Thursday 28 May 2009

Tawi la MU Dar lazinduliwa

Mashabiki wa Manchester United FC nchini (Tanzania) wameunda tawi na kulifungua leo katika hoteli ya Regency.

Uongozi wa Tawi:
-Bernard Mbwana (m/kiti)
-Ngallo (katibu wa muda)
-Dennis Ssebo (mratibu wa tawi)

Sherehe ya uzinduzi wa tawi ilifanyika usiku huu na kuhudhuriwa balozi wa Uingereza nchini Mh. Diane Corner ambaye pia alizindua rasmi tawi la Manchester United FC Dar.


chanzo: lukwangule blogspot, 28/05/2009

No comments: