Friday 31 December 2010

Happy Birthday Sir Alex!

I wish you a Happy Birthday (today), Sir Alex Ferguson!!!!

Saturday 4 September 2010

What Others Say About My Blog: A Big 'THANK YOU!'

"I have been visiting various blogs for my term papers writing research. I have found your blog to be quite useful.
Keep updating your blog with valuable information... Regards"

Thursday 29 July 2010

Bongo in 3D!!!!!

Hivi karibuni (miezi kadhaa hivi iliyopita) nilienda Mwanjelwa jijini Mbeya kutafuta/kununua tv. Baada ya kupitapita nikafika duka moja na nikaipenda tv moja aina ya hitachi. nikaomba waniletee mpya (siyo ya display window). Jamaa mwenye duka akaleta moja ya hitachi. Tatizo likawa hiyo tv iko ktk box la tv aina ya Ouling(?) -made in China na remote yake haikuwa na nembo/brand ya hitachi. Nikaikataa tv na kuondoka!
Kesho yake nikaamkia mji wa Tunduma mpakani na Zambia. Nikaingia duka moja linaloaminika mji mzima. Baada ya kupitisha macho huku na huko nikapendezewa na tv aina ya philips. Nikaiagiza waniletee. Nikasubiri wakaichukue 'stoo' na baada ya kama nusu saa baadae ndo mtu akaibuka nayo!
1. ilikuwa ktk box la tv aina ya ouling - made in China!!!
2. ikawekwa mezani - testing time (nayo pia ilikuwa na nembo 'pure' ya philips). alipoiwasha tu ile rangi ya bluu ikatokea ikiwa imebeba jina la 'HITACHI'!!!!
3. baada ya kuuliza kulikoni philips inaandika hitachi ktk kioo wakajibu: ukitaka tunaweza kukubadilishia nembo na kukuwekea ya hitachi ifanane na hayo maneno.
Kumbe tv huwa zinaingizwa hazina majina yaliyobandikwe pale mbele, ila maneno hayo nayo huagizwa separately (kwa magendo)na kuja kuwabambika watu Bongo!
Kumbe kule kuchelewa kote kuleta tv walikuwa wanagundisha kialama cha philips kwenye tv maana hata gundi ya superglue ilikuwa inaonekana kama ukichunguza pale kwenye jina la tv na pia walikuwa wamepindisha kidogo maandishi hayakuwa ktk mstari sambamba!

hii ndio Bongo Bandugu! Usidhani tv mpya unayonunua ni brand kamili uliyokuwa unaifikiria (kama umenunua tv mpya Bongo).

ABIRIA CHUNGA MIZIGO YAKO! MALI IKISHANUNULIWA HAIRUDISHWI!
..............................................................

Monday 21 June 2010

Beautiful Britain: One year On!

Sub: The Cornerstone of Civilization and Development.

Great Britain is the capital of world and centre for civilization!

It is place where I learned a lot, especially about CIVILIZATION. Its people are civilized,developed as well as their culture, too. It is a tolerant society.

Democracy
Media and Celebrities
Infrastructure (Transport)
Sports and facilities
Security (CCTVs)
Food security and availability
-Big stores: Tesco, ASDA, Sainsbury's, Morrisons, Lidl
Towns and Cities
Local Government Authorities (and the way they fulfil their responsibilities and involve citizens)

Tuesday 15 June 2010

Beautiful Britain!

What can I say abaout Great Britain? Nothing except praises, really!!

This is an island which, while you are there, you can not easily experience its small size! You might think that it is a big country or continent! Sometimes people think Britain is a place filled with houses and industrial parks - no green fields, open spaces etc. It is when you get there that you realise how it looks like! Just imagine the distance from Southampton or Penzance to Newcastle! You just travel long distances exchanging one motorway to another for almost the whole day! Along the way you experience the beauty and spectacular scenes of Britain, not to mention some thick forests like those of the Chilterns, Costwold, lake District, River Thames and its valley spanning almost the whole width of this Island!

What about London! Maida Vale Avenue (my smartest/cleanest street in London!) I walked along this street one day and wondered its beauty - wide road, good street planning etc! Hyde Park, the Serpent and long water views are the sceneries to remember. Exhibition Road, Cromwell Road, Piccadilly Circus, Westminster (Parliament Square and St Margreth Church/Westminster Abbey), MillBank, South Bank, Parliament View Apartments, the London Eye etc. are places attacted me most among others.

Underground London Trains (tubes) caught my eyes a great deal! The Wembley Stadium (Brent Borough Council, postcode: HA) and The Emirates (Arsenal FC home Ground) (Islington Borough Council famousily known by its first half of its postcode as N5) are places you should visit while you are in London.

How can I forget such days as those of Euro 2008 qualifiers; England v. Russia 3-0, England v. Israel 3-0, England v. Estonia 3-0, and friendlies like England v. German 1-2, Chelsea v. Man United 1 Marluda (0)-1 Giggs(3) with United winning on pens., the Community Shield March. All of these matches were played on the new Wembley Stadium! And just imagine you being among 90,000-plus fans watching these matches while sitting on the red seats of Wembley! Premier League games and Coca Cola championship matches involving for example Crystal Palace, Watford, Newcastle united, Aston Villa, Liverpool, Man United, Man City (seeing the rising stars like Joe Hart of Man City), Reading FC. and Rubgy matches like the likes of the London Irish, Sales. Concerts at Wembley of Diana 10 years and Earth Concert where P Diddy performed live. I had a priviledge to watch Sir Elton John's show at Madejski Stadium in Reading the other night.

I support England National (Football) team and Manchester United is the Club I support.

..............................................................................

Since I left UK, I am still filled with good memories about this wonderful Island! I remember my friends from differnt corners of the world, for example Javier of Equador; Maurice, Iza, Zuzan from Poland; Space from Macedonia; Amur from Darfur Sudan; Mammadou Ba, Idrisou, Mohammed all from Gambia; B Coe of Berks, the Midwinter's family of Tilehurst, Tim of Woodcote, South Oxfordshire, England; Tiz from Torino Italy, my friends at High Wycombe (Buckinghamshire).

Special thanks and regards are due to this lovely family: Lameck, Rapha (Battle Primary School)and Dr. Ezra Chomete and Suzi) of Shaftesbury Rd, Berks.

God Bless you all incling those whom I haven't mentioned their names here! You were wonderful and made me always feel at home in the UK.

Thank you, again!!!
............................................................................

Quoted: Prophet T B Joshua

If you hear a Pastor, Preacher, T B Joshua, Bishop etc. saying 'this is what I hear from the radio, this is what I see on TV or internet ...' ... they are confessing their weakness.
Their weakness is that they are not linked with God!

A true christian knows his/her source of information ... the source of information for a christian is Holly Spirit. When you read the Bible you read Holly Spirit.
25/05/2010
.....................................................................

I can be hapy as a christian when there is nothing to be happy about
12th April, 2010
........................................................................

The situation you are facing today may be ....
1. to prepare you for challenges ahead
2. to keep you for a new level in life
3. to preserve you for redemption
4. to strengthen you for desire
12/04/2010
.........................................................

Wednesday 5 May 2010

'Wewe Mungu Ni wa Ajabu' - Mchungaji Abiudi Misholi

...................................
Wimbo: Wewe Mungu Ni wa Ajabu
Muda: Dakika 7 Sek. 46
Wimbo wa: 1 kati ya nyimbo 9
Mtunzi/Mwimbaji: Mch. Abiud Misholi (Faraja Band)
Album: Shuka Bwana Shuka (Nyimbo Za Kuabudu)

Mwandishi: Mosonga (Pamoja na msaada kutoka kwa Mch. Abiudi Misholi tar. 15/05/2010 ktk kuboresha mstari mmojawapo).
......................................


Wewe Mungu ni wa Ajabu, Fadhili zako ni za Milele.
Unastahili kupewa sifa, kwa kila hali na kila sababu.
Haleluya.


Nikifikiri maisha yangu, Mapito ninayopitia.
Taabu na shida, Kero nazopitia.
Ndipo ninapojua mimi, Wewe ni Mungu.
Ndipo nnapojua mimi, Wewe ni Baba.

Ukasema Abiudi, Nenda kanitumikie.
Nikasema siwezi, Sitaki Kukutumikia.
Dada yangu mgonjwa, Nyumba yenye majaribu.
Mama yangu huzuni kutwa, Mimi niache!

Ukaanza kunitesa Mungu, Pasipo sababu.
Ukaharibu biashara zangu, na kila nilolifanya.
Nikawa na maisha magumu, kula kwa taabu.
Madeni ni mengi, Sabuni taabu.
Nikataka kujiua, Maisha magumu.
Sina amani, vidonda vya tumbo.
Usiku silali mimi, Mawazo tele.
Maisha magumu mimi, mimi nifanyeje.

Ukajibu usijue, niende kukutumikia.
Na mimi nikakubali, kwenda kukutumikia.
Nikaenda kijijini mimi, kufungua kanisa.
Na mke wangu cheupe, na Noah mwanangu.

Oh! Nikikumbuka, nafika mbali.
Haleluya.


Nikafikiri matatizo, sasa yatakwisha.
Lakini badala yake, Matatizo yakaendelea.

Wewe ni Mungu ee, Mungu nakuabudu.
Wewe ni Baba, Sikuachi hata iweje.

Siku moja mke wangu, akiwa mjamzito.
Uchungu umemshika, Pastor ana 'Mia Hamsini'!
Mke wangu kwa uzuri, anasema mume wangu.
Nenda kakope pesa, nipeleke hospitali.
Nikajibu siendi, nimechoka kuombaomba.
Pesa za malalamiko, pesa za masimango.
Kama Mungu Ametuita, mke wangu tusubiri.
Kama Mungu Ametuita, Yeye Atutetee.
Saa kumi za usiku, mke wangu anajifungua.
Mbele ya macho yangu, Daktari mimi mwenyewe!

Wewe ni Mungu tuu, Wewe ni Baba
Haleluya!
Wewe ni Mungu, Wewe ni Baba

Ndugu yangu nataka nikuambie neno moja.
Mungu kumuelewa ni kazi sana, lakini endelea kumwabudu.
Usinung'unike!
Muheshimu na kumtukuza.
Iko siku Atakujibu.
Haleluya!


Wewe ni Baba. Wewe ni Baba. Wewe ni Baba. Wewe ni Baba.

Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)
Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)
Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)
Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)

Mungu wa Elia. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Isaka. (wewe ni Mungu)
Mungu wa Yakobo. (wewe ni Mungu)
Mungu wa Mwalengo (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Misholi. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Jeremia. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Maliseli. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Licheli. (Wewe ni Mungu)

Ayubu alipata mateso,
Ayubu alipata Shida.
Mimi sio wa kwanza.

Mitume na manabii walipata taabu,
Walipata shida, lakini waliendelea kusema wewe Mungu ni Baba.
Katika matanuru ya moto wakasema Wewe Mungu ni Baba.
Wakawekwa magerezani, wakasema Wewe Mungu ni Baba.
Hawajaacha kukiri, kila mara wakasema Wewe ni Baba.

Mke wa Ayubu alicharuka, akasema Wewe sio Mungu.
Wewe Mungu ni Nani, Mungu gani mkorofi.
Mungu Umeua watoto wangu,
Mungu Umeua, Umeua mifugo yetu!
Mungu Unamtesa mume wangu,
Ayubu kufuru ufe mume wangu

Lakini Ayubu akasema Huyu ni Baba tu!
Hata iweje Huyu ni Baba!
Hata tutesekeje Wewe ni Mungu.
Tupate shida, tusimangwe, tuchekwe, tudharauliwe - Bado Wewe ni Mungu.
Wewe ni Baba, Wewe ni Baba tu!

Usimwache Mungu ndugu yangu! Hata ukitengwa.
Hata ukitesekaje, Yeye ni Baba Yako tu!
Mshukuru, Mwimbie
Tena saa nyingine hata Akikulaza njaa - ndio kwanza piga pambio.
Uko gerezani, Fanya kama Paulo na Sila. Piga Makofi.
Yeye ni Baba tu! Hata Iweje.
Haleluyah!


Wewe ni Baba, Wewe ni Baba, Wewew ni Bab, Wewe ni Baba.
Wewe ni Baba, Wewe ni Baba, Wewe ni Baba, Wewe ni Baba.
..................................................

MWISHO!

............

Shukurani kwa Mch. Abiudi Misholi, kwa kunisaidia maeneo fulani ktk huu wimbo yaliyokuwa yananitatiza wakati naendelea kuuandika huu wimbo kutoka kwenye CD ya album yake.

Feliz Cumpleaños!!!!

........................
Dear Mpendwa wetu, Baba Tezy.

On this special day in our Family, we would like to say,


HAPPY BIRTHDAY to you!!!

We love you, our dady and hubby!

From,
Tezy and Mama Tezy

..........................

Tuesday 9 February 2010

Feliz Cumpleaños!

To:
My beloved ones (Daughter and Wife),

I wish you a Happy Birthday, respectively!!

From,
Your Loving Dad and Hubby!

Tuesday 26 January 2010

Tezzi

................................
Dear Tezzi,

We have nothing special to say here except these simple (but precious) words:

We Love You
and
We Wish You
A Very HAPPY BIRTHDAY!


From your Dad and Mom!
.................................

T B Joshua via Emmanuel TV

...................................................................
'Whether we live or die, we are permanently married to Jesus Christ'

-January 19, 2010
....................................................................

'As a man of faith when everything seems discouraging you can still press on!

-January 21, 2010
....................................................................

'When you have faith in Christ ...
... each trial you receive,
... each hardtime you receive,
... each poverty you receive,
... each insult you receive,
... each embarrassment receive,
... each persecution you receive ... would draw you close to Jesus!

-January 21, 2010
....................................................................

'better is not good enough, the best is still to come'

-January 24, 2010
...................................................................


'It cost God nothing to create Man,
but it cost Him everything (his blood) to save one life!'

-January 24, 2010.
....................................................................

'Love your neighbour as yourself'

'Pray for those who persecute you!'

'Make the word of God the standard of your life'

'Jesus Christ Never Say Goodbye!'


-January 24, 2010. 18:30 EAT
......................................................................

Little Mosonga II

HUMAN RELATION
Have self control
Understand it from other people's point of view
Make other people interest your own
Admit mistakes
Never critise publically

Reason out don't argue
Explain thoroughly
Lead don't drive
Avoid sharp judgement
Take care of little things
Inform people on the matter affecting them
Offer helpful suggestions
Never forget to give re-inforcement for the job well done.

(source: mosonga's archives. february 1991)
..........................................................

PILSNER
People
In
Love
Should
Never
Ever
Regret

source: mosonga's archives -Feb. 1991
.............................................................

HOLLAND
Hope
Over
Love
Lasts
And
Never
Die
...............................................................

KLM
Keep Loving Me
...............................................................

WIFE
Worries Invited For Ever
...............................................................


source: mosonga's archives, feb. 1991

Friday 22 January 2010

Little Mosonga!

When I was in Standard Six (Primary School Education), our English teacher (Mr. Chilemeji Wilson Mabuba) punished the whole class (canning!!!) for mixing capital/block letters with small ones in a sentence.

Fearing not to repeat mistakes which meant extra canes, I had to write with extreme care.
'Unfortunately' while constructing a sentence I came across the pronoun 'I' in the middle of the sentence!
No way, it was written in small letters as 'i' -to avoid canes!!!
Oops! It turned out to be another blunder of my own! Thank God, the teacher corrected me without punishment!
..................................................

As a Std V pupil I encountered an algebraic question in Mathematics which proved to be tricky and challenging. May be that's is why the question itself and its answer is still stuck in my memories since then.!!

The question was:

a/2 + 1 = a - 1
Tafuta thamani ya 'a'

(The answer is 4)
.....................................................

Just imagine. What is wrong if the multiple choice questions with small cases - a), b), c), d) are answered with capitals A, B, C, D?

My Form II Siasa* teacher (Mr. Maningu) gave me 'zero' for each of my correct answers put down as A, B, and D -instead of a, b, and d respectively -except for C where he gave me a score!

Eventually I scored a total of 56% in that terminal exam! (But had he given me full score for each question I got right, I would have scooped an A of 86%!)

NB: Students should be aware of these minor, 'hidden' and 'untold' instructions!!
To drop the deserved 30% because of 'carelessness' or 'ignorance' is suicidal especially in this modern and competitive world of academics!

.............................................................

Maisha ya Shule ni Safari Ndefu - Vumi... Vumiliaaaaa ni Safari Ndefu....!
..............................................................



*Siasa has nowadays been changed to Civics
............................................

punctuation marks matters!

...................................
woman without her man is a savage

woman without her, man is a savage

woman, withou her man, is a savage

..................................




source: personal archives,
(the book: laughters; vol. (..?..), by abdul ntilla 1990).

males = females = gender balance

friend: 'nothing demonstrates the current equality of sexes like modern dancing!'

bogi: 'why?'

friend: 'before, it was a man who would ask a woman (to dance), but now neither asks the other!'


(note: words in italics are my own, my records were torn -hence those words are missing! however they could be the exact words missing!)



source: personal archives, 1988
(from a book 'bogi benda' by james tumusiime based on the cartoon series in the sunday news (TSN))

body - (face + figure) = ?

Bogi and wife, Sofi.

Sofi: 'I wonder why you men are looking at this girl Betty!'

Bogi: 'why, she's a nice face and figure!'

Sofi: 'but take away face and figure, what have you got?'

Bogi: 'you!'



source: personal archives, 1988
(from a book 'bogi benda' by james tumusiime based on the cartoon series in the sunday news (TSN))

FIFO (first in first out?)

Bogi Benda's wife Sofi with her sister-in-law, Esther.

Esther: 'i didn't know you were that mean Sofi!'

Sofi: 'why?'

Esther: 'why have you taken a very long time to give a shilling to that berger?'

Sofi: 'it took me even longer to get it from Bogi!!'



source: personal archives, 1988
(from a book 'bogi benda' by james tumusiime based on the cartoon series in the sunday news (TSN))

Having Answers without questions

woman: 'I wonder men of this town, I have stayed here for a long time but no one has bought me a beer!'

bogi: 'but you've stayed in this town for long time you should know all the answers'

woman: 'the problem is that when you know the answers no one asks a question!!'



source: personal archives, 1988
(from a book 'bogi benda' by james tumusiime based on the cartoon series in sunday news)

No money, No friends!!

Bogi: 'do you remember your friends since you became rich?'
Friend: 'before I became rich I had no friends!'


source: personal archives, 1988
(from a book 'bogi benda' by james tumusiime based on the cartoon series in the sunday news (TSN))

Thursday 21 January 2010

Talent's Magic

.........................................................
'Everybody has got a talent. It is a matter of how much you maximize it!'
-Anthony Hamilton, (F1 Champ. 2008, Lewis Hamilton's father), speaking on BBC One, 'the one show', 04/12/2008 19:02 GMT
.........................................................

Forgot you're married?

Bogi Benda and his wife, Sofi.

Bogi: (looking -with interest- at a woman passing nearby!)
Sofi: 'I wonder you when you see women, you forget that you are married!'
Bogi: 'on the contrary that's when I'm forced to remember it most!'
......................................



Source: Mosonga's archives, 1988.
(From the book titled 'Bogi Benda' by James Tumusiime of Uganda, based on the cartoon series appeared in Sunday News (Tanzania))

Secretaryl!!

Bogi: 'did you tell that boy to stop imitating me?'
secretary: 'yes, i told him to stop acting like a fool!'
Bogi: (suprised!!!!!!!!!!)
.................................................

Bogi: 'you've typed mistakes in this letter, why didn't you read through it again?'
Secretary: 'no, sir, you said it is confidential!'
Bogi: (astonished!!!!!!!!)
...................................................



Source: Mosonga's archives, 1988.
(From the book titled 'Bogi Benda' by James Tumusiime of Uganda, based on the cartoon series appeared in Sunday News (Tanzania))

Piece of meat and Lightning!

Bogi: 'why have you given me only one peace of meat instead of two?'
Waiter: 'sorry sir, i forgot to cut it into two!'

.............................................................

Bogi: 'our friend george to women is like a lightning
Maina: 'you mean he's as fast as lighting?'
Bogi: 'no, he seldom hits the same place twice!'
..............................................................



Source: Mosonga's archives, 1988.
(From the book titled 'Bogi Benda' by James Tumusiime of Uganda, based on the cartoon series appeared in Sunday News (Tanzania))

The Girl's Geography!

Bogi Benda and a friend in a bar (as usual)!

Bogi: 'look at this girl betty, she exposes the whole geography from the head to the toe!'
Friend: 'after-all it's the woman's geography that determines her history!'



Source: Mosonga's archives, 1988.
(From the book titled 'Bogi Benda' by James Tumusiime of Uganda, based on the cartoon series appeared in Sunday News (Tanzania))

'Father' and 'Son'? (a case of mistaken identity!)

A woman and daughter were caught up in a bar by Bogi Benda!

Bogi: 'this boy smokes a lot!'
Mother: 'how can you dare to call my daughter a boy?'
Bogi: 'sorry sir, I didn't know that you are her father!'
Mother: 'shut up you clown don't you see that I'm her mother?'




Source: Mosonga's archives, 1988.
(From the book titled 'Bogi Benda' by James Tumusiime of Uganda, based on the cartoon series appeared in Sunday News (Tanzania))

Wednesday 20 January 2010

Failure v. Success!

'failure only happen when you stop trying'
-house swap, bbc one. june 15, 2009 11:44 BST

Oh! My Favourite Musicians have gone!!

Sometimes I do wonder if it's just coincidence! Study this list. All of them are my favourites for over 2 decades!!!

Michael Jackson
Lucky Dube
Peppe Kalle
Mahlathini and Mahotella Queens
TX Moshi William & Juwata
Miriam Makeba
Hemedi Maneti & Vijana
Marijani Rajab & Dar International
Patrick Balisidya & Afro70 Band
Jerry Nashon (Dudumizi)


However I still have Ally Campbell/UB40 and Muzwakhe Mbuli around to cheer for (on live events)!

Defeat is Good!

'You learn more in defeat than you do in triumph'.
-talksport radio, 28/05/2009. 19:40 BST

CAN vs. Premier League

Ujio wa mashindano ya kombe la mataifa huru ya Afrika wiki iliyopita umeleta kuleta mwingiliano wa utazamaji wa mechi siku za mwisho wa juma.

Jumamos iliyopita watazamaji tulilazimishwa kulipia na kutazama mechi 1 na nusu. Mechi ya Manchester United v. Burnley ilianza saa 12.00 jioni za Afrika Mashariki na wakati huo huo mechi ya Nigeria v. ....? ikawa inaanza saa 1.00 za usiku.

Mwenye TV yake yenye channel za DSTV (Super Sports) akaeleza kuwa Mechi ya Man Utd V. Burnley sh. 200/= (kipindi cha 1 tu!) na mechi yote ya Nigeria sh.200/= jumla 400/=. Na kweli mechi hiyo ya Man Utd ilionyeshwa kipindi cha kwanza tu! Ilibidi nilipie 200/= ili niangalie kipindi cha kwanza, kisha nikahamia nyumbani kusikiliza matangazo ya BBC FM ingawa magoli yote matatu sikuyaona kwenye TV (yalifungwa kipindi cha 2). Na mechi ya Nigeria niliiona nyumbani pia (TBC1)!

Yaani utaratibu ni kwamba mechi za Afrika zinachukua umuhimu wa kwanza, na usiombee mwenye TV awe shabiki wa Arsenal au Liverpool ama Chelsea, hata hicho kipindi kimoja cha Man United tusingeonyeshwa!! Maana waliokuwa ktk TV za shabiki wa Chelsea walionyeshwa mchezo wa Chelsea v. Sunderland wakati sisi tukiangalia wa Man Utd sehemu tofauti!

Lakini hizi mechi za Afrika zinaonyeshwa pia na TV ya Tanzania (TBC1) tena ni bure, sijui ni kwa nini mashabiki wasiangalie majumbani au ktk baa kwa kinywaji kimoja kama Pepsi au Coca-Cola kwa sh.500/= tu!!! Na kuna sehemu nyingine za biashara pale Dar mechi hizo huonyeshwa bure bila kiingilio au haja ya kununua kinywaji au chakula.

Sasa nasubiri Jumamosi ijayo nikaangalie kipindi cha kwanza mechi ya Man Utd v. Hull City!!

Anyway, "This Is Living" (and Other Stories), By Agoro Anduru!!

Tuesday 19 January 2010

"The Manchester Derby" Today!! (k.o. 20:00 GMT)

Leo ni leo!

Carling Cup Nusu Fainali, mchezo wa kwanza (City of Manchester Stadium).

Ni kati ya Manchester City na Manchester United. Mchezo unaanza saa 5 za usiku Afrika Mashariki. Sijui kama nitafanikiwa kuuangalia -nina hamu ya kuuangalia live!!

Meneja Sir Alex wa Man United ameahidi kuchanganya kikosi cha wazoefu na chipukizi ili kuonyesha imani na kutambua mchango wa watoto kuifikisha United hapo ktk semi-fainali!!!

Mechi ya marudiano itakuwa Old Trafford hapo tarehe 27/01/2010.

Kila la heri Manchester United!!

Glory Glory Man United .....

Hongereni Star TV na Futuhiiiii!

Kuna kundi la vichekesho (comedy) ambalo linanifurahisha sana. Kila alhamis saa 3 hadi 4 usiku kupitia Star TV. Hawa sio wengine bali ni Futuhi. Babu Mkombe, Okechi, Chacha (Ntakobhoha Monto, Top!) na wenzao, wanafanya vizuri sana ndani ya Futuhi wakiwa ktk jiji la Mwanza!

Star TV nao wanafanya vizuri, hasa Mtangazaji Yvonne Joel anafanya kazi nzuri kiutangazaji. Nilifurahishwa sana kazi yake siku ya mazishi ya Mzee Rashid Kawawa -live coverage yake ilikuwa ya kiwango cha hali ya juu sana (naweza kusema kazi yake Yvonne Joel ni ya kiwango cha kimataifa kama vile CNN,Sky News, BBC n.k.)

Letter from Torino (Turin)

hi mosonga

good new year!

i have been 3 weeks in holidays.
today the first day at job.

...............................................! (ipotezeye!)

i have been 1 week in budapest , a very nice city, and 5 days in mountain , in ' Valloire'
in france, a little country , to ski


...............................................? (ipotezeye!)

i would like to return in london, only 1 week end.
to see end-of-season sales
when i find a flight low cost.

bye
tz

Mmemwona JK kazini jana?

Jana nilifurahishwa sana na uamuzi wa Rais wetu Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete wa kukataa kukabidhi gari la wagonjwa kwa wasiohusika.

Hii inaonyesha umakini wake ktk utendaji na ufuatiliaji wa mambo kwa karibu (up to 'minute' details!!).

Mwaka jana ktk moja ya ziara zake mikoani, Rais JK aliahidi kusaidia gari la wagonjwa kwa zahanati ya wanakijiji (kijiji fulani) kule Longido. Lakini watendaji kule Ngorongoro wakamtuma mkurugenzi wa Loliondo kulichukua gari ikulu! Sijui hii ilikuwa ni bahati mbaya au ndio ile janja janja yetu ya ki-TZ!!!!!!
(Note: Haya (Longido na Loliondo) ni maeneo mawili tofauti kiutendaji!!)

Baada ya maongezi mafupi, Rais akamwelemisha huyo mkurugenzi kuwa wahusika ndio wanatakiwa kuja kupokea hilo gari ikulu na si vinginevyo!

Na kauli ya mwisho ya Rais kwa huyo director wa Loliondo ilikuwa "Hatukupi (gari)" na Rais akaondoka moja kwa moja kuelekea ikulu!!!

Saaafi sana mheshimiwa JK!!! Unafaa!

Good news: Wa Mbozi wao walipokea gari lao kupitia kwa Mkurugenzi wetu L Chillewo. Gari hiyo ni kwa ajili ya zahanati kule maeneo ya Kamsamba!

Mtoto na elimu

Mara nyingi huwa nasisitiza kwa watoto mashuleni kujitahidi kupata alama za juu ktk mitihani badala ya kukazania mtoto kuwa wa kwanza!

Hakuna ubaya wowote kama mtoto atapata wastani wa alama 80 kwa mia au zaidi na akawa wa 15 darasani! Kuwa wa kwanza sio kitu cha ulazima au kigezo cha uelewa, cha muhimu ni 'performance' na 'progress' ktk masomo darasani iwe ya kuridhisha!

Kumbuka mtoto anaweza kuwa wa kwanza darasani kwa, mathalani, alama za 40 hadi 50 kwa mia kwa vile tu amewazidi wenzie darasani, lakini kwa kipimo halisi alama alizopata mtoto huyu ni za chini sana na pia kiwango chake hakiridhishi! Na mara nyingi watoto wa kundi hili huwa hawana ushindani wa kutosha madarasani mwao!

Hata hivyo, itapendeza zaidi endapo mtoto atapata maksi za juu na pia akawa wa kwanza darasani!


Nawatakia mafanikio mema watoto wote wenye bidii ktk masomo. Nawahimiza kuwa waendelee kuwa wadadisi masomoni na kwa hakika watafanikiwa kitaaluma na maisha kwa ujumla.

Elimu ndio msingi wa maendeleo!!!

Monday 11 January 2010

Man Utd's next outings ...

January 2010
03 Jan FA Cup Leeds United H 13:00 0 - 1
09 Jan Barclays Premier League Birmingham A 17:30 1 - 1

16 Jan Barclays Premier League Burnley H 15:00*
19 Jan League League Cup Man City A 19:45*
23 Jan Barclays Premier League Hull City H 15:00*
27 Jan League League Cup Man City H 20:00*
31 Jan Barclays Premier League Arsenal A 16:00*

February 2010
06 Feb Barclays Premier League Portsmouth H 15:00*
10 Feb Barclays Premier League Aston Villa A 19:45*
16 Feb UEFA Champions League AC Milan A 19:45*
20 Feb Barclays Premier League Everton A 12:45*
27 Feb Barclays Premier League West Ham H TBC

March 2010
06 Mar Barclays Premier League Wolves A TBC
10 Mar UEFA Champions League AC Milan H 19:45*
13 Mar Barclays Premier League Fulham H TBC
20 Mar Barclays Premier League Liverpool H TBC
27 Mar Barclays Premier League Bolton A TBC

(*time in GMT, TBC- To Be Confirmed)

source: manutd.com, 11/Jan./2010

'Hypothesis' yangu!

................
Ninaamani kuwa kwa kiasi kikubwa sana lawama, shutuma n.k. wanazotupiwa viongozi wa maeneo na ngazi mbalimbali sio za ukweli au hazina msingi wowote!
................

Thamani ya Ukweli!

...........................................
'... Ni muhimu, basi, kuwathamini wale wachache wanaodiriki kutoa maoni yao, wawe ndani ya utawala au nje, kwa sababu hawa ni watu adimu katika jamii yetu.

Zamani kidogo niliwahi kuandika kwamba sote tunahitaji kuwa "Wakurya" kwa kiasi fulani, kwa maana ya kuambizana ukweli hata kama haupendezi. Hadi sasa "Wakurya" tulio nao bado hawatoshi. Tuwathamini hao wachache waliopo ...'
Source: Rai ya Jenerali Ulimwengu, Raia Mwema, June 18-24, 2008.
...........................................