Tuesday 31 March 2009

First XI ya 'KJ' ni moto wa kuotea mbali!

Tuesday, March 31, 2009
Gazeti jipya 'baba lao' Kwanza Jamii, kwa kifupi 'KJ', limeingia mitaani kwa mara ya kwanza leo nchini Tanzania chini ya kapteni Magid Mjengwa.

Kikosi cha KJ ni kikali kwa mujibu wa safu niliyoiona ktk blog ya Mjengwa, kwa kweli sikutegemea ile line-up niliyoiona!

Ni matumaini yangu kabumbu litakalochezwa na hii squad ni la karne ijayo, hamna mpinzani.

Baadhi ya silaha za KJ ni hizi hapa;
1. Prof. Bwenge, C.
2. Prof. Mbele, J.
3. Prof. Nzuzullima
4. Dr. Chechege, B.
5. Dr. Mihangwa, J
6. Padri Karugendi, P
7. Subira Feruz (Ms)
8. Subi Sabato (Ms) -wa Nukta77!!!!
9. Born A.P.
10. Mjengwa, M (C)
11. na wengineo wengi

Kila la heri KJ.

No comments: