Friday 31 October 2008

Man United Goals, so far!

GOALS, as of 29/10/2009!
Darren Fletcher: Prem: (1+1+1) =3
Wayne Rooney:Prem: (1sep+1oct+1) Champ/League:1+1 =5
Dimitar Berbatov: Prem:1 Champ/Lge:2+2 =5
Cristiano Ronaldo: Prem:1+1+2 Lge Cup:1 =5
Ji Sung Park: Prem 1 =1
Luís Carlos Almeida da Cunha ("Nani"): Prem:1 Lge Cup:1 =2
Ryan Giggs:Lge Cup:1 =1
Wes Brown: Prem:1oct =1

Tulikotoka: RTD

Nimeambiwa kuwa siku hizi RTD inaitwa TBC 1. Zamani nilipokuwa mdogo nilipenda sana Vipindi vya Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) (miaka ya 1980).

Kwanza ni anuani yao:
Pugu Road (Nyerere RD siku hizi), SLP (POBox) 9191 Dar es Salaam.

Vipindi:
Taarifa ya Habari; ngoma za Moris Nyunyusa zilianza kutukaribisha na kutusogeza karibu na redio, kisha ti, ti, ti, ... (mara 6) Kisha; ...
'Hivi sasa ni saa ... kamili', (Mwanadada alisikika akisema)
(kisha akafuatia msoma habari)
Na hii ni taarifa ya habari kutoka Redio Tanzania Dar es Salaam,
Msomaji ni Charles Hilary, au Betty Mkwasa n.k
kwanza ni mkhutasari wake ....
habari kamili. Mwanza. Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais ....
baada ya dakika tano ...
'mnaendelea kusikiliza taarifa ya habari kutoka redio tanzania dar es salaam'
Tokyo ......
baada ya dk 9 hivi,
'kwa kumaliza taarifa ya habari, sikilizeni tena muhtasari wale'
waziri mkuu na .....
baada ya dk 10,
na huo ndio mwisho wa taarifa ya habari kutoka redio tanzania daresalaam.

Tunawaletea mazumzo baada ya habari (saa 2 usiku, saa 10 alasiri au saa 1 asubuhi).
baada ya dk 5
mazungumzo baada ya habari yamewajia kutoka redio tanzania daresalaam.

au badala ya mazungumzo baada ya habari kuna matangazo ya vifo.

Enzi hizo hakuna redio za watu binafsi. RTD ilikuwa na idhaa 2, ya Taifa (nchi nzima) na ya biashara ikisikika zaidi Dar na maeneo jirani au maeneo ya mijini zaidi.

Vipindi zaidi nilivyovipenda
Misakato
Michezo (michezooo) saa 2 kasorobo usiku
Mama na Mwana (hasa mtangazaji wake mama Debora Mwenda)
Kumekucha (miziki)
Asubuhi Njema (baadae kikaitwa Jambooo) (miziki ya dansi)
Mchana Mwema (miziki ya dansi)
Ombi Lako (baadae kikaitwa 'chaguo lako' (miziki)
Hotuba za Baba wa Taifa saa 2:15 - 2:30 usiku (Jumatatu - Ijumaa)
Mahoka (vichekesho)

Tulikotoka: Majina ya dawa

Nakumbuka madawa tuliyokuwa tunatumia miongo kadhaa iliyopita:

Dawa za kichwa:
-Asprini, ASA
-Aspro
-Cafenol
-Haraka

Dawa za maleria:
-Malaraquin
-Quinin
-Chloroquin, CQ

Oct.31: Hallowe'en

Halloween (or Hallowe’en) is an international holiday celebrated on October 31. Halloween activities include trick-or-treating, ghost tours, bonfires, costume parties, visiting haunted attractions, carving jack-o'-lanterns, reading scary stories, and watching horror movies. Irish immigrants carried versions of the tradition to North America in the nineteenth century. Other western countries embraced the holiday in the late twentieth century. Halloween is celebrated in several countries of the Western world, most commonly in the United States, Canada, Ireland, Puerto Rico, Japan, New Zealand, United Kingdom, and at times in parts of Australia. In Sweden the All Saints' official holiday takes place on the first Saturday of November. (From Wikipedia, the free encyclopedia)

Tuesday 28 October 2008

Itongo, Bhwakya nigha-tobhoke!

Binti aliyefyekwa na mkwewe mashavu, masikio apasuliwa

MKAZI wa kijiji cha Rosoti wilayani Tarime mkoani Mara, Robi Matiko (15), amefanyiwa upasuaji wa kubandika ngozi kwenye mashavu baada ya kukatwa mapanga.

Robi inadaiwa alikatwa mashavu na mkwewe, Bw. Mwita Thomas, Machi 24 mwaka huu, baada ya kutokea ugomvi kati yake na baba yake mzazi.

Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita katika hospitali ya rufaa ya Bugando (BMC)
jijini hapa ambako amelazwa akitibiwa majeraha hayo, Robi alidai kuwa chanzo cha ugomvi huo ni kutoroka kwa mumewe, Thomas Mwita (19).

Alidai kulazimika kutoroka nyumbani kwa mumewe huyo ili arejee shuleni kuendelea na masomo, kwani alilazimishwa kuolewa akiwa mwanafunzi wa
shule ya msingi
Turwa wilayani humo.

Robi alidai kuwa mzazi wake, Bw. Daud Matiko, alipokea mahari ya sh. 350,000 kutoka kwa Bw. Thomas na kumlazimisha kuolewa akiwa darasa la tatu.

Alidai kuwa kutokana na kitendo cha baba yake mzazi kumlazimisha kuolewa, kilimfanya atoroke ukweni na kwenda kwa mama yake mdogo ambako alifuatwa na kujereshwa ukweni, lakini akatorokea kwa mjomba wake.

“Kitendo hiki cha mimi kutoroka mara mbili nikiwa ukweni, kilimfanya baba mkwe kuudhika na kwenda kudai mahari yake kwa baba yangu ambaye hakuwa tayari kufanya hivyo.

"Kuona hivyo alipomwamuru mkwe wangu afanye awezalo dhidi yangu ili kunidhibiti nisitoke tena nyumbani kwa mume wangu,” alidai Robi
.

Aliendelea kudai kuwa kutokana na amri hiyo, mkwewe alichukua panga na kumkata masikio na mashavu kama adhabu ili asirudie kutoroka.

Aliongeza kuwa baada ya kukatwa viungo hivyo na kutupwa chini mbwa aliyekuwa nyumbani hapo aliamrishwa kuvila na alifanya hivyo.

“Mipango ya kuolewa kwangu ilianzia katika vilabu vya pombe, kwani ndiko baba na mkwe walikutana na kupanga namna ya mimi kuolewa na Thomas ambaye ni mtoto wa Mzee Mwita,” alisema msichana huyo kwa masikitiko zaidi.

Mpaka sasa hali ya Robi inaendelea vizuri, kwani tayari baadhi ya majeraha yameanza kupona na anaendelea na matibabu Bugando

EPA: A-Z (2)

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Kampuni ya Kimataifa ya Ernst and Young, wizi ulibainika katika EPA kwa mwaka 2005/06 ulikuwa katika mafungu mawili.

Fungu la kwanza, lilihusu wizi wa Sh. bilioni 90, ambazo mkaguzi huyo alipata ushahidi unaothibitisha kuwa fedha hizo ziliibwa waziwazi na kupendekeza hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya waliohusika wa wizi huo.

Fungu la pili, lilihusu kiasi cha sh. bilioni 42 ambazo mkaguzi huyo alishindwa kupata ushahidi wa kuthitibithisha wizi wake na hivyo kupendekeza uchunguzi ufanyike kwa kina.

Agosti 21, mwaka huu, akilihutubia Bunge, Rais Kikwete alisema hadi wakati huo, watu waliochota fedha kwenye EPA, walikuwa wamerejesha zaidi ya Sh. bilioni 60 na akawapa muda hadi kufikia Oktoba 31, mwaka huu wawe wamerejesha fedha hizo, vinginevyo watafikishwa mahakamani kuanzia Novemba mosi.
Vilevile, Rais Kikwete alisema fedha zinazorejeshwa, ambazo zinahifadhiwa katika akaunti maalum, zitaingizwa kwenye mfuko wa kilimo kwa ajili ya kuwakopesha wakulima.
(SOURCE: Nipashe, 28/10/2008)

Monday 27 October 2008

Nyumba Ndogo: kuna nini?

Hizi nyumba ndogo ambazo zinachipuka kila kukicha kama uyoga, bado zinatikisa familia mbalimbali huku zingine zikisambaratika na zingine zikiashiria mipasuko mikubwa.

Kiini cha tatizo hilo bado ni kitendawili huku baba na mama wakirushiana mpira kukataa kuhusika. (SOURCE: Nipashe 26/10/2008)

My favourite writer (architect) passes away

The first architecture book to buy upon my England arrival was 'The Architect's Pocket Book', 2nd edn. for £16.00, five years ago.

Two days ago I saw the 3rd edition of the same book.

When I picked up the book just to see the preface, I was suprised read that it was in the memory of its author, Charlotte Baden-Powell! This was a suprise to me because previously I had not even received or heard news about her death (she died in November 2006, aged 70 and it will be exactly 2 years next month since she passed away peacefully at her home).

Her books are a good guidance for student architects, professionals who are beginning their careers and for everyone involved or with interest in architecture or in the building construction industry in general.

Also I like her philosophy that the book should be kept small in size, easy to carry (or read in the studio or on site).

Saturday 25 October 2008

Zanzibar ni nchi, lakini sio taifa!

Zanzibar ni nchi isiyokuwa na utaifa katika mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar ni nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano kama ilivyo Tanzania bara, lakini nje ya Tanzania, Zanzibar na Tanzania Bara zinatambuliwa kuwa ni taifa moja la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika mfumo huo, masuala yote yanayohusu utaifa, kama vile ushiriki katika Umoja wa Mataifa, Jumuiya za kikanda, na mahusiano ya kibalozi, yanaratibiwa na Serikali ya Muungano wa Tanzania. (gazeti Nipashe 25/10/2008)

Joram: 16yrs tomorrow

26/10/1992 was the day you were laid to rest. We miss you and we all remember you Brother!

'Blessed the hand that giveth and the one that taketh' -Lucky Dube

Happy Birthday Rapha!

To Rapha E Chomete, I wish you a happy birthday (on 26/10/2008). From Tezi Mosonga, Dar.

Happy Birthday Wayne Rooney

Wayne Mark Rooney (born 24 October 1985, in Croxteth, Liverpool, Merseyside) is an English footballer who currently plays for English Premier League club Manchester United and the England national team.

Biography
Rooney is the first child of Thomas Wayne and Jeanette Marie Rooney (née Morrey). He was raised in Croxteth with younger brothers Graeme and John, and all three attended De La Salle School. Wayne grew up supporting local club Everton F.C., and his childhood hero was Duncan Ferguson. (from: wikipedia 25/10/2008)

Friday 24 October 2008

On the brink ...!!!

Recession looms as economy shrinks

The downturn marks the first quarter of negative growth for 16 years. If it continues for a second quarter the country will be officially in recession.

The FTSE 100 Index fell sharply in the wake of the worse-than-expected figures. Sterling also fell to a fresh five-year low of 1.56 against the US dollar.

Tory leader David Cameron said: "This is the day the recession became real. We've had ten years of being told: 'No more boom and bust', ten years of a Government not putting aside money for a rainy day. Well that rainy day has now come."

Business and union leaders have called for urgent measures to boost the economy and stop the recession getting worse.

David Kern, economic adviser to the British Chambers of Commerce, said: "All areas of the economy recorded declines. But, the declines in services and construction were even larger than most analysts predicted."

He added: "The economic outlook is serious. While it is important not to talk ourselves into a slump, urgent steps are needed to alleviate the worst consequences.

"Interest rates will have to be cut without delay to 4 per cent in November, and to 3.5 per cent shortly afterwards. Business taxes will have to be cut in the Pre-Budget Report, and the government will have to insist that the vital flow of bank finance to small firms is maintained."

TUC general secretary Brendan Barber said: "The Government must now give the same commitment to fighting recession as they have done to saving the banking system." (UK news, yahoo website, 24/10/2008)

Thursday 23 October 2008

EPA: A-Z

Sakata la EPA kwa ufupi

*Mwaka 1970 na 1980, Serikali ya Tanzania ilipokea huduma mbalimbali kutoka kampuni na taasisi za nje, lakini kushuka kwa thamani ya sarafu yake kulikochangiwa na vita ya Kagera kuliifanya Serikali ishindwe kulipa madeni hayo kutokana na ukosefu wa fedha za kigeni.

*Kati ya mwaka 1985 na 1995, Benki ya Dunia iliona haja ya kuisaidia Tanzania kulipa madeni hayo kupitia mikakati mbalimbali ukiwamo wa kuyanunua (Debt Buy Back).

*Mwaka 1985 Akaunti ya EPA ilihamishwa kutoka NBC kwenda BoT.

*Mwaka 1994, ili kuhakiki wadai halisi, Tanzania ilitangaza kwenye vyombo vya habari vya kimataifa wenye madai wajitokeze. Kampuni chache sana ziliitikia mwito huo.

Hivyo kwa sehemu kubwa, orodha muhimu ya madeni ikawa ikitumika ile iliyoandaliwa awali na NBC, ambayo wakaguzi wengi waliitilia shaka kuwa haikuwa sahihi kwa asilimia 100.

*Mwaka 1997, Serikali ilianza kutilia shaka uendeshaji wa EPA na kuiandikia barua BoT. Haikupewa hesabu hizo.

*Mwaka 2004, wakaguzi wa kimataifa wakiongozwa na kampuni ya M/S Lazard walitoa ripoti inayoonesha mwenendo wa akaunti ya EPA, wadeni waliolipwa, wasiolipwa na sababu zao na hali halisi ya madeni. Pia wakaishauri BoT isilipe sehemu kubwa ya deni lililokuwapo kwa sababu lina utata.

*Novemba 25, 2004, kampuni ya wakaguzi wengine wa kimataifa PriceWaterhouseCoopers ilithibitisha kuwa mapendekezo na yale yote yaliyobainishwa na ripoti ya Lazard na wenzake, pamoja na kasoro ndogo ndogo, yalikuwa sahihi.

*Julai, 2005, Gavana wa BoT, Dkt. Ballali aliijibu Serikali kuwa hawezi kutoa mchanganuo wa akaunti ya EPA kwa sababu ya ubovu wa mfumo wa kompyuta. Hakuwahi kutoa mchanganuo huo.

*Septemba, 2005 hadi Januari mwaka juzi, harakati nzito zilifanyika kwenye akaunti hiyo ambapo kampuni 22 za kitanzania zililipwa jumla ya sh. bilioni 133 zikidai ni mawakala wa kampuni za nje zinazoidai Serikali.

*Mwaka juzi, wakaguzi wa ndani wa BoT, kampuni ya Delloite & Touche, walibaini malipo yenye utata katika akaunti ya EPA kwenda kampuni ya Kagoda Agriculture.

*Septemba 8 na 9 mwaka juzi, Gavana wa BoT, Dkt. Ballali aliwaambia wakaguzi kuwa Serikali ndiyo inayojua yote kuhusu fedha zilizochotwa na Kagoda kutoka EPA.

*Septemba 15 mwaka juzi, Waziri wa Fedha, wakati huo, Bibi Zakia Meghji, alijibu wakaguzi kuwa Serikali inazitambua fedha hizo kuwa zilitumika katika 'matumizi mahsusi yenye maslahi kwa Taifa.' Alishindwa kutoa nyaraka kuthibitisha matumizi hayo.

Baadaye alikiri kuwa alidanganywa, hakupewa maelezo sahihi na maofisa wa BoT.

*Oktoba 28 mwaka juzi, Waziri Meghji alikiri mbele ya wakaguzi wa Deloitte & Touche, kuwa aliposaini barua ya kuidhinisha malipo kwenda Kagoda, aliegama zaidi katika maelezo tu ya Gavana Ballali kuwa ni malipo halali.

Alikiri katika mahojiano na wakaguzi kuwa baadaye alibaini kulikuwa na ubadhirifu kwenye akaunti ya EPA.

*Mwaka jana, wakaguzi wa Ernst & Young nao walisema baada ya mahojiano marefu na Waziri Meghji, hakuna ushahidi kuwa Serikali iliagiza malipo kutoka kwenye akaunti ya EPA.

*Januari mwaka huu, Ikulu ilitoa kwa ufupi kilichobainika kwenye ripoti ya Ernst & Young na kuanza hatua alizozichukua Rais Kikwete za kuunda Kamati Maalumu kuangalia hatua zaidi za kuchukuliwa dhidi ya waliohusika. Ikapewa miezi sita.

*Januari 10 mwaka huu, Rais Kikwete alitangaza kumfuta kazi Dkt. Ballali na nafasi yake kuchukuliwa na Profesa Ndulu.

*Aprili mwaka huu, Rais Kikwete alifanya uteuzi wa Baraza jipya la Mawaziri na kumwondoa Bibi Meghji na nafasi yake kuchukuliwa na Bw. Mustapha Mkulo.

*Agosti, Rais Kikwete alihutubia Bunge na kulizungumzia kwa kirefu suala la EPA ambapo alitoa hadi Oktoba 30 mwaka huu, waliohusika wawe wamerejesha fedha hizo. Rais Pia aliagiza ifikapo Novemba mosi, wote watakaokuwa wameshindwa kutekeleza agizo hilo, wafikishwe kortini. (kutoka: gazeti 'Majira' 23/10/2008)

Tuesday 21 October 2008

Obama's doing well

Obama campaign is doing well in terms of fund raising. Also I have learnt that he didn't even bother to seek federal funds! All the money, running the campaign, comes courtesy to donations from his supporters and well wishers! So, by law he has no limit of fund raising and spending as well!

Monday 20 October 2008

'LY' (la Saba): Ni Miaka 25 sasa!

Siku ya tarehe 19/10/1983 (robo karne iliyopita!) ni siku muhimu kwangu. Siku hiyo nilikuwa mmoja wa wahitimu wa darasa la Saba waliofanya mtihani wa Taifa wa kumaliza Elimu ya Msingi ktk Shule ya Msingi Baranga, Musoma. 'LY' ni kifupi cha maneno 'Last Year' (wahitimu wa darasa la Saba wanajua sana hicho kifupi).
Mwalimu Mkuu wangu kipindi hicho nilipohitimu alikuwa ni mwalimu Amas Joseph, mwenyeji wa Singida.
Nakumbuka baada ya mitihani miwili ya asubuhi, tulipata chakula cha mchana shuleni (wali/ugali wa mahindi na nyama ya kondoo). Asubuhi tulifanya masomo mawili (Hisabati na Sayansi) na jioni tulimaliza mtihani wa Taifa kwa somo la Maarifa. Baada ya Mtihani, wanafunzi na baadhi ya walimu wetu tulipata nafasi ya kuagana rasmi kwa kucheza michezo mbalimbali. Mimi nilishiriki katika mpira wa volley (volleyball). Mwalimu wetu Mkuu alikuwepo na alicheza -alikuwa mtaalamu sana wa kucheza volleyball.
Kuna mambo mengi sana ya kukumbuka kipindi hicho (memories) shule ya msingi. Kwa mfano, nakumbuka sare (uniform) yetu ya kwanza kabisa ilikuwa shati ya khaki ya rangi ya kijani ikiwa na mifuko miwili kwa mbele yenye vifuniko na vishikizo, begani kulikuwa na kimkanda kama vile vya kijeshi na vimkanda hivyo (ktk mabega yote) viliwekewa kipande cha kitambaa cha njano (mfano wa nyota za wanajeshi) halafu kaptura ilikuwa ya khaki ya rangi nyeusi - Vijana Chipukizi!!! Vile vile huwa nacheka sana ninapokumbuka siku ya kujiandikisha shuleni (registration day). Siku hiyo nilienda peke yangu shuleni kujiandikisha (iko jirani na nyumbani kwetu). Sasa wakati wa kujiandikisha nilikuwa mtu wa mbali kidogo. Watoto walionitangulia walikuwa na majina yanayofanana sana. Utasikia wanataja; Chacha Marwa Mwita, Mwita Marwa Chacha, Mwita Chacha Marwa, Marwa Chacha n.k. Kabla ya zamu yangu kufika nikawa najiuliza hivi hii 'Chemistry' au 'permutation' ya 'elements za Chacha, Marwa na Mwita' ndio formula ya majina ya wanafunzi??
Kitu kingine ninachokumbuka enzi hizo ni wakati wa mitihani, mitihani ilikuwa inaandikwa ubaoni kwa chaki na mwalimu msimamizi alipokuwa anamaliza kuandika alimjulisha mwanafunzi mmoja au wawili nao walianza kuita kwa sauti (mfano) "la tano 'A'", wengine wanaitikia "la tano 'A'" hivyo hivyo mpaka wanafunzi wote wa darasa la V 'A' wanapata habari na kuingia ktk chumba cha mtihani!
Karibu kila asubuhi ulikuwa tunaenda na vitendea kazi mfano majembe, panga, fyekeo n.k. Mchana saa 9 baada ya masomo tunaenda shambani au msituni kukata miti (masanzu) ya kuzibia uzio -walikuwapo wakataji miti (wachache) na wengine wasombaji. Kuchomwa miiba miguuni ilikuwa kawaida! Wakati mwingine haikuwa rahisi kupata hizo nyenzo majumbani na waliokosa kupeleka nyenzo shuleni walipewa adhabu kali, mara nyigi viboko! Tulikuwa tunaagizwa vitu kila jioni vya kuleta asubuhi. Mara nyingi tuliagizwa nyasi za kuezekea. Tulipoanza darasa la kwanza tulitengeneza vijiti vingi vya kuhesabia na kuvitengenezea kaupinde na kamba. Vijiti hivyo viliwekewa vitundu vya kupitisha kamba nyembamba ambayo ilitumika kuvining'inizia vijiti. Kaupinde hako na vijiti vyake vilineokana na umbile mfano wa zeze!, tukawa tunatembea navyo kila mahali tulipokuwa shuleni! Vijiti hivyo vilitokana na mabaki ya mimea ya zao la mtama lilikwisha kuvunwa.
Wakati wa mitihani, kila tunaporudishiwa makaratasi ya mitihani mimi na marafiki zangu Marwa Richard Nyamonge, Juma Marwa Chororo, Naomi Matutu na Chacha Nyamonge tulikuwa na utaratibu wa kukutana na kujumlisha alama (maksi) za kila somo na kwa kila mmoja wetu na kuona nani amepata alama nyingi. Na kwa aliyepata alama nyingi ktk kikundi hiki cha rafiki zangu alikuwa na uhakika wa kuongoza darasa zima kimatokeo na kuwa wa kwanza!! Kwa hiyo hicho kikundi mara nyingi kilitoa mtu wa kwamnza hadi wa tano darasani. Matokeo yalipotengwa kimikondo, Chacha Nyamonge na Juma walichuana kivyao huku mimi, Marwa Richard na Naomi Matutu tukitoana jasho! Katika mtihani huo wa Taifa tulioufanya -ni Mimi na Naomi Matutu ndio tuliochaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza. Hata hivyo Marwa Richard, Juma Marwa na Chacha Nyamonge (na wengine wengi) walikuja kuchaguliwa na kuendelea na elimu ya Sekondari walipojaribu bahati yao kwa mara ya pili!
Kabla ya kuingia darasani kulikuwa na ukaguzi wa usafi -uniform, nywele, kucha, meno, kunawa miguu n.k. Kwa sasa vinaonekana ni vitu vya kawaida ila kwa kipindi hicho ilikuwa shida sana kwa watoto hasa kutokana na ukosefu wa maji na fedha za kununua sare mpya.
Baada ya matokeo ya darasa la Saba kutangazwa, tuliletewa shuleni vyeti cha kuhitimu Elimu ya Msingi. Cheti hicho cha kuhitimu Elimu ya Msingi ni muhimu sana katika historia yangu kielimu, maana huko ndiko nilikoanzia na msingi mzuri kielimu ndio mwanzo mzuri ktk safari ya kielimu na maisha kwa ujumla!

Walimu wangu: Darasa la I-VII (Baranga S/M):
Fanuel Namba (FN) -English (Mwl. Mkuu wa kwanza hadi 1980)
Makaranga Kubwela (MK) -Kiswahili
Nyafungo Kubwela (NK) -Sayansi Kimu (dada wa Makaranga, baadae mrs CW)
Amas Joseph (AJ) -English (Mwl Mkuu 1980-86)
Chacha 'Mbegete' Jasson (CJ) -Siasa, Michezo, Kiswahili
Chilemeji Wilson Mabuba (CW) -Kiswahili, Hisabati, English
Telesphory Paschal (TP) -English
Flora Matutu (FM); Mrs Amas Joseph -English
Leonidas Lwehumbiza (LL) -Sayansi
Robert Makuna (RM) -Jiografia
Obedi Mangunu (OM)-Kiswahili
Mwita Nyamhanga Obonyo (MN)-Sayansi Kimu, Jografia
Tui Nyamhanga Obonyo* (TN)-Kiswahili, Siasa
Mwita Magweiga Kisyeri (MM) -Hisabati
Daudi Sira 'Philipo Daniel' (DS) -English, Siasa
.......................................

Wanafunzi wenzagu (classmates) Darasa la I-VII:
1. Marwa Richard Nyamonge -mkondo B
2. Juma Marwa Chogoro -mkondo A
3. Naomi Matutu -mkondo B
4. Mbusiro Michael Kehengu-B
5. Rhobi Chacha Mosenye(?) -B
6. Chacha Nyamonge -Std VIA akahamia Sisimba S/M Mbeya
7. Severina Joram Nkenge -Std VIIA
8. Nyamahemba Washiki -B
9. Wesiko Marwa (monita std I-III) -B
10. Mwita Gati -B
11. Ogunya Mkama Ogunya -B
13. Bhoke Magabe -B
14. Mtatiro Marwa Tienyi -B
15. Bhoke Nyakorema -B
16. Rhobi Msoba -B
17. Chacha Nyamaranya -A
18. Nyawasha Machela -A
19. Elizabeth Wanda -A
20. Marwa Gati -A
21. Bhoke Sarya Mrisya -A
22. Charles Messanga -A
23. Mwita Magabe -A
24. Bhoke Magweiga Kisyeri -B
25. Nyamahemba Washiki-B
26. Chacha Mwita -A
27. Chacha Mwita -B
28. Mwita Mashauri -B
29. Chacha Mashauri -A
30. Mwita Marwa Kisyeri -B
31. Mwema Mnanka Samo -Std IVB akahamia Kongoto
32. Musoma Wanda* - Std VIIA
33. Wegesa Wambura Nyakubhilela* -A
34. Ghati Magweiga Kisyeri* -A
35. Scholastica William -B
36. Laurent John-B
37. Buhuru Samson -B
38. Ms Kichele Gati -A
39. Ms Kichele Magige Bwana -A
40. Bhoke Kiginga -A (Bibi Afya)
......................

*wameaga dunia

'Scouts and Sex'

Sex education plan for Scouts
Chief Scout Peter Duncan said: "We must be realistic and accept that around a third of young people are sexually active before 16 and many more start relationships at 16 and 17."

"Scouting touches members of every community, religious and social group in the country so adults in Scouting have a duty to promote safe and responsible relationships and, as an organisation, we have the responsibility to provide sound advice about how to do that."

The new guidance says scout leaders can even give out condoms but "only if they believe the young person is very likely to begin or continue having intercourse with or without contraception".

Contraception can only be offered if without it "their physical or mental health are likely to suffer".

The guidance says leaders should "encourage young people to resist pressure to have early sex" and to talk to their parents or carers but "should be prepared to offer appropriate information" if it is needed.

A visit to, or by, a sexual health clinic may help to "break illusions of what these services are and improve the uptake of advice".

The Scouting Association said young people may feel more comfortable discussing sexual issues in the informal setting of a Scouts group.

Mr Duncan said: "I firmly believe that the confidence, skills and self esteem young people gain through the incredible range of activities Scouting offers is the best way to equip them not to feel pressured into a sexual relationship before they are ready." (source: yahoo news -uk)

Saturday 18 October 2008

Bwana Ametoa,
Bwana Ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe,
Milele,
Amina.

Brother JoRaM

Tomorrow, 19th October 2008, it will be 16 years exactly since my brother Joram passed away at Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam, at a tender age of 37.

He was born in June 10, 1955. His friends and mates during his school days used to call him 'Bruno' and his interests included politics and music (especially the late Mbaraka Mwinshehe's songs). He was laid to rest on Wednesday October 26, 1992 at our village.

The whole of your family remembers will always remember you Brother JORAM!

Lucky Dube: Remember Me!

Today, 18th October 2008, is the first anniversary of Lucky Dube's tragic death (killed by 'robbers'/carjackers) in Johannesburg, South Africa.

He once released a famous single 'Remember Me' and I, being one of his fans, will always remember him and his inspiring reggae music!
......................................

Biography
Birth name: Lucky Philip Dube
Born: August 3, 1964(1964-08-03)
Origin: Ermelo, Transvaal (now Mpumalanga), South Africa
Died: October 18, 2007 (aged 43) at Rosettenville, Johannesburg, Gauteng, South Africa (murder)
Genre(s): reggae, mbaqanga.
Occupation(s): Singer, Keyboards
Years active: 1982 - 2007
(with the help from wikipedia)
................................

Friday 17 October 2008

Hongera Majira, Bus. Times (T) Ltd

Nimeona shamrashamra za magazeti ya Business Times Ltd kusherekea miaka 20 tangu kuzaliwa. Mimi kitu ninachombuka sana ni kuwa nakala za Majira zilianza kuuzwa kwa sh. 30/= enzi hizo ikiwa ni bei nafuu kuliko magezi yote kipindi hicho. Magazeti mengi yalikuwa na bei za 50/= au 70/=.

Hongera sana Majira.

Dedan Karanja Bus

Nimekumbuka mbali sana miaka ya 1980 kule mji wa Musoma, mkoani Mara (Tanzania).

Kulikuwa na basi moja la muundo wa kizamani (enzi hiyo) lililokuwa linasafirisha abiria toka maeneo ya kitongoji cha Makoko, nje kidogo ya mji, hadi mjini Musoma na kurudi tena Makoko. Lilikuwa na mwendo wa taratibu sana! Lilikuwa limeandikwa 'Dedan Karanja' (huenda ni jina la aliyekuwa mmiliki wa basi hilo!)

Kuna basi jingine lililoitwa Mkirya Mwambara (jina la mwenye mali) kwa nyuma lilikuwa na maandishi 'TEREMA BAGAMBE' na dereva wake aliitwa Tondora. Hili basi lilikuwa linasafiri kati ya mjini Musoma na Musoma vijijini kupitia Kiagata (makao makuu ya basi) hadi Baranga, Sirori Simba hadi Ngoreme (Maji Moto). Ni basi lililokuwa linaenda taratibu pia. Terema Bagambe tafsiri yake ni 'Tulia waseme'.

Ktk ruti hiyo ya 'Terema' yalikuwepo mabasi ya mzee Jackson na ndugu yake Muhoni yaliyokuwa na majina 'AHSANTE MWANAMARA'. Nakumbuka jina la kijana wa Jackson aliyekuwa anaendesha moja ya mabasi hayo. Aliitwa Samba. Mara nyingi mabasi haya yalianzia safari zake Sirori Simba, Ngoreme au Masinki (Serengeti) kwenda mjini Musoma. Mzee Muhoni aliwahi kuanzisha ruti ya kutoka Mugumu, Serengeti hadi Musoma mjini na kurudi Mugumu siku hiyo hiyo kwa kupitia Sirori Simba.

Huko ndiko tulikotoka!

SMEs: heard of'em lately?

As current economic crisis continues shaking the world there are jargons being exchanged here and there!
Today I look at SMEs.
..............................

Small and medium enterprises (also SMEs, small and medium businesses, SMBs, and variations thereof) are companies whose headcount or turnover falls below certain limits.

The abbreviation SME occurs commonly in the European Union and in international organizations, such as the World Bank, the United Nations and the WTO. The term small and medium-sized businesses or SMBs is predominantly used in the USA.

EU Member States traditionally had their own definition of what constitutes an SME, for example the traditional definition in Germany had a limit of 500 employees, while, for example, in Belgium it could have been 100. But now the EU has started to standardize the concept. Its current definition categorizes companies with fewer than 50 employees as "small", and those with fewer than 250 as "medium". By contrast, in the United States, when small business is defined by the number of employees, it often refers to those with less than 100 employees, while medium-sized business often refers to those with less than 500 employees.

Both US and EU generally use the same threshold of fewer than 10 employees for small offices (SOHO).

In most economies, smaller enterprises are much greater in number. In the EU, SMEs comprise approximately 99% of all firms and employ between them about 65 million people. In many sectors, SMEs are also responsible for driving innovation and competition. Globally SMEs account for 99% of business numbers and 40% to 50% of GDP.

In India, the Micro and Small Enterprises (MSEs) sector plays a pivotal role in the overall industrial economy of the country. It is estimated that in terms of value, the sector accounts for about 39 per cent of the manufacturing output and around 33 per cent of the total export of the country. Further, in recent years the MSE sector has consistently registered higher growth rate compared to the overall industrial sector. The major advantage of the sector is its employment potential at low capital cost. As per available statistics, this sector employs an estimated 31 million persons spread over 12.8 million enterprises and the labour intensity in the MSE sector is estimated to be almost 4 times higher than the large enterprises.

In South Africa the term SMME, for Small, Medium and Micro Enterprises, is used. Elsewhere in Africa, MSME is used, for Micro, Small and Medium Enterprises. Size thresholds vary from country to country.

The lack of a universal size definition makes business studies and market research more difficult. (source: wikipedia)

Thursday 16 October 2008

US Elections 2008: What have we learnt?

Last night around 02:00BST there was a third and last Televised United States of America's Presidential candidates debate which featured Republicans' Sen. John McCain and Democrats' Sen. Barack Obama.

The debate was good in general, each candidate did perform well and to be fair it was very difficult to separate the two! So it will go to the wire!!

The positives I took from this debate, and other two previous debates, is that candidates, despite their differences in ideologies, policies, opinion and background, they always showed and put public interests first. Also both candidates looked calm, friendly, respecting each other and also they recognised each others' potential ability to lead their Nation. Above all, at the end of last night's debate both candidates praised each other and shook hands!

During the debate I witnessed political maturity and professionalism from both Presidential candidates. This is a lesson we, in Africa, have to learn -that irrespective our differences in political opinion or beliefs, we should be friends and put forward the people's interests and not personal interests. Eventually the voters would have the last say and whoever ultimately wins we should be behind him/her for the interest of our respective nations. By doing this conflicts and wars would be a thing of the past and 'peace and prosperity' would flourish forever! God Bless Africa.

Tuesday 14 October 2008

Mwalimu Nyerere tunakukumbuka

Leo 14/10/2008 ni miaka 9 kamili tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipoaga dunia Uingereza ktk hospitali ya Mtakatifu Tomas akiwa ktk matibabu ya saratani ya damu.
Tunakukumbuka Baba!

TRM wasema NO! kwa 'sisiemu'

................................
"Kamanda Tossi, unapima maji ya Kirumi kwa kidole?``
-Kutoka Nipashe 14/10/2008
................................

Stori na Mosonga Raphael
Wagombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo wameshinda ktk uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge na udiwani ktk jimbo la uchaguzi Tarime na kata ya Tarime mjini.

Kwa ushindi huo, wananchi wa jimbo la Tarime ni kama wamepeleka salaam kwa wenzao nchi nzima 'wajifunze kusema NO' kwa CCM!

Kwa mtaji huu wa CCM kutojali uwajibikaji kwa wananchi na upotevu au utumiaji mbaya wa fedha za umma uliozagaa serikalini, si ajabu ktk uchaguzi mkuu ujao 2010 tukashuhudia maajabu zaidi na wapinzani kuongeza nguvu zaidi bungeni na hata ktk urais, hakuna ajuaye ...!!!

Leo ni kumbukumbu ya mwaka wa 9 tangu kifo cha Baba wa Taifa ambapo Tarime wamemkumbuka Mwalimu kwa onyo kali kwa CCM. Nadhani hata Mwalimu angefurahi kuona matokeo haya. Wananchi hawawezi kuibeba CCM hata kama haibebeki, ni lazima wapewe onyo (wake up call) na wasipojirekebisha vya kutosha ni nani atashangaa mwaka 2010 kuona Rais mteule Mbowe au Rais mteule Lipumba akiapishwa?

Vitu muhimu Uingereza

Kwa mtu yeyote ambaye ni mhangaikaji (kimaisha) na anaishi Uingereza kuna vitu viwili muhimu ambavyo, aghalabu, ni lazima avifuatilie ktk luninga au redio kabla hajatoka ktk makazi yake kwenda anakotaka kwenda hasa kwa safari ya mbali:
1. utabiri wa hali ya hewa (weather updates)
2. njia za usafiri (traffic news/updates)

Kama mtu akipitiwa au kusahau ku'cheki' hivyo vitu au kimojawapo, anaweza kuonja joto ya jiwe njiani huko aendako! (takuwa kama jusi, joto ya jiwe kwisa juwa!!)
Ni vitu muhimu sana kuvijua karibu kila siku na kila wakati, ndani ya kisiwa cha Uingereza.

Monday 13 October 2008

Solvency

In finance, solvency is the ability of an entity to pay its debts with available cash. Solvency can also be described as the ability of a corporation to meet its long-term fixed expenses and to accomplish long-term expansion and growth. The better a company's solvency, the better it is financially. When a company is insolvent, it means that it can no longer operate and is undergoing bankruptcy.

Solvency is a different concept from profitability, which refers to the ability to earn a profit. Businesses can be profitable without being solvent (e.g. when they are expanding rapidly). Businesses can be solvent even while losing money (e.g. when they cannibalize future cash flows, like selling accounts receivable). A business is bankrupt when it is unprofitable and insolvent. This extract is from wikipedia.

Preference shares, liquidity

Following recent economic turbulence allover the world, we have been hearing terms which (for some of us as lay people) we might not easily understand. Now I go deep to get a glimpse of what does Alistair Darlin and Gordon Brown really mean!
.................................

Preferred stock, also called preferred shares or preference shares, is typically a higher ranking stock than voting shares, and its terms are negotiated between the corporation and the investor.

Preferred stock usually carry no voting rights, but may carry superior priority over common stock in the payment of dividends and upon liquidation. Preferred stock may carry a dividend that is paid out prior to any dividends to common stock holders. Preferred stock may have a convertibility feature into common stock. Preferred stockholders will be paid out in assets before common stockholders and after debt holders in bankruptcy. Terms of the preferred stock are stated in a "Certificate of Designation".

Market liquidity is a business, economics or investment term that refers to an asset's ability to be easily converted through an act of buying or selling without causing a significant movement in the price and with minimum loss of value. An act of exchange of a less liquid asset with a more liquid asset is called liquidation. Liquidity also refers both to that quality of a business which enables it to meet its payment obligations, in terms of possessing sufficient liquid assets; and to such assets themselves.
Accounting liquidity (liquidity) is a measure of the ability of a debtor to pay their debts as and when they fall due. It is usually expressed as a ratio or a percentage of current liabilities.

(from: wikipedia)

Happy birthday Wes Brown of Man Utd

Today (13/10/2008) is your special day! Happy birthday to you Wes Brown!

Stars bado ina pointi 3 tuu?! No Noo Nooo!

Gazeti la Majira la leo limeniacha hoi. Linadai eti timu ya Taifa (Stars) imemaliza michuano ya kwania kombe la dunia na mataifa ya Afika ikiwa na pointi tatu tu pamoja na ushindi wa jana!
Mimi siamini haya ya Majira kwani kumbukumbu zangu (ingawa sifuatilii sana michuano hii) zinaniambia kuwa Stars ilitoka sare na Mauritius 1-1 na pia ikatoka suluhu na Cameroon 0-0. Halafu iliifunga Mauritius 4-1 na jana ikaifunga cape Verde 3-1. Ilifungwa mechi mbili na Cameroon na Carpe Verde. Kwa hesabu za haraka haraka Stars ina pointi 8.
...................................................
Soma sehemu hii kutoka gazeti Majira 13/10/2008.
'Stars juzi ikicheza soka la uhakika, iliifunga Kepuvede mabao 3-1 katika mchezo wa mwisho wa Kundi la Kwanza katika harakati za kufuzu fainali hizo, ambapo licha ya ushindi huo haijafuzu kwani imemaliza ikiwa na tatu na pointi nane nyuma ya Kepuvede yenye pointi tisa na vinara Kameruni wenye pointi 16'.

Saturday 11 October 2008

"beautiful woman is another man's playfield"
-lucky dube, 'song: it's not easy'

Friday 10 October 2008

Tarime, yaliyotokoea yasirudiwe tena!!

Hali na maendeleo ya kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Tarime, Mara sio shwari.

Kwa kweli tangu wakati wa mazishi ya aliyekuwa mbunge marehemu Chacha Wangwe hali haikuwa ya kuridhisha kiusalama.

Vurugu na vitendo vya uvunjaji wa sheria (umwagaji damu) vimetawala mazungumzo na matangazo ktk vyombo vya habari. Watanzania na dunia kwa ujumla walitegemea kusikia au kuona kampeni majukwaani huku kambi za vyama husika zikitoa hoja na sera zenye manufaa na za kuboresha maisha ya wana-jimbo, lakini badala yake siasa zimegeuka uhasama na uadui hadi vitendo visivyo vya kiustaarabu na vya uvunjaji wa sheria vikishika kasi na kutawala kampeni na kuonekana vya kawaida!

Naomba vyombo vya dola viwe makini ili kulinda usalama wa kila mwana jimbo bila kujali itikadi za vyama au ushabiki wa kisiasa. Kila mwananchi alindwe na pale wanapotokea wakorofi wanaovunja amani na ustaarabu ni vizuri wachukuliwe hatua za kisheria.

Ikiwa imebakia siku moja tu kabla ya uchaguzi, ningependa kuona habari zinazotawala kurasa za magazeti au ktk vyombo vya habari kwa ujumla zikiwa ni siasa, sera na mikakati ya uchaguzi na sio za kuongelea mapigano au umwagaji damu!

Mimi sitoki wilaya ya Tarime ila natoka mkoa mmoja na Tarime. Kwa kweli vitendo vilivyotokea Tarime hivi karibuni na hasa jana (kukatana mapanga usoni) ni vya aibu sana katika dunia ya leo. Hii aibu ni yetu wote hasa tunaotokea mkoa huo kwani tumeona chaguzi nyingi sana nchini Tanzania tangu siasa za vyama vingi ziliporuhusiwa lakini hatujawahi kusikia damu inamwagika isipokuwa Tarime! Tabia hii naikemea na kuipinga kwa nguvu zote hasa ukizingatia muasisi wa Taifa letu, hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, anatokea mkoa wetu, na hizi aibu pia zitakuwa zinamgusa kwa namna moja au nyingine. Inabidi tumuenzi Baba wa Taifa kwa kuonyesha ustaarabu na ukomavu kisiasa na pia kudumisha yale mema aliyotufundisha au kuyaonyesha enzi za uhai wake.

Kama watu tunatofautiana ktk hoja au suala lolote zipo njia muafaka za kufikia maafikiano kwa amani na kwa ustaarabu. Au ikishindikana kuafikiana 'watu hukubaliana kutokubaliana' kwa amani, sio kwa ncha ya upanga!

Thursday 9 October 2008

Ikulu TZ yatumia anuani ya 'yahuu'!

Ni aibu ilioje kwa Ikulu ya Taifa letu kutumia e-mail address 'za mitaani' ktk mawasiliano na wananchi wake! Huu ni ukata au kutokuwajibika?

Kwa vile Ikulu ina tovuti yake (ikulu.go.tz) basi ni vema wangetumia e-mail hii (mfano): mawasiliano@ikulu.go.tz.

Pia nashangaa kuwa kwa wanaotumia lugha ya kiingereza kupewa anuani rasmi ya Ikulu na wale wanaotumia lugha ya Taifa kupewa anuani ya 'mitaani'! Kwa namna moja au nyingine hii aina mojawapo ya ubaguzi!
....................................................
....................................................
Barua kutoka Ikulu kwa wananchi ni hii hapa (nimeipata lukwangule.blogspot.com).

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Nchi za Afrika zimeonywa kuwa macho na uwezekano wa kugeuzwa soko kubwa la madawa ya kulevya kutoka Marekani Kusini, hasa baada ya Marekani kuwa imedhibiti soko lake.

Onyo hilo limetolewa leo (Jumanne, Oktoba 7, 2008) na Balozi mpya wa Colombia katika Tanzania, Mama Maria Victoria Suarez wakati alipokutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu, Dar es Salaam.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
07 Oktoba, 2008
..................

Happy Birthday Rais Kikwete

Nampongeza Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutimiza umri wa miaka 58 siku ya tarehe 07/10/2008. Mhe Rais alizaliwa tarehe 07/10/1950.
Ninamtakia maisha marefu na kazi njema.

Everton v. Man U: ticket news

Everton have had a mixed start to their season so far. They sit 15th in the league and last week bowed out of Europe to Belgian side Standard Liege - something which former Reds utility man Phil Neville will be keen to forget.

The Everton captain will expect no mercy from his old club when the Reds go to Goodison Park on Saturday 25 October (KO 12:00 BST).

We will receive an allocation of approx. 3000 tickets at £33 - £39 for adults, £16 - £19 under 16's and £20 - £21 over 65's.

Season Ticket holders who attended the Villarreal and Middlesbrough cup games can now apply online (www.manutd.com) or call 0161 868 8000 option 1 until 08:00 on Wednesday 8 October.

Coach travel is also available for the trip to Goodison Park.

(source: www.manutd.com, united newsletter)

Tuesday 7 October 2008

Tuimarishe vikosi vya zimamoto na uokoaji

Napenda kutoa pole kwa familia za wahanga (waliopotez\a maisha na majeruhi) wa ajali iliyotokea Tarime juzi.
Jambo lilonisikisha na uhaba au ukosefu wa vifaa vya uokoaji. Ktk picha nilimwona kamanda Tossi (op maalumu) akiongoza askari wa FFU(?), kwa kweli sikuweza kuwaona au kuwatambua askari wa zimamoto na uokoaji ktk eneo la ajali. Ikumbukwe kuwa ajali ile ilihusha roli la kubeba mafuta na ingewezekana wakati wowote likalipuka na kuongeza maafa zaidi.
Hata hao askari niliowaona kama wa FFU hawakuwa na vifaa kabisa vya kisasa! Walitakiwa wawe na mikasi ya kukatia vyuma ili kuwanasua majeruhi au kuondoa miili ikiwa ktk hali ile iliyoko. Kama mikasi ingetumika kukata dari/paa la basi (kipanya) ingekuwa rahisi kutekeleza zoezi la uokoaji (rescue and recovery). Mikono mitupu kufanya ile kazi nadhani iliwawia vigumu wahusika kukamilisha kazi kwa haraka.

Vifaa vya zimamoto na uokoaji vinaweza kupatikana na kusambazwa ktk wilaya na miji yote nchini iwapo kutakuwa na mipango na mikakati hai ktk ngazi zote, ngazi hasa Taifa (serikali).

Vifaa vya uokoaji ni muhimu ktk maisha na maendeleo ya wananchi, hebu tuchukue hatua madhubuti ili maisha ya raia yasipotee pale yanapoweza kuokolewa. Uzembe na kutokuchukua hatua madhubuti (indecision) kunaweza kusababisha maafa makubwa zaidi.

Monday 6 October 2008

Black History Month

Black History Month is a remembrance of important people and events in the history of the African diaspora. It is celebrated annually in the United States and Canada in the month of February, while in the UK it is held in the month of October.

The remembrance was originated in 1926 by historian Carter G. Woodson* as "Negro History Week". Woodson chose the second week of February because it marked the birthdays of two Americans who greatly influenced the lives and social condition of African Americans: former President Abraham Lincoln and abolitionist Frederick Douglass.

Purpose
When the tradition of Black History Month was started in the US, many in mainstream academia had barely begun to explore black history. At that point, most representation of blacks in history books was only in reference to the low social position they held as slaves and their descendants, with the exception of George Washington Carver. Black History Month can also be referred to as African-American History Month, or African Heritage Month. W.E.B. DuBois' 1935 work "Black Reconstruction" was an early work in history that pointed to black contributions.

In the United Kingdom (UK), Black History Month was first celebrated in the month of October 1987, African Jubilee year, as part of a drive to improve racial harmony in London. It has since grown to encompas the whole country and to recognise and embrace the contributions and traditions of other black communities.

Part of the aim of Black History Month is to recognize significant contributions to society made by people with African heritage and how their history is integral to mainstream narratives. It demonstrates how all peoples contribute to a culture.
(sources: wikipedia and the reading-borough-council booklet)
.......................

*Dr Carter G Woodson is a black American historian who created a month (february) for African American people to have the opportuniy to celebrate and acknowledge themselves and their achievements.

Saturday 4 October 2008

Nani asiyejua ID ya mgonjwa ni siri?

Mgonjwa yeyote huwa analindwa juu ya haki yake ya usiri (privacy) kuhusiana na ugonjwa wake. Madaktari au manesi huwa hawaruhusiwi kisheria kutaja hadharani jina la mgonjwa na tiba au ugonjwa anaotibiwa hospitalini. (Labda mgonjwa mwenyewe aamue kutangaza au kusema hadharani -hiyo ni hiyari yake!). Ila leo nimeshangaa kusoma haya ktk gazeti la Nipashe (on-line)!!!
.......................
.......................

Mgonjwa wa akili aliyejeruhiwa atoka ICU
Hali ya mgonjwa wa akili, Athuman Abdallah, ambaye alivamiwa na kuumizwa na mwezake na kulazimika kufanyiwa upasuaji wa kichwa, inaendelea vizuri na amerudishwa wodi ya wagonjwa wa akili. Awali, Abdallah alilazwa chumba cha wagonjwa wenye Kuhitaji uangalizi maalum (ICU), akipatiwa matibabu kutokana na kujeruhiwa na David Dege ambaye ni mgonjwa wa akili.

Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Mifupa (Moi), Almas Jumaa, alisema hali ya Abdallah imeimarika kiasi cha kurejeshwa wodini kuendelea na matibabu ya akili. Jumaa alisema hatua hiyo imefikiwa baada ya kuonekana anaweza kuchanganyika na wenzake kama ilivyokuwa awali kabla ya kushambuliwa. Aliongeza kuwa anachofanyiwa mgonjwa huyo kwa sasa ni kuletwa kliniki kwa ajili ya matibabu ya kawaida kujua jinsi anavyoendelea.

(SOURCE: Nipashe, 2008-10-04 11:29:56 Na Godfrey Monyo)

Friday 3 October 2008

My Favourite Books: Architecture

The Architecture Student's Handbook of Professional Practice
by American Institute of Architects
Price: £52.25

Synopsis
Written by The American Institute of Architects, this is the definitive textbook on practice issues written specifically for architecture students. Specifically written for emerging architects, this is the first unabbreviated guide specifically for architecture students about to begin their careers. It is required reading in a professional practice course that architecture students must take within their final two years of school.


Format: Paperback 720 pages
Date of publication: 19/11/2008
Publisher: Wiley-Blackwell (an imprint of John Wiley & Sons Ltd)
ISBN: 9780470088692

..............................................................
..............................................................

Time Saver Standards for Architectural Design: Technical Data for Professional Practice - Time-Saver Standards for Architectural Design Data
by Michael J. Crosbie, Donald Watson
Price: £74.99

Synopsis
Since its release in 1946, this has been one of the most widely recognized and respected resources for architects, engineers, and designers, bringing together the knowledge, techniques, and skills of some of the most well-known experts in the field. The new Eighth Edition takes a fresh, visual approach to the information architects need to access quickly, helping them save time and money by assuring they get it right the first time. Readers will find timely, new chapters on building security, natural disaster mitigation, building diagnostics, facility management, and much more. The accompanying CD-ROM contains the complete contents of the Eighth Edition.


Book details
Format: Mixed media product 640 pages
Date of publication: 09/06/2008
Publisher: McGraw-Hill Professional
ISBN: 9780071432054

(source: waterstones.com)

Thursday 2 October 2008

Manchester United fixtures in October

04 Oct Barclays Premier League Blackburn A 17:30 W 2-0 Wes Brown, Rooney
18 Oct Barclays Premier League West Brom H 17:30 W 4-0 Rooney, Ronaldo, Berbatov, Nani
21 Oct UEFA Champions League Celtic H 19:45 W 3-0 Berbatov (2), Rooney
25 Oct Barclays Premier League Everton A 12:00 D 1-1 Fletcher
29 Oct Barclays Premier League West Ham H 20:00 W 2-0 Ronaldo (2)

GOALS!
Darren Fletcher: Prem: (1+1+1) =3
Wayne Rooney:Prem: (1sep+1oct+1) Champ/League:1+1 =5
Dimitar Berbatov: Prem:1 Champ/Lge:2+2 =5
Cristiano Ronaldo: Prem:1+1+2 Lge Cup:1 =5
Ji Sung Park: Prem 1 =1
Luís Carlos Almeida da Cunha ("Nani"): Prem:1 Lge Cup:1 =2
Ryan Giggs:Lge Cup:1 =1
Wes Brown: Prem:1oct =1
'gambling promises the poor'
-houses under the hammer, bbc one. 01/10/008, 10:43 BST

Mwita Mwikwabe, Katibu UVCCM Tanga

.................................................
"Narudia kusema mimi ni Mkurya, nikiwa chuo kikuu nikawa Rais wa DARUSO kamwe sikuwahi kurudi nyuma au kusema uongo kwa kile ninachoamini, Nyerere alisema uongo si nidhamu, lazima tuseme ukweli,"
.................................................
"Mimi ni muumini mkubwa wa Baba wa Taifa kwa vitabu na hotuba zake, nazifuatilia kweli...sasa chama ndicho kinapoteza imani kwa wanyonge na wafanyakazi na kinabaki mikononi mwa mafisadi, ipo siku nasi wanyonge tutachukia...ukiwa mkweli leo unasulubiwa"
..................................................

Katibu UVCCM Tanga abwaga manyanga
*Adai hawezi kwenda kumpikia Nchimbi chai

KATIBU wa Jumuiya ya Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Tanga, Bw. Mwita Mwikwabe, ametangaza kuacha kazi ndani ya Jumuia hiyo kwa alichodai ni kukerwa na kuonewa kunakosababishwa na kusema ukweli dhidi ya ufisadi.

Bw. Mwikwabe ambaye ni miongoni mwa wana CCM watano walioomba kuteuliwa na CCM katika kura za maoni za kumtafuta mgombea ubunge wa Tarime, alitangaza uamuzi huo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini hapa.

Aliwaambia waandishi hao kuwa amekuwa na ugomvi mkubwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Bw. Emmanuel Nchimbi, kuhusu msimamo wake juu ya kutounga mkono vitendo vya ufisadi kwa Watanzania.

Bw. Mwikwabe alidai baada ya kumaliza elimu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, aliajiriwa kuwa Katibu wa UVCCM na baadaye Sekriterieti ya Chama ilimpendekeza kuwa Katibu wa Jumuia hiyo mkoa huo lakini Bw. Nchimbi alipinga na kumpeleka Tanga na Dar es Salaam kupangiwa mtu anayetoka naye mkoa mmoja.

Hata hivyo, alidai kuwa alikubali kufanya kazi mkoa wa Tanga kwa muda wote hadi sasa, kabla ya juzi kuomba likizo ili kuomba ridhaa ya wana CCM wa Tarime kumpigia kura za maoni awatumikie kama mbunge baada ya kumsomesha.

Alidai kuwa katika kura hizo alipata nafasi ya tatu na kumuunga mkono mwana CCM aliyepitishwa na vikao vya chama, na baada ya kuombwa alimfanyia kampeni na akiwa katika kijiji kimoja alipigiwa simu akijulisha kuwa amepewa uhamisho kwenda makao makuu kuwa Katibu Msaidizi wa Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya hiyo.

Aliendelea kudai kuwa baada ya kupewa taarfa hiyo, aliwaambia hajakubaliana na uamuzi huo na kuwaeleza kuwa huo ndio mwisho wake kutumikia UVCCM na kwamba hataripoti akiwa hai labda upelekwe mwili wake.

Bw. Mwikwabe alidai kuwa alitambua kuwa uamuzi huo ulichukuliwa baada ya yeye kukataa kubadili uamuzi wa vikao vya Jumuia hiyo mkoani Tanga iliyotoa muda hadi Mei 4 mwaka huu watu wanaotajwa kwa ufisadi wajiuzulu nyadhifa zao na baada ya hapo, wafikishwe mahakamani mara moja.

“Kikao cha Vijana Tanga ndicho kilichopitia azimio hilo si mimi mwenyewe, lakini nilipigiwa simu kutakiwa eti nikanushe na niseme haukuwa uamuzi wa vijana ... mimi nilipinga hatua hiyo, kwa vile lengo ni kusadia Chama na Serikali kwa umma wa Watanzania kuondoa watu wanaokichafua,” alidai.

Alidai kuwa baada ya kusimamia uamuzi huo, alizidi kutishiwa na wakati mwana UVCCM mwingine, Bw. Nape Nnauye akizungumzia mkataba wa ujenzi wa kitega uchumi wa UVCCM makao makuu, alimuunga mkono kutokana na ukweli kuwa mkataba huo haukuwahi kujadiliwa na kupitishwa kama ilivyodaiwa.

Kutokana na msimamo huo, wenyeviti wa mikoa waliitwa Dodoma, awali wakimuunga mkono Nape, lakini baada ya kikao cha siri walisalia wenyeviti watatu tu waliomuunga mkono hadi ulipofikia uamuzi wa kumsimamisha kwa kusema ukweli.

Bw. Mwikwabe alidai kuwa kutokana na kuwa miongoni mwa vijana wanaochukizwa na ufisadi, ndiyo maana viongozi hao wamechukua uamuzi wa kumhamisha na kumpeleka makao makuu ya vijana kwa nafasi hiyo, ambayo alisema ndio mwisho wa kutumikia UVCCM kwa madai kuwa haitaki mtu msemakweli.

“We fikiria, wananipeleka kuwa msaidizi wa Nchimbi ambaye tayari hatuelewani ili ikitoka pale siri nifukuzwe...nina elimu yangu ya chuo kikuu, unanipeleka 'desk' niwe mhudumu wa chai wa Nchimbi sitaweza kamwe, chama kikinihitaji sawa, la sivyo nakwenda kufanya kazi yangu ya taaluma, nilijitoa kutumikia chama kwa moyo wangu wote, lakini nimeshindwa na nguvu ya pesa,” alidai Bw. Mwikwabe kwa uchungu.

“Mimi ni muumini mkubwa wa Baba wa Taifa kwa vitabu na hotuba zake, nazifuatilia kweli...sasa chama ndicho kinapoteza imani kwa wanyonge na wafanyakazi na kinabaki mikononi mwa mafisadi, ipo siku nasi wanyonge tutachukia...ukiwa mkweli leo unasulubiwa,” alisema.

“Narudia kusema mimi ni Mkurya, nikiwa chuo kikuu nikawa Rais wa DARUSO kamwe sikuwahi kurudi nyuma au kusema uongo kwa kile ninachoamini, Nyerere alisema uongo si nidhamu, lazima tuseme ukweli,” alisema.

(source: majira, Na George John, Tarime
::Habari za Tanzania Alhamis Okt 02, 2008
Imetolewa mara ya mwisho: 02.10.2008 04:30 EAT)