Friday 25 April 2008

Mnyama mbwa wa Ulaya!

Mbwa ni mnyama ambae anathaminiwa na wengi nchini Uingereza. Anapewa matunzo ya hali ya juu na anaishi ndani ya nyumba (na sio nje kama sisi Afrika tulivyozoea kufanya)!

Jana jamaa mmoja alisema ktk mahojiano kuwa, 'choosing a dog is like choosing your partner, because dog is for life ...'*

Yaani mbwa anatunzwa na kuthaminiwa kama vile binadamu. Bajeti yake ya matunzo ni kubwa kuliko bajeti zetu ktk kaya nzima, ukizingatia hali yetu kiuchumi Bongo.

Haya nayo ni maisha!
....................

(* mahojiano ktk kipindi the one show, kituo cha televisheni bbc-one)

No comments: