Tuesday 19 May 2009

Chagua Finias Magesa kuwa MBUNGE

19/05/2009
Kwenu wana Busanda. Uchaguzi ujao mpigieni kura Finias Magesa;
-Mchapakazi (anafanya kazi kwa kuipenda sio 'bora liende')
-Mpenda maendeleo
-Mpenda mabadiliko ya kimaendeleo
-Mwakilishi na mtetezi imara popote atumwapo
-Mwaminifu, msikivu na mcheshi
-Mwenye upeo wa hali ya juu ktk masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, kisiasa na kisayansi + teknolojia yake.

Hakika Busanda itamfaa Finias na Finias ataifaa Busanda.

Nampitisha kuwa anafaa kuwawakilisheni Bungeni.

Mpeni kura muone matunda ya kazi yake! Atasaidia kusukuma gurudumu la Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii kwa ujumla sio hapo jimboni pekee bali pia TAIFA litanufaika na mchango wake ktk jukwaa la siasa akiwa kama Mbunge au hata Waziri ndani ya serikali zijazo!

Huo ni ushuhuda wangu kuhusu huyu mgombea Finias Magesa, na ndio maana nawaomba mmkubali awe mwakilishi wenu Bungeni siku ya Jumapili.

Kamwe hamtajutia uamuzi wa kumchagua Finias MAGESA.

Busanda Oyeeeee! Tanzania Oyeee!

No comments: