Thursday 2 April 2009

Rais Kikwete na sera ya 'Umwagiliaji'*

'Aidha, nawaomba tuendelee kuomba dua Mwenyezi Mungu atujalie mvua itakayonusuru mazao mashambani na kutuepusha na tatizo la upungufu wa chakula mwaka huu.'
-Rais J.Kikwete, 31/03/2009




*Hii ni kauli ya Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Nilitegemea angeongelea mkakati kabambe wa umwagiliaji maji kutoka ktk vyanzo mbalimbali vya maji hapa nchini ili kuepuka utegemezi wa mvua zisizo na uhakika!

Kwa mtaji huu, hata g50 hatuwezi kuwemo karne ijayo!

No comments: