Wednesday 13 June 2007

Nukuu Za Mwalimu J K Nyerere

'Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa mawazo, ni umaskini mbaya sana'
Mwalimu J. K. Nyerere, 01/5/1995.

'Njia ya kwenda jehanam imejaa tele nia njema'
Mwalimu Nyerere, 1994

'Mtu mwenye akili akikuambia neno la kipumbavu -ukalikubali, anakudharau!'
Mwalimu Nyerere 01/5/1995

No comments: