Tuesday 2 June 2009

Baraza la Mwalimu

June II, MMIX
Miaka ya 1980 mwanzoni (miaka 5 kabla ya Mwalimu kustaafu 1985) nilianza kutambua baraza lake mawaziri.
Hapa nawakumbuka wachache kama ifuatavyo;

Aboud Jumbe Mwinyi - Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar

Cleopa David Msuya - Waziri Mkuu 1980 (pia Fedha, Biashara na Viwanda)
Edward Moringe Sokoine - Waziri Mkuu 1983
Salimu Ahmed Salim - Waziri Mkuu, 1984 (pia Mambo ya Nje, Ulinzi na JKT)

Ali Hassan Mwinyi - Waziri wa Maliasili na Utalii 1982 (pia Rais wa muda Zanzibar 1984)

Ali Nasoro Moyo -?

Abdalla Twalipo - Ulinzi

John Malecela - Mawasiliano na Uchukuzi, (pia Mkuu wa mkoa Iringa)

Mwingira - Mawasiliano na Uchukuzi, mkuu wa mkoa Mara

Al Noor Kassum - Maji na Nishati

Getrude Mongella - Maliasili na Utalii (pia waziri asiye na wizara maalumu)

Amir Habib Jamal - Biashara na Viwanda (pia fedha)

Ibrahim Kaduma - Kilimo?? (pia mwenyekiti bodi ya mkonge)

Herman Kyanzi Kirigini - Mifugo (ofisi ya Rais)

Timothy Apiyo - K/mkuu ofisi ya Rais

Julie Manning - Sheria na Mwanasheria Mkuu

Tabitha Siwale - Elimu ya Taifa

Kate Sylvia Magdalena Kamba - ?

Muhidin Kimario - Mambo ya Ndani

George Clemence Kahama - ?

Basil Pesambili Mramba - Biashara na Viwanda, Fedha

Samuel Sitta - ujenzi

Venance Ngula - Naibu waziri Fedha

Benjamin William Mkapa - Mambo ya Nje (pia Habari na Utamaduni na balozi Marekani)

Mustapha Nyang'anyi - ?

Joseph Warioba - Waziri wa Sheria, Mwanasheria Mkuu

Rashid Mfaume Kawawa - Waziri asiye na wizara maalum

Said Natepe - Mambo ya Ndani

Timothy Shindika - ?

Jackson Makweta - Kilimo, Elimu ya Taifa, Madini??

No comments: