Thursday 25 June 2009

Ladies and Gents!

Niko Daa!
Ninafurahi sana kwa kila kitu; maisha ni mazuri, watu ni wacheshi n.k. Nchi imeendelea kwa kiwango cha kuridhisha na kama kuna dosari ni kidogo sana na zinarekebishika!
Kwa rafiki na ndugu zangu mlioko UK nawatakieni kila la kheri na mafanikio ktk shughuli zenu. 'Yapha' (hi nephew!/tom) na 'Mameki' (jerry) nanyi nawatakieni kila la heri na likizo njema. Be good boys eeeh! Salimia Mumy and Daddy!
Karibuni nyumbani TZ.

No comments: