Monday 29 October 2007

Man Utd 4, Middlesborough 1

Man United line-up:
Van der Sar
Brown,
Ferdinand/Pique,
Vidic,
O'shea,
Ronaldo,
Hergreaves,
Anderson,
Nani/Giggs,
Rooney,
Tevez.

Saturday 27 October 2007

Kila mtu ana nafasi kujiendeleza kielimu!

Nimefurahishwa sana na habari kuwa mfungwa amesoma na kufaulu na hatimaye atatunukiwa shahada.
Hii ni changamoto kwa kila mtanzania ktk nafasi yake kuhakikisha anatumia muda wake vizuri, na kudunduliza kidogokidogo ili kujiendeleza! Hakuna kisingizio eti 'sikupata nafasi au sikuchaguliwa kwenda mlimani'. Chuo Hikuu Huria kipo kwa ajili yetu ambao hatukupata nafasi mlimani; hebu tuitumie fursa hii sasa!!
Na Mosonga

Mfungwa kutunukiwa shahada gerezani

27 Oct 2007
By Mwandishi Wetu

Mfungwa aliyehitimu masomo ya Shahada ya Sheria, atatunukiwa cheti chake gerezani na kufanyiwa sherehe yake huko huko.

Sherehe za kutunikiwa vyeti zinatarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam leo, ambapo wahitimu 1,145 watatunikiwa vyeti vyao.

Mfungwa huyo, Haroun Gombela ambaye ni wa kwanza kujisomea akiwa gerezani na kufanikiwa kuhitimu masomo yake, amepongezwa na Serikali kwa moyo wake wa kujiendeleza akiwa mfungwa.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Joseph Mungai, alitoa ufafanuzi huo juzi usiku katika kipindi cha Tuambie kinachorushwa moja kwa moja na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).

Bw. Mungai, alitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa iwapo mfungwa huyo ataruhusiwa kujumuika na wenzake katika sherehe hizo, Uwanja wa Taifa.

`Yeye atakabidhiwa digrii yake huko huko gerezani na atafanyiwa sherehe yake huko huko na magereza,` alisema.

Aidha, alisema mfungwa huyo, anaweza kuamua shahada yake ikatunzwa na magereza mpaka atakapomaliza kifungo chake, au akawakabidhi ndugu zake.

Alisema Shahada hiyo, ataitumia mara baada ya kumaliza kutumikia kifungo chake.

Kadhalika Bw. Mungai, aliwataka wafungwa wengine kuiga mfano wa mfungwa Gombela, wa kujiendeleza wakati wakiwa gerezani.

`Hii inatufundisha kuwa ukiwa mfungwa, kuna nafasi ya kujiendeleza na ukatoka ukiwa na shahada yako,` alisema.

Akizungumzia suala la vitambulisho vya uraia, Bw. Mungai, alisema kuwa mwaka 2009, kila Mtanzania atakuwa anacho kitambulisho.

Alisema kuwa, mradi wa kutengeneza vitambulisho hivyo, utaanza katika mwaka huu wa fedha na utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitatu.

`Ifikapo mwaka 2009, kila mtanzania atakuwa na kitambulisho chake,` alisema Bw. Mungai.

Alisema, hivi sasa Serikali ipo katika mchakato wa kumpata wakala atakayetoka shirika la serikali na kupewa tenda ya kuchapisha vitambulisho hivyo.

Kuhusu wahamiaji haramu, Bw. Mungai alisema, serikali imepokea changamoto ya kuweka namba za mawasiliano zitakazowezesha raia wema kutoa taarifa moja kwa moja kwa Wizara husika wanapoona kuna watu wameingia nchini kinyume na sheria.

* SOURCE: Nipashe

Tuesday 23 October 2007

Man United team flies to Dynamo Kyiv

Sir Alex Ferguson said: "There won't be many changes from Saturday. Vidic will come in and we may make one other change, but that's all."

It is likely that Gerard Pique will make way at the Olympiyskiy Stadium, allowing Vidic and Rio Ferdinand to resume their partnership at the heart of the United defence.

United squad:
Goalkeepers: Van der Sar, Kuszczak;
Defenders: Ferdinand, Brown, Vidic, Evra, Pique, Simpson;
Midfielders: O'Shea, Ronaldo, Scholes, Giggs, Anderson, Nani, Fletcher, Eagles;
Strikers: Rooney, Tevez

Monday 22 October 2007

Aston Villa 1 Man Utd 4

Villa Park, Sat 20 October

ASTON VILLA 1
Agbonlahor (13)

MANCHESTER UNITED 4
Rooney (36, 44), Ferdinand (45), Giggs (75)
20/10/2007
by Ben

Team Line-ups

Manchester United:
Van der Sar; Pique, Brown, Ferdinand, Evra; Nani, Anderson, Scholes (O'Shea, 77), Giggs (Ronaldo, 77); Tevez (Fletcher, 73), Rooney.
Subs not used: Kuszczak, Simpson.

Aston Villa:
Carson (sent off, 66, Taylor on); Bouma, Mellberg, Laursen, Knight, Gardner (Osbourne, 54); Barry, Reo-Coker (sent off, 60), Young, Agbonlahor, Moore (Maloney, 54).

from: www.manutd.com

Saturday 20 October 2007

Lucky Dube II

Death of Lucky Dube mourned by nation (South Africa)

Reggae superstar Lucky Dube will be remembered for musical genius and efforts to create a better world, writes Sholain Govender and Gabi Khumalo.

Lucky Phillip Dube was shot and killed by would-be hijackers Thursday evening in Rosettenville, Johannesburg and friends, fans and fellow musicians of Mr Dube are in shock at the loss of such a great South African.

Mr Dube was born in Ermelo on 3 August 1964. After a few failed pregnancy attempts by his mother Sarah, Lucky came into the world. Giving birth to a boy was considered a blessing and his mother considered his birth so fortunate that she aptly named him “Lucky”.

This luck followed him for decades as he accumulated an incredible 21 albums under his musical belt, and proved himself one of not only South Africa's, but also the world's greatest reggae according to the Gallo Music Group.

His recording company said he was “a man with superb musical taste and genius, an artist with a message, with a reason and a rhyme behind everything he does”.


“As one can judge by listening to his music, he has a message on every album. His songs are based on three main things - political issues, social issues and personal issues - things that play an important role in everyone's lives.”

When asked what inspired him Mr Dube answered: “People! Looking at people, watching people's movements, the things they do. My songs are based on real life situations and experiences.”

He released his first reggae album in 1984 and toured the world sharing the stage with Maxi Priest, Sinead O’Connor, Peter Gabriel, Michael Jackson, Seal, Ziggy Marley, Celine Dion, Sting, amongst others.

He also won over 20 local and international awards for his music and videos and his hits Taxman, Prisoner, The Way It Is, Victims, Trinity and many others will be remembered by people all over the world.

Arts and Culture Minister Pallo Jordan described the violent death of Mr Dube as not only a family tragedy but a monumental loss for the nation and the music loving people of the world.

“We in the Ministry of Arts and Culture are saddened and stunned at the manner of his death. It marks a sad day in the history of our country,” said Mr Jordan.

He said that Mr Dube was not just a global ambassador for South African musical talent, music and heritage but also a world-renowned African composer, singer, band leader, cultural activist, visionary and performer.

“We hope and pray that his family, friends, relatives and fans throughout the world will have the strength to let his spirit rest in peace,” he said.

“But, above all, we wish to express our heartfelt thanks for his life. He was one of the most important and relevant reggae voices to come out of this country in the 20th Century.”

The minister said that Mr Dube’s death was made more painful because it happened at a time when government has renewed the pledge to forge a partnership with people, communities and their institutions to fight crime.

“We state it categorically that crime is everybody’s problem in this country. Of course, as Government we are not just concerned by its prevalence but doing something to address it,” he said.

“Thus we condemn this senseless and violent killing of an artist who nourished our souls as a nation, articulated the experience and aspirations of the people and used his talent to give us our identity, musical heritage and culture.”

Mr Jordan said that for the last 30 years, Mr Dube had been single-mindedly focused on being a cultural activist and musical visionary who used reggae as an instrument to highlight the plight of the oppressed and call for transformation.

In the 1980s, he was inspired by legendary Bob Marley and Peter Tosh to use his unique voice as a tool to boost self-love and the assertion of African self-determination, identity and heritage.

Although his musical background was rooted in mbaqanga, Mr Dube was open-minded and receptive to global influence. In fact, it was the release and success of his albums
“Save the Children” (1984) and
“Slave,” (1987)
“Together as One,” (1988) and
“Prisoner,” (1989) that marked a turning point in his musical career.

“Few will dispute that he was, indeed, an epitome of a true African artist,” said Mr Jordan.

“We shall all remember Lucky Dube as a man who took his life into his own hands, fulfilled his purpose on earth and contributed much to the happiness and joy of happiness in this country and the world,” he said.

“We are all poorer because he was an artist who was committed to nurturing a true African identity, building a uniting spirit of a new nation in a new world.” – BuaNews



from: BuaNews - Published by Shebeen

Lucky Dube I

Lucky Philip Dube (pronounced doo-bay) (August 3, 1964 – October 18, 2007) was a South African reggae musician. He recorded 22 albums in Zulu, English and Afrikaans in a 25 year period and was South Africa's biggest selling reggae artist. Dube was murdered, in the presence of his son and daughter, by several apparent carjackers in the Johannesburg suburb of Rosettenville on the evening of 18 October 2007.

Biography
Early life
Lucky Dube was born in Ermelo, then in the Eastern Transvaal, now Mpumalanga, on 3 August 1964. His parents separated before his birth and he was raised by his mother, Sarah, who named him because she considered his birth fortunate after a number of failed pregnancies. Along with his two siblings, Thandi and Patrick, Dube spent much of his childhood with his grandmother, while his mother relocated to work. In a 1999 interview he described his grandmother as "his greatest love" who "multiplied many things to bring up this responsible individual that I am today." As with many African families during the apartheid era, Dube grew up in poverty.

Beginning of his musical career
As a child Dube worked as a gardener but, realizing that he wasn't earning enough to feed his family, he began to attend school. There he joined a choir and, with some friends, formed his first musical ensemble, called The Skyway Band. While at school he discovered the Rastafari movement. At the age of 18 Dube joined his cousin's band, The Love Brothers, playing traditional Zulu music known as mbaqanga. The band signed with Tear Records, which became Gallo Record Company. Though Dube was still at school, the band recorded material in Johannesburg during his school holidays. The resultant album was released under the name Lucky Dube and the Supersoul. The second album was released soon afterwards, and this time Dube wrote some of the lyrics in addition to singing. Around this time he also began to learn English.

Moving into reggae
On the release of his fifth Mbaqanga album, Dave Segal (who became Dube's sound engineer) encouraged him to drop the "Supersoul" element of the name. All subsequent albums were recorded as Lucky Dube. At this time Dube began to note fans were responding positively to some reggae songs he played during live concerts. Drawing inspiration from Jimmy Cliff and Peter Tosh, he felt the socio-political messages associated with Jamaican reggae were relevant to a South African audience in a institutionally racist society.

He decided to try the new musical genre and, in 1984, released the mini album Rastas Never Die. The record sold poorly - around 4000 units - in comparison to the 30000 units his mbaqanga records would sell. Keen to suppress anti-apartheid activism, the regime banned the album in 1985. However, he was not discouraged and continued to perform the reggae tracks live and wrote and produced a second reggae album. Think About The Children (1985). It achieved platinum sales status and established Dube as a popular reggae artist in South Africa, in addition to attracting attention outside his homeland.

Commercial and critical success
Dube continued to release commercially successful albums. In 1989 he won four OKTV Awards for Prisoner, won another for Captured Live the following year and yet another two for House Of Exile the year after. His 1993 album, Victims sold over one million copies worldwide. In 1995 he earned a worldwide recording contract with Motown. His album Trinity was the first release on Tabu Records after Motown's acquisition of the label.

In 1996 he released a compilation album, Serious Reggae Business, which led to him being named the "Best Selling African Recording Artist" at the World Music Awards and the "International Artist Of The Year" at the Ghana Music Awards. His next three albums each won South African Music Awards. His most recent album, Respect, earned a European release through a deal with Warner Music. Dube toured internationally, sharing stages with artists such as Sinéad O'Connor, Peter Gabriel and Sting. He appeared at the 1991 Reggae Sunsplash (uniquely that year, was invited back on stage for a 25 minute long encore) and the 2005 Live 8 event in Johannesburg.

In addition to performing music Dube was a sometime actor, appearing in the feature films Voice In The Dark, Getting Lucky and Lucky Strikes Back.

Death
On October 18, 2007, Lucky Dube was killed in the the Rosettenville suburb of Johannesburg. Police reports suggest he was shot dead by carjackers. He is survived by his wife, Zanele, and his seven children Bongi, Nonkululeko, Thokozani, Laura, Siyanda, Philani and his brand new three-month old baby Melokuhle.

Discography
Mbaqanga
Lengane Ngeyethu (1981)
Kudala Ngikuncenga (1982)
Kukuwe (1983)
Abathakathi (1984)
Ngikwethembe Na? (1985)
Umadakeni (1987)

Afrikaans
Help My Krap (1986)

Reggae
Rastas Never Die (1984)
Think About The Children (1985)
Slave (1987)
Together As One (1988)
Prisoner (1989)
Captured Live (1990)
House of Exile (1991)
Victims (1993)
Trinity (1995)
Serious Reggae Business (1996)
Taxman (1997)
The Way It Is (1999)
The Rough Guide To Lucky Dube (compilation) (2001)
Soul Taker (2001)
The Other Side (2003)
Respect (2006)


from: wikipedia

Lucky Dube is Dead!!!

I have received the news of Lucky Dube's death in a great shock! Firstly I thought I was reading a novel or something fictional!
I have been fan of his music for a very long time! And I have bought almost every copy of his albums in audio cassettes or CDs and DVDs.
I got more news about his death from his official (business) website! here below is the reaction from the website!
By Mosonga

LUCKY DUBE’S RECORD LABEL, GALLO, MOURNS HIS TRAGIC LOSS
The staff of Gallo Record Company are devastated by the news of the tragic passing of reggae legend Lucky Dube. Lucky was slain in an attempted hijacking in Rosettenville in Johannesburg last night, at approximately 8pm, whilst dropping off his children at a family members house.

Although Lucky attempted to escape the scene, he had been fatally wounded from the hijacker’s attempt to steal his motor vehicle, and he died almost instantly.
Senseless and random, the death of Lucky Dube leaves a great void in the music industry, as 25 years of music suddenly ends in tragedy.

South African born but globally revered, Lucky Dube was one of the country’s most toured and beloved artists ever. His music touched millions around the world, primarily through his 22 recorded albums - in Zulu, English and even Afrikaans - many of which have been record breakers with phenomenal sales from around the globe.

As a frontline artist in the reggae genre, Lucky's creativity and inventiveness kept growing.
Compelling in his musicianship and intriguing in his lyrical content, Lucky's sonic daring to take his genre to new heights never failed to amaze even the most ardent fans, whilst reigning in new devotees to his magic every day.


His energetic band toured with him from continent to continent as South African musical ambassadors, and his live performances have earned him fans and accolades the world over.

Lucky joined Teal Records (later to become Gallo) as a fresh-faced young Mbaqanga singer in 1982. Five albums later he found a genre that spoke to his soul and changed the way he viewed the world. This genre was Reggae.

With his long-time sound engineer and best friend Dave Segal, he created some of the most legendary pieces of reggae music ever recorded, including the tracks Prisoner, Taxman, Slave, Victims, Together As One and Respect – all social anthems that garnered him the adoration of the people of his country - and across the globe.
Lucky was an artist that continued to break international barriers and recently just signed a deal with Warner Music International, securing him album releases across Europe of his latest album Respect.

Ivor J. Haarburger, CEO of Gallo Music Group is deeply saddened by the loss. “Lucky was not just an extraordinary artist, he was a personal friend. We go back over twenty years and had both a business and personal relationship. It’s so sad to lose such a great friend and so tragically, why?”

There are very few words that capture the magnitude of this devastating loss. As a musician, father and colleague, Lucky was one of the most charming, respected, selfless and dedicated people to have lived. He will be sorely missed.

Lucky Dube was survived by his new wife Zanele and his 7 children Bongi, Nonkululeko, Thokozani, Laura, Siyanda, Philani and his brand new three-month old baby Melokuhle.

Should you wish to send a message of condolence to Lucky’s family, please email Lucky@gallo.co.za or fax on +27 (0) 11 340 9471

source: www.luckydubemusic.com

Russia v. England: My Opinion

Steve MacClaren's team selection in the first half was OK to me and it seemed it would end well!

But after seeing the first half action and England going one goal ahead, I would have thought differently from the England manager, Steve and and his assistant Terry Venables, in the early second half minutes.
Here was my second half plan.
After 10 to 15 minutes of the second half I would have made the following substitutions:
I would have taken off Michael Owen and Leon Lescott and called in Frank Lampard and Nicky Shorey in their place. This would make Wayne Rooney a lone striker, the role which he is capable of!
The tactic would have aimed to contain Russia players who clearly seemed to dominate the midfield area and our left back Lescott had started to loose pace and marking!

If these 'substitutions' were to be done in time, I hope England wouldn't have had the same game and result as it happened to be, and Rooney of all people wouldn't be back as far as the 18 yard area to concede a penalty!

All in all, whether England qualifies for Euro 2008 or not, I would give Steve MacClaren another chance to prove himself! Because he is capable of and he deserves it!

All the best Steve and England!

Serikali yaboresha sekondari

Serikali yatoa mabilioni kuboresha sekondari

Ni kupitia mpango wa MMES
Yaonya watakaokiuka matumizi
NA MAGRETH KINABO
SERIKALI imepeleka mikoani zaidi ya sh. bilioni 45 za Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES), na kuzionya kamati za ujenzi na bodi za shule katika matumizi ya fedha hizo.
Fedha hizo zitatumika katika ujenzi wa nyumba za walimu, vyumba vya madarasa, maabara, majengo ya utawala, hosteli, fidia ya ada kwa wanafunzi na chakula.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Da re Salaam jana, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta alisema taarifa za kupokewa na matumizi ya fedha hizo ifikishwe wizarani ifikapo Novemba 30, mwaka huu.

Katika kusisitiza matumizi ya fedha hizo, alisema nakala za taarifa hizo zitumwe kwa uongozi wa mikoa na wilaya katika kipindi hicho.
“Taratibu za matumizi ya fedha za serikali zifuatwe …wizara ipate taarifa ya kupokewa kwa fedha hizo Novemba 30 …nakala zitumwe kwa uongozi wa mkoa na wilaya,” aliagiza Waziri Margaret.
Aliongeza: “Fedha zilizotumwa zitumike kama ilivyokusudiwa bila ya ucheleweshaji … kinyume cha hilo, kamati na bodi za shule zitahojiwa,” alisema Waziri Margaret.

Alisisitiza kuwa matumizi ya fedha hizo yawe ya uwazi na ushirikishwaji, na waratibu wa elimu ya sekondari wafuatilie maagizo hayo ya serikali.
Waziri Margaret alisema fedha hizo zilizopelekwa kwenye mikoa yote ya Tanzania Bara tangu Oktoba 12 na 15, na zimegawanywa katika mafungu ya ruzuku ya uendeshaji na maendeleo.

“Tumeona ni vizuri kuwajulisha wananchi kuwa serikali imeshatuma fedha kila mkoa kupitia hazina ndogo, kwa wakati huu lengo ni kuunga mkono nguvu za wananchi ili ujenzi wa madarasa na miundombiu mingine ikamilike mapema iwezekanavyo,” alisema.
Alisema ujenzi huo utasaidia kujua idadi ya wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwakani, ambao unakusudiwa usiwe chini ya asilimia 75.
Waziri Margaret alisema kati ya fedha hizo sh. 20,038,000,000 za ruzuku ya maendeleo, zitatumika kwa ujenzi wa nyumba 1,470 za walimu, ambazo zitagharimu sh. bilioni 13.5.
Margaret alisema fedha hizo pia zitatumika kwa ujenzi wa madarasa 777, maabara 84, maktaba 19, hosteli 12 na majengo ya utawala tisa katika mikoa mbalimbali nchini.
Alisema zaidi ya sh. bilioni 25.1 zimetolewa kwa ajili ya uendeshaji, ambapo sh. bilioni 5.7 zitatumika kwa chakula katika shule za bweni, wakati sh. bilioni 10.1 zikiwa fidia ya ada, na sh. bilioni 9.1 kwa ajili ya vifaa vya kufundishia na kujifunzia.

Waziri Margaret alisema serikali pia imepeleka kwenye hazina hizo sh. bilioni 3.8 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaotoka kwenye familia zenye kipato duni.
Alisema barua zimetumwa kwa wakuu wa shule kuhusu kiasi cha fedha kilichotumwa na matumizi yake kupitia kwa maofisa wa elimu wa mikoa, hivyo shule zinatakiwa kufuatilia ili kupata fedha hizo kwenye hazina ndogo.

Mgawanyo wa fedha hizo kimkoa ni kama ifuatavyo:
Arusha sh. milioni 976, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu (70), madarasa (37), maabara (nne) maktaba (moja) na hosteli (moja).
Dodoma sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37) maabara (nne), maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Dar es Salaam sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne) maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Iringa, sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Kagera sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne) maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Kigoma sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Kilimanjaro sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Lindi sh. milioni 967, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne) na hosteli (moja). Manyara sh. milioni 976, nyumba (70) madarasa (37), maabara (nne), hosteli (moja) na maktaba (moja).
Mara sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Mbeya sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne) maktaba (moja ) na jengo la utawala (moja).
Morogoro sh. milioni 967, nyumba (70), maabara (nne), madarasa (37) na hosteli (moja).
Mtwara sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Mwanza sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Pwani sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Rukwa sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Ruvuma sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Shinyanga sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne) maktaba (moja) na hosteli (moja).
Singida sh. milioni 976, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na hosteli (moja).
Tabora sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).
Tanga sh. milioni 968, nyumba (70), madarasa (37), maabara (nne), maktaba (moja) na jengo la utawala (moja).


Gazeti Uhuru

Papa aipongeza Tanzania

Nitaendelea kuiombea Tanzania -Baba Mtakatifu
Na Maura Mwingira, Vatican
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Baba Mtakatifu Benedict wa XVI amempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuendeleza amani n, Tanzania ikipewa kipaumbelea utulivu nchini.
Alisema Tanzania imeendelea kuwa ilivyo, kwa kuwa viongozi wake wameendelea kuienzi misingi mizuri ya uongozi, ambayo iliasisiwa na Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.
“Hata baada ya kufariki dunia Nyerere Tanzania imeendelea na inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu, kwa sababu ninyi viongozi mliofuata baada yake mmeendelea kudumisha, kusimamia na kuendeleza amani na utulivu,” alisema Baba Mtakatifu.

Alitoa pongezi hizo jana, katika mazungumzo na Rais Jakaya Kikwete yaliyofanyika kwenye maktaba ya Baba Mtakatifu, iliyoko makao makuu ya kiongozi huyo, Vatican.
Baba Mtakatifu alimwalika Rais Kikwete kumtembelea na kuzungumza naye. Rais yuko nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku sita.

Kiongozi huyo wa kanisa alisema daima amekuwa akifurahishwa na mazingira ya amani na utulivu yaliyoko Tanzania; mazingira aliyosema yanawafanya Watanzania waendelee kuishi pamoja bila ya kujali tofauti zao za dini, rangi au kabila.

"Tanzania ni nchi tunayoipa umuhimu wa kipekee, ni nchi ambayo haina matatizo ya watu kugombana kwa sababu ya tofauti ya dini au rangi zao, ninafurahishwa sana na hali ya watu kuishi kwa pamoja na kwa amani.
Nitaendelea kuiombea Tanzania ili iendelee kuwa nchi ya amani,” alisema Baba Mtakatifu.

Alisema kanisa litaendelea kuchangia katika utoaji wa huduma ya elimu na zingine za kijamii kwa Watanzania, bila ya kujali tofauti zao za kidini.
Baba Mtakatifu alisema elimu ndiyo njia pekee itakayowawezesha Watanzania kukabiliana na changamoto mbalimbali, zikiwamo za vita dhidi ya ukimwi.

Baba Mtakatifu aliitaka Jumuia ya Mtakatifu Egidio kumwalika Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa kimataifa wa madhehebu mbalimbali ya dini duniani. Mkutano huo utafanyika kesho katika mji wa Napoli, na Baba Mtakatifu atahudhuria.

Kwa upande wake, Rais Kikwete kupitia kwa Baba Mtakatifu, alilishukuru Kanisa Katoliki kwa huduma mbalimbali za kijamii, ambazo kanisa limekuwa likitoa kwa Watanzania.
Alitumia nafasi hiyo kulishukuru kanisa kupitia jumuia ya Mtakatifu Egidio, kwa kusaidia katika utafutaji na upatikanaji wa amani katika eneo la Maziwa Makuu, hususan nchini Burundi na maeneo mengine ya Afrika.
Alisema kanisa kupitia jumuia hiyo limekuwa likitoa mchango mkubwa katika utafutaji wa amani, na kwamba ni matumiani yake kuwa kanisa litaendelea na juhudi hizo.
Rais Kikwete alimwalika Baba Mtakatifu kuitembelea Tanzania pale atakapopanga kutembelea Afrika.
Kimsingi, Baba Mtakatifu alikubali ombi hilo, na kwamba baada ya kufanya ziara nchini Marekani na Australia, atapanga kutembelea Bara la Afrika, Tanzania ikipewa kipaumbele.

Baada ya mazungumzo hayo Rais Kikwete na Baba Mtakatifu walibadilishana zawadi, ambapo Baba Mtakatifu alimpatia Rais medali ya dhahabu ya upapa, na Rais alimpatia Baba Mtakatifu meza ndogo ya mchezo wa Chess iliyonakshiwa kwa urembo wa vinyago.

Gazeti Uhuru

Tuesday 16 October 2007

Carbon neutral

Carbon neutral

Being carbon neutral, or carbon neutrality, refers to neutral (meaning zero) total carbon release, brought about by balancing the amount of carbon released with the amount sequestered. Various special interests attempt to promote a use of the term that merely refers to carbon reduction, which is clearly not neutral. In this more loose sense, it has two common uses:
It can refer to the practice of balancing carbon dioxide released into the atmosphere from burning fossil fuels, with renewable energy that creates a similar amount of useful energy, so that the carbon emissions are compensed, or alternatively using only renewable energies that don´t produce any carbon (this last is called a post-carbon economy).[1].
It is also used to describe the practice, criticized by some,[2] of carbon offsetting, by paying others to remove or sequester 100% of the carbon dioxide emitted from the atmosphere[3] - for example by planting trees - or by funding 'carbon projects' that should lead to the prevention of future greenhouse gas emissions, or by buying carbon credits to remove (or 'retire') them through carbon trading. These practices are often used in parallel, together with energy conservation measures to minimize energy use.
The concept may be extended to include other greenhouse gases measured in terms of their carbon dioxide equivalence. The phrase was the New Oxford American Dictionary’s Word Of The Year for 2006 [4].

Becoming carbon neutral
When an individual or an organization sets out to become carbon neutral it is usually achieved by a low carbon economy, combining the following three:

Limiting energy usage and emissions from transportation (walking, using bicycles or public transport, avoiding flying, using low-energy vehicles), as well as from buildings, equipment and processes.
Obtaining electricity from a renewable energy source either directly by generating it (installing solar panels on the roof for example) or by selecting an approved green energy provider, and by using low-carbon alternative fuels such as biofuels.
Offset the remaining emissions that can not for the moment be avoided or generated from renewables in a responsible carbon project, or by buying carbon credits.
Being carbon neutral is increasingly seen as good corporate or state social responsibility and a growing list of corporations and states are announcing dates for when they intend to become fully neutral. Some corporate examples include: PepsiCo[5],Google[6][7], Yahoo![8], Nike[9], HSBC[10], ING Group[11], Tesco[12] Salesforce.com[13], and Dell[14]

Events like the G8 Summit[15] and organizations like the World Bank[16] are also using offset schemes to become carbon neutral. Artists like The Rolling Stones[17] and Pink Floyd[18] have made albums or tours carbon neutral.


Carbon-neutral states
In July, 2007, Vatican City has become the first carbon neutral State of the world, following the politics of the Pope to eliminate global warming The goal is reached thanks to the donation of the Vatican Climate Forest in Hungary. The forest is to be sized to offset the year's carbon dioxide emissions.[19]

The Central American nation of Costa Rica aims to be fully carbon neutral before 2030[20]. In 2004 46.7% of Costa Rica's primary energy came from renewable sources,[21] while 94% of its electricity was generated from hydroelectric power, wind farms and geothermal energy in 2006.[22] A 3.5% tax on gasoline in the country is used for payments to compensate landowners for growing trees and protecting forests and its government is making further plans for reducing emissions from transport, farming and industry.

Carbon offsetting (II)

Climate change: Carbon offsetting
What is carbon offsetting?
Our everyday actions consume energy and produce carbon dioxide emissions, for example driving a car, heating a home or flying. Offsetting is a way of compensating for the emissions produced with an equivalent carbon dioxide saving.

Carbon offsetting involves calculating your emissions and then purchasing ‘credits’ from emission reduction projects. These projects have prevented or removed an equivalent amount of carbon dioxide elsewhere.

Due to the fact that greenhouse gases have a long life-span and tend to mix evenly in the atmosphere it doesn’t matter where gases are emitted in the world: the effect on climate change is the same. To make up for unavoidable emissions increases, e.g. heating your home, equivalent emissions reductions can be made elsewhere, meaning that the overall effect is zero.

Will carbon offsetting solve climate change?
We acknowledge that carbon offsetting is not a cure for climate change but it can help raise awareness and reduce the impact of our actions. The most appropriate action to take is to reduce emissions.

Offsetting is a useful element of what we can all do to address climate change for several reasons:

Providing the means to work out the emissions from our own activities helps raise awareness of our impact on climate change. Combined with reducing our emissions, offsetting can be used to address this impact.
When done in a robust and responsible way, offsetting leads to a reduction in carbon dioxide emissions in the area local to the offsetting project, often in developing countries.
Offsetting projects, such as those approved by the United Nations, provide a mechanism for investment in clean technology in the areas which lack it the most. Such investment can lead to the spread of low-carbon development across entire regions, further reducing climate change impact.
How can I have confidence in offsetting my carbon emissions, whether personally or for my business?
We have published a consultation paper on establishing a voluntary Code of Best Practice for the provision of carbon offsetting to UK customers. The purpose of establishing a Code is to ensure consumer confidence in an emerging market and continued growth of that market through that confidence. The consultation will finish on 13 April 2007 and the intention is to have the Code operating by Autumn 2007.

What is the government doing to offset its carbon emissions?
All central government official and ministerial air travel is offset by purchasing credits that meet strict international standards in terms of the certification and monitoring of emission reductions.

The projects used are all located in developing countries, are small-scale and involve renewable energy and/or energy efficiency. The Government is also looking at the role carbon offsetting might play in the commitment for the Government office estate to go carbon neutral by 2012.

Source: defra website

Carbon offsetting (I)

Carbon offset

Until recently, most carbon offsets were commonly done by planting trees.Carbon offsetting is the act of mitigating ("offsetting") greenhouse gas emissions. A well-known example is the purchasing of offsets to compensate for the greenhouse gas emissions from personal air travel.

The idea of paying for emission reductions elsewhere instead of reducing one's own emissions is known from the closely related concept of emissions trading. However, in contrast to emissions trading, which is regulated by a strict formal and legal framework, carbon offsets generally refer to voluntary acts by individuals or companies that are arranged by commercial or not-for-profit carbon-offset providers. Nonetheless some formal standards for voluntary carbon offsets are emerging.

A wide variety of offset methods are in use — while tree planting was initially a mainstay of carbon offsetting, renewable energy, energy conservation and methane capture offsets have now become increasingly popular. Purchase and withdrawal of emissions trading credits is also seen, creating a connection between the voluntary and regulated carbon markets.

Carbon offsetting as part of a "carbon neutral" lifestyle has gained some appeal and momentum mainly among consumers in western countries who have become aware and concerned about the potentially negative effects of energy-intensive lifestyles and economies on the environment. The Kyoto Protocol has sanctioned offsets as a way for governments and private companies to earn carbon credits which can be traded on a marketplace. The protocol established a Clean Development Mechanism (CDM) which validates and measures projects to ensure they produce authentic benefits and are genuinely "additional" activities that would not be otherwise undertaken. Organisations that have difficulties in meeting their emissions quota are able to offset by buying CDM-approved Certified Emissions Reductions. The CDM encourages projects that involve, for example, sustainable power generation, changes in land use, and forestry, although not all trading countries allow their companies to buy all types of credit.

The commercial system has contributed to the increasing popularity of voluntary offsets among private individuals and also companies. Offsets may be cheaper or more convenient alternatives to reducing one's own fossil-fuel consumption. However, some critics object to carbon offsets, and many have questioned the benefits of certain types of offsets, such as tree planting.

Types of offset

Tree planting
Tree planting includes not only recreating natural forests (reforestation) and avoiding deforestation, but also monoculture tree farming on plantations for logging, biodiesel production, or other commercial purposes. The term "reforestation" is nevertheless often applied in this context to monculture tree farming as well as recreating natural forests. There is also afforestation, which means establishing forests particularly on land not previously forested. This can produce higher carbon sequestration rates because the level of carbon in such land is comparatively low. Trees provide other benefits in addition to capture of carbon dioxide, such as providing organismal habitats, providing renewable resources, such as building materials, and preventing soil erosion.

Many forestry offset projects have been conceived or conducted in ways that are vulnerable to criticism, drawing their net benefits into question. Significant concern also arises over the permanence of carbon storage in trees and forests, as potential future clearing or burning of the forest would return the stored carbon to the atmosphere. In addition, a recent study has claimed that plants are a significant source of methane, a potent greenhouse gas, raising the possibility that trees and other terrestrial plants may be significant contributors to global methane levels in the atmosphere. [1] However, this claim has recently been disputed by findings in another study [2], which has cast some doubt over whether plants are significant emitters of methane. The source of methane plumes found above, for example, tropical forests [3] is therefore still unknown.

In July, 2007, Vatican City accepted an offer that will make it the only carbon neutral state for the year, due to the donation of the Vatican Climate Forest in Hungary. The forest is to be sized to offset the year's carbon dioxide emissions.[4]

Climate impacts
Trees sequester carbon through photosynthesis, converting carbon dioxide and water into molecular dioxygen (O2) and plant organic matter, such as carbohydrates (e.g., cellulose). Hence, forests that grow in area or density and thus increase in organic biomass will reduce atmospheric CO2 levels. (Carbon is released as CO2 if a tree or its lumber burns or decays, but as long as the forest is able to grow back at the same rate as its biomass is lost due to oxidation of organic carbon, the net result is carbon neutral.) In their 2001 assessment, the IPCC estimated the potential of biological mitigation options (mainly tree planting) is on the order of 100 Gigatonnes of carbon (cumulative) by 2050, equivalent to about 10% to 20% of projected fossil fuel emissions during that period.[5].

However, the global cooling effect of forests from carbon sequestration is not the only factor to be considered. For example, the planting of new forests may initially release some of the area's existing carbon stores into the atmosphere. Specifically, the conversion of peat bogs into oil palm plantations has made Indonesia the world's third largest producer of greenhouse gases.[6]. Compared to less vegetated lands, forests affect climate in three main ways:

Cooling the Earth by functioning as carbon sinks.
Cooling the Earth by adding water vapor, a greenhouse gas, to the atmosphere and thereby increasing cloudiness.
Warming the Earth by absorbing a high percentage of sunlight due to the low reflectivity of a forest's dark surfaces. This warming effect, or reduced albedo, is large where evergreen forests, which have very low reflectivity, shade snow cover, which is highly reflective.
To date, most tree-planting offset strategies have taken only the first effect into account. A study published in December 2005 combined all these effects and found that tropical forestation has a large net cooling effect, because of increased cloudiness and because of high tropical growth and carbon sequestration rates.[7] Trees grow three times faster in the tropics than in temperate zones; each tree in the rainy tropics removes about 22 kilograms (50 pounds) of carbon dioxide from the atmosphere each year.[8] However, this study found little to no net global cooling from tree planting in temperate climates, where warming due to sunlight absorption by trees counteracts the global cooling effect of carbon sequestration. Furthermore, this study confirmed earlier findings that reforestation of colder regions — where long periods of snow cover, evergreen trees, and slow sequestration rates prevail — probably results in global warming.

According to Ken Caldeira, a study co-author from the Carnegie Institution, "To plant forests outside of the tropics to mitigate climate change is a waste of time". [9] "To prevent climate change, we need to transform our energy system. It is only by transforming our energy system and preserving natural habitat, such as forests, that we can maintain a healthy environment. To prevent climate change, we must focus on effective strategies and not just ‘feel-good’ strategies."

His premise that grassland reflects more sun, keeping temperatures lower is only applicable in arid regions, however. A well-watered lawn for example is as green as a tree but absorbs far less CO2.[citation needed] Deciduous trees also have the advantage of providing shade in the summer and sunlight in the winter; so these trees, when planted close to houses, can be utilized to help increase energy efficiency of these houses.

Costs
While the benefits of tree-planting are subject to debate, the costs are low [3]compared to many other mitigation options. The IPCC has concluded that "The mitigation costs through forestry can be quite modest (US$0.1–US$20 / metric ton carbon dioxide) in some tropical developing countries.... The costs of biological mitigation, therefore, are low compared to those of many other alternative measures".[5] The cost effectiveness of tropical reforestation is due not only to growth rate, but also to farmers from tropical developing countries who voluntarily plant and nurture tree species which can improve the productivity of their lands.[10] As little as US$90 will plant 900 trees, enough to annually remove as much carbon dioxide as is annually generated by the fossil-fuel usage of an average United States resident.[11]


Types of trees planted

A eucalyptus plantationThe type of tree planted may have great influence on the environmental outcomes. Planting the wrong kind of trees, such as monocultures of eucalyptus where they are not native species, can devastate the lands of the local people.[12] However, it is often much more profitable to outside interests to plant non-native fast-growing trees, such as eucalyptus or pine (e.g., Pinus radiata or Pinus caribaea), even though the environmental and biodiversity benefits of such monoculture plantations are not comparable to native forest, and such offset projects are frequently objects of controversy (see below).

To promote the growth of native ecosystems, many environmentalists advocate only indigenous trees be planted. A practical solution is to plant tough, fast-growing native tree species which begin rebuilding the land. Planting non-invasive trees that assist in the natural return of indigenous species is called "assisted natural regeneration." There are many such species that can be planted, of which about 12 are in widespread use, such as Leucaena leucocephala.[13]


Avoided deforestation
Some offsets aim at carbon benefits from avoided deforestation. It may involve training developing-world communities in the production, sale, and use of fuel-efficient stoves. As almost half of the world's people burn wood (or fiber or dung) for their cooking and heating needs, fuel-efficient cook stoves can reduce fuel wood consumption by 30 to 50%, though the warming of the earth due to decreases in particulate matter (i.e. smoke) from such fuel-efficient stoves has not been addressed.[13]


Renewable energy
Renewable energy offsets commonly include wind power, solar power, hydroelectric power and biofuel. Some of these offsets are used to reduce the cost differential between renewable and conventional energy production, increasing the commercial viability of a choice to use renewable energy sources. Others operate in developing countries, for example by training local communities to produce biodiesel from jatropha oil.

Some renewable energy offset projects are sold in multiple markets, such as the Te Apiti Wind Farm in New Zealand, a project certified to the privately operated CDM Gold Standard which supplies offsets to the Dutch Government, British bank HSBC, and private citizens. A connection is also sometimes made between carbon offsets and renewable energy certificates (RECs), also known as Green Tags. An REC represents a certain quantity of electricity which was generated from renewable sources. By purchasing an REC, the customer helps fund a renewable energy project (albeit usually in retrospect), which leads to lower carbon emissions.


Energy conservation
While carbon offsets which fund renewable energy projects help lower the carbon intensity of energy supply, energy conservation projects seek to reduce the overall demand for energy. Carbon offsets in this category fund projects of several types:

Cogeneration plants generate both electricity and heat from the same power source, thus improving upon the energy efficiency of most power plants which waste the energy generated as heat.
Fuel efficiency projects replace a combustion device with one which uses less fuel per unit of energy provided. Assuming energy demand does not change, this reduces the carbon dioxide emitted.
Energy-efficient buildings reduce the amount of energy wasted in buildings through inefficient heating, cooling or lighting systems. In particular, the replacement of incandescent light bulbs with compact fluorescent lamps can have a drastic effect on energy consumption. New buildings can also be constructed using less carbon-intensive input materials.

Methane collection and combustion
Some offset projects consist of combusting or containing methane generated by farm animals [14], landfills[15] or other industrial waste. Methane has a Global warming potential (GWP) 23 times that of CO2; when combusted, each molecule of methane is converted to one molecule of CO2, thus reducing the global warming effect by 96%. Methane can also be processed using an anaerobic digester which generates electricity or heat.


Links with emission trading schemes
Carbon offsets can also be linked with official emission trading schemes, such as the European Union Emission Trading Scheme, the voluntary Chicago Climate Exchange, and may be incorporated in proposed schemes such as the Australian Carbon Exchange. By purchasing emissions allowances and subsequently withdrawing the allowances from the markets, a reduction of allowable emissions is forced (assuming the trading scheme works as intended). In the case of the European Union Emission Trading Scheme it is widely believed that allowable emissions (during the first phase of the system) exceed physical emissions, in which case there is no physical effect from doing so. EU emissions allowances sell for 0.08 Euro per metric ton of CO2, as of September 2007. EU emission allowances for the 2008-2012 second phase sell for between 21 and 24Euro per metric ton CO2 as of July 2007. The Chicago Climate Exchange tons trade for about $3.25 per metric ton of CO2, also as of July 2007.


Other
A UK offset provider set up a carbon offsetting scheme which set up a secondary market for treadle pumps in developing countries. These pumps are used by farmers, using human power, in place of diesel pumps. [16] However, given that treadle pumps are best suited to pumping shallow water, while diesel pumps are usually used to pump water from deep boreholes, it is not clear that the treadle pumps are actually achieving real emissions reductions. Other companies have explored and rejected treadle pumps as a viable carbon offsetting approach due to these concerns.


Accounting for and verifying reductions
Due to their indirect nature, many types of offset are difficult to verify. Some providers obtain independent certification that their offsets are accurately measured, to distance themselves from potentially fraudulent competitors. The credibility of the various certification providers is often questioned. Certified offsets may be purchased from commercial or non-profit organizations for US$1–30 per tonne of CO2,[17] due to constant fluctuations with the current market price. Annual carbon dioxide emissions in developed countries range from 6 to 23 tons per capita.[11]

Accounting systems differ on what constitutes a valid offset for voluntary reduction systems and for mandatory reduction systems. However formal standards for quantification of offsets are now being developed based on collaboration between emitters, regulators, environmentalists and project developers. These standards include the Voluntary Carbon Standard and the CDM Gold Standard, the latter of which expands upon the requirements for the Clean Development Mechanism of the Kyoto Protocol.

Accounting of offsets may address the following basic areas:

Baseline and Measurement - What emissions would occur in the absence of a proposed project? And how are the emissions which occur after the project is performed going to be measured?
Additionality - Would the project occur anyway without the investment raised by selling carbon offset credits? There are two common reasons why a project may lack additionality: (a) if it is intrinsically financially worthwhile due to energy cost savings, and (b) if it had to be performed due to environmental laws or regulations.
Permanence - Are some benefits of the reductions reversible? (for example, trees may be harvested to burn the wood; many trees, in geological terms, have relatively short life spans, making them unsuitable for long-term carbon sequestration; and does growing trees for fuel wood decrease the need for fossil fuel?) If woodlands are increasing in area or density, then carbon is being sequestered. After roughly 50 years, newly planted forests will reach maturity and remove carbon dioxide more slowly.
Leakage - Does implementing the project cause higher emissions outside the project boundary?

Co-benefits
While the primary goal of carbon offsets is to reduce global carbon emissions, many offset projects also claim to lead to improvements in the quality of life for a local population. These additional improvements are termed co-benefits, and may be considered when evaluating and comparing carbon offset projects. Some possible cobenefits from a project which replaces wood burning stoves with ovens which use a less carbon-intensive fuel include:

Lower non greenhouse gas pollution, which improves health in the home.
Improved safety for women who used to traipse alone into the forest to collect firewood, and were thus exposed to violent acts.
Better education for children who need no longer spend so much time collecting wood fuel.
Better preservation of forests, which are an important habitat for wildlife.
Carbon offset projects can also negatively affect quality of life. For example, people who earn their livelihoods from collecting firewood and selling it to households could become unemployed if firewood is no longer used. A paper from the Overseas Development Institute offers some indicators to be used in assessing the potential developmental impacts of voluntary carbon offset schemes[18]:

What potential does the project have for income generation?
What effects might a project have on future changes in land use and could conflicts arise from this?
Can small-scale producers engage in the scheme?
What are the 'add on' benefits to the country - for example, will it assist capacity-building in local institutions?[19]

Controversies
Some disagree with the principle of carbon offsets. George Monbiot, an English environmentalist and writer, has compared carbon offsets to the practice of purchasing indulgences during the Middle Ages, whereby people believed they could purchase forgiveness for their sins (instead of actually repenting and not sinning anymore). Monbiot also says that carbon offsets are an excuse for business as usual with regards to pollution.[20] Other critics accuse some offset schemes of deploying 'Enron style accounting' in their calculation of emissions reductions.[21]

The current carbon trading market has also been criticized as an unregulated activity that has questionable results to actually offset or reduce carbon emissions. It is quite possible to spend money investing in carbon credits that do not exist. At this time it is important to research the company you have business dealings with since there is no governmental body that checks for you.[22]

There are also concerns that using carbon offsets actually increases demand for polluting sources of power since overall power consumption is not being reduced.[23]

A minority in the scientific community disagree with the significance of anthropogenic climate change and so do not hold with the usefulness of offsetting on principle.

TerraPass and the Oscars
Founded as a classroom project at the Wharton School, TerraPass received widespread attention for offset services provided to the Academy Awards and a subsequent BusinessWeek investigation. [24] According to BusinessWeek, the bulk of offsets provided to the Academy of Motion Picture Arts and Sciences were purchased from a methane recapturing project in Tontitown, Arkansas, in which methane produced at a landfill is burned and released as carbon dioxide. Contrary to the assumption that purchasing offsets resulted in additional methane recapture, BusinessWeek reported that the Tontitown recapture project predated TerraPass' offsets, that the landfill owners, Waste Management, had been governmentally compelled to increase the amount of recapture, and that the owners themselves reported that they would have continued to invest in the project regardless of the TerraPass offsets. The BusinessWeek article was also critical of the proportion of offset monies that actually make it from the consumer/purchaser to the offsetting project. For example, BusinessWeek spoke to dairy farmers recapturing methane from cow manure and found that the farmers received $2 out of every $9 transacted. Regarding the Tontitown methane flaring project, TerraPass responded that an internal investigation revealed that the investment in the methane flaring system far exceeded legal requirements, that as much as 99% of the methane captured by the system was a result of additional investments, and that Waste Management invested further into expanding the system later without any regulatory pressure.

East Africa
A Norwegian firm called Tree Farms (or Fjordgløtt, as it was then called) started operations in Uganda and Tanzania (and later in Malawi). In Uganda, it obtained a very cheap 50-year lease on 51.6 square kilometres east of the town Jinja in the Bukaleba Forest Reserve on Lake Victoria. Tree Farms planned to plant the land mainly with eucalyptus and fast-growing pines. The project has been criticized for forcing people in five communities off their lands and paying too little rent for the land.[27]

In another project in Uganda, the aforementioned Dutch FACE Foundation in 1995 entered into an agreement with the Ugandan authorities to plant trees on 250 square kilometres inside Mount Elgon National Park. The project involves planting a two to three kilometer-wide strip of trees (including eucalyptus) just inside the 211 kilometer boundary of the National Park. The project is certified under the Forest Stewardship Council (FSC) scheme and managed by SGS Qualfor, a leading verification and certification company.

However, a recent World Rainforest Movement report[28] documents land disputes and human rights abuses at Mount Elgon. In March 2002, a few days before SGS issued a certificate for the Forest Stewardship Council for Mount Elgon, the UWA evicted more than 300 families from the area and destroyed their homes and crops. That the project was taking place in an area of on-going land conflict and alleged human rights abuses did not make it into SGS’s report. SGS’s credibility has also been called into question by the decision of the FSC’s Accreditation Service to suspend another of its certificates, issued to the Barama company in Guyana. The report also alleges that workers are paid well below subsistence rates for tending the trees.

source: wikipedia

Ryan Giggs extends his contract

Manchester United is pleased to announce that Ryan Giggs has today extended his contract for a further season until the end of June 2009.

Ryan has 18 major titles to his name including:
9 Premier League titles,
4 FA Cups,
2 League Cups and
1 European Cup.

He made his United debut at Old Trafford on 2nd March 1991 against Everton and has played 727 matches to date - making him second only to Sir Bobby Charlton (759) in most appearances for the Club - and scored 141 goals.

Sir Alex Ferguson said:
“I am absolutely delighted that Ryan has signed for a further season. Ryan Giggs epitomises the word loyalty, he signed here as a 14-year old school boy and is still with the club 20 years on. Apart from his playing ability he has a fantastic demeanour and is a great role model to the younger players. I am sure he will be at the Club for a long time to come.”

Ryan Giggs said:
“I am delighted to have signed for a further season. I am enjoying football more than ever and I hope to carry on playing football for Manchester United for as long as I can. I would like to thank Sir Alex, the fans and everyone at the Club for the great support I have received over the years.”

Ryan's Honours List:
Barclays Premier League:
1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996/97, 1998/99, 1999/00, 2000/01, 2002/03, 2006/07

FA Cup:
1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04

League Cup:
1991/92,
2005/06

European Cup:
1998/99

European Super Cup:
1991

Intercontinental Cup:
1999

Community Shield:
1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007

source: man utd website

Yanga tujitegemee!

Klabu ya Yanga inatakiwa kuanzisha vitega uchumi vya uhakika na kuacha kutegemea hela toka mifuko ya wasamaria wema kila siku!
Yanga ina jengo kubwa na uwanja wake wa Kaunda.
1. Nashauri jengo likarabatiwe na nafasi ikiruhusu liongezwe (extension) na kukodisha baadhi ya nafasi kama ofisi na migahawa. Pia ukumbi nao unaweza kutumika kukodisha kwa shuguli za mikutano au tafrija mbalimbali.
2. Uwanja wa Kaunda ukarabatiwe na kuimarishwa ili utumike kibiashara zaidi kwa mechi za kirafiki au mashindano madogo madogo, ligi za madaraja ya chini au matamasha/sherehe za watu binafsi.
3. Timu inaweza kukopa benki na kupata hela za kuiendeleza kibiashara na kisayansi. Kuna wataalamu wengi ambao ni wapenzi au wanachama wa Yanga wanaweza kusaidia maendeleo ya timu.
4. timu iwe kampuni (plc) na watu hasa wanachama wanunue hisa ili kuongeza mtaji ktk mfuko wa timu.

Haya yote yanahitaji nidhamu ktk uongozi na utawala mzuri wa timu na fedha!

Kwanini Yanga inahangaika hivi miaka yote na wakati ina msingi mzuri wa kiuchumi -jengo na uwanja. Pia kuna wataalamu wa mambo ya fedha na uhandisi ambao wako tayari kutumia taaluma yao nyumbani (Yanga).
Kwanini tunaumiza vichwa kutafuta wahisani waisaidie Yanga 100% kifedha, badala ya kuumiza hivyo vichwa nini kifanyike ili timu ijitegemee -iondokane na maisha tegemezi?

Natoa wito mapinduzi ya kiuchumi, kimaendeleo yafanyike ili Yanga iwe timu kubwa Afrika kwani historia ya timu inaonyesha kuwa Yanga ikiamua MAMBO MAKUBWA yatafayika!

Hebu Yanga tuamke.

The tale of two PMs

The past and current Prime Minister have got the record of their own!

According to Alistair Campbell, Tony Blair had no or did not use a mobile phone in all his years as PM (1997-2007) until recently. His first text messages to Campbell were 'are' and 'these things are very nice, you can write anything...!'
Alistair Campbell, who is Blair's former spin-doctor, was speaking in the BBC One's 'The One Show'programme yesterday. The programme is hosted by Adrian Chiles and Christine Bleakley (a stand-in co-host while Myleene Klass is on martenity leave).

PM Gordon Brown do not have a driving licence, therefore he can't drive! (more on him in the wikipedia website)

Baba Wa Taifa Mwalimu J.K. Nyerere

Kwa nini tunamkumbuka Baba wa Taifa?

14 Oct 2007
By Chris Joe

Leo ni siku ya Nyerere, au Nyerere Day kama wengi wanavyopenda kuiita. Ni siku tunayokumbuka kufariki dunia kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, miaka minane iliyopita.

Mwalimu Nyerere alifariki dunia tarehe 14 Oktoba, 1999 katika hospitali ya Mtakatifu Thomas, huko Uingereza ambako alikuwa anatibiwa.

Miaka minane ni midogo, lakini ni mingi pia, kutegemea unaitazama katika dira ipi. Kwa maisha ya mwanadamu, miaka minane ni midogo.

Kama ni mtoto ni ama anaanza darasa la kwanza au yupo darasa la pili, zaidi sana la tatu kutegemea sehemu anakoishi na jamii anamoishi, na hali ya wazazi au walezi kifedha.

Kwa hiyo tunaweza kusema kwa mtoto aliye katika madarasa hayo au kwa wale walio chini ya miaka minane, atakua anamfahamu Mwalimu katika historia na kumwona katika picha tu, yaani hawakubahatika kumwona.

Kama jinsi tunavyouona muda wa miaka minane kuwa ni mdogo kwa maana ya uchanga wake, vivyo hivyo tunavyouona muda wa miaka minane ya kufa kwake kuwa ni mdogo.

Kwa hiyo miaka minane ni muda mfupi mno kwetu sisi kusahau, au kuanza kusahau kuwa tulikuwa naye, na hasa ukizingatia kuwa tulimpenda mno Mwalimu kwa busara, hekima na maarifa alivyojaliwa navyo na Mwenyezi Mungu, na kwa jinsi alivyotupenda Watanzania.

Lakini tunapokumbuka kifo chake maana yake tunakumbuka mambo aliyotufanyia sisi Watanzania wakati wa uhai wake.

Kwa maana watu hukumbukwa ama kwa mabaya aliyoyafanya kwa watu wake na nchi yake kama Hitler wa Ujerumani, Ivan The Terrible wa Urusi wa enzi hizo au Iddi Amin Dada wa hapa jirani Uganda mwishoni mwa miaka ya sabini; au kwa mema yao, kama alivyokuwa Mahtma Ghandhi wa India na Mwalimu Julius Nyerere wa hapa kwetu Tanzania.

Isipokuwa watu kama Adolf Hitler hukumbukwa kihistoria tu na kutolewa mfano wa mambo asiyofaa kuigwa.

Hukumbukwa kwa kufurahi kwamba `bora amekufa`, ni kama kuuawa kwa simba mla watu. Lakini kumkumbuka mtu kama Nyerere ni kwa huzuni kwamba `mbona ametutoka mapema hivi kabla hatujafaidi mema aliyokuwa anatufanyia.`

Ni kama kumpoteza baba au mama au mtoto aliyekuwa kipenzi chako.

Na kwa jinsi hii tunamkumbuka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Ni nani asiyefahamu mema aliyotufanyia Mwalimu na aliyolifanyia taifa lake?

Pengine ni watoto hawa ambao wanaanza shule sasa, ingawa nafahamu pia kuwa wapo wachache ambao hata ungewafanyia wema wa kiasi gani, watakuona mbaya na hufanyi chochote chema.

Hao wapo na ndivyo walivyoumbwa. Hakuna kiasi chochote cha ushawishi kitakachowabadilisha tabia yao hiyo ya kutokuwa na fadhila. Ni hulka yao, na katika demokrasia ya kweli watu wa aina hii huvumiliwa tu.

Tukianza kuorodhesha mambo aliyofanya Mwalimu kwa nchi yake na watu wake tunaweza kujaza gazeti lote kwa wiki kadhaa mfululizo.

Lakini ni muhimu kukumbuka kwamba asingekuwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, pengine uhuru wanchi hii usingepatikana mapema na kwa amani kiasi ulivyopatikana.

Ni kwa sababu ya busara za Mwalimu na ushawishi aliojaliwa kuwa nao katika uzito wa hoja zake, nchi hii ilipata uhuru mapema kuliko ilivyotarajiwa. Moja ya mambo yaloyowezesha kufanikiwa kwa jambo hili ni uelewa wake kuhusu nguvu ya umoja wa watu wake.

Ndiyo maana Mwalimu alisimamia kwa nguvu sana kwanza umoja wa kitaifa kwa kuwaunganisha Watanganyika (wakati huo) kwa lugha ya Kiswahili na la pili kubwa ni kuvunja uchifu na kwa maana hiyo kuvunja nguvu ya ukabila.

Ilifika wakati mtu akikuuliza kabila lako anaonekana wa ajabu, labda kwa lengo la utani.

Umoja wa kitaifa alioujenga Mwalimu na upendo aliopujenga kati yetu ndivyo vitu vilivyosaidia kuwepo na kushamiri kwa amani katika nchi yetu, jambo ambalo Watanzania tuna haki ya kujivunia kwa sababu watu wa mataifa mengine hapa Africa wangependa kuishi hapa kwetu kwa sababu kwao hawana uhakika wa kuiona siku ya pili salama.

Ni rahisi kubeza amani iliyoko nchini mwetu na baadhi ya watu wachache kwa maslahi yao binafsi. Lakini siyo rahisi kujenga na kudumisha amani.

Ni rahisi kubeza upendano uliopo baina ya Watanzania na kuchochea chuki na uhasama kama wanavyofanya baadhi ya watu kwa manufaa yao, lakini wajue kuwa siyo rahisi kurudisha upendo na umoja baina ya watu walioanza kupigana na kuuana kama ilivyokuwa kwa majirani zetu huko Rwanda, Burundi, Kongo Somalia; na kama ilivyo sasa huko Darfur, Sudan.

Wanaopiga na kuuana katika nchi hizo ni binadamu kama sisi na mauaji kama hayo yanaweza kabisa kutokea hapa kwetu tusipokuwa waangalifu dhidi ya hao wanaochochea uhasama kati yeu kwa kutumia vyama vya siasa.

Tukumbuke kuwa pakitokea mapigano wao na familia zao watakuwa hewani na helikopta; watakuwa wanaongoza mapigano wakiwa familia zao mbali na nchi yetu.

Kwa kupenda kwetu amani na utulivu, watu hawa wanadiriki kutuita kondoo. Wanataka tuwe nyang`au tuuane sisi kwa sisi; wanataka tuwe mbogo tutiane mapembe ili wao wafurahi kwa sababu hawatakuwa hapa wakati huo.

Kwani hatuwezi kukosoa kwa hoja nzito bila kugeuka wanyama?

Mwalimu alipenda amani na alijenga misingi mizuri ya amani nchini mwetu; alipenda na kusisitiza umoja na alijenga umoja kwa nguvu zote; aliipenda na kuihubiri sana demokrasia, na pasingekuwa Mwalimu, si ajabu mpaka sasa tungekuwa tunazungumza utawala wa chama kimoja cha siasa.

Ni Mwalimu ndiye aliyeweza kuishawishi CCM wakubali kuingia katika mfumo wa vyama vingi pamoja na kuwa asilimia 80 ya Watanzania walikataa mfumo huo.

Mwalimu alichukia sana rushwa na alisema kwa nguvu sana dhidi ya wanaoshiriki kutoa au kupokea rushwa.

Alisema `rushwa ni adui wa haki.` Alitufundisha kwa kina ubaya wa rushwa, na kwa vitendo alithibitisha kuwa anaichukia rushwa kwa kuidhinisha sheria kali dhidi ya watoa na wapokea rushwa, ambayo pamoja na kifungo ni kuchapwa viboko 24.

Katika sera yake ya Ujamaa na Kujitegemea Mwalimu alilenga kujenga taifa la watu walio sawa na wanaojitegemea, watu wanaopendana na kuheshimiana kwa ubinadamu wao.

Lakini kuna watu wameihujumu sera hii, watu hawa ni wale wanaopenda ubwana mkubwa bila kuwajibika.

Ni watu wanaopenda kuwanyanyasa wengine waonekane vikaragosi mbele yao.

Watu hawa ni wale wanaopenda rushwa kutoka hata kwa maskini abeche alolo, watu dhulumati wasiopenda wengine wapate, ni watu wanojiona bora zaidi kuliko wengine, wanaopenda kuabudiwa kama miungu watu duniani. Wamepata, lakini wanataka wapate zaidi wao tu.

Kwa hiyo kama tunamkumbuka Mwalimu kwa dhati, tuenzi aliyotufundisha na kutuachia, Umoja wa kitaifa, demokrasia ya kweli, amani iliyotukuka, mshikamano, uhuru, uadilifu, uwajibikaji na moyo wakujituma na kujitolea.

Hivi vyote vinaonekana kupungua siku hadi siku, na kwa namna hii hatuna sababu ya kujidai eti kunamkumbuka Baba wa Taifa.

Asante Mwalimu kwa yote uliyotuachia, na uzidi kupumzika kwa Amani, nasi tunakuahidi kufuata mafundisho yako.

* SOURCE: Nipashe

'Identify yourself to Man U' - Evra

Patrice Evra has revealed he has immersed himself in books and DVDs to learn more about United's rich history.

The 26-year-old Frenchman has become Sir Alex Ferguson's first-choice left-back since joining from Monaco nearly two years ago. Evra says an important part of settling into his surroundings was learning about United's past.

"I joined a club that has such a strong identity so I had to learn it," he told France Football. "I watched many cassettes, DVDs of Eric Cantona and have translated a lot of books. Now when an ex-player shakes hands with me, I know who he is."

Ferbruary's 50th anniversary of the Munich air crash is on the horizon, and learning about the tragedy has given Evra a better understanding of the fabric of the club.

"[Learning about] the plane crash in 1958 moved me," he said. "When I take the plane with Bobby Charlton, I ask myself, ’how can he do it after what he has been through?’.

"I have more and more respect for this shirt. I advise everybody to be interested in his club, to identify yourself to it, it helped me."

source: man utd website

Asante Mhe Nimrod Mkono (MB)

Natoa pongezi kwa Mhe Mkono (MB) kwa kauli yake alipotembelea Isango!
Na Mosonga

Shule aliyosoma Waziri
Sitta yageuka kichaka
Ilifungwa na Profesa Kapuya
NA EVA SWEET MUSIBA, MUSOMA
SHULE ya Sekondari ya Isango, wilayani Rorya, Mara, aliyosoma Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta, imefungwa kwa kipindi kirefu, hivyo kugeuka kuwa kichaka na makazi ya popo.
Kwa mujibu wa taarifa, shule hiyo ilifungwa mwaka 1997 na aliyekuwa Waziri wa Elimu na Utamaduni, Profesa Juma Kapuya, kwa maelezo kwamba ni chakavu na haina samani. Profesa Kapuya kwa sasa ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono aliitembelea shule hiyo hivi karibuni, akiwa amefuatana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Makongoro Nyerere. Shule hiyo ni mali ya Jumuia ya Wazazi ya CCM.
Mkono alisema amesikitishwa na kitendo cha kufunga kwa shule hiyo na kuachwa kuwa gofu.
Licha ya kufungwa, baadhi ya walimu bado wanaishi katika maeneo ya shule hiyo, huku wakiendelea kutumia ofisi zilizo chafu na chakavu.
Mkono akizungumza na baadhi ya walimu hao, alisema anataka kuona shule hiyo inafunguliwa, na kama watahitaji msaada yuko tayari kutoa.
Akiwa shuleni hapo, pia alikutana na ofisa miliki wa mali za jumuia hiyo ya Chama, Kapteni mstaafu Mohamed Ligora, ambaye alikwenda kukagua shule hiyo.
Mkono alionyesha kushangazwa na hali ya shule hiyo, akisema watoto wanakosa elimu, wakati shule ipo kinachotakiwa ni kuikarabati.

source: Uhuru

MAKABRASHA YANGU!! - METHALI

1.
SIMPLE MINDS DISCUSS PEOPLE!
ORDINARY MINDS DISCUSS EVENTS!
GREAT MINDS DISCUSS IDEAS/ISSUES!

2.
HAPPINESS IS NOT ...
HAVING WHAT YOU WANT, BUT
WANTING WHAT YOU HAVE!!

3.
LIFE IS NOT REHEARSED!

4.
THERE IS A FINE LINE BETWEEN SUCCESS AND FAILURE!

5.
BEAUTY IS IN THE EYE OF THE BEHOLDER!
(saying)
= people all have different ideas about what is beautiful.

6.
BEAUTY IS ONLY SKIN-DEEP!
(saying)
=how sb looks is less important than their character.

7.
AS I GROW OLDER I FIND I DON'T HAVE TO AVOID TEMPTATIONS ANY LONGER. TEMPTATIONS AVOID ME.
(24/11/2007, deile meil)

8.
TOO MUCH ALCOHOL MAKES YOU FEEL INVINCIBLE WHILE YOU ARE VULNERABLE!

9.
HAPPINESS IS ...
TO GET MARRIED TO
YOUR BEST FRIEND!!!

'beauty is only skin-deep'

10.
SOMETHING THAT DOESN'T KILL YOU MAKES YOU STRONGER!
- simon jordan, chairman (crystal pallace), 2006

11.
GREAT MINDS THINK ALIKE! 4/12/2007

12.
'A WORD TO A WISEMAN IS ENOUGH! -07/12/2007

13.
'HAPPY WIFE, HAPPY LIFE!' -10/12/2007

14. 'a lie can be halfway around the world
before the truth gets its boots on' -18/12/2007

15.
'a good leader is the one who put his/her people in front when celebrating victory and in good times;
when there is danger he/she takes a front line' -20/12/2007
-nelson madela

16. 'absence makes the heart grow fonder' -28/12/2007

Monday 15 October 2007

Jenerali Ulimwengu na 'ukarimu' wa Watanzania!

15.10.2007 1239 EAT

Amani si sera ya chama ni matokeo- Jenerali Ulimwengu
*Atadharisha ukarimu wa Watanzania kutumiwa vibaya
*Asema wapo sokoni yeyote mwenye fedha aweza kuwanunua
*Wasomi Mlimani washangilia, wakatiza mada yake, waimba

Na Joseph Lugendo
MWANDISHI mkongwe wa habari nchini na Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, Bw. Jenerali Ulimwengu amesema amani si sera ya nchi yeyote duniani na kuhoji sababu za baadhi ya aliowaita watawala, kuihubiri kama sera ya chama.

Akitoa mada katika Kongamano la Kumbukumbu ya miaka 8 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana, Bw. Ulimwengu alisema hakuna mtu ambaye anachukia amani.

Alisema Mwalimu Nyerere aliwahi kusema amani haiji hivi hivi ila ni matokeo ya utekelezaji wa sera zilizowapa wananchi matumaini na kuhoji kama amani inapatikana kirahisi hivyo kwanini isingepatikana kwa wengine.

Aidha alitahadharisha watu wasitumie vibaya ukarimu wa Watanzania na kuongeza kuwa Siera Leone walikuwa wakarimu kuliko Watanzania lakini waligeuka ghafla na kuwa wakatili kiasi cha kukatana mikono.

Kwa mujibu wa Bw. Ulimwengu, ukatili huo ulisababishwa na utawala mbovu uliohusisha vitendo vya rushwa na kuonya kuwa wachochezi wa vita vya baadae ni mafisadi wa leo.

"Ogopa sana upole wa Mtanzania ambaye ukimkanyaga anaomba msamaha kwa kuweka mguu wake chini ya mguu wako," alisema Bw. Ulimwengu na kusababisha wanafunzi waliokuwepo kusimama na kuanza kumshangilia huku wakimba 'Sema usiogope sema sisi vijana hatuogopi vibaraka sema!'

Alikumbusha kuwa ingawa Mwalimu Nyerere alikuwa na katiba ambayo ilimruhusu kuongoza kidikteta katika mazingira ambayo hakukuwa na vyombo vya habari vya kusema hadharani, lakini hakuutumia uwezo huo kujinufaisha.

"Mwalimu angeweza kabisa kumwambia Bw. Edwin Mtei(Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania - BoT) achukue kiasi cha dola kadhaa kutoka BoT na kuziweka kwenye akaunti London kama Mobutu alivyofanya," alisema Bw. Ulimwengu na kuongeza kwamba hata kama watu wangetaka kumpinga yeye alikuwa na ushawishi mkubwa wa kuwaambia wananchi wawakatae na wakakatiliwa ila hakufanya hivyo kwakuwa alikataa mali.

Alisema wakati Mwalimu Nyerere alichukia dhuluma na utawala wa mabavu hivi sasa ni tofauti ambapo tatizo dogo linapotokea watawala hutuma vikosi vya Polisi wa Kutuliza Fujo (FFU) badala ya kutumia busara kidogo kutatua.

Alitolea mfano wa matumizi ya FFU katika vurugu zilizowahi kutokea katika eneo la Mwembechai Dar es Salaam na huko Pemba jambo ambalo liliwafanya wanafunzi waliokuwa wamefurika kupaza sauti na kusema 'Mfano mzuri ni hapa hapa !'

"Wakati mwingine kiongozi anaweza kusikiliza mawazo ya anaowaongoza hata kama yanapingana na yake na tatizo likaisha kwa kuruhusu watu kujieleza," alisema Bw. Ulimwengu na kuongeza kuwa watawala wanaotumia mabavu ni waoga wa hoja zitakazotolewa kwa kuwa hawana majibu ya hoja.

Alitoa mafano wa tatizo lililotokea chuoni hapo hivi karibuni la kumzuia Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe ambaye naye alikuwepo chuoni hapo jana, kuzungumza kwenye mdahalo uliokuwa umeandaliwa na wanafunzi wa chuo hicho wiki mbili zilizopita na kusema tatizo sio Zitto ila ni kuwepo kwa maswali mengi na kwa muda mrefu kwa wananchi ambayo hayajapatiwa majibu.

Kuhusu hali ya utawala baada ya kifo cha Mwalimu Nyerere, Bw. Ulimwengu alisema hakuna mtu au kiongozi anayeweza kusema hadharani kuwa hataki kumuenzi Mwalimu Nyerere lakini ukiwaambia watekeleze usemi wao, wanajiondokea.

Alisema Tanzania ina upungufu mkubwa wa viongozi kutokana na hali ya rushwa ambayo imefikia kununua wapiga kura na kuongeza watu wanaweza kupiga mahesabu wakiwa nje ya nchi jinsi ya kuja kununua uongozi.

"Mtu anaweza kuwa Texas Marekani na akatumia dola bilioni 3 kununua kura jimbo hadi jimbo," alisema Bw. Ulimwengu na kuongeza Watanzania wajijue kuwa wapo sokoni na yeyote mwenye fedha anayetaka kuwanunua, atawanunua.

Alisema hali hiyo inakuwa mbaya zaidi inapotokea sehemu kubwa ya fedha za bajeti inatoka nje ya nchi kwakuwa hata sera zitakuwa zinatoka nje ya nchi na kuongeza kuwa alikuwa na hamu ya kumuona Waziri wa Fedha Bi. Zakia Meghji muda mfupi kabla ya bajeti ya mwaka ili amuulize bajeti imekuja lini toka Washington Marekani?

Katika tukio lingine Ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam lilipofanyikia kongamano hilo, ulipambwa kwa mabango mbalimbali yaliyokuwa yaliyobeba ujumbe mzito.

Baadhi ya mabango hayo yalisema 'Mwalimu akifufuka leo Mtafanya kazi ofisi moja?'. Lingine liliandikwa 'Alichokichukia Mwalimu ndicho kinachopendwa sasa UFISADI.' Lingine 'Kutoka Baba wa Taifa hadi Vibaka wa Taifa.' Lingine Nchi itamalizwa kuunzwa lini? Je ndiyo mawazo ya Mwalimu?' Na lingine liliandikwa 'Mwalimu fufuka nchi inaangamia.'

Kitendo cha kutotokea viongozi wa kitaifa zaidi ya Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. John Magufuli, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Dkt. Salim Ahmed Salim na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Bw. Joseph Butiku kilisababisha wanafunzi hao kuhoji kama siku ya jana ilikuwa ya kitaifa au na kuongeza kuwa kama Mwalimu angefufuka angewakana baadhi ya watu.

Akitoa maoni kuhusu michango ya wanafunzi hao, Dkt. Salim alisema alifurahi kuona vijana wakichangia hoja kwa ufasaha. Alisema Mwalimu alikuwa kiongozi nadra kutokea ambaye alitetea watu na kupambana na uonevu.

Alisema alikuwa msomi wa hali ya juu kwa kuweza kutafsiri mambo makubwa kwa lugha rahisi na kuungana na wanafunzi hao kwa kusema kuwa haitoshi kujivunia kuwa na Mwalimu Nyerere bali tujitahidi kutekeleza alivyosema.

Kuhusu hali ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere Dkt. Salim alisema Taasisi hiyo inamatatizo ya kukosa chanzo cha kudumu cha mapato na kuongeza kuwa baadhi ya watumishi akiwemo yeye, wanafanya kazi kwa kujitolea.

Awali akichangia hoja kwenye mada zilizotolewa, Bw. Hasmukh Maganial Pandya aliyejitambulisha kuwa ni muasisi Jumuiya ya Viajna wa TANU, alisema alisoma habari kuhusu hali ya ukoo wa Nyerere zilizochapishwa na gazeti la Majira Jumapili na kusikitishwa na jambo hilo na kutumia fursa hiyokuchangisha fedha kutoka kwa watu waliohudhuria kongamano hilo ili kusaidia ukoo huo.


Mwisho.....

source: gazeti Majira

Friday 12 October 2007

Utabiri wa Nyerere kuhusu Afrika na Ulaya

Mwalimu Nyere alifariki tarehe 14/10/1999 ktk Hospitali ya Mt. Thomas, London kutokana na saratani ya damu.
Mwalimu ni miongoni mwa watu mashuhuri ninaowaheshimu duniani. Nilipokuwa darasa la tano au la sita nilisoma kitabu cha somo la Kiswahili (Tujifunze Lugha Yetu kitabu cha 7 au 8?). Ndio mwanzo wa kumjua Mwalimu enzi za udogo wangu. Sura mojawapo ktk kitabu hicho ilianza na huu msitari, 'Watendamema ni wengi ila mashujaa ni wachache ...). Ktk sura hiyo walimwongelea mwalimu JK Nyerere.
Mwalimu atabaki ktk kumbukumbu zangu daima na ni mfano wa kuigwa!
Makala ifuatayo imeandikwa na ndugu Nimi Mweta, inazidi kunikumbusha ushujaa wa Mwalimu!! (Unaposoma makala hii kumbuka pia kuwa Mwalimu aliwahi kuwa mwenyekiti wa South-South Commission. Linganisha hoja ya Mwalimu kuhusu 'location' ya bara la Afrika na 'location' ya nchi ya Mexico ambayo iko ktk eneo la South-South Commission ingawa kijografia iko kaskazini. Oanisha maoni ya Mwalimu juu ya Mexico na haya anayoongelea mwandishi Nimi Mweta).
Na Mosonga


Hatma ya utabiri wa Nyerere kuhusu Afrika na Ulaya, 1997 hadi 2007
12 Oct 2007
By Nimi Mweta

Mwishoni mwa 1997, Mwalimu Julius Nyerere alihudhuria kongamano la `Uongozi katika Bara la Afrika,` katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa muda wa siku tatu mfululizo, ambako alichangia mada katika maeneo tofauti, akatoa mada ya ufunguzi.

Ilihusu nafasi ya Afrika katika dunia ambayo katika muongo huu (tangu mwaka 2000) inajulikana kwa nguvu zaidi kama `dunia ya utandawazi.`

Mwalimu hakuwa na utabiri mzuri kwa Afrika, na vinginevyo labda alikuwa akisoma `hitma` ya fikra yake kuhusu `ukoloni mamboleo` hadi 1997.

Ni hali ambayo imekuwa wazi zaidi, kupambanua yaliyofikiriwa wakati ule.

Mwalimu alikuwa na fikra ambayo kwa mbali ilikaribiana na ile ya Mwalimu Ali Mazrui wa Kenya, mshindani wa Mwalimu kifikra alipokuwa mkuu wa kitivo cha taaluma za jamii huko Makerere miaka ya mwisho ya 60 na mapema miaka ya 70.

Profesa Mazrui anaiona Afrika kama bara lililovurugwa katika utamaduni wake na wageni kutoka nje, huku ikiwa haina uwezo wa kutumia fursa mpya za teknolojia, tofauti na Asia ambayo haijavurugwa katika utamaduni wake, na imetimua fasaha na vya kutosha teknolojia kutoka magharibi hivyo kubadili viwango vya maisha vya watu wake.

Mwalimu aliiona Afrika inadidimia tu.

Katika mada yake hiyo iliyosikilizwa kwa makini sana katika ukumbi wa Nkrumah mbele ya waalimu wa Chuo Kikuu, wanafunzi, mabalozi kutoka sehemu tofauti duniani na watu wengine, Mwalimu alisema tofauti na nchi nyingine zinazoendelea, Afrika haina uwezo wa kuilazimisha Ulaya (na Amerika) kuisaidia ipasavyo kimaendeleo.

Akiwa amechukulia ule mfumo wa misaada uitwao Marshall Plan, uliotungwa na Marekani kujenga upya Ulaya kwa mfumo wa soko baada ya Vita Kuu ya Pili, Mwalimu alitoa rai kuwa umbali wa nchi nyingi za Afrika kwa Ulaya au Marekani, au Japani, ndiyo kikwazo kikubwa katika hali hiyo.

Wengine wako karibu, wanahamia huko, kuzifanya nchi zilizoendelea zitoe jawabu.

Alieleza kuwa nchi za Marekani Kusini zina nguvu ya kuathiri sera za uchumi au kuhusu maendeleo yao kwa nchi kubwa ya Marekani kwani wananchi wake wanahamia huko kwa maelfu kila kukicha, na kuwazuia si rahisi.

Kwa maana hiyo Marekani ilibuni mpango wa kujenga soko la pamoja (au eneo la biashara huria) la Marekani na nchi za kaskazini ya Bara la Amerika, yaani NAFTA inayoundwa na Marekani, Canada na Mexico.

Ulaya ilikuwa inaendelea kupanua uanachama kwa nchi zilizokuwa sehemu ya fungamano la nchi za kisoshalisti ambazo ziliacha kambi ya Urusi na kuingia mfumo wa soko.

Hata nchi za Afrika Kaskazini (za Kiarabu) zipo katika harakati ya ushirikiano maalum na Umoja wa Ulaya, kwani watu wake wanakwenda huko kwa wingi, kuhama mafarakano, vita, udini.

Alisema Afrika iko mbali na Marekani, na Ulaya na hasa na Japani, kwa hiyo watu wake hawana uwezo wa kutoa shinikizo kwa kuhamia katika nchi kubwa zinazofanya maamuzi ya uchumi duniani - mtazamo unaoonyesha kuwa ndiyo njia pekee iliyobaki.

Suala ni kama uchambuzi au taswira hiyo bado ina `nguvu ya hoja` katika hali halisi kama jinsi ilivyoonekana wakati huo, au hali ya dunia imebadilika kiasi cha kuona hali ya dunia kwa njia nyingine.

Bado Afrika haina nguvu kuathiri sera za wakubwa kutokana na umbali, au yako maeneo ambako mpangilio huu wa picha (taswira) sasa umebadilika?

Mtazamo wa Mwalimu unaweza kuitwa ni kielelezo cha mfikiriaji wa Brazil wa miaka ya 1960 aitwaye Andre Gunder-Frank, aliyetoa mfumo wa ubepari wa dunia au utandawizi kama kitovu na pembezoni .

Alisema ziko nchi za kati na za pembezoni katika mfumo huo, na ndani ya pande hizo mbili, kuna kati ya kati na kati ya pembezoni, kama ilivyo pia pembezoni ya kati na pembezoni ya pembezoni,` ambayo kimsingi ndiyo Bara la Afrika.

Ni mtazamo ambao unatoa taswira ya kuogopesha ya uduni wetu.

Mtazamo huo wa Mwalimu ni kielelezo cha kukua au kukamilika kwa kukata tamaa kimsingi kuhusu uwezo wa kuzitaka nchi zilizoendelea kujitolea ili Afrika iweze kupiga hatua kwa uhalisi fulani.

Baada ya kusisitiza jambo hilo kwa miaka mingi tangu baada ya uhuru, Mwalimu na viongozi wakuu kadhaa wa nchi `tangulizi` kati ya nchi zinazoendelea (ikiwemo Ugiriki, India, Mexico) zilikutana na Marekani wakati huo Ronald Reagan akiwa rais, kwenye mji wa kitalii wa Cancun nchini Mexico ambako Rais Reagan alisema `no` au kwa Kirusi `nyet` kuhusu kile kilichoitwa `new international economic order` aliyoitaka Mwalimu na wanaharakati wa pande zote za dunia.

Mwalimu ni `mzimu` wa harakati dhidi ya IMF na Benki ya Dunia tangu mwaka 1981, aliposema IMF ni `mfuko` wa kusaidia nchi zenye matatizo (ya urari wa malipo) si `International Ministry of Finance,` yaani taasisi (wizara ya fedha) ya kuzipangia nchi hizi sera zao....

Kwa mtazamo wa Mwalimu, hapawezi kuwa na matumaini` yoyote kwa Afrika nje ya kufikiwa kwa `new international economic order,` na hata kama hiyo haifikiwi kwa nchi zote kwa pamoja au kwa mpangilio mmoja wa nyenzo au sera, basi Afrika ipate mradi maalum wa `Marshall Plan` wa kujinasua, kwa mfano kwa ujenzi wa miundombinu thabiti, vifaa vya kisasa vya kilimo, n.k. Profesa Jeffrey Sachs, mshauri wa Dk Kofi Annan kwa `malengo ya maendeleo ya milenia` na mchumi bingwa na mwanaharakati wa Marekani, amebakia na fikra kama ile ya Mwalimu takriban kwa kila alilonena.

Siyo mawazo `yaliyochoka,` bado.

Ina maana kwamba fikra za Mwalimu Nyerere ziko pale pale kwa uhalisi wake kuhusu kile kinachoendelea katika uchumi wa dunia?

Jibu ni ndiyo na hapana, kuwa kama suala ni kubadilisha nchi hizi (hasa za Afrika, lakini pia `mabaki` ya Asia ya Kusini, Marekani ya Kati, Kusini na visiwa vya Kiafrika vya Mashariki ya Mbali) basi mpangilio unaoendana na hali ilivyo ni hiyo `Marshall Plan.`

Ila tu kuna tatizo kuwa nchi nyingi zimepata fedha nyingi kama Nigeria kuhusiana na mafuta, au Congo kwa utajiri wa madini, bila kuweza kupiga hatua zozote.

Tanzania imepata takriban dola bilioni 50 za misaada tangu uhuru, na leo hivi watu wanadai kuwa tuna umaskini wa kutisha kutokana na mikataba ya kodi za madini, ambayo serikali imeingia na makampuni makubwa tangu 1998.

Ni kweli eti vianzio vya umaskini vimewekwa, au kujengwa upya wakati Mwalimu anakaribia kufariki?

Ni wazi kuwa yako matatizo katika mfumo mzima wa fikra ambayo Mwalimu anaitetea, ambayo hakuwahi kupata ufumbuzi wake kutokana na `kuuganda` mfumo wa ki-Keynes na `dili mpya` nchini Marekani na Uingereza baada ya Vita Kuu ya Pili, ya kuwaboresha wafanyakazi kwa serikali kutoa fedha katika mabenki kufanya kinachohitajika.

Mwalimu alitaka hilo lifanyike kwa nchi zote changa, na sera zake za Ujamaa zilikuwa ni kufanya hivyo kwa upande wa Tanzania, yaani wa ndani, na aliweka misingi ya viwanda, elimu na taasisi za afya - vyote vikaporomoka kutokana na msingi wake wa kutegemea mauzo ya mazao nchi za nje.

Thamani ya fedha ikashuka, mazao mbadala na yale ya kilimo bora cha mashine kilichopunguza bei ya mazao na bado kinapunguza bei hizo ikawa vikwazo kwa kufanikisha lengo la kutumia fedha za ndani kufikia viwanda na kilimo bora, hivyo sharti fedha hizo zitoke nje.

Mwalimu aliona, hadi kufikia mwisho wa mwaka 1997, kuwa haiwezekani, kwani Afrika iko pembezoni mwa dunia, na hata watu wake wakifa, wengine hawatashtuka. Je, kuanza kwa `malengo ya milenia,` AGOA, EPA, TICAD, China ni jawabu?

* SOURCE: Nipashe

Thursday 11 October 2007

Kikwete miaka 57, Hongera

Birthday ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mhe. J Kikwete ni ilikuwa 07/10/2007 Jumapili iliyopita, ambapo alitimiza umri wa miaka 57.
Nampongeza na kumwombea maisha marefu!
Na Mosonga

Tuesday 9 October 2007

Shugamami anapo-'opoa' mume kijana!

Shugamami kauza nyumba, katimua watoto kisa, kaopoa mume kijana!
07 Oct 2007
By Anti Flora Wingia

Karibu wiki mbili zilizopita, safu hii ilijadili na kuchapisha maoni ya wasomaji wetu mbalimbali kuhusu suala la rushwa ya ngono katika vyumba vya habari.

Wengi wamekemea tabia hiyo ambayo hakika si tu haipendezi, bali pia inafifisha taaluma yenyewe na pia juhudi za taifa za kupambana na rushwa ikiwemo ya aina hiyo.

Hebu leo tuchepuke kidogo, tuangalie suala lingine ambalo kwa kiwango kikubwa limechangia mizozo na migongano ndani ya familia zetu.

Tunaweza kuona ni jambo la kawaida kutokana na kutokea hapa na pale na kukaa kimya, lakini athari zake ni kubwa katika maisha yetu ya kila siku.

Naam. Mpenzi msomaji, bila shaka umewahi kusikia watu wanaojulikana kama MASHUGADADI. Hawa ni wanaume watu wazima, wengine wenye heshima na nyadhifa zao wanaotamani mabinti wadogo na kuwarubuni kimapenzi.

Hawa siyo mabachela tu bali baadhi yao wameoa na hata kubahatika wajukuu. Mabinti wanaoshikamana na mijibaba ya aina hii, hutamba eti ni mashuga-dadi wao.

Hali hiyo ipo pia kwa kinamama kwani wapo baadhi hujisheua na kuwatia ulimboni vijana wadogo wa kiume, wengine wakiwa na umri sawa na watoto wao na hata kufikia hatua kuwaweka kinyumba. Hawa wamekuwa wakijulikana kama MASHAGAMAMI.

Kinamama wa aina hii ndio nitakaozungumzia leo nikihusisha mfano hai niliounasa hivi majuzi toka kwa jirani yangu.
Wapo mashugamami wanajenga mahusiano na vijana wadogo lakini kila mmoja akiwa kwake.

Yaani kuwa na mawasiliano kisha kuonana mara kwa mara. Katika kundi hili hata wanafunzi wao. Lakini wengine wakinogewa, kama wako single, basi hugandamana moja kwa moja na kuwa mke na mume.

Kabla sijaendelea, sikia kisa hiki cha kusikitisha.
Ni mfano hai niliosimuliwa na jirani yangu akisononeshwa na hatua iliyochukuliwa na mama mmoja ndugu yao hata kusababisha familia kusambaratika, kisa kampata mume kijana baada ya kufiwa na mumewe.

Mama huyu aliishi maisha ya raha na starehe na mumewe.
Walibahatika kupata watoto watatu, wavulana wawili na msichana mmoja.

Mumewe alikuwa mtu mwenye uwezo na madaraka makubwa. Kwa nafasi yake akaweza kujenga nyumba tatu, moja akiwa anaishi na familia yake na nyingine mbili akazipangisha.

Katika safari zake za kikazi, baba yule akapata ajali na hatimaye kufariki dunia. Wakati huo watoto walikuwa bado hawajaweza kujitegemea kwani wawili walikuwa katika ngazi ya sekondari na mmoja shule ya msingi.

Mama huyu badala ya kusimamia vema mali zile za urithi wa mumewe ili ziweze kutunza watoto wake, akaanza kupepesa macho kutafuta washikaji wa kumliwaza.

Inaelezwa na ndugu zake kwamba kazi yake kubwa ni kutafuta vijana wadogo wadogo ambao aliwalaghai kwa kuwapa fedha na bila shaka, zilizotokana na kodi za nyumba alizoacha mumewe. Mahali alipojua kuwa amekwama ni pale alipompata kijana mmoja kutoka visiwa vinavyozalisha karafuu kwa wingi.

Kijana huyu, hakika alimchengua shugamami huyu hata kupelekea kumhamishia nyumbani kwake.

Watoto wakiwa wanatizama kinachoendelea, mama akaweka mkakati akawafukuza wanawe wakaishi kwa ndugu na jamaa zao kwa maelezo kuwa anauza nyumba ile.

Shugamami huyu kwa kunogewa penzi la kijana wakaoana rasmi, kisha akaanza kuuza nyumba moja baada ya nyingine na zilipoisha wakahamia kwenye nyumba ya kupanga.

Akaamua kujiremba kwa vito vya thamani huku akivalia mavazi ya gharama ili amvutie mumewe huyo chekibobu.
Ama kweli Maisha Ndivyo Yalivyo.

Shugamami huyu, ni miaka miwili sasa tokea mumewe afariki, lakini mali zote za mume ameziuza na sasa, kwa mujibu wa maelezo ya ndugu zake, anahama nyumba moja hadi nyingine, tena za bei nafuu baada ya maisha kumwendea kombo.

Mitaani anapita kwa kuvizia ili asikutane na mtu anayemfahamu kutokana na kuficha aibu. Vito vya thamani alivyokuwa amesheheni mwilini na mavazi ya gharama vimetoweka, fedha za mauzo ya nyumba za urithi zilishayeyuka, watoto hawataki hata kumuona mama yao kutokana na jinsi alivyowatelekeza na mambo mengine kibao.

Ama kwa hakika, mbio za sakafuni huishia ukingoni.
Na ngoma ikilia sana, iko mbioni kupasuka. Ndugu walimshauri mwanzoni namna ya kutunza mali zile kwa manufaa yake na watoto, lakini aliwapuuza.

Sasa majuto ni mjukuu na asiyesikia la mkuu, mwishoni huvunjika guu.

Laiti angetulia na kutafakari namna ya kutunza watoto wake, yote hayo yasingemkuta.

Sasa inaelezwa hata huyu mume kijana huenda akamwacha kwani mama sasa anakuwa tegemezi kuliko mtoaji kama ilivyokuwa awali. Si unajua tena penzi tamu kama asali linapogeuka shubiri.

Mpenzi msomaji, bila shaka umepata picha kamili ya kisa hicho kinachoacha maswali kibao. Wapo kinamama wanaotafuta bahati aliyokuwa nayo mama huyu niliyemzungumzia lakini wanaikosa.

Fikiria unaye mume mtafutaji, aweze hata kujenga nyumba kadhaa au kuwa na miradi kadhaa kwa ajili ya pato la familia, kwa mapenzi ya Mungu anatwaliwa, kisha nawe mbio unavuruga mali zote, tena kwa muda mfupi tu. Wewe ni mwanamke wa aina gani?

Tena, ukiwa unajua fika kuwa unao watoto, tena wako mwenyewe, unauza mali zote za urithi toka kwa baba yao(mumeo), unawaacha wanateseka. Nani atakusamehe kwa hilo?

Kisa cha hayo yote umempata mume kijana, chekibobu.
Kama ilikuwa ni lazima kujirusha naye, kwanini basi uuze mali zote ukafaidi naye badala ya kuwaachia watoto urithi toka kwa baba yao?

Ona sasa, nyumba zote kauza, watoto wamemsusa, chekibobu mbioni kumwacha na kuoa mwingine na kibaya zaidi wala mama huyu hakuzaa hata mtoto mmoja na kijana yule. Kama siyo laana ya Mwenyezi Mungu ni kitu gani?

Alitaka mtoto au watoto kwa kijana yule wakati wale waliotangulia aliwapiga teke?

Kwanini asingekumbatia wanawe, hata kama alimhitaji kijana wake huyo kama liwazo, ili kuwafariji na kuwaendeleza kimaisha?

Mpenzi msomaji, napata maswali mengi kichwani mwangu pasipo ukomo.

Hili ni tatizo ndani ya jamii yetu. Ukiona mfano huo umejitokeza hadharani, ujue ipo mingine mingi iliyofichika na familia husika kuendelea kugumia maumivu ya kimaisha kimya kimya. Hapana. Zungumza ili jambo hili likemewe hatimaye tuwe na familia zilizojengeka imara.

Labda tu kabla sijahitimisha niwaase kinamama kuchukulia mfano wa kisa hiki kama changamoto katika kupambana na tabia au maamuzi mabovu yanayosambaratisha familia badala ya kuzijenga.

Tuonyeshe mfano kwa kukataa tabia hii ya kupenda vijana wadogo ambao, wengine umri ni sawa na watoto mliowazaa.

Kama tunaiga kinababa- mashugadadi- tuache, tujikemee na kisha tuwakemee na kinababa.

Baba au mama ambao ni watu wazima ni aibu kuwa na mahusiano na vijana. hawa ni wazazi, walezi ambao busara zao zinategemewa katika kuwajengea maisha bora vijana wetu na si kuwabomoa.

Tabia hizi chafu za watu wazima kuvamia vijana na hata watoto wadogo ndizo zimechangia matukio ya aibu kama hilo nililozungumzia na pia mengine kama ya ubakaji kwa kuwa vijana wanaingia katika ngazi fulani ya maisha kabla ya wakati wao.

Tunalaumu eti vijana hawana adabu mbele za wazee kumbe baadhi ya wazee, watu wazima, wake kwa waume ndio hawana adabu mbele za vijana wetu.

Kama kweli tumepania kujenga kizazi kilicholelewa katika maadili mema, kinachoheshimika na kuheshimiana miongoni mwa watu wa rika zote, basi tupige vita hayo niliyojadili hapo juu.

Mpenzi msomaji, kumbuka mie nimechokoza. Kama unayo maoni au ushauri zaidi juu ya yaliyomo katika makala haya, unakaribishwa. Niandikie kupitia; Email:

fwingia@yahoo.com

Wasalaam

* SOURCE: Nipashe

Mishahara mipya sekta binafsi

Mishahara mipya hii hapa

09 Oct 2007
By MWANDISHI WETU, JIJINI

Kwa mtazamo wa juu juu, utasema Rais Jakaya Kikwete amerejea kutoka majuu na neema kwani ile kufika tu, Serikali yake ikatangaza viwango vipya vya mishahara kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.

Viwango hivyo vilitangazwa na Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana , Bw. John Chiligati.

Mambo yako hivi:
350,000-Sekta binafsi za usafiri na mawasiliano (anga).

230,000- Huduma ya upakiaji na upakuaji wa mizigo.

300,000 –Makuli, wajenzi wa melini 300,000-Wafanyakazi wa mawasiliano ya simu kiwango kipya kitakuwa 200,000 Usafiri wa nchi kavu 250,000 Vyombo vya habari vya kibiashara 150,000 Vyombo vya kidini.

225,000 Meli za mizigo
196,000 Meli za uvuvi wa ndani
120,000-Wauza madawa maduka makubwa
90,000 Mahausigeli wa mabalozi
80,000 Mahausigeli wa vigogo
80,000 Watumishi wa bar, hoteli ndogo gesti
65,000 Mahausigeli, hausiboi wa walalahoi
65,000, Wafanyakazi wa kilimo mashambani

Kiwango hicho kwa watu wa daraja la chini ni neema kubwa kwani hadi sasa kima cha chini cha mishahara katika sekta binafsi kilichokuwa kinatumika ni Sh. 35,000 kwa wafanyakazi wa mashambani na kwa wale wa mjini Sh.48,000.

* SOURCE: Alasiri


Ifuatayo ni habari hiyohiyo kupitia gazeti Uhuru.

Kima cha chini sekta binafsi chatangazwa
Watumishi wa ndani, baa kulipwa 65,000/-
Vyombo vya habari vya biashara 250,000/-
NA MAGRETH KINABO
SERIKALI imetangaza kima cha chini cha mishahara kitachotumika katika sekta binafsi kuanzia Novemba Mosi, mwaka huu, ambacho kitakuwa kati ya sh. 65,000 na sh. 350,000 kwa mwezi.
Kima hicho cha mshahara kitawahusu wafanyakazi wa baa, hoteli, majumbani, sekta ya madini, ulinzi binafsi, afya, biashara, viwanda, usafiri na mawasiliano.
Akitangaza mishahara hiyo kwa waandishi wa habari jana, Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, John Chiligati alisema kiwango hicho pia kinawahusu wafanyakazi wa sekta ya kilimo.
Akitoa mchanganuo Chiligati alisema wafanyakazi walioajiriwa kwenye sekta ya kilimo wanatakiwa kulipwa kima cha chini sh. 65,000 kwa mwezi, mshahara ambao pia unawahusu wafanyakazi wa majumbani, ambao hawakai na waajiri wao.
Alisema wafanyakazi wa majumbani wanaofanya kazi kwa wafanyabiashara wakubwa na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini wanatakiwa kulipwa sh. 90,000 kwa mwezi.
Chiligati alisema wafanyakazi wa majumbani wanaofanya kazi kwa watu wanaolipiwa huduma hiyo, wanatakiwa kulipwa kima cha chini sh. 80,000 kwa mwezi.
Wanaofanya kazi kwa watu wa kawaida na hawalali kwa waajiri wanapaswa kulipwa sh. 65,000, wakati kwa wale wanaolala kwa mwajiri watalipwa mshahara wa kima cha chini sh. 25,000 kwa mwezi.
Alisema wafanyakazi wanaofanya kwenye hoteli za kitalii wanatakiwa kulipwa kima cha chini cha sh.150,000; wakati wale wa hoteli za kiwango cha kati watalipwa sh.100,000; huku wale wa hoteli ndogo, baa, nyumba za wageni na migahawa watalipwa sh. 80,000 kwa mwezi.
Waziri Chiligati alisema kwa wale wanaofanya kazi kwenye sekta ya madini kima cha chini cha mshahara wanaotakiwa kulipwa ni sh. 350,000.
Wafanyakazi wa kampuni za ulinzi za kigeni na zile kubwa wanatakiwa kulipwa sh. 105,000 kwa mwezi, huku zingine zikitakiwa kulipa kima cha chini cha sh. 80,000.
Alisema wafanyakazi wa viwanda vikubwa na benki wanatakiwa kulipwa kima cha chini cha sh. 150,000; wakati viwanda vidogo na biashara ndogo wanatakiwa kulipwa kima cha chini cha sh. 80,000.
Chiligati alisema kwa sekta ya afya, wafanyakazi wa hospitali kubwa na maduka makubwa ya dawa wanatakiwa kulipwa kima cha chini cha sh. 120,000; huku wale wa hospitali ndogo, zahanati, maduka madogo ya dawa na maabara wanatakiwa kulipwa kima cha chini cha sh. 80,000.
Alisema kwa wafanyakazi wa sekta ya usafiri na mawasiliano wanaofanya kazi kwenye huduma ya anga wanatakiwa kulipwa kima cha chini cha sh.350,000.
Wakala wa forodha sh. 230,000, mawasiliano ya simu sh. 300,000, usafiri wa nchi kavu sh. 200,000, vyombo vya habari vinavyofanya biashara vinatakiwa kulipa kima cha chini cha sh. 250,000 na kwa vile vinavyotoa huduma za kidini wanatakiwa kulipa sh. 150,000.
Chiligati alisema katika sekta ya maji, bahari na maziwa, upande wa meli kubwa za kimataifa watalipwa kwa mujibu wa mkataba wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) wa mwaka 2006. Meli za mizigo na abiria sh. 225,000, za uvuvi wa ndani sh. 196,000 na makuli na wajenzi wa meli sh. 300,000.
Alisema kila sekta binafsi itakuwa na kiwango chake cha kima cha chini cha mshahara, kwa kuzingatia uzalishaji wa faida, tija, uwezo wa mwajiri, na gharama za maisha.
“Kima cha chini kwa kila sekta kitatumika kwa wafanyakazi wote bila ya kujali ni wa mijini au vijijini, kwani tofauti za gharama za maisha kati ya mijini na vijijini sasa haipo,” alisema Chiligati.
Alisema vibarua wa siku kwenye kila sekta watalipwa kulingana na mishahara ya kima cha chini ya mwezi kwa sekta husika, na kwamba wafanyakazi wanaofanyakazi muda wa ziada wanastahili kulipwa.
Hata hivyo, aliwataka wafanyakazi kuongeza ufanisi kazini ili uzalishaji uongezeke.
Chiligati alisema mishahara hiyo inatokana na mapendekezo ya wajumbe walioteuliwa kufanya kazi hiyo waliotoka serikalini, Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Alisema waligundua kuwa asilimia 15 ya wafanyakazi hawana mikataba ya ajira, hususan kwenye sekta ya usafiri na mawasiliano, majumbani, hotelini na ulinzi katika kampuni binafsi.
Mengine waliyoyagundua ni sehemu nyingi kutokuwa na mikataba ya huduma bora ya kazi, hawalipwi malipo ya ziada, waajiri hawajaandikisha wafanyakzi katika mifuko ya hifadhi ya jamii na wanapoumia wakiwa kazini wanacheleweshewe malipo yao au kutolipwa.
Akizunguzia watumishi wa umma, Katibu Mkuu wa Chama cha Elimu ya Juu, Sayansi, Tekinolojia, Habari na Utafiti (RAAWU), Adeligunda Mgaya alisema uamuzi uliofanywa na serikali kwa upande wa sekta binafsi umesaidia kutoa changamoto kwa serikali juu ya watumishi wa umma.
Alisema suala hilo bado liko kwenye majadiliano na kwamba baraza la pamoja la majadiliano litakutana Oktaba 23, mwaka huu.

source: Uhuru