Saturday 14 June 2008

Bajeti 2008/09: Kipaumbele

(kutoka Nipashe 13/06/2008)
Maeneo sita ambayo yamepewa vipaumbele katika bajeti hiyo kuwa ni:
1. miundombinu ya barabara Sh. bilioni 973.3,
2. afya Sh. bilioni 803.8,
3. kilimo Sh. bilioni 460,
4. maji Sh. bilioni 230.6 na
5. nishati Sh. bilioni 383.1.
6. ???

No comments: