Thursday 29 January 2009

Makaka na Madada

Salaam kutoka kwangu, Mosonga R.
Katika historia ya kupiga umande ili kuondoa tongotongo kimaarifa na elimu dunia, nimekutana na watu wengi katika taasisi mbalimbali za elimu nchini TZ.
Wengi wao nimeshawasahau baada ya kupoteana kwa muda mrefu, lakini wapo wachache ambao bado nawakumbuka.
Napenda kuwatumia salaam za heri ya mwaka mpya wote kwa pamoja ambao tumekutana huko mashuleni au sehemu nyinginezo.

Ujumbe: Tukumbukane.

Ifuatayo ni orodha ya wale niliowakuta mbele yangu (walionitangulia) kimadarasa ktk shule mbalimbali nilizopitia:

Shule ya Msingi Baranga
1. Mosamba Michael Kehengu (alikuwa mbele yangu darasa moja)
2. Mwita Michael Kehengu (+3)
3. Chacha Michael Kehengu (+2)
4. Ms Bhoke Nyamhanga (+2)
5. Ms Wankyo Chacha (+2)
6. Sira Mwikwabe (+1)
7. Nyerere Wanda Choma (+3)
8. Mote Ntarisa (+3)
9. Ms Wankyo Ntarisa (+3)
10. Ms Gati Fanuel Namba (+3)
11. Ms Mkami Fanuel Namba (+2)
12. Charles Fanuel Namba (classmate)
13. Ms Elizabeth (Rhobi) Fanuel Namba (+1), Bwiru Girls, Masange JKT
14. Kawaki Marwa Kisyeri (+2)
15. Nyerere Chacha Mosenye (+3)
16. Juma Wanda (Mashaki) Choma (+2) 'Kyonyo'
17. Nchota Marwa (+3)
18. Mohege Mohege (+2)
19. Kigocha Mtatiro (+1)
20. Gasiano Chacha (+1)
21. Tano Mathias (+1)
22. Ms Wankuru Marwa Chogoro (+1)
23. Masero Marwa Chogoro (+2)
24. Wambura Wanda Choma* (+2)
25. Ms Bhoke Mwikwabe (+1)
26. Makoyo Rukonge (Charles Bahama) (+2)
27. Mwita Washiki (+2)
28. Mbogo (+3)
29. Daudi Kisyeri (+2)
30. Petro Nyaghwesi* (+1)
31. Matiko Mkami (+1) Kwisangora
32. Peter Zablon (+3) Kwisangora
33. Buhuru Sisikwa (+1) Kwisangora
34. Kitwekele Gati* (+1)
35. Mnanka Kisima* (+1)
36. Mwita Mchawi (Mshawi) (+1)
37. ... Machela (+2) Ms Nyawasha's brother
38. Mnata Mniko Bhaseye (+3)

Shule ya Msingi Iselamagazi, Nindo (Sinyanga)
1. Lucas Francis (+3) STD IV

Musoma Sec School
1. Lumumba (+2)
2. Pascal Chambili (PACHA) (+2)
3. Goodluck Mkiroba Wambura (+2) Katibu wa serikali ya wanafunzi
4. Christopher Fuime (+4, Form V, HGL) Songea-boy
5. Robert Shila (+4 Form V, HGL)
6. Zephania Mongo Mosonga (+3) -kaka
7. Nyengelera Morris (+1) Polisi,Dar
8. Mwita Getacha (kiranja wa Chakula) (+2)
9. Benedicto Mwakisalu (+3) played for Simba SC.
10. Chande Mussa -(+5, Form VI HGL), President. played for Kagera FC
11. Kakwaya Irungu -(+1)
12. David Mkate -(+4) HGL
13. Cloud Masingija -(+1) 'uso wa chuma'
14. Kennedy (+2) Byugla (bugle-man?)
15. Faustine Mgeta (+1) VC, went for EGM
16. Daniel Peter Mambya (Kisinger) (+1) Poliosi Kilwa Rd, Dar
17. Herman Kafugugu (Artist) -(+1), went on to Songea Boys (box bee), UDSM
18.

Mazengo High School, Dom
1. Mwita Wambura Nyakubhilela +1 PGM
2. Elias Harun +1 EGM

Ardhi Institute (Uclas)
1. John Ghati (Building Economics, BE)
2. Ms Boitumelo Matholdi (Urban and Rural Planning, URP)

.................................................
*wameaga dunia (kwa mujibu wa habari niliozonazo!)

No comments: