Wednesday 7 May 2008

Tusonge mbele

Sasa ni wakati wa kuangalia mbele na kupiga hatua kimaendeleo.

Tuzingatie zaidi maeneo ambayo tuna uwezo nayo na kuyapa kipaumbele kiutekelezaji. Yale tusiyoyaweza kwa namna yoyote ile tuyaweke pembeni ili tusipoteze wakati.

Shika ulicho nacho ...

Bila shaka tutafanikiwa, tuombeane ndugu zagu!!!

No comments: