Friday 6 February 2009

Chama Cha Mapinduzi

Hongera kwa CCM kutimiza miaka 32 hapo jana.

Endelezeni yale mazuri yaliyoanzishwa na waasisi wa Chama na kamwe msijisahau au kulewa madaraka ya muda mrefu! Namsiwadharau wananchi, hasa wa kipato cha kawaida maana hao ndio waajiri wenu!

No comments: