kandoro alisema amepokea taarifa hizo kwa masikitiko makubwa na kwamba alikuwa mcheshi aliyekuwa akiongea kwa mizaha kufikisha ujumbe wake.

Blackburn 1 Man Utd 1

A draw was enough to keep Manchester United on top of Premier League table for 3 points with only three games remaining.
Stadium: Ewood Park
Attendance:
Competition: Premier League
Line-up (Man Utd):
Kuszczak
Brown-Ferdinand-Vidic-Evra
Ronaldo-Carrick-Scholes-Giggs
Tevez-Rooney
Subs in:O'shea for Brown, Nani for Giggs, Park for Rooney
Subs not used: Foster (GK), Pique
Results: Blackburn 1 Man Utd 1 Tevez 1-1
Star-men: Tevez 10/10, Ronaldo 7/10
Position: 1st
Standing (Man United):
P(35), W(25), D(6), L(4), GF(73), GA(19), GD(54), Pts(81)
Perfomance meter: 6/10 (average to good)
Remaining matches:
April
23 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 A
26 Apr Barclays Premier League United Vs Chelsea 12:45 A
29 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 H
May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 15:00 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A

MAN UTD GOALS! (As on Sat 19/04/2008 19:45BST)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(28) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =38
2. Carlos Tevez-Prem:(13) FA Cup:(1)Cham Lg:(4) =18
3.Wayne Rooney-Prem:(11) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =17
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Owen Hargreaves: Prem:(2), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =2
12.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 Away, W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Away, Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3

Mheshimiwa Rais

Kumekuwa na tetesi na pia tuhuma za wazi zinazowakabili wasaidizi wako. Watanzania wanasubiri hatua kutoka kwako za kuwawajibisha maana wanalichafua hata jina lako.

Unapoendelea kuwa kimya unatufanya tuanze kufikiria vingine juu yako.

Mimi naamini kabisa wewe Mheshimiwa Rais hauhusiki kwa namna yoyote ile na uozo huu, na ndio maana nakuomba uwaondoe hawa wanaorudisha nyuma juhudi zako ktk awamu ya 4 za 'Ari Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya'.

Usisahau 80% ya wananchi walikupa imani yao uwaongoze, ni vizuri ukiwasikiliza kilio chao ktk kipindi hiki. Ebu rudisha imani waliyoonyesha kwako, usiwakatishe tamaa.

Dear ..., (of Man Utd)

1. Wayne Rooney, if you convert half of the chance you get whenever you play, we win the titles! I wish you well!

2. Tomasz Kuszczak, if you communicate with your defence line and players in general, we will keep clean sheet every time you play and not concede penalties!
Let players know your presence please!

3. Paul Scholes, if you don't carelessly lose possession in danger areas, we won't concede goals from dangerous free-kicks! So cocentration is important at any time!

4. Ryan Giggs, if your crosses reach the strikers and your shooting accuracy improves, we will score many goals and avoid unnecessary draws!

It is easy to win the titles if all of you make necessary improvements or adjustiments in the your games!

'News 24' now 'News'

The BBC News 24 channel effectively from today changes its 10 years old name. It will be known as BBC News. It's new studio has been refurbished and looks fabulous. David Cameron (Conservative Party leader) was the first big name politician to be interviewed in the new studio!
The channel focuses on local (British) and international news.

Saturday 19 April 2008

Breastfeeding

Breastfeeding your baby
-Breastfeeding gives babies the best start in life
-Breastmilk gives babies all the nutrients they need for the first six months of life and helps protect them from infection. It also reduces mothers’ chances of getting certain diseases later in life.
(from: nhs/breastfeeding)

CD akerwa na ufisadi

Ufisadi wamkera Msuya (SOURCE: Nipashe, 19 Apr 2008. By Simon Mhina)

Waziri Mkuu wa awamu ya (kwanza na ya) pili, Bw. Cleopa Msuya, amesema kushamiri ufisadi na uporaji nchini ni matokeo ya ulegevu mkubwa wa udhibiti mali za umma uliokithiri katika awamu ya tatu.

Kiongozi huyo alisema wizi uliotokea kupitia akaunti ya madeni ya nje ya Benki Kuu (EPA), ni mfano halisi juu ya ulegevu huo. Alisema fedha za EPA hazikuchotwa siku moja bali kwa nyakati tofauti na watu wengi hivyo ni ajabu kuona serikali haikugundua.

Alisema inasikitisha kuona kwamba EPA imezalisha mabilionea ambao hawakulipa kodi na ndiyo wanaochangia Shilingi kushuka thamani na kuongeza umaskini.

Bw. Msuya alisema ulegevu huo haukuwa wa bahati mbaya bali ulipangwa, ulifahamika na uwepo kwa makusudi.

``Mambo haya yameanza muda mfupi baada ya Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere kufariki, huko nyuma walitaka kuyafanya haya, lakini walikuwa wakimhofu Mwalimu,`` alisema.

Alisikitika kuwa wakati Watanzania wanaogolea kwenye ufukara EPA imezalisha mabilionea wanaoagiza magari ya kifahari kutoka nje na kuyasafirisha kwa ndege kama keki hadi nchini ili yasipigwe na joto wala mvuke wa baharini.

``Hivi kweli mtu unanunua magari na kuyasafirisha kwa ndege kwa sababu zipi hasa?
Alihoji na kuongeza mambo hayo ni uthibitisho kwamba wanaofanya hivyo hawana uchungu na pesa wanazotumia kwa vile hawajazitokea jasho.``

Alipoulizwa iwapo awamu ya kwanza na ile ya pili aliyoongoza kwa nyadhifa za Uwaziri na Uwaziri Mkuu, mafisadi hawakuwepo au serikali ilikuwa inaficha taarifa zao?

Bw. Msuya alisema enzi hizo palikuwa hakuna kiongozi aliyekuwa anathubutu kufanya ufisadi kutokana na miiko na taratibu zilizokuwepo.

Alisema kama kuna watu walitumia madaraka yao kuiba walikuwa wachache.

Andrew Chenge na kashfa yake!

Chenge ageuka `bubu` (SOURCE: Nipashe, 19 Apr 2008. By Dunstan Bahai)
Waziri wa Miundombinu, Bw. Andrew Chenge, amegeuka bubu, hataki kuzungumza na waandishi, sasa anawakimbia.

Bw. Chenge maarufu kwa jina la `bilionea wa vijisenti`, alifanya kioja hicho jana jijini Dar es Salaam baada ya kufunga Mkutano wa Kimataifa wa masuala ya Usalama wa Vyombo vya Usafiri Baharini (IMO).

Bw. Chenge alipomaliza alitoka nje tofauti na kawaida yake kuzungumza na waandishi nje ya ukumbi, jana aliwaona waandishi hao kama adui zake.

Aprili 12, mwaka huu, gazeti la The Guardian la Uingereza, liliandika habari kuwa, Waziri Chenge amejilimbikizia dola zaidi ya milioni moja (zaidi ya Shilingi bilioni moja) kwenye benki moja iliyopo kisiwa cha Jersey, Uingereza.

Gazeti hilo lilieleza kuwa, inasadikiwa fedha hizo ni sehemu ya mgawo wa rushwa iliyotokana na ununuzi wa rada ya serikali ya Tanzania, wakati huo Bw. Chenge akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Wakati huo huo, Mwenyekiti DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amemshauri Bw. Chenge, kujiuzulu.

Mchungaji Mtikila amesema ameanza kukusanya mikataba mibovu aliyodai ilisababisha hasara ya mabilioni ya fedha kwa serikali kwa nyakati tofauti.

Alisema pamoja na kumshauri Bw. Chenge ajiuzulu, ni vyema akarudisha fedha anazotuhumiwa kumiliki ili kulinda heshima ya taifa.

Akizungumzia mikataba inayokusanywa na kupitiwa kutoka kwenye taasisi na wizara, alisema ni pamoja na ile
-ya umeme ya Richmond, Dowans, IPTL, Songas, Aggreko na Net Group Solutions
-ya madini iliyosainiwa kati ya Benki Kuu (BoT) na Hazina
-ile ya Kampuni ya Simu Nchini (TTCL)
-ya ununuzi wa rada na ndege ya Rais,
-vyakula feki vyote vikigharimu mabilioni ya fedha.

Alisema mikataba hiyo itapitiwa kwa umakini na kamati maalumu pamoja na wanasheria alioafikiana nao ili kuiweka wazi kwa wananchi.

``Tunahitaji wanasheria wasiopungua 20 ili kukamilisha idadi ya 40 tunayohitaji ambao wako tayari kwa ukombozi,`` alisema.

cristiano RONALDO

'you can't mark him because he starts off upfront, drifts wide, comes into the hole. he is six-foot-two, brave as a lion, strong as an ox and quick as lightining ...'
paul jewel, derby county manager (quoted on 17/3/2008 d/mail)

words of wisdom

years teach more than books.

for everything you have missed, you have gained something else; and for everything you gain, you lose something.

Hii ni ndoto au fumbo?

Leo nimeota ndoto.
Katika ndoto niko ktk msafara wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kutembelea kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa kule Tabora. Ilikuwa ni baada ya kupata uhuru kati ya 1961 na 1966.
Vijana walimpokea Mwalimu wa furaha na nyimbo kemkem za kuhimiza maendeleo na za ukombozi. Sauti za vijana zilikuwa zinavutia kama vile usiku wa 'karaoke'! Kila alikopita Mwalimu alipokewa kwa nyimbo za hamasa!
Ilikuwa ni furaha sana ktk mazingira yale niliyoyaona kambini, na Mwalimu alifurahi sana!

Ila sijui maana ya hii ndoto, na pia ktk miaka hiyo nilikuwa bado kuzaliwa. Ama ni kwa vile nilipitia kambi ya Tabora? Au labda ni kwa kuwa tumem'miss' sana Mwalimu ktk kipindi hiki ambacho ngalawa yetu inaelekea kuyumba na kujaa maji (maana ina matundu mengi)?

Friday 18 April 2008

Vifupi TZ (Acronyms)

1. TABOA- Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani

2. EWURA- Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji
The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA)

3. TICTS- The Tanzania International Container Terminal Services

4. NBS- National Bureau of Statistics

5 DAWASCO- Dar es Salaam Water and Sewerage Cooperation

Zimbabwe 28 today

In 1980, April 18, Zimbabwe got her independence from UK. Now it is 28 years since.

Zimbabwe and her people has gone through bad and good times, and now at the period like this they can sit down - evaluate the past and decide on which way to move forward.

My congratulations are due to all the Zimbabweans. It is up to them to shape their own future now!

One Zimbabwe, One people!

Amandlaaaaaaa!!

Subprime mortgage

(from wikipedia)
The term subprime lending refers to the practice of making loans to borrowers who do not qualify for market interest rates due to various risk factors, such as income level, size of the down payment made, credit history, and employment status.

The value of U.S. subprime mortgages was estimated at $1.3 trillion as of March 2007, with over 7.5 million first-lien subprime mortgages outstanding. Approximately 16% of subprime loans with adjustable rate mortgages (ARM) were 90-days delinquent or in foreclosure proceedings as of October 2007, roughly triple the rate of 2005. By January of 2008, the delinquency rate had risen to 21%.


Number of U.S. Household Properties Subject to Foreclosure Actions During 2007, By QuarterSubprime ARMs only represent 6.8% of the loans outstanding in the US, yet they represent 43.0% of the foreclosures started during the third quarter of 2007.
A total of nearly 446,726 U.S. household properties were subject to some sort of foreclosure action from July to September 2007, including those with prime, alt-A and subprime loans. This is double the 223,000 properties in the year-ago period and 34% higher than the 333,627 in the prior quarter. This increased to 527,740 during the fourth quarter of 2007, an 18% increase versus the prior quarter. For all of 2007, nearly 1.3 million properties were subject to 2.2 million foreclosure filings, up 79% and 75% respectively versus 2006. Foreclosure filings including default notices, auction sale notices and bank repossessions can include multiple notices on the same property.

The estimated value of subprime adjustable-rate mortgages (ARM) resetting at higher interest rates is U.S. $400 billion for 2007 and $500 billion for 2008. Reset activity is expected to increase to a monthly peak in March 2008 of nearly $100 billion, before declining. An average of 450,000 subprime ARM are scheduled to undergo their first rate increase each quarter in 2008.

Credit crunch

(From Wikipedia, the free encyclopedia -March 2008)
A credit crunch is a sudden reduction in the availability of loans (or "credit") or a sudden increase in the cost of obtaining a loan from the banks.

There are a number of reasons why banks may suddenly increase the costs of borrowing or make borrowing more difficult.
This may be due to an anticipated decline in value of the collateral used by the banks when issuing loans, or even an increased perception of risk regarding the solvency of other banks within the banking system.
It may be due to a change in monetary conditions (for example, where the central bank suddenly and unexpectedly raises interest rates) or even may be due to the central government imposing direct credit controls or instructing the banks not to engage in further lending activity.

Background and causes
It is often caused by a sustained period of lax and inappropriate lending, which results in losses for lending institutions and investors in debt when the loans turn sour and the full extent of bad debts becomes known.
These institutions may then reduce the availability of credit, and increase the cost of accessing credit by raising interest rates.
In some cases lenders may be unable to lend further, even if they wish, as a result of earlier losses restraining their ability to lend.

A credit crunch is generally caused by a reduction in the market prices of previously "overinflated" assets and refers to the financial crisis that results from the price collapse.
In contrast, a liquidity crisis is triggered when an otherwise sound business finds itself temporarily incapable of accessing the bridge finance it needs to expand its business or smooth its cash flow payments.
In this case, accessing additional credit lines and "trading through" the crisis can allow the business to navigate its way through the problem and ensure its continued solvency and viability.
It is often difficult to know, in the midst of a crisis, whether distressed businesses are experiencing a crisis of solvency or a temporary liquidity crisis.

In the case of a credit crunch, it may be preferable to "mark to market" - and if necessary, sell or go into liquidation if the capital of the business affected is insufficient to survive the post-boom phase of the credit cycle.
In the case of a liquidity crisis on the other hand, it may be preferable to attempt to access additional lines of credit, as opportunities for growth may exist once the liquidity crisis is overcome.

A prolonged credit crunch is the opposite of cheap, easy and plentiful lending practices (sometimes referred to as "easy money" or "loose credit").
During the upward phase in the credit cycle, asset prices may experience bouts of frenzied competitive, leveraged bidding, inducing hyperinflation in a particular asset market. This can then cause a speculative price "bubble" to develop.
As this upswing in new debt creation also increases the money supply and stimulates economic activity, this also tends to temporarily raise economic growth and employment.

Often it is only in retrospect that participants in an economic bubble realize that the point of collapse was obvious. In this respect, economic bubbles can have dynamic characteristics not unlike Ponzi schemes or Pyramid schemes.

As prominent Cambridge economist John Maynard Keynes observed in 1931 during the Great Depression:
"A sound banker, alas, is not one who foresees danger and avoids it, but one who, when he is ruined, is ruined in a conventional way along with his fellows, so that no one can really blame him."

The 2007 subprime mortgage financial crisis is considered by some to have caused a credit crunch.

Thursday 17 April 2008

Walipeni fedha zao!

Ni vizuri serikali itimize makubaliano yake ktk mikataba inayojiwekea na watoa huduma wa ndani ya nchi. Serikali isiwe msitari wa mbele kulipa madeni ya nje tu wakati wananchi wanaumia kutolipwa madai yao halali!
-mosonga

..................................

Wazabuni waanza mgomo
(* SOURCE: Nipashe, 17 Apr 2008. By Idda Mushi, PST Morogoro)

Wazabuni wanaotoa vyakula katika shule za sekondari za mabweni zinazomilikiwa na serikali na vyuo vya ualimu mkoani Morogoro wanaanza mgomo wao leo wa kutoa huduma hiyo.

Wamesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo kwa kuwa sasa wamefilisika na serikali imeshindwa kuwalipa malimbikizo ya madeni yao ya muda mrefu.

Walimweleza msimamo huo Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe baada ya kupata taarifa kupitia vyombo vya habari kuwa, wanapaswa kuwa wavumilivu na kuendelea kutoa huduma zao kwani serikali inashughulikia madai yao.

Walipinga kipengele katika taarifa iliyotolewa na Profesa Maghembe cha kuwataka kusubiri hadi baada ya wiki tatu ndipo walipwe madai yao.

Walisema wakati Waziri akisema hayo, waraka mwingine umewataka kupeleka madeni yao mjini Dodoma na kwamba serikali inaendelea na uhakiki wa madeni hayo.

``Tunaambiwa tubebe madeni yetu kupeleka Dodoma, halafu huko tukifika tutagharimiwa na nani na hali zetu zimekuwa mbaya, tutaishije na tutatumia usafiri gani kufika huko?

Kama Waziri ana wasiwasi, aunde tume ije kutukagua, hatuna wasiwasi, tumefilisika kabisa na hatukopesheki,`` alisema mmoja wa wazabuni hao, Bw. Juma Ng'ondavi.

Wazabuni hao wa mkoani Morogoro, walisema lengo lao sio kugoma bali wameishiwa fedha za kuendelea kutoa huduma na huku wakitakiwa kulipa madeni waliyokopa benki.

``Kama huyu mmoja wa wazabuni mwenzetu, anadaiwa Sh. milioni 121 na benki ya CRDB. Aliandikiwa barua ya kuhimizwa kulipa tangu mwishoni mwa mwaka jana, lakini hadi sasa hajalipa na anatishiwa mali zake kupigwa mnada, tutafika kweli kwa hili?``

Alihoji mmoja wa wazabuni hao, Bw. Paschal Kihanga, kwa niaba ya wenzake huku wakionyesha barua ya mwenzao aliyoandikiwa na benki.

Wazabuni hao, walisema wanashangazwa na malimbikizo ya madeni yao ya tangu mwaka 2005 hadi sasa, huku bajeti za wizara zikiwa zinapitishwa mwaka hadi mwaka na kuhoji iwapo kama waliwahi kusikia shule hizo wanazopeleka huduma zikifungwa kwa kukosa chakula.

Walibainisha kuwa, wanaamini kauli inayotolewa na serikali kwa sasa ni ya kisiasa zaidi kwani hata Aprili, mwaka jana, walipolalamikia madai yao, Wizara ilituma wakaguzi kuhakiki madeni na baada ya zoezi hilo, walilokuwa wakidai Sh. milioni 100 walijikuta wakipelekewa milioni tano tu na kwamba hadi leo hakuna utekelezaji wa kuridhisha wa ulipwaji wa madeni yao.

``Wenzetu wazabuni wa maeneo mengine hawana matatizo, sisi tulio chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ndio tatizo... Inashangaza sana kwani wizara hii imejaa wasomi ambao tuna imani wanapanga vyema mambo yao,`` alisema.

Wazabuni wengine, Karama Abdalah, Juma Tembo na Mahendeka Sebastian kwa niaba ya wenzao walisema tatizo hilo la madeni sio kwa mkoa wa Morogoro pekee bali pia kwa mikoa mingine nchini hivyo kitendo cha kuwataka waende Dodoma ni kusababisha usumbufu na gharama zisizo za lazima.

Alisisitiza kwamba uamuzi wao wa kutoendelea kutoa huduma haulengi kugoma bali ni kufikia mwisho wa uwezo wao kifedha kutokana na kufilisika.

Mkoa wa Morogoro pekee, kwa mujibu wa wazabuni hao, unadai serikalini zaidi ya shilingi bilioni 1.5 .

Kashfa zaidi?

(source: www.raiamwema.co.tz)
Nchi sasa inayumba
Mwandishi Wetu Aprili 16, 2008
Watu mbalimbali waliozungumza na Raia Mwema wiki hii wanalitaja suala la kuzuiwa kwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz kujitetea kuwa dalili za jinsi hali ilivyo mbaya ndani ya CCM, hali ambayo inaigusa pia Serikali.

Watu hao wanataja tukio la Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, ambaye ana fedha nyingi za kigeni nje ya nchi kuwa ufa mwingine ndani ya CCM na Serikali ambako Chenge anaheshimiwa sana.

Yanatajwa pia matukio ya wizi ndani ya Benki Kuu (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), mikataba mibaya ya uchimbaji madini na kushindwa kwa Rais Jakaya Kikwete kuchukua hatua thabiti juu ya watuhumiwa, wengine watu wa karibu naye, kuwa ambayo yanatia doa katika mchakato wa nchi kujiletea maendeleo.

Vyanzo vya habari vinasema sababu ya kukua kwa mtikisiko huo ni jinsi Kikwete “alivyoliachia gurudumu” la mapambano dhidi ya ufisadi, huku likiwakumba watu waliokaribu naye na hata wasaidizi wake ndani na nje ya serikali.

Matuko ya hivi karibuni yaliyotokea bungeni mjini Dodoma na katika vikao vya CCM kijijini Butiama, yamechochea moto wa mtikisiko huo ndani ya CCM na serikali yake.

Moto huo unaelezwa kuwashwa/kuchochewa zaidi na wahusika/watu walio karibu na waathirika wa ripoti ya Kamati Teule ya Bunge kuhusu mradi tata wa umeme wa dharura uliokabidhiwa kampuni ya Richmond ya Marekani, wale wanaoguswa na uchunguzi ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na maeneo mengine yanayonuka rushwa.

Tayari Kikwete anaelezwa kupokea maelezo, ushauri hata lawama baada ya kuibuka kwa tuhuma na uchunguzi wa masuala yote yanayohusishwa na ufisadi ambayo yakaitikisa Serikali yake.

Mjini Dodoma wiki hii hali haikuwa shwari kutokana na mkanganyiko wa maelezo aliyotaka kuwasilisha Rostam Aziz, akielezwa kujiandaa kikamilifu “kupasua bomu”.

Kwa kutumia Kanuni za Bunge, Spika wa Bunge, Samuel Sitta, ameyazuia maelezo ya Rostam katika kulinda maslahi na hadhi ya Bunge, na pia “kulinda mshikamano ndani ya Bunge na ndani ya CCM”.

Uamuzi wa kumzuia Rostam kuwasilisha maelezo yake ulifikiwa baada ya vikao vya wabunge wa CCM wakiongozwa na Kamati ya Uongozi ya Wabunge wa chama na kamati ya wabunge wote wa CCM. Rostam ni mjumbe wa vikao vyote kutokana na wadhifa wake wa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.

Rostam mwenyewe amenukuliwa katika vyombo vya habari akisema kwamba alikuwa na maelezo yenye nguvu ambayo yangebainisha kuwa yeye ni mtu safi ambaye hakuhusika na mkataba wa Richmond pamoja na kuwa na uhusiano wa kibiashara na kampuni iliyorithi mkataba huo ya Dowans.

Unyeti wa maelezo ya Rostam unaelezwa pia kuhofiwa kuwachafua ama kuwaingiza hata viongozi wa juu wa CCM wa sasa na wa zamani ambao hawakuguswa kabisa katika ripoti ya Mwakyembe, jambo ambalo lingezidisha hasira na chuki miongoni mwa wana CCM.

Hata hivyo, baadhi ya wanasiasa wanasema pamoja na nia nzuri ya Kikwete, uamuzi wa kuanika hadharani uozo wa BoT na hata kuruhusu Waziri Mkuu wake kujiuzulu, ni mambo yatakayoisumbua sana serikali na CCM kwa muda mrefu.

Kuchunguzwa kwa kuhusika na rushwa ya ununuzi wa rada ya Sh bilioni 70, na hatimaye kupekuliwa kwa Waziri Chenge ni tatizo jingine kwa Rais Kikwete.

Chenge amekutwa na kiasi kikubwa cha fedha katika akaunti zake za nje na akaunti moja pekee katika benki moja ya kisiwa cha Jersey nchini Uingereza imekutwa na fedha zinazofikia Sh bilioni moja za Tanzania.

Ugumu mwingine unaomuweka pabaya Kikwete ni kauli yake ya kwamba Mkapa kama walivyo wastaafu wengine anastahili “kuachwa apumzike kwa amani”, kutokana na tuhuma kadhaa kumgusa Rais huyo aliyeingia madarakani mwaka 1995.

Uchunguzi unaondelea dhidi ya Chenge kuhusiana na kesi ya rada na baadhi ya tuhuma nyingine na habari za kuchunguzwa kwa mawaziri wengine wawili wa zamani, bila shaka kutamgusa moja kwa moja Mkapa na hivyo kumpa Kikwete mtihani mwingine mgumu wa kuamua kuachia sheria kuchukua mkondo wake dhidi ya mtu ambaye hakupenda ashughulikiwe kupitia mikono yake.

Baadhi ya wana CCM wamesema Kikwete hapaswi kutishika kwa kuwa mambo mengi anayoyafanya anaungwa mkono na wananchi walio wengi pamoja na wanasiasa ambao wamekuwa wakiweka pembeni maslahi binafsi na hivyo kumshauri kutorudi nyuma katika mapambano dhidi ya ufisadi na maovu mengine katika jamii.

Tuesday 15 April 2008

Nukuu bora! (kwa kweli nimeipenda)

(Source: Majira, 15.04.2008 0146 EAT
Na Joseph Lugendo, Dodoma)
MBUNGE wa Maswa, Bw. John Shibuda (CCM) alitahadharisha kwamba dhana ya Watanzania kuwa na mali isigeuzwe mlango wa kuwahujumu wengine na kwamba kufanya hivyo kutakuwa sawa na kutengeneza kundi la wanyonyaji, ambalo lilikataliwa wakati wa ukoloni.
"Tuliwafukuza wanyonyaji si kwa rangi bali kwa tabia, hulka na silka yao na hivyo tuwe makini tusije tukawatengeneza wanyonyaji weusi," alisema.

Breast cancer diagnosis & treatment: support needed

I totally support efforts made by these charities (MEWATA and WAMA) to make sure women in Tanzania access the breast cancer diagnosis and treatment clinics.
It would be better if such services are extended to rural areas where more women can benefit from them and also be educated on how to do early stage diagnosis themselves. I understand there is a simple way where any woman can follow do detect tumours in the breast(s) at home. But I wonder if many women, especially in the rural areas, know this basic procedure! Therefore the first effort should be to educate women. Even in schools these issues should be covered in any curriculum especially from secondary school level onwards.
MEWATA and WAMA are doing a wonderful job, I hope their call for financial and material support would be heard in time and action taken! Let's do it together to save the lives of our mothers, sisters, wives and daughters!
mosonga2002@yahoo.com

...................................

US NGO donates 2200 brassieres to WAMA to fight...
(* SOURCE: Guardian, 14 Apr 2008)
By Special Correspondent, New York
A Florida-based non-governmental organisation, The City Experience Mastectomy Corporation, in the US has donated 2200 special brassieres valued at US$100,000 to support breast cancer patients in Tanzania.
The Wanawake na Maendeleo (Wama) foundation goodwill ambassador, Maria Kerins, announced the donation during a special ceremony held at the United Nations headquarters here in recognition of First Lady Salma Kikwete's efforts in improving women health and economic welfare in the country.
Speaking during the ceremony, Kerins said she learnt about the plight of Tanzanian women who suffer from breast cancer during informal conversation with the Tanzanian ambassador to the UN, Dr Augustine Mahiga, and his wife Elizabeth who also told her about Wama and Mewata`s involvement in curbing breast cancer in the country.
``I had visited Tanzania last year and while there I learnt first hand about the situation of women who were affected by breast cancer. As there were no suppliers in Tanzania of the specialised bras, I decided to locate manufacturers and suppliers in New York and find a way to get as many of them as possible to Tanzania,`` she said.
Kerins said that for those women who had undergone breast cancer surgery there was a real need for post surgery, specially designed, prosthetic bras that would be comfortable and practical, as well as help restore some dignity for women who faced the emotional and physical trauma as a result of the surgery.
She said breast cancer was on the rise around the world and that by the year 2020, 70% of all breast cancer globally would be found in the developing world.
She said in Africa young women often had little means of getting early diagnosis and too often ended up in an advanced stage of the disease before they received treatment.
In her remarks during the occasion, First Lady Salma Kikwete who is also Wama`s chairperson thanked Kerins for the donation towards breast cancer patients, saying the support would complement Wama and Mewata`s efforts in fighting breast cancer in Tanzania. Mama Kikwete said in the recent exercise carried out by Mewata in collaboration with Wama in Lindi Region a good number of women turned up for breast cancer diagnosis and treatment and that a lot of financial and material support was needed in order to have more women diagnosed and receive treatment on time.
During the ceremony, the First Lady named Maria Kerins Wama's goodwill ambassador and presented her with a letter of recognition. For her part, Kerins accepted the recognition and the two exchanged gifts.
The ceremony was attended by UN Deputy Secretary General Dr Asha Rose Migiro, Tanzania`s Permanent Representative to the UN, ambassador Augustine Mahiga and a number of UN dignitaries.

The First Lady and her entourage returned home yesterday evening.
She was accompanied by the assistant Director Primary Education and Coordinator from the Ministry of Education and Vocational Training, Jumanne Sagini, and Donald Charwe, a commissioner from the Ministry of Health and Social Welfare.

President Kikwete on 'bio-fuel' time bomb!

Kikwete warns on bio-fuel danger
(* SOURCE: Guardian, 14 Apr 2008. By Guardian Reporter, Boao, China)

President Jakaya Kikwete of the United Republic of Tanzania, who also serves as AU chairman, has urged the international community to take precautionary measures to avert the danger of reduced food production when looking for alternative sources of energy, particularly bio-fuel. Addressing the Boao Forum for Asia (BFA) here over the weekend, Kikwete, on a state visit of China, said both food production and alternative energy were equally important.

``As we cherish development of alternative sources of energy for reducing dependency on oil, we request that this should not be done as an alternative to food production,`` he said. He expressed worries over the current tendency whereby resources like land, fertilizers and labour (key for food production) were now being used to generate alternative energy, cautioning that the trend might lead to a disaster if not taken seriously. ``Food resources are decreasing. Already there are food shortages. The trend has resulted into the soaring of food prices around the world, coupled with other social effects,`` said Kikwete. Banking on its vast land resources, most of which was still virgin, he said Africa could easily accommodate both food production and generate alternative energies.
On Africa-Asia economic cooperation, Kikwete called for stronger relations that would enable the continent break the deadlock and do away with conditional aid that had long pinned down its development. He said Africa was endowed with abundant but untapped natural resources, a fact that had led to widespread poverty.

Earlier, President Kikwete held official talks with Swedish Prime Minister Fredrik Reinfeldt. He briefed the Swedish premier on the situation in Africa, particularly on civil strife, which he said was waning.

President Kikwete also used the opportunity to discuss with Reinfeldt the condition of the Tanzanian economy, which he said despite experiencing fluctuating fuel prices and inflation, had registered positive gains. He said time was ripe for the world to take necessary steps for checking the global rise in fuel prices.

Beware, more bad men on-line!

There are still people with bad intentions seeking to hook anyone via 'fake' e-mails. The important thing is always to ignore them and delete such mails! Any attempt to reply them might plunge you in huge trouble. So my message again and again is to simply ignore and delete them!
mosonga2002@yahoo.com
................................
This (below) is one example of fake mails I received recently! I deleted it immediately!
.................................


Hello,
I am the head of Accounts and Audit Department of Bank of Africa,Ouagadougou.Burkina faso .i decided to contact you after a careful thought that you may be capable of handling this business transaction which i explained below;

In my department we discovered an abandoned sum of $10.5m US dollars (Ten million, five hundred thousand US dollars). In an account that belongs to one of our foreign customer who died along with his entire family in 1998 in a plane crash. Since we got information about his death, we have been expecting his next of kin to come over and claim his money because we cannot release it unless somebody applies for it as next of kin or relation to the deceased as indicated in our banking guidelines but unfortunately we learnt that his supposed next of kin(his son and wife) died alongside with him at the plane crash leaving nobody behind for the claim .It is therefore upon this discovery that I and other officials in my depart ment now decided to make this business proposal to you and release the money to you as the next of kin (We want to present you as his busines asociate )to the deceased for safety and subsequent disbursement since nobody is coming for it and we don't want this money to go into the Bank treasury as unclaimed Bill.

Therefore to enable the immediate transfer of this fund to your account as arranged,you must apply first to the bank as next of kin of the deceased customer.Upon receipt of your reply, I will send to you by fax or email the text of the application. I will not fail to bring to your notice that this transaction is hitch free and that you should not entertain any atom of fear as all required arrangements have been made for the transfer.

I expect that you to contact me for more details immediately you receive this letter.thruogh my private email address renard_palmer@myway.com for us to discus to the shearing ration.

Hoping to hear from you immediately.

Yours faithfully,

Renard Palmer
Accounts & Audit Department ,
Bank of Africa

Nb.also give me your telephone and fax numbers for easy comunication with you.
Private Email Address; renard_palmer@myway.com

Monday 14 April 2008

Vyakula bei juu Dar!

Bei ya vyakula sasa yatisha

(* SOURCE: Nipashe, 14 Apr 2008. By Lucy Lyatuu)
Uchunguzi uliofanywa na Nipashe jana jijini Dar es Salaam kwenye baadhi ya masoko, ulibaini kuwa bidhaa nyingi zimepanda na kusababisha wananchi wenye kipato cha chini kuwa katika hali ngumu.

Katika soko la Kisutu, Kariakoo, Mwananyamala na Tandale, bei ya:
-mchele imepanda kutoka wastani wa Sh. 1,000 kwa kilo hadi kufikia Sh. 1,500
-maharage (soya) kwa kilo yaliuzwa Sh. 1,700 badala ya Sh. 900.
-karanga kwa kilo ziliuzwa Sh. 1,500 badala ya 1,000,
-choroko Sh. 1,500 badala ya Sh. 1,200,
-unga wa sembe Sh. 800 badala ya Sh. 550 kwa kilo,
-viazi viliuzwa Sh. 800 badala ya 500 na
-vitunguu Sh. 800 badala ya 500 (kwa kilo)
-gunia la viazi kwa sasa linauzwa Sh. 27,000 badala ya Sh. 22,000,
-nyanya boksi moja Sh. 35,000 badala ya Sh. 20,000
-vitunguu nusu gunia vinauzwa Sh. 60,000 tofauti na Sh. 45,000.

Akizungumza kutoka soko la Kariakoo jijini, Bw. Joseph Moses, alisema ni kweli mazao ya chakula yamepanda na sio mara ya kwanza kwani katika msimu wa mvua barabara nyingi zinakuwa hazipitiki na mafuta kutumika kwa wingi.
``Miundombinu ya barabara iliyopo ni mibovu huko vijijini kunakotoka chakula, ndio sababu kuu ya kupanda kwa bei ya mazao kutoka kwa wakulima mashambani kwani ufikishaji wake sokoni unakuwa mgumu,`` alisema.
Aliongeza kuwa chanzo kikuu cha kumfikishia mlaji wa mwisho bidhaa kinatokana na usafiri na hivyo kupanda kwa bei ya mafuta, petroli na dizeli, nako kumechangia ongezeko la bei ya bidhaa sokoni.

Bw. John Anthony, Mfanyabiashara wa Tandale alisema ni kweli bidhaa nyingi sokoni zimepanda kutokana na mpaka wa Tanzania na Kenya kufunguliwa.
``Wakati Kenya wakiwa kwenye mgogoro wafanyabiashara walielekeza nguvu nyingi kuleta bidhaa zao jijini Dar es Salaam, lakini baada ya kumalizika kwa ugomvi sasa wanaingia kwa wingi nchini humo hali inayofanya bidhaa kupungua Dar na kukosekana ushindani, hali ambayo inapandisha bei,`` alisema Bw. John.

'Wenger's double-dream "sublimes"!!!'

Seven days ago, Arsene Wenger was dreaming for Arsenal's double but 'suprise-suprise' his team is on the brink of ending a season without a trophy!
Don't write-off your opponents so easily Wenger!
.................................

'Title still in our hands!'
(Posted by MOSONGA. Tuesday, 8 April 2008 at 15:19)
Michael Carrick insists there’s no cause for alarm following the Reds’ 2-2 draw with Middlesbrough on Sunday. Certain sections of the press have begun to cast doubt on United’s championship-winning credentials, yet Sir Alex’s men are still three points in front with just five games to play.

“You have to remember that off days do come along and you’ll get the odd bad result, but if you can bounce back quickly it takes the pressure off and helps you regain momentum.
You can’t get too upset about poor results, just like you can’t get carried away when you have a good win.
Not so long ago we were trailing Arsenal and now we have a three-point lead. We’re determined to hang onto that.”

...................................

Wenger's day 'dream'!!!
The Arsenal manager has written-off his two oppositions this week by claiming that he's going to win a double this season.
He is going to start his 'mission' tonight by beating Liverpool and then Man United on Sunday!
Is he dreaming, or it's a matter of 'mistiming' for April 01?

Man Utd 2 Arsenal 1

Two second half strikes from Ronaldo and Hargreaves gave Manchester United the important three points in the chase for the title and leaving Arsenal with only remote hopes, if any, of achieving it this season.
Stadium: Old Traford
Attendance: 75,985
Competition: Premier League
Line-up (Man Utd):
van der Sar
Brown-Ferdinand-Pique-Evra
Hargreaves-Carrick-Scholes
Park-Rooney-Ronaldo
Subs in:
Tevez for Park, Anderson for Scholes, Giggs for Hargreaves
Subs not used: Kuszczak, O'shea
Results: Man Utd 2- Arsenal 1 Ronaldo 1-1, Hargreaves 2-1
My star-men: van der Sar 10/10, Ferdinad 7/10, Hargreaves 7/10
Position: 1st
Standing (Man United):
P(34), W(25), D(5), L(4), GF(72), GA(18), GD(54), Pts(80)
Perfomance meter: 6/10 (average to good)
Remaining matches:
April
19 Apr Barclays Premier League United Vs Blackburn 17:15 A
23 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 A
26 Apr Barclays Premier League United Vs Chelsea 12:45 A
29 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 H
May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 15:00 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A

MAN UTD GOALS! (As on Sun 13/04/2008 18:00BST)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(28) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =38
2.Wayne Rooney-Prem:(11) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =17
3.Carlos Tevez-Prem:(12) FA Cup:(1)Cham Lg:(4) =17
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Owen Hargreaves: Prem:(2), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =2
12.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 Away, W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Away, Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3

Msiba

(source: jamboforum mail blitz)
MSIBA MKUBWA UINGEREZA
(Reading)
*Peter Gachuma,Thomson Msigwa
Wafariki Dunia..
-------------
Wanajumuiya wa UK tumepokea habari Ya kusikitisha za kifo cha Wenzetu Peter Gachuma na Thomson Msigwa kilichotokea leo huko Tanzania kwa ajali ya gari wakitokea Tarime (mara) kuelekea Mwanza.
Marehemu Peter Gashuma alikua akisoma university of Birmingham na kuishi Reading,vilevile Marehemu Thomson Msigwa alikua anaishi Reading Uingereza, Marehemu walikwenda nyumbani (Tanzania) wiki iliyopita kwa likizo fupi.Marehemu Thomson Msigwa ameacha mke na watoto.
*Mwenyezi mungu azilaze Roho za Marehemu Mahali pema peponi Amen.
----
**Tutaendelea kuwajulisha habari zaidi kadri zinavyotufikia..

Friday 11 April 2008

Congratulations!!

I would like to congratulate my former college classmate, Mr Edwin Sannda for being elected CCM's member of the National Executive Council (NEC) -through UVCCM wing- in August 2007.

Also, I would like to take this opportunity to wish him a colourful and successful new political career!

Edwin, you've started off well and positively and the future looks bright! So keep it up, mate!!

It is an example to follow

I think Tanzanians should emulate the example shown by the organizers of the 'London Citizens Assembly' in order to strengthen the democratic processes in our country.

Candidates (Presidential, Parliamentary as well as Local Authority Councellors) should be brought together -before a panel of interviewers and be scrutinezed, to explain their policies and what they are going to deliver for Tanzania. At that point we would be able to realize which candidate's political party policies are suitable for constituents and Tanzanians in general. The issues in question should focus policies and accountability.

At the moment candidates are elected basing on, more or less, how many projects they have funded by money/resources from their own 'pockets'. In turn, only the rich and bussinessmen/women do get elected as political leaders. Once the majority of these business people given opportunity, they would use it for their own benefits.

Just imagine scandals like External debt Payments Arrears (EPA), the Richmond, the Independet Petroleum Tanzania Limited (IPTL) and the mining contracts. I think they are all the result of us (voters) voting to office greedy people who, (perhaps?) spent their money to buy our votes.

Remember we had the asante (takrima) law which legalized candidets to give voters gifts and/or money. Again we accepted donations of money, materials and facilities like schools, police posts etc. from candidates or 'would be candidates' without asking ourselves the consequences of such donations. We had no idea how such money/funds were obtained in the first place! However, I would like to thank the government for changing that takrima law. It is now not legal to for candidates offer takrima!

I must be clear here. That it is not bad, in any measure, for someone to help building our nation through donations, funding projects and fund raising for community facilities.

My problem is that, why almost all who help constituents (through donations) finally end up running for Member of Parliament or a ward councillor?

There are people like Bill Gates who have been helping needy people all over the world over the years, but they haven't shown any political ambitions! If one gives something to the community or society why should he/she want it back through our votes?

Once these 'vote-buyers' get to the office, the first thing they do is to find out ways to 'refund' themselves the money they used during the campaigns and the fastest way they use is through dubious contracts -where they get commissions (of 10 per cent or more).

Afterall, these corruption practices we witness in our goverment or local goverments could have been avoided by choosing to elect the right candidates.
mosonga2002@yahoo.com

............................................

The Mayoral Accountability Assembly on Wednesday 09th April 2008.
(source: londoncitizens website)
The London Citizens** Listening Campaign has given Londoners, young and old, here since birth or recently arrived, a chance to shape the priorities of London's Mayoral hopefuls.

In an unprecedented show of political unity, the three main candidates in the race to be mayor of London have backed a call for an amnesty for all 'undocumented migrants' who have lived in Britain for four years or longer at the London Citizens Accountability Assembly on 9th April 2008.

Taking a break from the divisive politics that have characterised their campaigns so far, Mayor Ken Livingstone of the Labour Party, who is seeking an unprecedented third term, made the pledge along with Tory Boris Johnson, Liberal Democrat Brian Paddick and Sian Berry from The Green Party.

Ken Livingstone, Boris Johnson, Brian Paddick and Sian Berry were publicly challenged to declare their position on a Citizens’ Agenda covering street safety, low pay, affordable housing and the status of undocumented migrants.
..........................................
**London Citizens is a diverse alliance of active citizens and community leaders organising for change. Members include faith groups, schools, student organisations, union branches and residents groups who share a commitment to action for the common good, and to nurturing leaders from all backgrounds.
......................................

The Citizens Network
-In East London, TELCO London Citizens has been actively organising and campaigning for over ten years. TELCO is a well established and respected force for democratic change, and last year helped East Londoner's secure a living wage commitment from the London 2012 Olympic project team. More recently TELCO launched a public enquiry into the proposed redevelopment of the Queens Market, ensuring local people and traders have a meaningful say in its future.
-At South London's November 2005 Annual Assembly, members committed to campaign on housing, youth, living wages, dignity in hospital and immigration. Click here for more detail.
-Last year London Citizens extended its reach even further, establishing West London Citizens, and building on the experience gained through our older networks. West London Citizens has been very active in the 2006 Local Elections, putting proposals determined by our diverse membership, to the party leaders in Ealing, Hammersmith and Fulham, and Kensington and Chelsea.
-Fighting poverty wages in London, the Living Wage Campaign has had some major recent successes, with large highprofile employers agreeing to pay the £7.05 per hour London Living Wage.

Thursday 10 April 2008

Tusioneane aibu! Reli wawajibike.

Shirika la Reli wana wajibu wa kuwapatia abiria wake usafiri mbadala (kama vile kukodi mabasi) pale inapotokea treni zimesimamisha au kukatiza huduma bila tahadhali kwa abiria/wasafiri. Kutokana na hali hiyo, Shirika linatakiwa liwajibike kulipia gharama za ukodishwaji hayo mabasi ili abiria wafike waendako.
Kwa kweli hakuna sababu abiria waachwe wakihangaika njiani (kituoni) pasi kujua hatima ya usafiri wao.
Kimsingi abiria hao hawakufikishwa pale walipokata tiketi na kulipa nauli ili wapelekwe. Kwa hiyo Shirika la Reli wanatakiwa kutimiza mkataba wake na abiria kwa kuwasafirisha abiria bila matatizo au kuchelewesha ratiba zao hadi kituo chao cha mwisho kwa kutumia usafiri wa kukodi kwa gharama za Shirika.
Naona hapa kuna tundu ktk sheria ambapo inawapa Shirika la Reli nguvu za kuwatelekeza abiria kiasi hiki na kuwasababishia usumbufu na mahangaiko makubwa kimaisha, bila Shirika kuwajibika ipasavyo.
Naomba wizara husika na vyombo vya kutetea haki za raia vilitazame hili suala kwa umakini ili lisiwe kawaida katika maisha ya kila siku ya wasafiri au wananchi kwa ujumla.

Tafadhalini wahusika; Watanzania wanastahili huduma bora, na sio huu ubabe wanaotendewa na kutelekezwa katika mahangaiko! Ni lazima muonyeshe kuwa mnawajali. Huu ni wakati wa vitendo. Muda wa ahadi-nadharia (longolongo) ulikwishapita zamani sana!
(mosonga2002@yahoo.com)
.............................

Abiria wa treni waliokwama sasa wageuka vibarua Moro
(* SOURCE: Nipashe, 10 Apr 2008. By Devota Minja, Morogoro)
Abiria waliokwama katika stesheni ya Morogoro, wamelazimika kulima vibarua ili kupata fedha za kujikimu. Wakizungumza na PST, abiria hao ambao walikwama katika stesheni hiyo kwa zaidi ya wiki moja, wamelalamikia kushindwa kusafiri kwa wakati japo wameambiwa kuwa mgomo umemalizika.

Walisema kuwa baadhi yao wamelazimika kulima mashamba na wengine kupalilia mahindi kwa miraba huku wakilipwa ujira wa kati ya Sh. 1,000 na Sh. 3,000 kulingana na makubalianao kati ya mwenye shamba na kibarua. Hali ilikuwa mbaya zaidi kwa wazee waliokwama kituoni hapo kwani walikuwa hawana uwezo wa kufanya vibarua kutokana na kutokuwa na nguvu za kulima.

Mmoja wa abiria Bw. Izack Musa, aliyekuwa akitokea Mbeya kwenda Kigoma, alisema baada ya kukwama walilazimika kurudishiwa nauli zao. Alisema kwa mujibu wa maelekezo waliopatiwa stesheni hapo, lazima wafuate utaratibu wa kukata tiketi upya.

``Tunashangazwa, wanakuja abiria wengine wanapata tiketi sisi tuliorudishiwa tunaambiwa tusubiri hadi wiki ijayo,`` alisema Bw. Izack.

Mkuu wa Stesheni ya Morogoro, Bw. Flavian Nyawale, akijibu malalamiko hayo alisema kuwa, kwa mujibu wa taratibu, abiria ambao walikwama na kulazimika kurudishiwa nauli zao walitakiwa kufuata utaratibu mpya wa kukata tiketi. Bw. Nyawale aliwahakikishia abiria hao kuwa taratibu zitafanyika ili waweze kusafiri.

Man Utd 1 AS Roma 0

Manchester United cruised to Champions League semis past Roma following a 1-0 win at OT last night. (Man United win 3-0 on aggregate over two legs of quarter finals).
Competition: UEFA Champions League (2nd leg Q/Finals)
Stadium: Old Trafford
Line-Ups:
Man Utd:
van der Sar
Brown-Ferdinand-Pique-Silvestre
Carrick
Park-Hargreaves-Anderson-Giggs
Tevez
Subs On: Rooney for Giggs, O'shea for Carrick, Garry Neville for Anderson
Subs not used: Kuszczak, Ronaldo, Scholes, Welbeck

Roma:
Doni; Panucci, Mexes, Juan, Cassetti (Tonetto 56); De Rossi, Pizarro (Giuly 69), Taddei (Esposito 81), Perrotta; Mancini, Vucinic.
Subs not used: Curci, Cicinho, Aquilani, Brighi

Results: Man Utd 1 Roma 0 Tevez
Performance meter: 6/10 (good)
Remaining matches:
13 Apr Barclays Premier League United Vs Arsenal 16:00 H
19 Apr Barclays Premier League United Vs Blackburn 17:15 A
23 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 A
26 Apr Barclays Premier League United Vs Chelsea 12:45 A
29 Apr UEFA Champions League United Vs Barcelona 19:45 H

May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 15:00 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A

MAN UTD GOALS! (As on Wed 09/04/2008 21:45BST)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(27) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =37
2.Wayne Rooney-Prem:(11) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =17
3.Carlos Tevez-Prem:(12) FA Cup:(1)Cham Lg:(4) =17
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
12.Owen Hargreaves: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 Away, W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Away, Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3

Tuesday 8 April 2008

'Title still in our hands!'

(from www.manutd.com)
Michael Carrick insists there’s no cause for alarm following the Reds’ 2-2 draw with Middlesbrough on Sunday.

Certain sections of the press have begun to cast doubt on United’s championship-winning credentials, yet Sir Alex’s men are still three points in front with just five games to play.

The former Spurs midfielder says the Reds tend to respond well to disappointment and is confident the squad will show similar character this time around.

“You have to remember that off days do come along and you’ll get the odd bad result, but if you can bounce back quickly it takes the pressure off and helps you regain momentum.

“You can’t get too upset about poor results, just like you can’t get carried away when you have a good win. Maybe at the end of the season we’ll look back on certain matches and see them as pivotal, but during the season you just have to stay focussed on one game at a time.

“Not so long ago we were trailing Arsenal and now we have a three-point lead. We’re determined to hang onto that.”
...................................

Wenger's day 'dream'!!!
The Arsenal manager has written-off his two oppositions this week by claiming that he's going to win a double this season.

He is going to start his 'mission' tonight by beating Liverpool and then Man United on Sunday!

Is he dreaming, or it's a matter of 'mistiming' for April 01?

Karume Day

Yesterday people of the United Republic of Tanzania marked 36 years since the death (assassination) of the first Vice President of the Union Government and the first Presindent of the Zanzibar Revolutionary Government, HE Abeid Amani Karume.

He was also the leader of Afro-Shirazi Party (ASP), which later in 1977, joined with the Mainland's ruling Party -Tanganyika African National Union (TANU)- to form Chama Cha Mapinduzi (CCM).

The Day is marked by remembering his enormous contribution to the Independence of the Zanzibar Isles, the development of citizen's from that part of the country and the formation of the Union (hence the name Tanzania) between Tanganyika na Unguja.

He was assassinated on 07/4/1972 and laid to rest in Zanzibar on 12/7/1972.

Monday 7 April 2008

Middlesborough 2 Man Utd 2

Manchester United earned a valuable away point having been 2-1 down in the most part of the second half.

Stadium: Riverside, Middlesborough

Competition: Premier League

Line-up (Man Utd):
van der Sar
Brown-Ferdinand-O'shea-Evra
Ronaldo-Carrick-Scholes-Giggs
Tevez-Rooney

Subs in:
Park for Tevez, Hargreaves for O'shea, Pique for Ferdinand

Subs not used: Kuszczak, Anderson

Result: 2-2 Ronaldo 1-0, Rooney 2-2

Position: 1st

Standing (Man United):
P(33), W(24), D(5), L(4), GF(70), GA(17), GD(53), Pts(77)

Perfomance meter: 5/10 (average)

Remaining matches:
09 Apr UEFA Champions League United Vs Roma 19:45 H
13 Apr Barclays Premier League United Vs Arsenal 16:00 H
19 Apr Barclays Premier League United Vs Blackburn 17:15 A
26 Apr Barclays Premier League United Vs Chelsea 12:45 A
May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 15:00 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A

MAN UTD GOALS! (As on Sun 06/04/2008 15:30BST)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(27) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =37
2.Wayne Rooney-Prem:(11) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =17
3.Carlos Tevez-Prem:(12) FA Cup:(1)Cham Lg:(3) =16
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
12.Owen Hargreaves: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 Away, W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Away, Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3

Friday 4 April 2008

The boss on Vida's injury!

"Nemanja's injury is a loss, but we hope to have him back in three weeks. I think we can cope.
We've got Mikael Silvetre and Gary Neville back.
To have those personalities and experienced players back in the squad can only help us.
There's also Gerard Pique, John O'Shea and Wes Brown.
So we're very well covered in that position.
If we can't cope, there's something wrong."
(www.manutd.com)

Poem: 'Love'

Artist/Poet: Mzwakhe Mbuli; Title: 'Ngenxa Yothando'; Album: 'Mbulism'

Dancing,
Dating,
and
Deception!

Diamonds,
Dishonesty,
and
Divorce!

All in the name of LOVE!!
..............

Elegancy,
Engagements,
Executions!

Sodomites,
Sweethearts,
Sponsored Abuse!

All in the name of LOVE!!
.................

Flowers,
Friendships,
and
Family Feuds!

Honeymoons,
Honesty,
and
Heart-Breakers!

All in the name of LOVE!!
....................
Chorus:
Love is never easy,
It's part of Life!
....................

Intelligence,
Intimacy,
and
Impunity!

Matrimony
Mu...
and
Murder!

All in the name of LOVE!!
...............

Parenthood,
Passion,
Promiscuity

Romance,
Roses,
and
Rape!

All in the name of LOVE!!
................

Valentines,
Violins,
and
Violence!

Wedding Bells,
Wailings,
and
Widows!

All in the name of LOVE!!
..................
Chorus:
'Love is never easy,
It's part of Life'
...................

Behold,
God is LOVE,
Is the Author of Marriage,

LOVE is a democracy,
Is not a one party state,

LOVE is not Optional,
We are all commanded to LOVE,
Not to mortify our taste!

Yes,
Because LOVE is unbeatable,
Because LOVE is unbeatable!

Kina dada!

Utafiti umeonyesha kuwa kina dada wengi huwa wanafurahia pale wanaume wanapowapulizia mluzi kama kuonyesha ishara ya kuwapongeza waliopendeza njiani.

Madada wengi wenasema kuwa kupigiwa mluzi au sauti fulani kutoka kwa wanaume ni ishara kuwa mdada amependeza, na madada wengine hujiuliza 'kulikoni' pale wanaume wanapokuwa kimya mitaani! Wengine wanasema kuwa miluzi inawaopa ujiko na kujiona kuwa 'wametoka' poa kimavazi na kiurembo.

Habari hizi ni kwa mujibu wa matangazo ya Tv kupitia kituo cha 'bbc one' ktk kipindi cha 'breakfast' leo asubuhi.

Wadada karibu wote waliohojiwa walisema hakuna tatizo kwa wanaume kuwashangilia!

Kwa kweli ni kawaida hata kwetu Afrika, vijana wa kiume kuonyesha ishara fulani ya kisauti (wakati mwingine 'busu' la kiaina), pale wanapopendezwa na urembo wa dada au madada fulani njiani. Hii ni kawaida.

*Samahani:
Sikutumia neno kina mama.
Kwa kuheshimu kuwa wengi wao ni wake wa watu; na wengine wanaweza kujisikia vibaya. Hivyo nisingependa kuwakwaza.
Lakini ukweli ni kwamba akina mama nao wanapendeza! Sio vibaya kuwapongeza!

Cheers!

A big 'thank you' to Mr Mugendi PZ for his congratory message soon after the final whistle at Roma on Tuesday night.

Also I would like to say the same to Madame Marjorie, who always updates me on Man United developments, including the Rio's England captaincy appointment against France a week ago!

Glory Glory United!!!

Thursday 3 April 2008

Roma 0 Man Utd 2

Playing at Stadio Olimpico for the third time in a space of one year, Manchester United finally registered their first way win against the 'Giallorosi' on Tuesday night.

Cometition: UEFA Champions League (Quarter Finals, 1st leg)

Stadium: Stadio Olimpico

Line-ups:
Man Utd:
Van der Sar,
Brown-Ferdinand-Vidic-Evra
Carrick-Scholes
Park-Anderson-Rooney
Ronaldo

Subs used:
O'shea for Vidic(injured)
Tevez for Rooney
Hargreaves for Anderson

Subs not used: Kuszczak, Giggs, Pique, Sylivestre

Roma: Doni, Cassetti, Mexes, Panuchi, Tonetto(Cicinho), Tadde(Giuly), De Rossi, Pizzaro, Aquilani(Esposito), Manchini, Vucinic
Subs not used: Curci, Antones, Ferrari, Brighi
Missing: Simone Perrota(suspension), Francesco Totti(injury)
Manager: Luciano Spalleti

Results: Roma 0 Man Utd 2, Ronaldo 1-0, Rooney 2-0

Performance meter: 7/10 (v. good)

Remaining matches:
06 Apr Barclays Premier League United Vs Middlsbro 13:30 A
09 Apr UEFA Champions League United Vs Roma 19:45 H
13 Apr Barclays Premier League United Vs Arsenal 16:00 H
19 Apr Barclays Premier League United Vs Blackburn 17:15 A
26 Apr Barclays Premier League United Vs Chelsea 12:45 A
May 2008
03 May Barclays Premier League United Vs West Ham 15:00 H
11 May Barclays Premier League United Vs Wigan 15:00 A

MAN UTD GOALS! (As on Tue 01/03/2008 21:45GMT)
1.Cristiano Ronaldo-Prem:(26) FA Cup:(3) Champ Lg:(7) =36
2.Carlos Tevez-Prem:(12) FA Cup:(1)Cham Lg:(3) =16
3.Wayne Rooney-Prem:(10) FA Cup:(2) Champ Lg:(4) =16
4.Louis Saha-Prem:(5) Champ Lg:(0) =5
5.Luís Carlos Almeida da Cunha "Nani"-Prem:(3) FA Cup:(1) Champ Lg:(0) =4
6.Rio Ferdinand:Prem:(2) Champ Lg:(1) =3
7.Nemanja Vidic-Prem:(2) Champ Lg:(0) =2
8.Ryan Giggs-Pre:(2) Champ Lge:(0) =2
9.Gerard Pique- Prem:(0), Champ Lg:(2) =2
10.Darren Fletcher:Prem:(0) FA Cup:(2) Champ Lge:(0)=2
11.Michael Carrick-Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
12.Owen Hargreaves: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ Lg:(0) =1
13.Park Ji Sung: Prem:(1), FA Cup:(0), Champ/Lge:(0) =1
14.Wes Brown:Prem:(1), Champ/Lg:(0)=1
...................................................
own goals for Man Utd
03/11/2007 W Gallas (Arsenal),(1) results:D, 2-2
01/3/2008 Davies (Fulham),(1) results:W, 0-3