Friday 3 April 2009

Dondoo: Nadharia na vitendo

Ijumaa, Aprili 30, 2009
Kama Muumba wetu angepima imani yetu kupitia nadharia (theory) tu, ingekuwa kuku kwa mrija kwa tulio wengi. Hata hivyo hakijaharibika kitu, tukiongezea pia vitendo (practical) ktk imani - aaah, ni kupeta tu ktk njia nyembamba!

No comments: