Thursday 31 December 2009

Kwenu, Dada Suzana na Dr Ezra Chomete

.........................................................
Nawapongezeni kwa kuadhimisha siku yenu ya ndoa hapo Januari 03, 2010.
Nawatakieni maisha mema ya pamoja na mzidi kuimarika kindoa!

Mungu awabariki pamoja na watoto wenu Lameck na Raphael.

Nawatakieni kila la kheri, mafanikio na afya njema ktk mwaka mpya 2010.


Ni mimi
Mosonga,
kwa niaba ya mke wangu na mwanangu Tezzy.
.............................................................

'Yafa' and 'Mameck'

I always remember you.
I enjoyed being close to you all the time - for example-
we played,
we sang cbeebies songs,
we ran,
we loughed, drew pictures, watched telly, went shoppping at Lidl, Tesco, library, to and from school together!

By the way if you didn't know, I learnt a lot from you!

May God Bless you as you begin the new year 2010 and new classes (Reception for Rapha and Year 3 for Lameck)!

Say Hi to Dad, Mom and friends (Treasure, Cosin's sons etc.)

...............................................................

'If that can not take your "Monday Blues" away ..., What can I do for you???!!' -These words were originally said by my friend and presenter of BBC Network Africa, Ben D. Malor in 1990s. He is now in New York working with UN Radio
................................................................

31th Dec. 2009: Happy Birthday to you Sir Alex!

Salaam za siku yako ya kuzaliwa (leo Alhamis ya 31/12/2009) zikufikie
Sir Alex C. Ferguson, meneja wa timu yetu, Manchester United!

Mungu akujalie miongo zaidi na uendelee kutuletea mataji zaidi.

Nasikia mzee wa BOGOF anamezea mate mafanikio yako OT! We usijali -Atajijeijei!!


Nakutakia pia Heri ya Mwaka Mpya 2010 pamoja na wachezaji na ma-staff wote wa Man United!


........................................................................
Sir Alex can celebrate his 68th birthday on New Year’s Eve safe in the knowledge United are within striking distance of leaders Chelsea (two points behind).
He made just one change from the team that beat Hull on Sunday; Ji-Sung Park replacing Ryan Giggs on the left flank - such continuity has been rare given the chopping and changing the United boss has been forced into in recent weeks.

source: www.manutd.com 31/12/2009 (on Man Utd v Wigan game of 30/12/2009)
........................................................................

Tuesday 24 November 2009

Machinga kazini

Wapendwa, nitakuwa na mizunguko ya kimachinga kidogo, mkiona sionekani hapa mjue nimelalia lilikonizamia eeeee!

Tuonane!

My Fire! (Motto)

"uhuru ni kujitegemea!"

Tuesday 17 November 2009

Never say die!

...............................
'(a successful man) has never ducked a challenge'
-source: homes under the hammer, bbc one tv
june 15, 2009 10:57 BST

...............................

This is MU: Who's next? Watch-out!

.....................................
Nov. 2009
21 Nov Barclays Premier League Everton H 17:30
25 Nov UEFA Champions League Besiktas H 19:45
28 Nov Barclays Premier League Portsmouth A 15:00

December 2009
01 Dec League Cup Tottenham H 20:00
05 Dec Barclays Premier League West Ham A 15:00
08 Dec UEFA Champions League Wolfsburg A 19:45
12 Dec Barclays Premier League Aston Villa H 17:30
15 Dec Barclays Premier League Wolves H 20:00
19 Dec Barclays Premier League Fulham A 15:00
27 Dec Barclays Premier League Hull City A 16:00


source: www.manutd.com

Monday 16 November 2009

Ya kweli hayo?

........................................................................
........................................................................
Juzi nilipanda daladala moja kwenda mjini Tukuyu. Hiki kpanya kiko nyang'anyang'a. Bodi linatikisika na kupiga kelele gari iwapo kwenye mwendo, sakafu imetobokatoboka na baadhi ya vioo havifunguki kabisa. Kwa haraka haraka niliifananisha na torori bovu!

Ndani ya kioo cha dereva kulikuwa na 'stika' 2.

Stika ya kwanza imeandikwa 'Manchester United FC' na nembo ya MU.

Stika ya pili ilikuwa na maandishi 'This Car is Protected by the Blood of Jesus'.
........................................................................
........................................................................

Wednesday 11 November 2009

Part-time hunter

This is what I read and wrote in early 1990's. I did this 'little work' while spending precious 'Tano Bora' at JKT.

..............................................
'... if men had the power to influence the sex of a baby before birth, the number of girls in Tanzania -and perhaps elsewhere- would hardly fill the Diamond Jubilee Hall and what an unspeakable catastrophe if nature had given men that power!'
-Family Mirror, First Issue, December 1990. (By Tetyo B. Malya, -Family Chat)
...............................................

'You can have a great marriage and great career.
You can have a great marriage and great children.
You can have a great career and great children.
But it's awfully hard to have all three at once!'
-Weekend Magazine, Friday, April 19, 1991. (Originally by Barbara Walters)
................................................

'Life is a campaign, not a battle, and has it's defeats as well as its victories'*
-Feb. 1991
.................................................

'A man would do nothing if he waited until he could do it so well that no one at all would find fault with what he has done.'*
-Feb.1991
...................................................

'The man who makes no mistakes does not usually make anything.'*
-Feb. 1991
....................................................

'when we try to help others we lose our intense dislike of them, and sometimes end up by liking them. Liking many individuals and wanting to help them as well as yourself is a great source of energy.'*
-Feb. 1991
....................................................

'I am more and more convinced that our happiness or unhapiiness depends far more on the way we meet the events of life than on the nature of those events themselves.'*
-February 1991
....................................................

'The most lovable quality tha any human can possess is tolerance.
Tolerance is the vision that enables us to see things from another person's point of view.
It is the generosity that concedes to others the right to their own opinion and their own peculiarities.
It is the bigness that enables us to let people be happy in their own way instead of our way.'*
-February 1991
.....................................................



*Source: Psychologist Magazine.

Tuesday 10 November 2009

Mikosi safarini

Nikiwa njiani na wenzangu toka Kigoma, baada ya kuupita kidogo mji wa Urambo tulipata ajali baada ya gari yetu kupasuka tairi (tyubu ya tairi) ya mbele upande wa dereva. Gari ilikuwa na mwendokasi wa kama 100km/hr na tulikuwa kwenye kona ndipo gurudumu hilo likapasuka. Tukaanza kuyumba kwa umbali mrefu kidogo huku dereva akijitahidi kurekebisha mambo yasiwe mabaya zaidi! Ndipo baadae kidogo likaserereka na kuingia mtaroni na kuegemea ukuta wa nje wa mtaro kwa kishindo. Wanakijiji wa eneo lile walisikia mlio wa tairi (tyubu) kupasuka na kishindo cha gari kugonga gema la barabara na mara moja wakakimbia kuja eneo la tukio na walishangaa kukuta tuko nje ya gari tayari na tuko salama!

Ilikuwa ajali mbaya na tunamshukuru Aliye Juu kwa kutuepushia madhara makubwa. Gari ilibondeka upande wa dereva mbele hadi nyuma.

Wanakijiji walitusaidia kuinyanyua gari na kuisukuma nje ya mtaro mkubwa wa barabara. Shughuli yote hii ilidumu kwa saa 3 na ushee. Ni nguvu za binadamu tu zilitumika hapa kuiondoa gari mtaroni, wenye magari wote walipiata bila msaada wowote, sana sana labda wale walioulizia kama wamesalimika wasafiri wa hilo gari!

Tukabadili gurudumu (tulikuta ile tyubu iliyosababisha ajali imechanika vipandevipande!! Imetengenezwa China!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Yaogopeni magurudumu (tubes)ya China kama ukoma).

Mafuta ya gari yalimwagika karibu robotatu ya tenki -kutokana na gari kulala kwenye tuta). Lilipotengamaa matengenezo madogo tukapumzika kidogo na baadae tukaianza safari kulekea Tabora.

Kwa bahati mbaya tena tairi iliyowekwa nayo ilipata pancha tukiwa eneo la Shelui mpakani mwa Tabora na Singida, ila safari hii tulisimama salama na kulibadili na kisha kuelekea Singida.

Mikasa na mikosi ilikuwa mingi. Hapa nimesimulia kidogo tu!

Ama kweli ilikuwa ni safari yenye mkosi*.
.................................................

*kichwa cha habari cha kitabu cha 'tujifunze lugha yetu' (kiswahili) cha darasa la tano, enzi zangu!

Kigoma ni kiboko

Nakumbuka wakati nikiwa JKT Luwa, watani wangu Waha walikuwa wakitaniwa kwa ushamba wao:
1. Mwanza ni mji lakini Kighoma ni kibhoko!!
2. Kighoma taa zinawaka kwenye chupa! (yaani Bulb)

Kwa mara ya kwanza nimefika na kukaa kidogo mji wa Kigoma! Kumbe mji huu uko juu ya milima na mabonde ya huku na huko. Uwapo juu ya kilima (hasa Milimani Lodge waweza kuliona vema ziwa Tanganyika na eneo la Kinyirizi). Pia kuna hoteli nzuri sana ya kitalii inaitwa Lake Tanganyika (Beach). Hotel hii ni kiboko. Nasikia ni mali ya mwekezaji mzalendo toka mkoa wa Mbeya! Hongera sana 'Mnyaki' kwa hicho kitu!!!

Hotel au nyumba nyingi za wageni zinatumia jina la Zanzibar; Zanzibar Lodge, Zanzidar Inn, Zanzibar ya Chini, Z'bar ya Juu n.k.

Ardhi ya Kigoma ina rutuba na kwa kweli ni pazuri kimandhari, na hata maendeleo nayo si haba -yapo. Nguo za kina mama hasa vitenge vinatoka nchi jiarani ya DR Congo. Vipande 3 vinaanzia sh. 13,300/=, na vya 'phoenix' (Trade Mark) viko kwenye sh. 25,000/= au zaidi.

Upatapo nafasi tembelea mji wa Kigoma na ikiwezekana jitahidi ufike Lake Tanganyika Beach Hotel. Chumba ni sh 70,000 hadi 80,000 kwa siku. Pia tembelea soko lao maarufu pale karibu na stesheni ya treni na lile liitwalo Mwanga (hili liko juu kidogo ya kilima kabla hujatelemka kuingia mwisho wa reli).

Hongereni sana wana-Kigoma.

Wazazi watarajiwa mpooo!

Wajibu mkuu wa mzazi (kabla ya kuoa) ni kumchagulia mwanae mama au baba bora.

Fikiri vema kabla ya kuoa au kuolewa.

Jiulize pia hili swali. Je, mwanangu nimtafutie mama au baba yupi ambaye ni bora na anafaa kumlea au kufanana nae au kumrithi kitabia, kiakili n.k.!!!!

Tabia, akili na sifa za mwanao waweza kuziandaa mapema kabla ya kuwa na mtoto.

Wewe unaonaje au unafikiaje?

(chanzo: kipindi cha arrasaala, saa4 usiku, channel ten tv, jumapili 08/nov/2009, host mohammed idd)

Tribute to My Classmates, Teachers, Lecturers and Seniors

PART ONE: WANAFUNZI WENZANGU:

A:
Baranga S/Msingi, Musoma (V): Darasa la I, II-VII
Iselamagazi S/Msingi, Nindo, Shinyanga (V): Darasa la I (part of).
Mapinduzi S/Msingi, Mugumu, Serengeti: darasa la II (part of).
Mkondo wangu: Darasa la I-VIIB.
Anuani ya shule: POBox ... Musoma, Tanzania.

01. Marwa Richard Nyamonge -mkondo B Tambaza Sec, Mazengo H/Sch.
02. Juma Marwa Chogoro -mkondo A Azania Sec, Usagara H/Sch., IFM, TZ Posts
03. Ms Naomi Matutu Baruro -B; Bwiru Girls, Rugambwa H/Sch., Marangu TC, Igunga Sec
04. Ms Mbusiro Michael Kehengu -B
05. Ms Rhobi Chacha Mosenye(?) -B
06. Chacha Nyamonge -Std VIA akahamia Sisimba S/M Mbeya, CBE Dar, Police Dar
07. Ms Severina Joram Nkenge -Std VIIA
08. Ms Nyamahemba Washiki -B
09. Ms Wesiko Marwa (monita std I-III) -B
10. Mwita Gati -B
11. Ogunya Mkama Ogunya -B
13. Ms Bhoke Magabe -B
14. Mtatiro Marwa Tienyi -B
15. Ms Bhoke Nyakorema -B
16. Ms Rhobi Msoba -B
17. Chacha Nyamaranya -A
18. Ms Nyawasha Machela -A
19. Ms Elizabeth Wanda -A
20. Marwa Gati -A
21. Ms Bhoke Sarya Mrisya -A
22. Charles Messanga -A
23. Mwita Magabe -A
24. Ms Bhoke Magweiga Kisyeri -B
25. Charles Kisyeri*-A
26. Chacha Mwita -A
27. Chacha Mwita -B
28. Mwita Mashauri -B
29. Chacha Mashauri -A
30. Mwita Marwa Kisyeri -B
31. Mwema Mnanka Samo -Std IVB akahamia Kongoto
32. Musoma Wanda* - Std VIIA
33. Ms Wegesa Wambura Nyakubhilela* -A
34. Ms Ghati Magweiga Kisyeri* -A
35. Ms Scholastica William -B
36. Laurent John-B
37. Buhuru (Uhuru) Samson -B
38. Ms Kichele Gati -A
39. Ms Kichele Magige Bwana -A
40. Ms Bhoke Kiginga -A (Bibi Afya)
41. Ryobha Chacha
42. Juma Mgusuhi (Kamba) -A
43. Nkombe Maswi Ketenta -B
44. Ms Mkami Maswi Ketenta -B
45. Ketango Washiki -A
46. Charles Fanuel Namba -B hadi std IV walipohama
47. Ms Robi Marwa Mwita 'Nyamaghuli' Drs I-IIIB -Dada
48. Ms Ghati Nyisane 'Seleghai' Drs IA -cousin
49. Mwita Makori -A
50. Kimwama -B, up to IIIB?
51. Mwita Marwa -B
52. Ms Gati Mnanka (d/o Robi Kisima) -B
53. Maswi Magere -B
54. Mwita Marwa Nyangwe -B
55. Alan Christopher -(classmate) (Iselamagazi P/Sch., Shinyanga Rural)
56. Marco Francis -(classmate) (Iselamagazi P/Sch)



B:
Musoma Secondary School. Musoma. Kidato cha: I-IV
Mkondo wangu: Kidato cha IB, IIB, (IIIA, IVA -Additional Maths)
Bweni langu: Amri Abeid, first cubicle (LHS) after Common Room
Anuani ya shule: POBox 54 Musoma

01. Haruna Mohamed 'Voice' -Shaaban Robert from Kamunyonge -Musoma, UDSM
02. Deogratius Mwema Thomas
03. Nyanda Gapale
04. Raphael Jowel - , from Lamadi
05. Venance Ndunga 'Power' - Boss wa 'bwalo', from Magu, Sokoine University
06. Paul Mshimo -Tosamaganga H/Sch., BoT
07. Paul Kamalamo - ,UDSM
08. Leonard William Fweja -Amri Abeid, Tosamaganga, Sokoine Uni, Reading Uni UK
09. Marco Waryoba -Mkwawa Uni
10. Ponsian Constantine -S/Robert
11. Emmanuel Ernest (baba...shibhe!)-S/Robert, Mbeya Tech. College
12. Muungano James 'Bom-Bom' -S/Robert (midfielder wa shule -football)
13. Sophareth Magessa Kataso (Master of Ilele -'irrelevant') -Makongoro
14. Niva Michael -Lumumba
15. Maulid Gakole -Amri Abeid
16. Robinson Magambo -A.A
17. Patroba Materere -S/Robert
18. Kasambalala Evarist* -Lumumba
19. Kizito Nkwabi- Lumumba
20. Alfred Andrew Auma -Mkwawa
21. Yusto Sylivester 'VC' -CBE DSM,
22. Mayunga Ng'home -Amri abeid
23. Kicheche (kamnyama) - A/Abeid
24. (Super Short) Nyasanda -
25. (?) Bondo -
26. Marwa Kenani - Amri Abeid
27. Msafiri (Traveller) Mchemba-A.A
28. Chongo Cosmas -
29. Bartazar Chilato -Amri Abeid
30. Aruni Kitomwa (Form IB)-A.A
31. Zakayo Richard* -Makongoro
32. Makubi Mabusi -A.A; I,IIB; III,IVB Arts
33. Daniel Matiko Werema Mwita -Mkwawa. From Nyamelambala, Tarime
34. Josiah Zephania -Mkwawa. From Bungulele, Tarime
35. Chacha Magita -A.A From Tarime
36. Chacha Makubo - From Magoto, Tarime
37. Juma Simango -A.A From Ngoreme, Serengeti
38. Mapinduzi Wambura -Mkwawa from Nyamatare, Musoma
39. Mtete Bega -
40. Maira Maira -(only Form IB)
41. Kisika Mugire - (only Form IB)
42. Bernard Malebo (Mugendi) - , UDSM, Poverty Africa Mbeya
43. Deogratious Malamsha -A
44. Basole Thomas - C Pure Science
45. Vedastus Ambrose - went for CBA Kibaha High School
46. Charles .... - C Pure Science, Land Surveying Ardhi Institute
47. Lumanija -
48. Thobias Barongo -A, C Pure Science
49. Robert John B, C Pure Science

C:
Mazengo High School, Dodoma. Kidato cha V-VI
Comb. yangu: PGM
Mkondo wangu: G3
Bweni langu: Mwongozo,
Chumba changu: No.9 Down (Form V) & Room No.14 Down (Form Six)
Anuani ya shule: POBox 47 Dodoma

01. Maulid Gakore, PGM- Mwongozo, G2 'Ndagada' (dorm. mate, also from Musoma Sec)
02. Bosco Kitura, PGM-Azimio
03. Alphonce Kiheri, PGM-Muungano G2 UDSM, NSSF, BoT
04. Shadrak Metili -PGM, G2 UDSM, NSSF
05. Manyama -PCB Mwongozo
06. Shija Kasandiko -PGM, G3
07. Emmanuel Mabirika ('mabilauri')-PGM, G3
08. Mwakyembe -PGM, G3
09. Deosdadit Hokororo -PGM, G3
10. Arnold Masaro -PGM, G3
11. B Chagula -PGM, (President, students' govt)
12. John Danda -PGM, G3. British Council, DSM
13. Wilfred Amaniel Mmari -PGM, stream G2 (room-mate no.09Down, no.14Down), UDSM
14. Siston Makafu -PGM, G3
15. Samson Sesani -PCB
16. Michael Ndaskoi -PGM G3
17. Fikeni Yona -PGM G2 (roommate No.09D, No.14D)
18. Ruta -PCB
19. Ali Jonas?? - PGM G3
20. Charles ... -PGM, G3 (from Mby)
21. Rozam ... -PGM, G3 (from Mwakaleli, Tukuyu)
22. Adrian Mwanuke* -PGM, G3 UDSM, BoT
23. Baldwin Chilumba -EGM from Chidya Sec.
24. Daniel Lohay -EGM from Mbulu (Iraq(??))
25. Mchomvu -EGM
26. Roman - PGM, G2; Sectretary Students' Govt, UDSM (Law)
27. Sylivester Tati -PGM G2
28. Matata Tungaraza -EGM
29. Silaji Kapyolo -PGM
30. Stanley Mihayo -PGM
31. Primus Herman -PGM



KURUTA (SERVICEMEN/WOMEN) WENZANGU

D:
MASANGE & LUWA JKT
Kombania yangu: C-Coy (Masange, Tabora) & B-Coy (Luwa, S'wanga).
Anuani ya kikosi: POBox 14 Tabora.
Anuani ya kikosi: POBox ... S'wanga, Rukwa.

01. Alphonce Kiheri B/C Coy- Masange/Luwa
02. Robinson Magambo HQ/B Coy-Masange/Luwa, Musoma Sec
03. Jumanne Kasanda -Masange/Luwa
04. Ms Happyness Temu a/A Coy- Masange/Luwa
05. Ms Isabela Akaro B Coy- Masange
06. Ms Audrey Komeka B Coy- Luwa
07. Bosco Kitura Masange na Luwa
08. Ms Elizabeth Fanuel Namba -Masange
09. Kipii -Masange/Luwa
10. Ms Devotha John -Masange/Luwa HQ Coy, UDSM
11. Yudas Msangi -Masange


E:
Architecture, Ardhi Institute/UCLAS
Kozi yangu: Architecture
Anuani ya Chuo: POBox 35176 DSM

Huruma Nkone (now Mchungaji Victoria Church!)
Gozbert Kakiziba
Eliah Mpembeni
Emmanuel Ngadu
Emmanuel Naikara
Benjamin Maula
Ms Yvonne Ketang'enyi Matinyi
George Raiton
Ms Veronica Peter Otaru
Ms Scolastica Mandwa
Robert Chuwa
Raphael Mbabu
Ray Sitti
Mathew Mwakagamba
Shempemba
Ms Joyce Romwald
Maro
Ernest W M Makale
Hamis (Patrick) Madaki -'Kirumba'
Rajabu Mazora
Patrick Mgeni
Richard John
Fulgence Kibiki


Goodluck Malle (Marley???)
Ms Amina Abdalla
Joseph Ringo
Rajabu Mazola
Mgeni
Vasco Bokella
Edwin Sannda
Fadhili Msemo
Emmanuel Nyengo
Idd Ally
Aidan
Ms Nneka Minja
John Makoye
Ally Simbano
Ms Levina Alexander (Boojo!! Waitu!)


......................................................



PART TWO: WALIMU WANGU

A:
Baranga S/Msingi, Darasa la I-VII.

Fanuel Namba (FN) -English (Mwalimu Mkuu wa kwanza hadi 1980)
Makaranga Kubwela (MK) -Kiswahili
Nyafungo Kubwela (NK) -Sayansi Kimu (dada wa Makaranga, baadae mrs CW)
Amas Joseph (AJ) -English, Sayansi (Mwalimu Mkuu 1980-86)
Chacha 'Mbegete' Jasson (CJ) -Siasa, Michezo, Kiswahili
Chilemeji Wilson Mabuba (CW) -Kiswahili, Hisabati, English
Telesphory Paschal (TP) -English
Flora Matutu (FM); Mrs Amas Joseph -English
Leonidas Lwehumbiza (LL) -Sayansi
Robert Makuna (RM) -Jiografia
Obedi Mangunu (OM)-Kiswahili
Mwita Nyamhanga Obonyo (MN)-Sayansi Kimu, Jografia
Tui Nyamhanga Obonyo* (TN)-Kiswahili, Siasa
Mwita Magweiga Kisyeri (MM) -Hisabati
Daudi Sira 'Philipo Daniel' (DS) -English, Siasa
Marwa Nyansembe (MN)-Hisabati, Kiswahili, Jiografia
Mzee John (father of Laurent John) -Dini
Sisikwa Sisikwa (brother of Buhuru Sisikwa)-Dini
Mzee Majinge -Iselamagazi, Nindo


B:
Musoma Sec. School (MUSS), Kidato cha I-IV

1.English
-Mganga
-Bulongo
-Mwombeki
-Matutu (Literature, 'Sons and Daughters' by Camara)

2.Physics
-Ms Rwango
-Johnson

3.Biology
-Mrs Mwita
-Mathias

4.Chemistry
-Fundisha AN
-Laban

5.Agriculture
-Wambura
-Seleli
-Swai
-Mmari

6.Geography
-Mrs Wambura
-Kagosi
-Rugaimkamu (Regional Geography Form IV)
-Jamhuri

7.Kiswahili
-Malima (Mzei)
-Kisaka

8.Additional Mathematics
-Msagasa
-Nyonda, from Usagara High School

9.Basic Mathematics
-Lugai*
-(Bondowe)

10.Siasa
-Maningu

11.History (I&II)
-Malima
-Mganga

Headmaster: Nashon Otieno Otuolo
Second Master: Kaishozi
Librarian: Otieno


C:
Mazengo High School (Dodoma), PGM, Kidato cha V-VI
1.Physics:
-Abraham Nyanda
-Mrs Kafumu

2.Geography:
-Sanga

3.Advanced Mathematics:
-Ms O'Connel (from Boston, US)
-Mwinuke (also academic master)

Headmaster (Mazengo): Sylivester Mkoba*


D:
Maafande wangu JKT, (Masange na Luwa)
Lt.Col Lorry -CO, Masange
Ssgt Mluya -Sirmajor wa Kombania C-Coy
Sgt Kazoba -C-Coy Masange, Catch phrase: 'Kuruta umeona picha yangu kwenye stempu?'
Cpl Kashandago C-Coy (mjongomeaji!!)
Cpl Kimaro
Lt Majani -OC, A-Coy Masange

Lt Nyenyema* -QM, Luwa
WWII Salum, Luwa
Ssgt Lucas Chacha, Luwa (Mzee Wangu)
SSgt Dawson, Luwa
Sgt Edward, Luwa
Cpl Mrope, Luwa
Cpl Ndunguru, Luwa
Cpl Misigaro, Luwa


E:
Ardhi Institute/UCLAS

Lazaro Peter C1 III, C6 III; C9.1 I
A Mosha C1 I, II; C6 I; C9.1 I, II; C15 IV
Gillya C2 I, II, III; C9.1 V
Simon Mhando C3 I; C4 III
Nderimo C4 I, II
Cyriacus Lwamayanga C5.1 I, II, III; C5.2 II(part); C9.1 I; C13 IV; Field training I-III
Kyomi* C5.2 II(part)
Z Moshi C5.2 III, IV; C10
Lekule C6 II, C9.1 V, C11 IV (Head of Department 2)
Mkonny C7 III, C9.1 III (Head of Department 1)
K A W Byabato C5.3 I, II; C15 I
Mattesso C8 II, III(part of), IV; C9.1 II
Mandwa (of URP Dept) C8 III(part of)
L B Bulamile C7 II, IV; C9.1 III
Kajuna* C9.1 I, C9.2 I
L Mosha C9.1 IV, C10
Liberatus Mrema C9.1 II, IV; C14 IV
Adrian C5.2 II
Tirio Manga C1 I; C9.1 I
Ms Eliofoo C12 III
Mwakipesile C1 IV
Dr. F S Lerise, C17 (Head of Department 3)
Kimati, C18 I
Joseph Karwima, C12 III
Eng. George Mwaluko (Mech.Eng.UDSM), C5.3 IV
E A Kimaryo, C8 II
Ndoloi (UDSM) C17 III
Alfred Mwenisongole C17 I/II(?)
...(part time lecturer) C7 V
...(part time lecturer) C12 IV
...(part time lecturer, from UDSM) C4 IV
...(part time lecturer, from Min. of Lands HQ) C8 III(part of)
Kai.?. C12 II

Course Codes, unofficial:
C1. Theory of Architectural Design (Principles of Design)
C2. History of Architecture
C3. (Engineering) Mathematics
C4. Theory of Structures
C5.1 Building Materials
C5.2 Building Construction
C5.3 Building Services
C6. Environmental Science
C7. Professional Practice
C8. Settlement Planning
C9.1 Design studio
C9.2 Design Art and Presention Technique
C10. Dissertation/Thesis
C11. Urban Planning
C12. Building Economics
C13. Architectural Conservation
C14. Landscape Architecture
C15. Interior Design
C16. Workshop
C17. Research Methodology
C18. Sociology
.................................................

*passed away, according to the information I have.

Schoolmates: Kila la heri, 'Umuofia' Kwenu!

Shule ya Msingi Baranga, Musoma (V)
1. Mosamba Michael Kehengu (alikuwa mbele yangu darasa moja)
2. Mwita Michael Kehengu (+3)
3. Chacha Michael Kehengu (+2)
4. Ms Bhoke Nyamhanga (+2)
5. Ms Wankyo Chacha (+2)
6. Silas Mwikwabe (+1)
7. Nyerere Wanda Choma (+3)
8. Mote Ntarisa (+3)
9. Ms Wankyo Ntarisa (+3)
10. Ms Gati Fanuel Namba (+3)
11. Ms Mkami Fanuel Namba (+2)
12. Charles Fanuel Namba (classmate)
13. Ms Elizabeth (Rhobi) Fanuel Namba (+1), Bwiru Girls, Masange JKT
14. Kawaki Marwa Kisyeri (+2)
15. Nyerere Chacha Mosenye (+3)
16. Juma Wanda (Mashaki) Choma (+2) 'Kyonyo'
17. Nchota Marwa (+3)
18. Mohege Mohege (+2)
19. Kigocha Mtatiro (+1)
20. Gasiano Chacha (+1)
21. Tano Mathias (+1)
22. Ms Wankuru Marwa Chogoro (+1)
23. Masero Marwa Chogoro (+2)
24. Wambura Wanda Choma* (+2)
25. Ms Bhoke Mwikwabe (+1)
26. Makoyo Rukonge (Charles Bahama) (+2)
27. Mwita Washiki (+2)
28. Mbogo (+3)
29. Daudi Kisyeri (+2)
30. Petro Nyaghwesi* (+1)
31. Matiko Mkami (+1) Kwisangora
32. Peter Zablon (+3) Kwisangora
33. Buhuru Sisikwa (+1) Kwisangora
34. Kitwekele Gati* (+1)
35. Mnanka Kisima* (+1)
36. Mwita Mchawi (Mshawi) (+1)
37. ... Machela (+2) Ms Nyawasha's brother
38. Mnata Mniko Bhaseye (+3)

Shule ya Msingi Iselamagazi, Nindo (Sinyanga)
1. Lucas Francis (+3) STD IV

Musoma Sec School
1. Lumumba (+2), now in UK (Whitley Wood Lane, Wokingham, Berks)
2. Pascal Chambili (PACHA) (+2)
3. Goodluck Mkiroba Wambura (+2) Katibu wa serikali ya wanafunzi
4. Christopher Fuime (+4, Form V, HGL) Songea-boy
5. Robert Shila (+4 Form V, HGL)
6. Zephania Mongo Mosonga (+3) -kaka
7. Nyengelera Morris (+1) Polisi,Dar
8. Mwita Getacha (kiranja wa Chakula) (+2)
9. Benedicto Mwakisalu (+3) played for Simba SC.
10. Chande Mussa -(+5, Form VI HGL), President. played for Kagera FC
11. Kakwaya Irungu -(+1)
12. David Mkate -(+4) HGL
13. Cloud Masingija -(+1) 'uso wa chuma'
14. Kennedy (+2) Byugla (bugle-man?)
15. Faustine Mgeta (+1) VC, went for EGM
16. Daniel Peter Mambya (Kisinger) (+1) Polisi Kilwa Rd, Dar
17. Herman Kafugugu (Artist) -(+1), std VII at Mugumu Serengeti, went on to Songea Boys High School HGL, (box bee Songea), UDSM. Home: Nguruka, POBox 4 Nguruka, Kigoma.
18.

Mazengo High School, Dodoma
1. Mwita Wambura Nyakubhilela +1 PGM
2. Elias Harun +1 EGM

Ardhi Institute (Uclas)
1. John Ghati (Building Economics, BE)
2. Ms Boitumelo Matholdi (Urban and Rural Planning -URP)

Abuu Mohamed
Ayub Godfrey
Balthazar Victor
Goshash Joseph
Joel Venance
Kajuna Jackson
Ms Shubila Karugira
Hamidu Lugongo
Maneno Julius
Ulimboka Mwakyusa
Fortunatus Ngairo
Peter Zacharia
Qadri Sayed
Chesco Sapula
Ombeni Swai

Ms Ruth William
Adamson Enock
Shija Makwaya
Bundala kushoka (www)
Segelela Mbasa
Job Bwai
Charles Karim (CK)
Rutaroh Adrian
Gilead Kenneth Shangali
Ngangaji Makiri
Juma Mkenga
Musobi Casmir
Rajabu Kanduru
Mushi Kajetan
Arnold Kashula
Ms Angelina Munisi
Dennis Kato (kaboneka!!!!, ha ha haa)
Mathayo Mrisho
Killo Humphrey
Mayage Israel
Robert Kintu
Makula Mlezi
Kintu Henry
Yasin Makange
Emil Lyotelah
Maftah Nickson
Israel Mayage

Stay away! Do not play with these ...!!

Dear Valued Member,

Due to the congestion in all Yahoo users and removal of all unused Yahoo Accounts,Yahoo would be shutting down all unused Accounts,You will have to confirm your E-mail by filling out your Login Info below after clicking the reply botton, or your account will be suspended within 24 hours for security reasons.

UserName: ...................
Password: ........................
Date of Birth: ......................
Country Or Territory : ...................


After following the instructions in the sheet, your account will not be interrupted and will continue as normal. Thanks for your attention to this request. We apologize for any inconvenience.


Warning!!! Account owner that refuses to update his or her account before two weeks of receiving this warning will lose his or her account permanently.

Monday 2 November 2009

Kondomu za familia

Angalau sasa watu wazima tumepata pa kupumlia baada ya watu fulani kupata 'aidia' poa ya kiutu uzima!!!

Awali au zamani kidogo mtu kuagiza kondomu dukani ilikuwa ni kibarua pevu hasa umkutapo mtu wa makamo au wa jinsia tofauti!!! Utaanzaje kusema au kuuliza ni kondomu gani nzuri au imara? (maana kondomu nayo ni bidhaa kama nyinginezo - maana waweza uliza sabuni gani nzuri kati ya foma na omo?). Je ktk kondomu waweza muuliza muuzaji ni zipi nzuri kati ya salama na dume? La hasha, zamani haikuwa rahisi!

Siku hizi zimeingia kondomu za kiheshima kabisa - maalumu kwa waliooana (mambo ya uzazi wa mpango!) Zinaitwa 'Familia Kondomu'.

Kwa wale wakware (wazinzi) wamepata kisingizio. Mtu una 'appointment' (miadi) na 'totoz' unaenda kununua 'familia kondomu hata hapo duka jirani - hakuna wa kukuhisia vibaya (si una mke! hata kama zaenda nyumba ndogo nani atastukia?).

Kwa waliooana mambo ni shwari siku hizi (naongelea wasio waaminifu). Hata kama kondomu zitaonekana mifukoni au mikobani, mwenzio hawezi kuhisi vibaya maana inaonyesha unazingatia uzazi wa mpango, ingawa pia hawezi kujua zilikuwa ngapi wakati zinanunuliwa na zimefika nyumbani ngapi!!

Yaani unanunua kwa kujiamini popote wakati wowote kwa kivuli cha uzazi wa mpango na hata kuzihifadhi hakuna wasiwasi ila pa kuzitumia 'part-time' ni siri ya mhusika!

Je, waliozibuni hizi kondomu za familia lengo kuu walifikiria kuokoa maisha ya watu (kwa wale waonao aibu kununua dukani - kwa woga wa kuonekana ni mafuska?) Maana kama ni mambo ya uzazi wa mpango, mbona kondomu zilikuwepo tangu zamani na zinafaa kwa kazi hiyo?

Thursday 29 October 2009

Sometimes defeat helps!

'You learn more in defeat than you do in triumph'.
-talksport radio, 28/05/2009. 19:40 BST

'With a light touch': yeye kama yeye!

I am not a political animal, but ....

'Mheshimiwa Rais JK anastahili pongezi kwa kazi anayoifanya na naweza kusema kuwa anastahili kuchaguliwa kipindi cha pili cha uongozi'

Wednesday 28 October 2009

Daadaa Dada ... (Dada), Dada huyooo...; (Ndaaga!)

Asante sana kwa salaam.
Wote tukumiss huku 47Shaftesbury.
Salimia familia na wengine huko Mbeya.
Suzy


.......................................
From: Ako Mosonga,
To: Tw-Tw (iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....!!!)

Salaam kwa Semeki Najambo, Meki na Rafa. Nawapendeni na ninavyowa'miss' (usipime!)

Nawakumbuka pia:-
-Mr and Mrs John Chommy, Mr and Mrs Samson Sesani (Palmer Park, Wokingham Road),
-Mama Na Baba Lenna (Hexam Sq. Newcastle Rd.),
-Robert Zungu na family, Maira (Beecham Rd),
-PZ (ako Bogendi) (King's Rd),
-Ms Luppa, Baba na mama Precious,
-Rx na familia,
na wengineo wote kabisa!
........................................

Man Utd: Fixtures 2009/10 (part of)

October 2009
31 Oct Barclays Premier League Blackburn H 17:30

November 2009
03 Nov UEFA Champions League CSKA Moscow H 19:45
08 Nov Barclays Premier League Chelsea A 16:00
21 Nov Barclays Premier League Everton H 17:30
25 Nov UEFA Champions League Besiktas H 19:45
28 Nov Barclays Premier League Portsmouth A 15:00

December 2009
05 Dec Barclays Premier League West Ham A 15:00
08 Dec UEFA Champions League Wolfsburg A 19:45
12 Dec Barclays Premier League Aston Villa H 17:30
15 Dec Barclays Premier League Wolves H 20:00
19 Dec Barclays Premier League Fulham A 15:00
27 Dec Barclays Premier League Hull City A 16:00
30 Dec Barclays Premier League Wigan H 20:00



source: www.manutd.com.
NOTE: The above fixtures were updated on 16 October 2009.

Tuesday 8 September 2009

Kila la heri United!

Nawatakia Manchester United kila la heri leo White Hart Lane!

Monday 31 August 2009

Richard John!

Hey Mr. Mosonga..
what about Richard John! He was your classmate...@ Uclas!

(By Zang) 19/08/09



I say: Thanks Richard, 'Point Noted!'

Salaams!

Ziwaendee:
1. Ezra Chommy na family yake, wakiwa Shaft'bury Rd RG30, UK.
2. Zungu na family yake, Beecham Rd RG30
3. PZ (anko bogendi) na J.Gregory, King's Rd op. TVU, RG1
4. Baba Rx, Wolverhampton, Birmingham
5. Mama White, Manchester

Ujumbe: nawatakieni kila la heri, Mungu awabariki!

MUFC Fixtures: August - October 2009

August 2009
05 Aug Pre-season Valencia CF H 20:00 2 - 0
09 Aug Community Shield Chelsea A 15:00 2 - 2
16 Aug Barclays Premier League Birmingham H 13:30 1 - 0
19 Aug Barclays Premier League Burnley A 19:45 0 - 1
22 Aug Barclays Premier League Wigan A 15:00 5 - 0
29 Aug Barclays Premier League Arsenal H 17:15 2 - 1
September 2009
12 Sep Barclays Premier League Tottenham A 17:30
15 Sep UEFA Champions League Besiktas A 19:45
20 Sep Barclays Premier League Man City H 13:30
26 Sep Barclays Premier League Stoke City A 15:00
30 Sep UEFA Champions League Wolfsburg H 19:45
October 2009
03 Oct Barclays Premier League Sunderland H 17:30

The above fixtures were updated on 27 August 2009. Please note these fixtures are subject to change and may be selected for live TV broadcast; kick-off times will be confirmed in due course. Fans are strongly advised not to make travel or accommodation arrangements too far in advance.


source: www.manutd.com, 31/08/2009

Monday 20 July 2009

1 month old!

'Eeee eeee kweli siku hazigandiiiiii'*

Kila la heri wote ndani ya Berks, esp. wana 'saba-saba' Shaftesbury rodi!!!

*source: lady jay dee song!

Kwa hili kina dada mmefulia!

'Men are like floor tiles,
if you lay them right
you can walk all-over them years!'

source: card messages (on sale at the 'Little London' shop, Piccadilly Circus, City of Westminster, London on 19th June 2009. I was on tour across London to see various attractions. Please if you go to London do not forget to visit the Exhibition Road and Cromwell Road, (Chelsea and Kensington) -it is a place you have to go!)

Man Utd's Fixtures 2009/10

July 2009
18 Jul Pre-season Malaysian XI A 10:30 3 - 2
20 Jul Pre-season Malaysian XI A 13:45
24 Jul Pre-season FC Seoul A 12:00
26 Jul Pre-season Hangzhou Greentown A 13:00
29 Jul Audi Cup Boca Juniors A 17:30
30 Jul Audi Cup Bayern Munich or AC Milan A TBC

August 2009
05 Aug Pre-season Valencia CF A 20:00
09 Aug Community Shield Chelsea A TBC
16 Aug Barclays Premier League Birmingham H 13:30
19 Aug Barclays Premier League Burnley A 19:45
22 Aug Barclays Premier League Wigan A TBC
29 Aug Barclays Premier League Arsenal H 17:15

September 2009
12 Sep Barclays Premier League Tottenham A 17:30
20 Sep Barclays Premier League Man City H 13:30
26 Sep Barclays Premier League Stoke City A TBC

October 2009
03 Oct Barclays Premier League Sunderland H 17:30
17 Oct Barclays Premier League Bolton H TBC
25 Oct Barclays Premier League Liverpool A 14:00
31 Oct Barclays Premier League Blackburn H 17:30

November 2009
08 Nov Barclays Premier League Chelsea A 16:00
21 Nov Barclays Premier League Everton H 17:30
28 Nov Barclays Premier League Portsmouth A TBC

December 2009
05 Dec Barclays Premier League West Ham A TBC
12 Dec Barclays Premier League Aston Villa H TBC
15 Dec Barclays Premier League Wolves H TBC
19 Dec Barclays Premier League Fulham A TBC
26 Dec Barclays Premier League Hull City A TBC
28 Dec Barclays Premier League Wigan H TBC

January 2010
09 Jan Barclays Premier League Birmingham A TBC
16 Jan Barclays Premier League Burnley H TBC
26 Jan Barclays Premier League Hull City H TBC
30 Jan Barclays Premier League Arsenal A TBC

February 2010
06 Feb Barclays Premier League Portsmouth H TBC
10 Feb Barclays Premier League Aston Villa A TBC
20 Feb Barclays Premier League Everton A TBC
27 Feb Barclays Premier League West Ham H TBC

March 2010
06 Mar Barclays Premier League Wolves A TBC
13 Mar Barclays Premier League Fulham H TBC
20 Mar Barclays Premier League Liverpool H TBC
27 Mar Barclays Premier League Bolton A TBC

April 2010
03 Apr Barclays Premier League Chelsea H TBC
10 Apr Barclays Premier League Blackburn A TBC
17 Apr Barclays Premier League Man City A TBC
24 Apr Barclays Premier League Tottenham H TBC

May 2010
01 May Barclays Premier League Sunderland A TBC
09 May Barclays Premier League Stoke City H TBC



The above fixtures were updated on 9 July 2009. Please note these fixtures are provisional only - they are subject to change and may be selected for live TV broadcast; kick-off times will be confirmed in due course. Fans are strongly advised not to make travel or accommodation arrangements too far in advance.

(source: www.manutd.com)

Thursday 25 June 2009

Ladies and Gents!

Niko Daa!
Ninafurahi sana kwa kila kitu; maisha ni mazuri, watu ni wacheshi n.k. Nchi imeendelea kwa kiwango cha kuridhisha na kama kuna dosari ni kidogo sana na zinarekebishika!
Kwa rafiki na ndugu zangu mlioko UK nawatakieni kila la kheri na mafanikio ktk shughuli zenu. 'Yapha' (hi nephew!/tom) na 'Mameki' (jerry) nanyi nawatakieni kila la heri na likizo njema. Be good boys eeeh! Salimia Mumy and Daddy!
Karibuni nyumbani TZ.

Wednesday 17 June 2009

God Help

.................
GOD Grant me the;
SERENITY to accept the things I can not change
COURAGE to change things I can, and
WISDOM to know the difference
.................

Favourite Books

New London Architecture 2
Kenneth Powell and Cathy Strongman
Merrell (London)
ISBN 13: 978-1-8589-4360-2
Price: £29.95

Frank Lloyd Wright 1867-1959
Building for Democracy
TASCHEN, Hong Kong 2004
ISBN: 978-3-8228-2757-4

Favourite Books

Building Quantities Explained
Ivor H Seeley
Paperback 432 pages
Publisher: Palgrave macmillan
ISBN: 9780333719725
Price: £30.99

Plumbing, 3rd Edition
R D Treloar
ISBN: 0-7506-6822-9
Price: £19.99

Building Regulations in Brief
Ray Tricker and Rozz Algar
ISBN: 0-7506-8058
Price: £19.99

Illustrated Building Pocket Book, 2nd Edition
Roxxana McDonald
ISBN: 0-7506-8015-6
Price: £19.99

The Architecture Student's Handbook of Professional Practice,
By American Institute of Architects
Price: £52.25

(source: www.waterstones.com)

'raffaeli'

raffaeli (wimbo wa kizazi kipya)

nilienda moja kwa moja kwa raffaeli,
nikamkuta nyumbani anasikiliza r kelly,
nikamuuliza raffaeli,
unayo cd ya makaveli?
akaniambia ana cd ya makaveli,
r kelly,
na maria carey.

Tuesday 9 June 2009

Thanks!

To you all 'silent readers' who spend your precious time going through this 'space'!

I am aware of your following and am humbled to realise that you value whatever I throw out here.

"Imagination. Creativity. Originality." -Quod Erat Demonstrandum

Bustani na maeneo ya kijani

Ktk nadharia ya mipango ya makazi (settlement planning) bustani na maeneo ya michezo zimegawanyika ktk madaraja kadhaa. Bustani sio kitu cha kukurupuka na kupachika tu popote utakapo!

1. Nyumba ya makazi (residential house) - kila nyumba inatakiwa itengewe eneo dogo la bustani. Kwa wenzetu wa UK karibu nyumba zote zina maeneo ya bustani kwa mbele au nyuma ya nyumba. Kwa sasa sina tarakimu za vipimo vya ukubwa wa bustani za kiwango hiki.

2. Kundi la nyumba (clusters) - kundi la nyumba 10 au zaidi linatakiwa kuwa na eneo lake kubwa kidogo la kuchezea watoto (play ground). Watoto au watu wa mtaa/mitaa jirani hukutana hapo kwa mapumziko ya muda mfupi ambapo pia watoto kucheza.

3. Bustani za kitongoji/kijiji (neighbourhood) - bustani hizi hukidhi mahitaji ya kitongoji au kijiji ambacho kina shule moja au mbili za msingi. bustani za kundi hili zina ukubwa zaidi ya zile za namba 1 na 2 hapo juu.

4. Bustani za 'wilaya' - hizi ni kwa ajili ya watu au eneo lenye vitongoji vingi (mathalani vitogoji zaidi ya 3) na lina maeneo ya maduka makubwa, ofisi za serikali/dola n.k. Bustani za daraja hili huwa ni kubwa zaidi ya zote hapo juu.

5. Maeneo yasiyowezekana kupangiliwa (cumbersome areas) - bustani za maeneo haya huwepo kutokana na kutokuwezekana kupangilia shughuli zozote, mfano za ujenzi wa nyumba za makazi ktk eneo husika na hivyo kutengwa kama eneo la kijani/bustani.

Kwa ujumla mji uliopangwa vizuri kwa kufuata kanuni za mipango miji huwa zina bustani za madaraja haya yote. Na inawezekana makundi tofauti ya bustani yakawa yanaungana ktk maeneo fulani (kutengeneza ukanda wa kijani) na hivyo kuwa mapito mazuri kwa waenda kwa miguu au baiskeli.

Panda Mti (mmea)

Lecturer wetu wa 'Landscape Architecture' (Liberatus Mrema) aliwahi kutuambia darasani vitu vitatu muhimu ktk maisha ya binadamu. Alitumia lugha ya kigeni kama ninavyomnukuu hapa, ila tafsiri ni yangu.
1. have a baby (mtoto)
2. plant a tree (panda mti)
3. write a book (andika kitabu)

'Bunge lafupishwa': Ni kama nilivyoshauri!

Naipongeza serikali na vyombo husika kwa kujali maslahi ya Taifa kwa uamuzi wao wa kufupisha kikao cha Bunge la Bajeti.

Kwa mujibu wa ratiba ya Bunge, kikao kimeanza leo tarehe 09 hadi mwezi wa Julai mwishoni. Bajeti ya serikali itasomwa Bungeni tarehe 11.Juni.2009.

Itakumbukwa hivi karibuni nilitoa wito kuhusu kufupishwa kwa kikao hiki. Kwa hiyo uamuzi huu wa kulifupisha Bunge umenifurahisha mimi binafsi hasa kwa kuona kuwa serikali inasikiliza na kujali maoni ya wananchi! (ujiko!)

Ufuatao ni wito wangu nilioutoa tarehe 09/Mei/2009 kuhusu kikao cha Bunge la Bajeti 2009/10:

Saturday, 9 May 2009
Hali ngumu ya Uchumi: Bunge lifupishwe
Bunge la Jamhuri ya Muungano liko mbioni kukutana ktk marathoni ya vikao vya kujadili na kupitisha bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2009/10.

Kama wote tujuavyo, hiki ni kipindi kigumu sana kiuchumi duniani kote. Ni vizuri viongozi wetu na wawakilishi wetu wakazingatia hali tuliyonayo na kuchukua hatua za kusaidia kupunguza makali ya uchumi.

Mojawapo ya hatua za kuchukua ambazo ziko ndani ya uwezo wetu ni kufupisha urefu wa vikao vya Bunge. Kwa kawaida vikao vya bajeti huchukua miezi miwili (Juni hadi Agosti kila mwaka).

Napendekeza kwa waandaaji wa ratiba za
1. hotuba za mawaziri kuwasilisha bajeti na
2. muda wa waheshimiwa wabunge kujadili bajeti hizo,
zifupishwe kwa asilimia 10 au zaidi.

Hotuba kuu ya waziri wa fedha na wa mipango kuhusu hali ya uchumi wa nchi ndizo zipewe muda wa kawaida, lakini hotuba zote za wizara zinazofuata zifupishwe kama nilivyopendekeza kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania.

Haitakuwa uamuzi wa busara kutumia gharama kubwa kuendesha vikao wakati huduma muhimu kwa wananchi zinayumba kwa kukosa fedha za kuziendesha. Kama wananchi wanaambiwa wafunge mikanda kila siku, inakuwaje wakubwa waendelee kulegeza ya kwao?

Kila mtanzania ana wajibu wa kubana matumizi ktk nafasi yake aliyoko, na nyie wawakilishi wetu fanyeni vivyo hivyo!


(source: mosonga blog; Saturday, 9 May 2009)

'Gordon toa makaratasi'

Jana Waziri Mkuu wa UK Gordon Brown alifanya kikao na wabunge wa kutoka chama chake cha Labour ktk harakati za kutuliza vumbi la misukosuko ndani ya chama hasa baada ya Labour kufanya vibaya ktk chaguzi mbili (za serikali za mitaa na wabunge wa bunge la ulaya). Ktk chaguzi hizo Labour ilifanya vibaya sana na hata kujikuta ikishika nafasi ya tatu chini ya 'makonsevativu' na chama kidogo cha 'ukip'.
Pia matatizo ndani ya Labour yalisababishwa na wabunge kudai malipo ya masurufu (expenses) hata ambayo hawakustahili kulipiwa na serikali! Ktk sakata hili baadhi ya mawaziri na manaibu kadhaa ilibidi waachie ngazi na wabunge kadhaa nao kutangaza kuachia ngazi ktk uchaguzi ujao (hawatagombea tena)!

Ktk kikao cha jana jioni, wabunge walimwambia WM Brown 'asafishe nyumba' la sivyo ataachishwa kazi!

Miongoni mwa masharti aliyopewa ili waendelee kumuunga mkono ni kufuta sera yake ya kubinafsisha (partly privatisation) shirika la posta na Royal Mail. Wabunge wengi hawaungi mkono ubinafsishaji wa Royal Mail. Pia WM ameambiwa alinde ajira za wafanyakazi ambao inaelekea wengi wao wako ktk hatihati ya kupoteza ajira zao ktk makampuni na mashirika kadhaa. Kuna baadhi ya sera mpya za WM Brown ambazo hazikuwafurahisha wabunge na wananchi kwa ujumla ambao ndio wapiga kura. Kwa mfano kuondoa kiwango cha kodi cha watu wa kipato cha chini cha asilimia 10 na kukifanya kuwa asilimia 20 kwa wote (flat rate) - uamuzi huu umewaumiza watu wengi sana wa kipato cha kawaida. Hata matajiri nao hawakufurahishwa na uamuzi wa serikali wa kuongeza kiwango cha kodi kutoka asilimia 40 hadi 50.

Suala la uhamiaji nalo bado linaisumbuia serikali na limechangia pia kushindwa vibaya kwa serikali ktk uchaguzi. Hata hivyo baadhi ya wabunge wamemtaka WM Brown awahalalishe wanaoishi na kufanya kazi UK bila vibali ili waweze kuwa raia kamili na kushiriki kikamilifu ktk kuijenga nchi yao. Wabunge hao wamekasirishwa na uamuzi wa serikali kuendelea kutowatambua watu wanaoishi nchini bila vibali. Mbunge mmoja alisisitiza mbele ya mtangazaji wa tv nje ya ukumbi wa bunge kwa kusema 'hawa watu wapo nchini, na pia wanafanya kazi kichini chini, ni kwanini wasipewe vibali (makaratasi)?

Mpende mwenzako

"Mtu hawezi kujipenda yeye kwanza kabla hajampenda mwenzake, hivyo mioyoni mwetu yatupasa kujenga tabia ya kuwapenda wenzetu kabla ya kujipenda sisi."
-Padri Josephat Mosha wa Kanisa Katoliki Parokia ya Chang’ombe mkoani Dar es Salaam

chanzo: habari leo.co.tz 08.Juni.2009

Monday 8 June 2009

Favourite Books

A. Architecture:

Understanding Housing Defects,
2nd Edition
Duncan Marshall, Derek Worthing and Roger Heath
ISBN 0-7282-0417-7
Price: £29.00

Building Construction Handbook,
7th Edition
Roy Chudley and Roger Greeno
ISBN 978-0-7506-8622-8
Price: £23.99


B. Research:

Research Methodolgy: A step by step Guide for Beginners
Ranjit Kumar
1990
Pages; 352
Price; £24.99

Research Methodolgy: Tools, Techinique
Gopal Lal Jain
Pages; 304
30/03/1998
Price: £30.00 (?)

PACD

Pledge. Aspiration. Commitment. Determination

Saturday 6 June 2009

D-Day Landings, Normandy

65th anniversary today! Ceremony attended by PM Gordon Brown (UK), Prince of Wales (Prince Charles), President Barrack Obama (US) and their host President Sarkozy of France.

Jicho la 3: "Kimbelembele"

Na tuwe wakweli: Hakuna jambo kubwa lililofanyika katika historia ya dunia bila kusimamiwa na watu ambao wangeweza kusemwa kwamba wana ‘kimbelembele’.

Hatari ya kujitokeza na kuchukua nafasi ya mbele katika jambo lo lote ina zahma zake, kama ambavyo historia inatufunza.

Yesu Kristo asingewambwa msalabani kama angetulia Nazareti akatengeneza vitanda vya samadari akawauzia wakoloni wa Kirumi.

Patrice Lumumba asingechinjwa na kuyeyushwa katika mapipa ya tindikali kama angekubali ubeberu ufanye unavyotaka nchini Kongo, wala Nelson Mandela asingefungwa kwa miongo mitatu kama angekubali kwamba ni ada ya mtu mweusi kumtumikia mtu mweupe.

Wote hawa walikuwa ni watu wa ‘kimbelembele’ cha aina fulani, ‘kimbelembele’ kilichowasukuma na kuwaweka mbele ya wenzao, wakati mwingine bila hata kujua kwamba walikuwa wamesimama mbele, wanaonekana, na kwa hiyo ni mabango ya shabaha.

Issa Shivji angeweza akabakia katika taaluma ya uwakili na akatengeneza ‘vijisenti’ vya kutosha na akaendesha gari linalofanana na la profesa wa kisasa (achana na magari ya akina Calculus). Lakini amejitokeza, akasimama mbele katika masuala kadhaa. Ana kimbelembele.

Masoud Kipanya angeweza akachora picha za ndege wanafurahi angani, au jua linakuchwa magharibi mwa Kigoma na zikampa utajiri mkubwa kutoka kwa watalii na Wazungu waliopotea njia. Asingekuwa kiongozi bali angekuwa mchoraji tajiri, kwa sababu angekuwa amekosa kimbelembele.

Lakini Kipanya ni kiongozi kwa sababu amesukumwa na kimbelembele kitakatifu kutumia sanaa yake kujenga demokrasia na jamii iliyo bora nchini mwake. Ni kiongozi.

Filbert Bayi (Christchurch, 1974) angeweza akabaki ndani ya kundi kubwa la wakimbiaji, asichukue ‘risk’ ya kujitanguliza na kujifanya shabaha, na akamwachia John Walker ashinde mbio zile, rekodi ya dunia isingevunjwa siku hiyo.

Alichofanya Bayi ni kwamba mara aliposikia mlio wa bunduki, aliruka na kwenda mbele ya kila mtu, na akabakia mbele hadi mwisho wa mbio hizo. Kimbelembele chake kikaleta sifa ambayo haijawahi kuletwa na mtu mwingine nchini Tanzania.

Naam, kiongozi hana budi kuwa na kimbelembele!



source: raia mwema (rai ya jenerali)

Msamiati

Maneno mapya ambayo yanatumika sana ktk lugha yetu ya Taifa.

Asasi - organisation
Mchakato - process
Mdau (mshika dau) - stake holder
Mlengo (wa kulia/kushoto) - (right/left) wing
Mstakabali - future
Mtandao - network
Ngono - sex
Sera - policy
Ubia - partnership/joint venture
Utandawazi - globalization
Weledi - professionalism

Friday 5 June 2009

Jamii na maisha

Mvuto kwa vijana wa jinsia nyingine
Kuwa na hamu ya ngono ni sehemu ya ujinsia. Kufanya ngono ni namna moja ya kuonyesha ujinsia , lakini ia unaweza kuonyesha ujinsia huu kwa kuongea, kushikana mikono, kupigana busu, kushikanashikana na kupapasana.

Mara nyingi madhumuni ya kufanya ngono ni kutaka kuzaa mtoto. Sababu nyingine za kufanya ngono ni kwa kujifurahisha, kuonyesha mapenzi na kuimarisha uhusiano wa kimapenzi. Jambo la msingi ni kuwa hapo utakapoamua wakati umefika wa kujihusisha na ngono umefika zingatia hiyo ngono iwe salama na kuwa wote yaani wewe na mwenzi wako mifurahie hiyo ngono.

Zamani au hata mila na desturi na desturi zetu zimetufanya tufikiri kwamba mwanamke pekee yake ndiye mwenye jukumu la kumfurahisha mume kwenye ngono bila mume kujali kama mpenzi wake naye ametoshelezwa.

Siku hizi angalau mambo yameeanza kubadilika na wanaume wengi wanatambua umuhimu wa kujali kumtosheleza mwenzi wake wakati wa kujamiiana. Tendo la ngono linakuwa nzuri pale wote wahusika watakapokuwa wamefanya kwa hiari, wametoshelezana na ngono hiyo ilikuwa salama ( hakuna mimba kama haikutakiwa, wala magonjwa ya zinaa au maambukizo ya UKIMWI)


chanzo: tovuti ya cheza salama (tanzania)

Character in hard times essential

'great character is forged through hardships'
-daily news, november 23, 2006

Mwelekeo wa Bajeti ya 2009/10 TZ

Bajeti ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha wa 2009/10 inatarajia kupanda kutoka Sh. trilioni 7.2 za mwaka huu hadi Sh. trilioni 9.5 ikiwa ni ongezeko la asilimia 32, ambayo imeainisha maeneo sita ya kipaumbele.

Akifafanua vipaumbele vya bajeti hiyo ambayo inatarajiwa kusomwa Alhamisi ijayo mjini Dodoma, Mkulo alisema:

-kipaumbele cha kwanza ni elimu ambayo imeongezewa fedha kwa asilimia 22 kutoka Sh. trilioni 1.4 ya mwaka 2008/09 hadi Sh. trilioni 1.7 mwaka ujao wa fedha. Lengo la kutenga kiasi hicho cha fedha ni kuimarisha ukaguzi wa elimu kwa ngazi zote nchi nzima.

-kipaumbele cha pili ni miundombinu ambayo bajeti yake imeongezeka kwa asilimia 12.7 ikilinganishwa na mwaka 2008/09. Katika mwaka wa fedha wa 2009/10, Wizara ya Miundombinu imetengewa Sh. trilioni 1.0 ikilinganishwa na bajeti inayomalizika ya Sh. bilioni 973.3. Serikali inatarajia kuboresha barabara, madaraja, bandari, viwanja vya ndege, kuimarisha mashirika ya reli (TAZARA na TRL) na Shirika la Ndege (ATCL).

-kipaumbele cha tatu ni afya ambayo imetengewa Sh. bilioni 963.0 kutoka Sh.bilioni 910.8 mwaka 2008/09. Kwenye Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, bajeti itajikita katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi (MMAM), kuimarisha ubora na upatikanaji wa huduma za uzazi na mtoto na kuimarisha rasilimali watu katika ngazi zote.

-kipaumbele cha nne ni kilimo ambacho kimeongezewa bajeti kwa asilimia 30 ikilinganishwa na mwaka jana ambapo bajeti ya wizara hiyo imepanda kutoka Sh. bilioni 513 mwaka unaomalizika hadi Sh. bilioni 666.9 mwaka ujao. Fungu kubwa katika sekta hii linaenda katika kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo za kutosha kwa wakulima na wafugaji. Waziri Mkulo alisema katika kutekeleza kaulimbiu ya 'Kilimo Kwanza', serikali itaweka msukumo katika uanzishwaji na uendelezaji wa viwanda vya kusindika mazao ya kilimo na mifugo, viwanda vidogo vidogo, vya kati na vikubwa kwa kushirikiana na sekta binafsi.

-kipaumbele cha tano ni Wizara ya Maji ambayo imetengewa Sh. bilioni 347.3 mwaka huu kutoka Sh. bilioni 231.6 mwaka 2008/09. Hii ndiyo Wizara iliyoongezewa bajeti inayokaribia kufikia asilimia 50. Kipaumbele katika sekta ya maji ni kuboresha upatikanaji wa maji kwa ajili ya matumizi ya kawaida na umwagiliaji.

-kipaumbele cha sita ni Wizara ya Nishati na Madini ambayo hata hivyo, bajeti yake imeporomoka kwa asilimia 24.6 kutoka Sh. bilioni 378.8 mwaka huu hadi Sh. bilioni 285.5 mwaka ujao. Akifafanua sababu za bajeti ya Wizara hiyo kushuka, Waziri Mkulo alisema ni kutokana na kumalizika kwa mikataba ya kuzalisha umeme kwa makampuni matatu ya kukodi ambayo ni Dowans, Alstom Power Rental (APR) na Aggreko. Alisema kipaumbele cha Wizara kwa mwaka 2009/10 ni kuhakikisha upatikanaji wa umeme mijini na vijijini. Hata hivyo, alisema theluthi moja ya bajeti hiyo inatarajiwa kutoka kwa wafadhili.


CHANZO: NIPASHE 05-june-2009

Dimitar Berbatov to shine next season

Berba tipped for starring role
Teddy Sheringham is tipping Dimitar Berbatov to have a bigger impact at Old Trafford in his second season as a United player.

The Bulgarian striker bagged 14 goals and countless assists in his maiden Reds campaign, but is still to win over everybody after commanding a transfer fee in excess of £30million. Having trodden the same path from Tottenham, and taken time to settle as a United player, Treble-winning striker Sheringham expects Berbatov to convince his doubters next term.

"He is an outstanding player," Sheringham told the Manchester Evening News. "Sometimes it takes people longer to fit in at a club in terms of the lifestyle and the football, which is probably what’s happened to him.

"But I’ve watched him and I’ve every confidence he will be even better next season. I’ve seen him be outstanding for Tottenham and I’m sure he will be again."

Berbatov's equanimity in possession is in stark contrast to the likes of firebrand forwards like Wayne Rooney and Carlos Tevez, but Sheringham - never known for blistering pace himself - deems it harsh to compare the Bulgarian to his all-action colleagues.

“I was very similar to Berbatov in terms of the way I looked as a player,” he said. “I didn’t look like I was running around either. But just because he is not like Rooney or Tevez doesn’t mean he doesn’t work."


source: www.manutd.com 04/06/2009 07:00, Report by Steve Bartram

Thursday 4 June 2009

'Live within your means!'

'Economic recession?
Stop all fantasy spending and start living within your means'

-Jeff Randall, Sky News (mon.-thurs. 19:30 BST)

R/Post sasa mara 2 kwa wiki

Juni IV, MMIX
Baada ya kuzorota kwa mauzo, wachapishaji wa gazeti la kila siku (jumatatu hadi Ijumaa) Reading Post wameanza utaratibu wa kuchapisha gazeti hilo kwa siku mbili tu kwa badala ya tano. Hii inatokana na hali ngumu kibiashara inayoyakabili magazeti mengi nchini Uingereza.
Mauzo ya magazeti mbalimbali yamekuwa yakishuka kila siku kutokana na hali ngumu ya uchumi kwa wasomaji na watangaza biashara kupitia magazeti hayo. Biashara na huduma mbalimbali za kijamii au kiuchumi zimedorora sana na hivyo kuathiri biashara ya magazeti.
Magazeti hutegemea sana matangazo ya biashara kimapato, na kipindi hiki ni kigumu kwa kila shirika au kampuni kibiashara. Hali inazidi kuwa mbaya hasa pale magazeti yanapopata ushindani kutoka kwa teknlojia ya utandawazi (internet). Biashara sasa hutangazwa mtandaoni ambapo huonwa na watu wengi na kwa haraka zaidi kutokana na ukweli kuwa wateja wengi sasa wanatumia kompyuta na internet ktk kupata habari na pia kwa kununua bidhaa bidhaa mbali mbali. Haya yote ni maendeleo ambayo yanasaidia ktk 'kuua' kizazi cha magazeti (print media).

Miaka minne iliyopita gazeti la Reading Post lilikuwa linauzwa kwa pensi 25 (25p). Hadi juma lililopita ktk toleo lake la mwisho la kila siku, nakala moja ilikuwa inauzwa 40p. Ktk toleo lake la kwanza jana nakala moja ilikuwa inauzwa kwa 20p na toleo la kesho Ijumaa litakalojulikana kama 'getreading' litauzwa kwa 40p na pia litasambazwa bure ktk nyumba zote za wakazi wa Reading.

Washindani wa Reading Post, Reading Chronicle nao wana wakati mgumu. Hivi karibuni walifanya mabadiliko makubwa kiutawala ktk kupunguza gharama. Walipunguza wafanyakazi na kuondoa/kuunganisha vitengo vingi. Aidha walibinafsisha baadhi ya huduma kwa wakandarasi ambao hulipwa kwa mkataba (badala ya kuwa wanfanyakazi wa kudumu). Reading Chronicle wana gazeti moja kubwa la kila wiki siku ya Alhamis ambalo huuzwa kwa 60p kwa nakala moja. Nao mauzo yao sio mazuri. Kadhalika wana magazeti ya bure ambayo husambazwa kwa kila nyumba Reading na vitongoji vyake (Winnersh, Wokingham, Lower Earley, Earley, Woodley, na sehemu za Sandhurst, Crowthorne, Slough, Windsor, Maidenhead n.k.) ktk siku za Jumatano. Magazeti yao ya bure hujulikana kama 'Midweek'.

AON: Man Utd shirt sponsor 2010-14

Future shirt sponsor unveiled
Manchester United today announced that it has reached a significant global partnership and principal sponsorship agreement with Aon Corporation, the world’s leading risk advisor and human capital consultant, to take effect from the start of the 2010/11 season. Terms of the partnership were not announced.

As part of the sponsorship agreement, the Aon brand will feature on the world-famous Manchester United shirt for four years. Announcing the deal, Manchester United chief executive David Gill said, “We are delighted to be entering such an important relationship with a company of the stature of Aon and to have its logo adorn our shirts from the start of the 2010/11 season.

"We look forward to being closely aligned with the world leader in risk management, a firm which shares our values and is an exciting partner for Manchester United. Today's announcement clearly strengthens our position as one of the biggest clubs in world football."

"It is a unique opportunity when two leaders in their respective fields can come together in a partnership such as the one we are announcing today,” added Greg Case, president and chief executive officer of Aon.

“Manchester United has one of the most recognised sports brands in the world. David and his team are all about winning and about excellence; the same holds true for the Aon team. We play to win in our business, and that is why we believe this partnership will create tremendous benefits for both organisations worldwide.

“While we are delighted that our brand will be showcased to over 330 million fans of Manchester United as well as the countless followers of football worldwide, we also are extremely excited about the opportunity to maximise the value of this partnership globally.”


source: www.manutd.com, 03 June 2009.

Watoto wa teknolojia

Juni IV, MMIX
Jana nilipokea ujumbe wa maneno kwa simu ya mkononi kutoka kwa mwanangu ambaye ameanza masomo ya shule ya msingi hivi karibuni. Nilishangaa sana.

Siku hizi watoto wadogo kabisa nchini wanaweza kutumia vifaa vya teknolojia ya kisasa, mfano kompyuta, simu za mkononi n.k. bila shida. Bila shaka haya ni maendeleo ya kutia moyo.

Sio muda mrefu ujao, suala la ujinga litakuwa sio kutojua kuandika na kusoma bali kutojua kutumia kompyuta. Na hii ndio itakuwa vita mpya kitaifa! Miaka ya 1970, Mwalimu aliendesha kampeni ya 'Jifunze Kusoma, Wakati ni Huu'. Mimi nadhani huu ni wakati wa kuzindua kampeni mpya ya kujifunza kutumia 'teknolojia ya habari' ya kisasa.

Ikumbukwe kuwa kizazi cha watu wazima wa sasa wameanzia ukubwani kuziona na kuzitumia teknolojia hizi!

Wednesday 3 June 2009

Vijana wadogo wasaidiwe

June III, MMIX
Natoa wito kwa serikali kuhakikisha kuwa watoto wote wanaoanza shule za msingi waruhusiwe kuendelea hadi kidato cha nne. Baada ya hapo, kwa wale ambao hawatapata nafasi kujiunga na kidato cha tano ama vyuo vingine (vya afya, kilimo, elimu n.k.) wapewe nafasi kujiunga na vyuo vya ufundi (VETA) moja kwa moja. Kwa maana hii karibu watoto wote watakaohitimu kidato cha nne watakuwa wamepata nafasi ya kujiandaa na maisha yao ya baadaye.

Hawa watoto watakapomaliza masomo/mafunzo yao popote pale watakapokuwa wameendelea (kielimu au ktk stadi mbalimbali kitaaluma), wataweza kujiajiri na hivyo kuwa walipa kodi wa miaka ijayo. Kinyume chake, kwa mtindo wa sasa, vijana kukaa mitaani kwa kisingizio cha kukosa ajira ni hatari kwa Taifa kiuchumi na kijamii kwa ujumla.

Vilevile natoa ushauri kuwa vijana wote watakaojiunga na mafunzo ktk vyuo vya VETA wadhaminiwe na serikali za mitaa kwa ushirikiano na serikali kuu. Kwa kweli serikali zetu zina uwezo wa kuwasaidia hawa watoto hawa ktk kujiandaa na maisha yao ya baadaye.

Tuesday 2 June 2009

Baraza la Mwalimu

June II, MMIX
Miaka ya 1980 mwanzoni (miaka 5 kabla ya Mwalimu kustaafu 1985) nilianza kutambua baraza lake mawaziri.
Hapa nawakumbuka wachache kama ifuatavyo;

Aboud Jumbe Mwinyi - Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar

Cleopa David Msuya - Waziri Mkuu 1980 (pia Fedha, Biashara na Viwanda)
Edward Moringe Sokoine - Waziri Mkuu 1983
Salimu Ahmed Salim - Waziri Mkuu, 1984 (pia Mambo ya Nje, Ulinzi na JKT)

Ali Hassan Mwinyi - Waziri wa Maliasili na Utalii 1982 (pia Rais wa muda Zanzibar 1984)

Ali Nasoro Moyo -?

Abdalla Twalipo - Ulinzi

John Malecela - Mawasiliano na Uchukuzi, (pia Mkuu wa mkoa Iringa)

Mwingira - Mawasiliano na Uchukuzi, mkuu wa mkoa Mara

Al Noor Kassum - Maji na Nishati

Getrude Mongella - Maliasili na Utalii (pia waziri asiye na wizara maalumu)

Amir Habib Jamal - Biashara na Viwanda (pia fedha)

Ibrahim Kaduma - Kilimo?? (pia mwenyekiti bodi ya mkonge)

Herman Kyanzi Kirigini - Mifugo (ofisi ya Rais)

Timothy Apiyo - K/mkuu ofisi ya Rais

Julie Manning - Sheria na Mwanasheria Mkuu

Tabitha Siwale - Elimu ya Taifa

Kate Sylvia Magdalena Kamba - ?

Muhidin Kimario - Mambo ya Ndani

George Clemence Kahama - ?

Basil Pesambili Mramba - Biashara na Viwanda, Fedha

Samuel Sitta - ujenzi

Venance Ngula - Naibu waziri Fedha

Benjamin William Mkapa - Mambo ya Nje (pia Habari na Utamaduni na balozi Marekani)

Mustapha Nyang'anyi - ?

Joseph Warioba - Waziri wa Sheria, Mwanasheria Mkuu

Rashid Mfaume Kawawa - Waziri asiye na wizara maalum

Said Natepe - Mambo ya Ndani

Timothy Shindika - ?

Jackson Makweta - Kilimo, Elimu ya Taifa, Madini??

Saturday 30 May 2009

Jicho la 3

Ili tuendelee watanzania tunatakiwa tuwe wawazi na wakweli. Hakuna kitu kibaya kama unafiki wa kusifia hata pale panapoonekana kabisa kuna dosari.

Wananchi, ambao kwa kweli ni wanyonge, wanahitaji watu ambao watasimama kidete kuwatetea na kulinda haki zao. Wananchi hawahitaji mtu wa kuwagawia hela njiani. Wananchi wahitaji haki yao iwepo wazi. Kila stahili yao ni lazima ipatikane kwa uwazi bila kuzungushana hasa hasa huduma za kijamii kama vile hospitalini, shuleni, maofisini n.k. Watendaji wasizitoe kama vile ni 'favour'. Kuzungushana-zungushana ndio mwanzo wa kuchochea rushwa.

Serikali yetu nayo inahitaji msukumo kutoka pembeni. Tusijidanganye eti kwa kuisifia ndio tutaonekana 'wazuri' mbele yake. Tena wakati mwingine serikali hushukuru inapomulikwa utendaji wake. Kama kuna udhaifu ndani ya vyombo vya utendaji au watendaji serikalini, ni lazima usemwe na kukemewa vikali.

Kama serikali yetu inafanya vizuri kazi yake mimi nitakuwa mtu wa kwanza kuisifia au kuipongeza. Lakini kama serikali inafanya 'madudu' na kukiuka ahadi ilizozitoa ktk ilani ya chama chake wakati wa uchaguzi mkuu, mimi nitakuwa miongoni mwa wataoisema na kuilaumu. Hakuna cha urafiki ktk kulinda maslahi ya Taifa letu. Wale wenzetu walioko serikalini wakumbuke kuwa wako pale kwa ajili ya kusimamia rasilimali za Taifa na kutuongoza ili tujikomboe kiuchumi na kimaendeleo. Na tunataka maendeleo ya Taifa yatafsiriwe kupitia ustawi wa maisha ya wananchi kwa ujumla.

Ndio maana nasema kuwa ni wajibu wa serikali kuongoza nchi kwa misingi inayokubalika. Haki, uhuru na stahili za wananchi zisitolewe kama fadhila.

Mwisho, tusisahau kujikumbusha hotuba muhimu za watangulizi wetu. Kwa ujumla karibu hotuba zote za Baba wa Taifa Mwalimu JK Nyerere ni nzuri, ila kama nafasi hairuhusu napendekeza turejee hotuba mbili. Ya kwanza ni ile aliyokuwa anaongea na waandishi wa habari mwaka 1994, na hotuba ya pili, kwa mapendekezo yangu, ni ile ya kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kitaifa mjini Mbeya (Uwanja wa Sokoine) mwaka 1995. Naye Rais mstaafu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa aliwahi kutoa hotuba nzuri ktk NEC ya Chama Cha Mapinduzi au Bungeni (sina hakika) -aliipa hotuba hiyo kichwa cha 'The Courage of Leadership' (na inapatikana ktk tovuti ya Chama Cha Mapinduzi). Huu ni urithi mzuri kwetu na kwa vizazi vijavyo.

Friday 29 May 2009

Siku Simba na Yanga walipotozwa faini

-Ilikuwa tarehe 30/10/2007
watani wa jadi simba na yanga leo wamezabwa faini ya shilingi 500,000 kila mojakutokana na timu hizo kufanya vurugu wakati wa mechi yao iliyochezwa Jumatano iliyopita mjini Morogoro.

katika mchezo huo ambao Simba ilishinda bao 1-0 mashabiki wa Yanga waliwekavizuizi vya viti kwa lengo la kuzuia magari ya viongozi wa Simba nawachezaji tukio ambalo lilisababisha kushambuliwa kwa mawe, chupa za maji navimiminika vingeni gari la wachezaji wa Simba na mchezaji Haruna Moshialijeruhiwa.

yanga imepigwa faini ya shilingi 500,000 na imetakiwa kulipa gharama za uharibifu uliotokana na vurugu hizo ikiwa ni pamoja na matibabu ya mchezaji Haruna Moshi baada ya kuwasilishwa na kuthibitishwa na tff.

simba, ambao nao walihusika na vurugu kwa kurusha mawe, chupazilizojaa maji na vimiminika vingine na kusababishwa mchezo kusimama nayo imetozwa faini ya shilingi 500,000 na faini hizo ni kwa mujibu wa kanuni ya 31(1) na 66 ya tff.


......................................................
Maoni:
Tarehe October 30, 2007 9:11 PM, Mtoa Maoni: MOSONGA

Hiyo sheria ifanyiwe marekebisho haraka sana.
Sh 500,000/= haiwaumizi hawa simba na Yanga! Inatakiwa iwe sh. mil.5 as a minimum ili iwe fundisho!

........................................................

source: Michuzi | Monday, October 29, 2007

Watchout! "She" wants you all!

Subject: Hello!!!
Date: Thursday, May 28, 2009 6:46 PM
From: "lyn gitchel"
To: undisclosed-recipients

Hello,
My name is Lyn Gitchel I am 23 years old (Vig), Single, Native of American, Caucasian, Heterosexual, Female, 5'11" (149cm), 105lbs (47kg), located in Baltimore, Maryland United States. Christian by religion.
I'm a full time Student and I'm majoring in marketing and getting a minor in International financing.
My body style is average weight I am physically active, I never smoke and drink. I am the only girl in the family of three children, am the second child.
My father and mother are still alive. My father is 55 years old, why my mother is 48 My elder brother is 26 and younger brother is 20.
Get in touch at
lyn_gitchel4u@yahoo.com,
With Love,
Lyn Gitchel

Favourite Books

Architecture:
Architect's Pocket Book, 3rd edition
Charlotte Baden-Powell, Jonathan Hetreed, Ann Ross
Architectura Press
ISBN 978-0-7506-8617-4

Landscape Architect's Pocket Book, 1st edition
Siobhan Vernon, Rachel Tennant, Nicola Garmory
Architectura Press
ISBN 978-0-7506-8348-7

Building Construction Handbook: incorporating current building and construction regulations, 7th edition.
Roy Chudley and Roger Greeno
ISBN 978-0-7506-8622-8


English/General:
Oxford Advanced Learner's Dictionary, 7th Edition
A S Hornby
OUP
ISBN 978-0-19-400116-8
£25.00


(price, and book titles as seen at Waterstones Bookshop, Broad street, Reading on Thursday 28 May 2009)

Thursday 28 May 2009

Do not short-change the future!

................................
'don't short-change the future because of the fear in the present'
-US President Barack Obama, his response to worried voters
10:59 BST, April 01, 2009. Joint Press Conference with PM Gordon Brown in London (shortly before g20 summit)

................................

................................
'overtime good policies is good politics'
-President Obama, 11:02 BST, April 01, 2009
................................

Tawi la MU Dar lazinduliwa

Mashabiki wa Manchester United FC nchini (Tanzania) wameunda tawi na kulifungua leo katika hoteli ya Regency.

Uongozi wa Tawi:
-Bernard Mbwana (m/kiti)
-Ngallo (katibu wa muda)
-Dennis Ssebo (mratibu wa tawi)

Sherehe ya uzinduzi wa tawi ilifanyika usiku huu na kuhudhuriwa balozi wa Uingereza nchini Mh. Diane Corner ambaye pia alizindua rasmi tawi la Manchester United FC Dar.


chanzo: lukwangule blogspot, 28/05/2009

It was a good season for Man Utd!

Despite losing to Barcelona in the final of Champions League, Manchester United had a good season in general. We won 3 trophies, reaching in the semis of FA Cup, and finals of UEFA Champions League. That's something we should be proud of.

We win matches and titles together and when we don't, we lose together!!

This is Manchester United. I have no doubt we will be back stronger next season.

Glory, Glory Man United!

Tuesday 26 May 2009

Kukubali kushindwa ni ushujaa pia

Napenda kuwasihi watanzania wenzagu kuwa na moyo wa kweli kiushindani. Ktk mashindano yoyote yale ni lazima apatikane mshindi na kwa matokeo hayohayo ambaye hakushinda atapatikana pia.
Wenzetu waliogombea kule Busanda walikuwa na wiki takribani 4 za kujinadi. Baada ya muda huo, ikaja zamu ya wapiga kura kuamua na WAMESHAAMUA ni nani awe mbunge wao. Ni mategemeo yangu kuwa wagombea walioshindwa wangekubaliana na kauli ya wananchi. Huo ndio ukomavu wa kidemokrasia.
Hongera sana Mheshimiwa Lolensia Bukwimba wa Chama Cha Mapinduzi. Wananchi wameonyesha imani nawe kwa kukuchagua kuwa mwakilishi wao. Ninakutakia kila la heri katika majukumu yako. Moja ya kazi ninazokutuma Bungeni ni kufuatilia utaratibu mbaya uliopo ktk sheria za uchaguzi uliosababuisha wewe na wagombea wengine kutopiga kura kwa kuwa mlijiandikisha sehemu nyingine tofauti na Busanda. Hebu fuatilia hilo, inauma mtu kugombea halafu usiruhusiwe kupiga kura!

Nani aitangaze nchi yetu nje?

Ni kawaida yetu sisi kulaumu serikali zetu hazifanyi jitihada yoyote kuitangaza nchi yetu ughaibuni (nchi za nje). Tumekuwa tunalaumu pia wizara husika ya Utalii ni kwa nini haitangazi vivutio vya utalii vilivyoko nyumbani n.k.

Kwa upande wangu naona suala hili ni la pande zote. Sio la serikali pekee. Hata wale wanaopata nafasi ya kufika au kuishi huku japo kwa muda kidogo, no wana wajibu pia kwa kiwango chao. Naweza kusema ni wadau wa ktk kutangaza nchi yetu pale walipo na kwa uwezo walio nao.

Kwa bahati mbaya, ninashangaa sana kuona hawa wadau (watanzania walio ughaibuni) hawatekelezi linalowahusu ktk kuitangaza nchi.

Natoa mfano mdogo tu.
-Je watanzania walioko nje (wa kiume na kike) wanavaa mavazi gani? Wanavaa vito gani?
-Je wanasikiliza muziki wa aina gani majumbani kwao na vyombo vyao vya usafiri (ndani ya magari yao)?
-Majumbani kwao ukutani kuna picha za mandhari za wapi?

Mara nyingi utakuta tunasikiliza miziki ya nje hadharani, mavazi ya mitindo ya nchi za nje, picha za huko Marekani n.k.

Huu ni wakati wa kuamka ili tuweze kuchangia ktk kuitangaza nchi yetu hasa kwa kupitia utamaduni wetu na mali asili zetu! Kwa kufanya hivyo tutaweza kuiweka nchi yetu hadharani, maana sisi ndio tulioko mitaani na watu wanakutana nasi kila siku. Sisi ni kioo cha nchi yetu, na ndio maana nasema kuwa mchango wetu ni mzito zaidi kuliko matangazo kwenye luninga na majarida mbalimbali.

Maisha Uingereza -2

26/05/2009
Utamaduni wa wenzetu ni tofauti na wa kwetu Afrika. Nyumbani tumezoea kusalimiana kila tunapokutana hata kama mtu hamfahamiani. Huku sio hivyo. Ukifika, kwa mfano, kituo cha basi au hospitali unakuta watu kimya kila mmoja na lake. Wengine wanacheza game na simu zao, wenye vitabu wako bize wanasoma au mtu na mwenzi wake wanabusiana hapo n.k. Hakuna cha jambo wala nini. Muda ukifika wa kupata kilichokupeleka hapo unafanya na kupotea!
Na ule utamaduni wetu wa kumwita mtu dada, shangazi, kaka, mzee n.k. haupo hapa. Ukimwita mtu kaka -atashangaa anaweza kukwambia mimi sio kaka yako au sio ndugu yako. Kama mtu unamfahamu unatakiwa kumwita jina lake la kwanza hata kama ana umri sawa na babu yako. Hakuna cha Mr. fulani, au Mrs. fulani. Hapo ndipo pagumu maana unaona kama utamdhalilisha kumwita kwa jina! Mtoto wa miaka 4 anamwita mtu wa miaka kama 50 kwa jina mfano Peter, Sarah n.k. Mtoto atamwita mama yake tu kama 'mama' lakini sio kwa watu wenye umri wa mama yake!
Ule utamaduni wetu wa kuwapenda na kuwajali watoto njiani huku ni mwiko! Usije jaribu kumsaidia kitu mtoto njiani hata kama anahitaji msaada. Hilo ni kosa kubwa mno kwa huku. Ukimshika mtoto tu ni kosa na tena unaweza kushitakiwa na kufungwa kwa kumdhalilisha mtoto. Kwa hiyo kaa mbali na watoto wa watu wengine. Kama ni mwanao sawa, lakini hakuna cha kusema huyu ni mtoto wa jirani.
Hakuna utamaduni wa kuazimana magazeti ndani ya basi, kama tufanyavyo nyumbani kwa kugawana kurasa za gazeti! Kama kitu si chako itabidi uangalie kijanja sio shingo feni!
Ila wana kautamaduni poa sana ka ustaarabu wa kupanga foleni kila panapotakiwa. Mfano kupanda basi au treni, au wakati wa kushuka watu hufuata utaratibu wa foleni tena kwa taratibu bila kusukumana. Wakati wa kulipia huduma dukani au huduma za benki n.k. wateja hujipanga foleni kwa kuzingatia aliyekuwa wa kwanza kufika eneo husika. Na kama wote mmefika kwa wakati mmoja haina tatizo watu hupeana nafasi ili kujipanga. Hapo ni raha sana na huu ustaarabu inabidi tujifunze na sisi huko nyumbani. Nadhani wanapokuja kutalii huko nyumbani huwa wanatushangaa tunavyombania kuingia ktk usafiri hasa wa daladala, mpaka wengine hupitia dirishani!

Maisha Uingereza -1

May 26, 2009
Nimeishi ugenini UK kwa muda mfupi kidogo. Kwa maana hiyo siwezi kujiita mwenyeji au 'al-watan'! Hata hivyo, ktk muda huo mfupi ni mengi nimeyaona; mazuri, ya kawaida na mengine yasiyo ya kuvutia! Leo, nimeamua kujipa zoezi (au 'assignment' kwa lugha ya kigeni) - kutoa tathimini ya maisha ya UK kutokana na uzoefu wangu wa muda mfupi wa kuishi hapa.

Hawa wenzetu huku Uingereza wanajali sana muda. Ndio maana huko nyumbani tumezoea kusikia msemo maarufu 'time is money'. Lakini maana halisi ya msemo huo utaiona huku. Mambo yao yote yako kwa ratiba ya muda (siku, saa hata dakika). Kazini wanaingia kwa kuweka sahihi (signing in) na mtu akitoka nje mapumziko au kwa shughuli zisizo za kikati anasaini kutoka ktk mtambo mdogo wa kunakili muda wa kila mfanyakazi (wao wanaita clocking in and out). Kwa hiyo mwisho wa wiki au mwezi masaa yako huhesabiwa na kompyuta na kulipwa masaa ambayo umefanya kazi 'kikweli kweli'. ule utaratibu wetu Afrika wa kuripoti kazini kisha kutoweka hapa haupo. Na ukiwa mtorokaji au mkwepaji kibarua chako kitaota majani haraka sana maana uthibitisho upo kitaalamu kuwa tija yako ni ndogo na ni hasara kwa kampuni au mwajiri wako.
Karibu kila mtu ana kitabu cha mambo yake (diary) ambapo hurekodi kumbukumbu zake zote ikiwa ni pamoja na masaa na siku za shifti zake. Muda wa kuanza kazi sharti uwepo kazini na muda wa kutoka tu ukifika mtu unafunga vilivyo vyako na kuondoka, na kila mmoja na njia yake! Sio kawaida mtu kudandia lifti huku, kama hauna usafiri wako itabidi upitie kituo cha basi au treni kwa ajili ya kurejea kwako. Ama kama ni karibu utaswaga mguu (sio aibu ni jambo la kawaida huku).

Zipo kazi mbalimbali huku. Lakini watu wengi kule nyumbani TZ wanaelewa moja tu -ya 'kubeba box'. Hii moja ya kazi ambazo kwa UK hujulikana kama Industrial (Pick&Packing). Pamoja na watu huko nyumbani kuiona kama kazi rahisi lakini inahitaji mafunzo ya awali ktk kuifanya, na inabidi mtu apitie kozi ndogondogo ili aweze kuruhusiwa kuifanya. Baadhi ya kozi ni za 'first aid', 'manual handling', 'Control of substances hazardous to health (COSHH)', 'fire fighting' n.k. Nguvu na akili yako huhitajika pia.
Kazi zingine ambazo watu hujihusisha ni za kijamii, kwa mfano kulea watoto au watu wazima (wazee au wale wenye matatizo ya kitabia yaani challenging behaviour). Hizi za wazee sana kiumri hujulikana kama Nursing. Ktk 'Nursing' mtu huajiriwa kufanya kazi kwenye 'nursing homes' ambapo wazee (vikongwe) husaidiwa ktk mahitaji yao ya kila siku (mfano kupikiwa na kulishwa chakula, kuogeshwa, kuvalishwa, kunyanyuliwa kitandani au kitini n.k.). Inabidi upate mafunzo kama yale ya industrial na ya nyongeza kama food hygiene.
Ktk kulea watoto, watu huajiriwa ktk shule za watoto watukutu ili kusaidia kuwaangalia na kuwatuliza. Zipo kazi zingine za kijamii za kuwaangalia watu wenye akili taahira na mtindio wa ubongo ktk 'Residential Care homes'. Utasikia watu wanaziita kazi za 'care'. Kundi hili ni la watu wa rika zote. Zipo kozi zake pia (hizo nilizotaja hapo juu nazo ni lazima uzifanye. Kozi za care ni pamoja na NVQ level 1-3 kwa kutegemea majukumu mtu aliyoajiriwa nayo au atakayopewa kama 'promotion' kazini). Kazi za care huhusiana na kuwaangalia, kusaidia kuwapatia huduma mbalimbali za kimahitaji ya kila siku na pia kuwapatia dawa za matibabu walizoandikiwa na daktari. Kabla ya kuruhusiwa kufanya kazi zozote za kijamii ni lazima ufanyiwe uchunguzi wa kipolisi kuona kama una kosa lolote la jinai. Watu waliohukumiwa kwa makosa fulani ya jinai hawaruhusiwi kuchanganyikana na makundi ya watu wanaohitaji kusaidiwa kwa mfano wazee vikongwe, watoto wadogo na wenye ulemavu wa taahira ya akili na mtindio wa ubongo (vulnerable people).

Zipo pia kazi za kufanya usafi ktk mahoteli na maofisi (cleaning). Hizi hufanyika zaidi nyakati za jioni au alfajiri sana ama siku za mwisho wa juma (pale ofisi zinapokuwa wazi). Pia watu hupelekwa kufanya usafi maeneo yenye mkusanyiko mkubwa wa watu mfano kwenye viwanja vya michezo (mpira wa miguu, ragbi, mbio za farasi, kumbi za starehe n.k.).

Kazi zingine zinahusu usimamizi wa watazamaji (crowd safety/control) ktk matukio mbalimbali (events organizing). Kwa mfano siku za mashindano ya farasi, siku za mechi za mpira wa miguu (premier league, championship au mechi Euro uwanja wa Wembley). Hii ni mifano michache ya matukio ambayo watu huchukuliwa kusaidia -watu hawa wanaitwa 'stewards'. Polisi hukaa pembeni, wakisubiri kama kuna matukio yanayoweza kuwahitaji wao kuingilia.

Kwa ufupi, hizi ndizo baadhi ya kazi ambazo watu waendao UK hufanya ili kuweza kujikimu mahitaji yao mbalimbali. Kusema kweli kazi hizi hufanywa zaidi na wale tunaotoka nje ya UK; kama vile Afrika, Asia, Amerika ya Kusini, visiwa vya karibean n.k. Kwa wazawa wa UK wengi wao hawapendi kuzifanya kazi hizi na kama wapo wanaozifanya ni wale ambao hawakwenda shule au hawana elimu ya sekondari; kwani kwa wazawa wa hapa UK elimu ya sekondari inatosha kabisa kumpa mtu kazi nzuri.

Chai na sukari. Usije kushangaa mtu anakukaribisha chai na kukuliza 'how many sugar?'. Watu hunywa chai kwa kutumia sukari zilizo katika vipakiti vidogovidogo sawa na kijiko kimoja cha cha chai. Na wengi hutumia kipakiti kimoja au kijiko kimoja cha chai. Wengine hutumia viwili au hawatumii kabisa sukari. Wanakunywa chai kavu (bila sukari na maziwa kidogo sana!). Sisi tuliotoka Afrika mara nyingi hutumia vitatu au vinne! wazungu hushangaa sana wanaposikia tunasema 3 au 4 sugars!!! Kwa hiyo ukisikia unaulizwa 'how many sugars' ujue wanakuuliza unatumia vijiko (au vipakiti)vingapi vya sukari.

Hawa jamaa (wazungu) hawana cha siri. Uki'muuma mtu sikio' uelewe kabisa hiyo sio siri - itaanikwa hadharani muda wowote! Ndivyo walivyo, hawana kitu cha siri! Wanapenda sana kufuga wanyama wadogo (mbwa, paka, ndege n.k.) kama mapambo. Na wengine huwaita hao wanyama kama wenzi wao (companion).

Kwa tuliotoka Afrika kwenye maeneo ya joto, mbu na nzi ni wadudu wa kawaida. Pia magonjwa yatokanayo na wadudu hao ni ya kawaida - malaria, kipindupindu kuhara n.k. Kwa kweli hali ya hewa ya ubaridi huku UK hairuhusu wadudu hao kuishi ama kuzaliana. Kuna wakati huwa naona nzi wale wa kijani mara moja moja, na mbu husikika pia kwa mbali lakini sio mara kwa mara. Cha muhimu ni kuwa hakuna madhara yoyote yanayoletwa na kelele zao. Sijawahi kuona neti madukani wala ktk miji ya watu, hiki ni kiashirio kuwa hakuna tishio la malaria. Pia watu wa huku huwa hawazingatii sana usafi wa kunawa mikono (achilia mbali kunawa kwa sabuni!). Watu wanaweza kuwa wako kazini bize lakini wakati wa mapumziko wananunua mkate (sandwich) na kushika na mikono michafu na wakati mawingine mtu anaweka chini kipande cha mkate halafu anaendelea kula baadae! Kipindupindu na magonjwa mengine ya tumbo hayapo huku.

Baadhi ya vijana wadogo wa huku (miaka kati ta 16 hadi 30 hivi) wana tabia mbaya ya kugombana na kuchomana visu. Wengi wao wako ktk magenge na kila genge huwa na uongozi wao na eneo wanalotawala. ikitokea kundi moja (genge) likaingia himaya ya wengine fujo hutokea na aghalabu matokeo ya fujo hizo ni kuuana. miji mikubwa kama London na Manchester hali ni mbaya mno!

Kwa upande mwingine UK kuna hali ya ustaarabu au maendeleo ya namna fulani tofauti na nyumbani. Kwetu Afrika, nyumba au ofisi huwa hazijakamilika bila kuwa na mageti ya chuma milangoni na madirisha ya nondo. Kwa UK mambo sio hivyo. Milango ya nyumba, ofisi hata mabenki huwa ni ya vioo na hata madirisha ni ya vioo - hakuna vibaka wa kuvunja na kuingia kuiba,na kama matukio hayo yapo ni kwa asilimi ndogo sana. Hata magari hulazwa nje, tena barabarani kila siku - hakuna tatizo.

Shrika la Posta chini ya 'Royal Mail' wana utaratibu wa kusambaza barua au vifurushi vya wateja kwa kuwapeleakea ktk makazi yao. Ndio maana anuani za UK huwa zina jina la mpokeaji barua/kifurushi, namba ya nyumba anayoishi, mtaa na post code (mfano RG2 7HT, SL5 0TP, W7 3CX n.k.). Lakini ni lazima niseme kuwa kuna baadhi ya matatizo yanayojitokeza ktk nyumba za kuchangia. Barua zikishaletwa na watumishi wa Royal Mail, hupitishwa ktk kitundu kidogo kilichoko ktk mlango wa mbele. Mara nyingi ktk nyumba za kuchangia sio wakazi wote wa nyumba huwa wapo nyumbani wakati wote, na kwa hiyo barua hukusanywa toka pale chini ya mlango na yeyote aliyepo nyumbani kwa wakati huo. Baadhi yetu uaminifu wetu ni mdogo na inatokea mara kwa mara barua hupotea kwa mazingira ya kutatanisha! Hapa tatizo linakuwa ni mtu kufungua na kusoma barua isiyomhusu na kuitupa. Hii hutokea kwa barua zenye statement ya akaunti za benki au bank/credit cards, risiti ya malipo kazini (pay slip), n.k. Sijui ni kwa nini watu wengine hupenda kufungua barua ama nyaraka za siri za mambo yasiyowahusu! Ubongo na uafrika wetu haupotei hata kama mtu anaishi Ulaya!! Kwa hili inabidi tubadilike kifikra na kiupeo, maana wengi wa wanaoishi hapa toka nje ya Ulaya (mfano Afrika) ni wasomi tena wa kiwango cha elimu ya juu.

Wazawa wa UK wanapenda sana michezo na utamaduni. Michezo ipo mingi sana. Na michezo yenye ushabiki wa kiwango kikubwa ni kama mpira wa miguu, mpira wa ragbi, tennis, mchezo wa kriketi, mbio za magari, pikipiki, farasi na mbwa. Ktk michezo hii watu hupenda kucheza kamari za kubashiri matokeo ktk michezo mbalimbali.

Ktk uwanja wa habari ndugu zetu hawa hawako nyuma. Kuna vituo vingi sana vya televisheni na redio. Ktk tv kuna stesheni za bure na za kulipia (za kulipia ni nyingi zaidi na hurushwa kwa kupitia satellite na cable). TV za bure huruhwa kwa njia ya kawaida (terrestrial). Mtu yeyote mwenye tv anaweza kupokea matangazo ya bure ya tv ktk mtindo wa 'analogy' au pia mtu anaweza kuyapata kupitia box (freeview box) ambalo hupokea matangazo ya tv na redio ktk hali ya 'digital'. Free view box in stesheni (channels) zaidi ya 50. Stesheni za bure ktk tv ni kama ifuatavyo: BBC One, BBC Two, ITV, Channel 4 na Channel 5. Hata hivyo hakuna cha bure ktk kuangalia tv. Mtu yeyote anayetumia TV ya rangi au 'black and white', DVD player/recorder, Video player/recorder n.k. ni lazima alipe leseni ya TV (TV Licence) kwa BBC ambayo ni Paundi za Uingereza 145 (GBP 145) kwa mwaka, pia inaweza kulipwa kwa awamu kulingna na uwezo wa mtumiaji. Hii hela ndiyo inayotumiwa na BBC kuendesha shughuli zake pamoja na mishahara ya wafanyakazi wake. Na ndio maana Stesheni zote za BBC (radio na TV) huwa hazina matangazo ya biashara. Mapato ya BBC ni kupitia karo (fee) ya leseni ya TV ambayo hulipwa na kila familia UK.

26 May: Blog is 2 yrs (Happy Birthday!)

This is the 109th post in this blog. And I am glad to announce that today 26 May 2009 the blog is marking its second anniversary!

Uuuu ye, I wish you a happy birthaday,
uuuu uuuye many many happy returns* ....


*Sophia George song

Friday 22 May 2009

"Jengeni kwenu kwanza ..." - Kikwete

Friday, 22/05/2009
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa wajibu mkubwa wa Watanzania wanaoishi nchi za nje ni kufanya jitihada za kujenga na kuendeleza kwao, ili kuthibitisha ubora wa kuishi kwao nje.

Rais amesema kuwa na wala Watanzania hao wasihangaike na kutafuta jinsi ya kusaidia kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo kwa sababu shughuli hiyo ni wajibu wa Serikali na wanaweza wasiwe na uwezo wa kushiriki katika kuendeleza miradi hiyo mikubwa ya maendeleo.

“Mkiweza kupata mwekezaji mzuri, leteni tu. Mkipata mtu mwenye fedha za kusaidia ujenzi wa miradi mikubwa kama mabarabara na shule leteni, lakini ushauri wangu mkubwa kwenu ni huu… jengeni na endelezeni kwenu kwanza, ili mthibitishe kwa nini ni bora kuishi nje,” Rais Kikwete amewaambia Watanzania wanaoishi katika eneo la Kusini mwa Jimbo la California.

Akizungumza na Watanzania hao leo, Jumanne, Mei 19, 2009, kwenye Hoteli ya Beverly Hills Hilton mjini Los Angeles, Rais Kikwete amesema:

“Ujumbe wangu kwenu ni kwamba msisahau kwenu. Wathibitishie mliowaacha nyumbani kuwa ni bora zaidi kuishi huku mliko kuliko nyumbani. Jengeni kwenu, endelezeni kwenu. Msije kufikia mahali mnarudi nyumbani mkakosa hata mahali pa kufikia,” amewaambia Watanzania hao wanachama wa Chama cha Watanzania Wanaoishi Kusini mwa California.

Rais amewasisitizia Watanzania hao wakati akijibu maswali yao: “Tengenezeni kwenu. Haya makubwa ya ujenzi wa mabarabara, tuachie sisi wa Serikali, ndio maana tupo. Hatutaki kuwasumbua kwa masuala ya ujenzi wa barabara na shule. Hii ndiyo kazi na wajibu wetu. Nyie jengeni kwenu, ili ndugu zenu wajue kuwa kuishi kwenu nje kuna maana.”

Rais Kikwete ambaye amekutana na kuzungumza na Watanzania hao baada ya kuwa amewasili mjini Los Angeles akitokea mjini San Francisco ambako alianzia ziara yake ya Marekani pia ametumia muda mwingi kuelezea mambo makubwa yaliyofanywa na Serikali yake ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule 2,700 za sekondari katika miaka mitatu iliyopita.

Rais amezungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta za elimu, afya, ujenzi wa barabara, akisisitiza kuwa, kwa mfano, kiwango cha malaria nchini kimepungua kwa kiasi cha asilimia 38 katika miaka mitatu kutokana na maamuzi ya Serikali tokea iingie madarakani.

“Ni kweli kuwa malaria inabakia ugonjwa unaoua watu wengi zaidi nchini, lakini hatua tulizozichukua katika miaka mitatu, minne iliyopita, zimepunguza kiwango cha malaria kwa asilimia 38. Katika Zanzibar ni kama tumemaliza ungonjwa huo kabisa.”

Rais pia amewaeleza Watanzania hao kuhusu mpango mkubwa wa Serikali kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata nchini akiongeza:

“Hata kwa yale magonjwa ambayo tumekuwa tunalazimika kuwapeleka watu nje, tunachukua hatua. Kwa mfano, Wachina wamekubali kutujengea hospitali kubwa ya kutibu magonjwa ya moyo.”



(Source: Ikulu Mawasiliano (Blog). Tuesday, May 19, 2009)

Thursday 21 May 2009

Ushauri mnyenyekevu

Alhamis, 21/05/2009
Juma hili nilitembelea ubalozi wetu pale Stratford Place, jijini London. Nilifurahi kuona nyumbani kwetu 'mbali na nyumbani', maana pale ndio kimbilio; kwa mema au mabaya! Pale ndio baba, ndio mama, ndio mjomba na ndio kila kitu.

Nilifurahi pia kuona wafanyakazi wakarimu na wachapakazi.

Kwa vile pale ni nyumbani, sio vibaya kutoa maoni au ushauri wa kinyenyekevu (polite advice).

1. Nje: Ngazi za kuingia kwenye basement (eneo la hati za kusafiria) pamoja na eneo chini ya ngazi hizo za chuma panahitaji matengenezo au matunzo mazuri zaidi (TLC). Pale chini ya ngazi sio pasafi na panaonekana kama ni 'ka-stoo' ka kienyeji. Nashauri makorokoro yote pale chini yaondolewe na ukarabati mdogo ufanike na pia kupiga rangi kidogo ili papendeze. Marumaru sakafuni nazo zitupiwe macho ili ikiwezekana zishughulikiwe. Lile eneo la ngazi na 'landing yake' ni muhimu sana kwa kutangaza sura (image) ya nchi yetu. Ndio maana nashauri lifanyiwe kazi ili kuliinua kimuonekano. Zile railings za nje nazo zipigwe 'soap-soap' kidogo!
Pale mahala (ubalozini) pako karibu kabisa na mtaa ulio-bize wa Oxford na pia kituo cha treni za ardhini (Bond Street) kiko pale mlangoni kabisa!

2. Mlangoni: Mlango wetu pale 'basement' sio wa kiwango kinachostahili (hadhi ya ubalozi). Nilipokuwa nabisha hodi na kuingia ndani, vipeperushi vilidondoka kwa ndani. Kumbe vilikuwa vinaning'inia kati ya upenyo wa mlango na fremu yake. Hii inaonyesha kuwa kuna watu ambao hutembeza na kudondosha vipeperushi vya biashara ktk milango ya nyumba (note: ni kawaida kwa Uingereza kitu kama hicho)! Ila mimi nadhani ubalozi wetu hauwezi kuwaruhusu wachuuzi wa mitaani kudondosha 'vikaratasi' au vipeperushi vya kibiashara/matangazo ndani ya ofisi ya ubalozi wa nchi. Wote tunaelewa mahala pale ni nyeti. Kwa hiyo tuwe makini na hilo.

3. Ndani: Nitaongelea 'interior design'. Kuna kuta nyingi mno zisizo na sababu. Mfano ukuta kati ya meza za maulizo na pale wateja husimama. Nashauri ule ukuta na kidirisha chake viondolewe kabisa, na badala yake iwekwe meza iliyonyanyuka kama mita 1.2 kutoka usawa wa sakafu na wafanyakazi watumie viti virefu au wasimame. Pia ukuta kati ya kile chumba cha mapumziko na meza ya maulizo uondolewe. Kwa kuafanya hivyo eneo litaonekana kubwa na kutakuwa na mwanga wa kutosha pale ndani. Kwa sasa mtu akiingia panaonekana pafinyu sana na mwanga sio mzuri kwa standard ya ofisi. Na panaonekana pamejengwa kwa 'scale' ya nyumba ya kuishi (residential) na sio public space!

4. Ndani. Matangazo na 'Info': Pale maulizo pawekewe tray ya vipeperushi vya huduma mbalimbali zinazopatikana hapo ofisini. Hii itasaidia kuondoa utata wa maelezo ya wafanyakazi. Mfano mfanyakazi mmoja anaweza kukupa maelezo fulani (Facts) na mwingine akakupa ukweli mwingine! Naelewa hii inaweza kutokea kwa bahati mbaya, lakini kama kuna vipeperushi, ni rahisi kwa mfanyakazi kumpa mtu kipeperushi kwa ajili ya rejea anapokuwa na shida wakati wowote. Na pia tukumbuke kuwa sio kila mteja wenu anaewatembelea anapata huduma ya mtandao (internet). Kwa hiyo tusiwalazimeishe wateja wetu kwenda kusoma website kwani hiyo sio njia pekee ya kupata habari za ubalozi wetu.

Mwisho ninawapongeza wafanyakazi wote pale ubalozini kwa kazi nzuri wanayoifanya. Wanao ushirikiano wa hali ya juu na watanzania walioko nje ya nchi, na hiki ndicho kitu muhimu zaidi. Pia wanajitahidi kwa uwezo wao wote kuitangaza nchi yetu kwa nafasi walioyo nayo. Inawezekana kuwa moja ya matatizo makubwa yanayowakabili ni ufinyu wa bajeti, kwa hiyo tusiwe wepesi kuwarushia makombora ya lawama. Na wanaweza kuwa wanafanya kazi ktk mazingira magumu. Kwa ujumla kazi yao inaridhisha kwa kiwango kizuri. Hongera pia balozi wetu Mama Maajar, wewe ni shujaa na tunakupenda!

Wednesday 20 May 2009

'Hapo zamani ...'

Jumatano 20/05/2009
Nakumbuka zile hadithi ktk vitabu nilizozisoma wakati nilipokuwa mdogo. Karibu kila kitabu nilichosoma kilianza na huu msemo; 'hapo zamani za kale paliondokea ....'

Hasa nakumbuka hadithi za kitabu fulani kilichokuwa na hadithi 3 nzuri! Sura ya kwanza ilikuwa na kichwa 'Mkataa pema pabaya panamwita'. Sura ya pili ilikuwa na ' ... jamani fungeni mkutano wengine zimeyeyika' - ile ambayo fisi alihudhuria mkutanao wa wanyama wenye pembe huku yeye akiwa amejiwekea pembe bandia na kugundisha na nta. Muda ulipokwenda sana nta ikaanza kuyeyuka na akahofia kuwa 'pembe' zitadondoka na hivyo akatoa hoja mkutano ufungwe! Sura ya tatu ilikuwa na kichwa 'usitukane wakunga na uzazi ungalipo'.

Kitabu kingine kilihusu hadithi za usukumani ambako kuma mtu alikuwa akisafiri anaaacha maziwa 'fresh' kwenye kibuyu au bakuli, na kwa muda wote atakapokuwa safarini 'salama' maziwa yanabakia 'fresh' na kama akipata tatizo au kufariki maziwa yanaganda! Hii ni hadithi ya Mwanamalunde. Siikumbuki vizuri ila kwa mbali nakumbuka maudhui yake!

Natamani wanangu kama angepata nakala moja ili aone tulichosoma enzi zetu tulipokuwa na umri kama wake. Na kwa kweli vitabu hivi na vingine vya aina hiyo vyafaa kuhifadhiwa kwa ajili ya kumbukumbu ya vizazi vijavyo.

Kila kizazi kinanao wajibu wa kutunza mabaki ya kumbukumbu za shughuli na maendeleo yake (legacy) kwa ajili ya vizazi vijavyo. Na huu ni wajibu wa kila mtu binafsi na wadau mbalimbali! Kwa kuanzia mie nina kumbukumbu za kazi zangu zote za darasani (daftari za mazoezi na karatasi za mitihani) kuanzia nilipokuwa darasa la kwanza elimu ya msingi. Na bado ninaendelea kuhifadhi kumbukumbu zaidi za kazi zangu. Tayari mwanangu ameshaanza kunicheka sana kila anapoona kazi yangu ya darasa la pili (analosoma sasa), kwa sababu anaona nimekosa maswali rahisi mno au mwandiko wangu wa ajabu enzi hizo! Nadhani mwanangu atajifunza kutokana na makosa yangu kama anavyoyaona mwenyewe kwa macho yake bila kusimuliwa au kuambiwa!

Tuesday 19 May 2009

Tumege uzoefu wa wazee wetu

19/05/20009
Ni rahisi kusikia mashirika yanaanzishwa kusaidia kina mama fulani -wajane kwa mfano, au walioachika au waliokatiza masomo yao n.k. Pia yapo ya kusaidiwa watoto ambao mara nyingi wanatokana na matatizo yaliyowapata kinamama hapo juu.

Nadhani wakati umefika kuwakumbuka watu wazima hasa wastaafu ambao wameamua kupumzika kwa sababu za kiafya au kisheria (umri wa kustaafu).

Wazee wetu hawa wanapoacha kazi, mara nyingi huwa wanabaki kuwa wapweke sana. Walizoea kutoka kila asubuhi na kurudi nyumbani jioni au usiku lakini inapotokea siku ya siku imefika na wakastaafu mabadiliko haya ya ghafla huwagharimu sana kifikra.

Ni vema ndugu zetu hawa nao wakakumbukwa hasa ktk namna ya kuwafanya waendane na hali halisi ya mabadiliko ya kimajukumu. Hapo nazungumzia afya ya akili.

Ushauri wangu ni kwamba serikali za mitaa zikisaidiana na asasi mbalimbali waanzishe vyombo (facilities) vya kusaidia kuwajumuisha watu wa kundi hili ili wajione wako ndani ya jamii. Wastaafu walio wengi kwa kweli hujiona kama ndio umuhimu wao ktk jamii umefikia ukingoni. Ni jukumu la kila mwanajamii kuhakikisha wakubwa zetu au wazazi wetu hawa wanaonekana kama wenzetu na kuwa mchango wao ktk jamii bado unahitajika, tena zaidi.

Ebu tuangalie namna ambayo tutachuma uzoefu wao kimaisha ili utusaidie ktk maendeleo yetu kwa ujumla. Tusiwaachie maarifa yao wakae nayo peke yao. Kundi hili ni muhimu sana ktk jamii na lina mengi ya kutusaidia. Kwa hiyo tusilale, tuwahusishe ktk mambo yote ili nasi tuupate uzoefu na utajiri wa fikra zao njema. Kwa kufanya hivi tutakuwa tunawasaidia kuwaweka 'fit' kiafya (mwili na akili) na bila shaka watafaidi maisha na kurefusha maisha yao pia.

Lakini yote haya tutayapataje ikiwa kila mstaafu yuko nyumbani kwake na familia yake? Mimi nasema, tunahitaji vituo vya kutukutanisha wote ili waweze kutoa mchango wao chanya. Serikali za mitaa na asasi za binafsi zina nafasi kufanya kitu cha maana hapa.

Hivyo ndivyo nionavyo mimi kwa ufupi tu.

Umuhimu wa maktaba

19/05/2009
Mbali na kutenga maeneo ya bustani za kustarehe ktk miji na vitongoji, maktaba ni sehemu murua pia kwa watu kupumzika huku wakijisomea vitabu magazeti na kupitia mtandao wa kompyuta.

napendekeza kuwa kila kata nchini iwe na maktaba yake kwa manufaa ya wananchi. Ipo kasumba kwamba baada ya masomo ya elimu ya msingi au sekondari basi hakuna tena kusoma au kujisomea.

Maktaba zinasaidia kuwafanya watu wawe na nguvu (active) hasa kutokana na kuchamsha ubongo ambao ndio dereva wa shughuli zote za viungo vya mwili. Akili ikichangamka mtu hupata furaha lakini ikidumaa mwili huchoka na kuweza kukata tamaa haraka.

Pia maktaba ni sehemu ya watu kukutana na kujuliana hali, kitu muhimu sana ktk jamii.

Watoto wetu pia watapata nafasi kujisomea, kujifunza pamoja au kucheza na wenzao wakutanapo maktaba. Na maktaba zinapokuwa karibu na maeneo tunayoishi inakuwa rahisi kwa kila mmoja wetu kuzitembelea kwa vile hakuna haja ya kusafiri masafa marefu (kitu ambacho hukatisha tamaa kwa wengi wenye nia ya kujiendeleza au kupata huduma za husika)

Chagua Finias Magesa kuwa MBUNGE

19/05/2009
Kwenu wana Busanda. Uchaguzi ujao mpigieni kura Finias Magesa;
-Mchapakazi (anafanya kazi kwa kuipenda sio 'bora liende')
-Mpenda maendeleo
-Mpenda mabadiliko ya kimaendeleo
-Mwakilishi na mtetezi imara popote atumwapo
-Mwaminifu, msikivu na mcheshi
-Mwenye upeo wa hali ya juu ktk masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kisiasa na kisayansi + teknolojia yake.

Hakika Busanda itamfaa Finias na Finias ataifaa Busanda.

Nampitisha kuwa anafaa kuwawakilisheni Bungeni.

Mpeni kura muone matunda ya kazi yake! Atasaidia kusukuma gurudumu la Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii kwa ujumla sio hapo jimboni pekee bali pia TAIFA litanufaika na mchango wake ktk jukwaa la siasa akiwa kama Mbunge au hata Waziri ndani ya serikali zijazo!

Huo ni ushuhuda wangu kuhusu huyu mgombea Finias Magesa, na ndio maana nawaomba mmkubali awe mwakilishi wenu Bungeni siku ya Jumapili.

Kamwe hamtajutia uamuzi wa kumchagua Finias MAGESA.

Busanda Oyeeeee! Tanzania Oyeee!

Message to Busanda constituents

Tue 19/05/2009
As you understand, this coming Sunday you will be voting for your next Member of Parliament.

I am not from Busanda, but I know someone from Busanda who can work for you.

You need someone whom you can trust, see and contact as freely and conveniently as you would like.

I know someone who;
- can work with you to sort out problems and bring success,
- can present your issues, views, requests and questions before the government,
- is tireless, intelligent, brave and honest,
- you've been longing for!

This is none other than MAGESA, Finias.

Remember, the formula to get Finias Magesa as your MP is very simple -just vote for him on Sunday. Do not stay at home. You have vote to get him.

If you vote Finias Magesa, Busanda won't be the same again.

Here comes the change. We all need change. Don't let it passby.

Finias Magesa is the man to bring the change!

Vote for MAGESA, Finias on Sunday, 24 May 2009
..........................................................