Monday 21 January 2008

Yanga: Ya Kale Dhahabu! (1981-93)

Orodha ya wachezaji wa zamani wa timu ya soka ya Yanga, (watoto wa Jangwani) walioleta ushindi, makombe, sifa, burudani na pia kuleta mafanikio ya muda mrefu ktk timu (tangu nimeanza kuifahamu na kuishabikia Yanga 1980)!

Walinda mlango (Goal-Keepers)
1. Juma Pondamali
2. Joseph Fungo
3. Hamis Kinye
5. Steven Nemes

Mabeki wa kulia, na.2:
1. Juma Shaaban (Anko J)
2. Bakari Malima (Jembe Ulaya)
3. Ngandu Ramadhani

Mabeki wa kushoto, no.3:
1. Ahmed Amasha (mathematician)
2. Kenneth Mkapa
3. Fred Felix Minziro (Majeshi)
4.

Mabeki wa kati kulia, na.4:
1. Athumani Juma Chama
2. Alan Shomari
3.

Beki 5 (mkoba)
1. Constantine Kimanda
2. Salum Kabunda (ninja)

Viungo wa kati, na.6 & na.8:
1. Juma Mkambi (Jenerali)
2. Isaack Mwakatika
3. Charles Boniface Mkwasa
4. Yusufu Macho
5. Salvatory Edward
6. Sekilojo Chambua

Viungo/washambuliaji wa kulia, na.7:
1. Charles Kilinda
2. Charles Alberto

Viungo/washambuliaji wa kushoto, na.11:
1. Sanifu Lazaro
2. Thomas Kipese
3. Edibily Jonas Lunyamila

Washambuliaji:
1.Rashid Hanzuruni
2. Omari Hussein (Kevin Keegan)
3. Makumbi Juma (Homa ya Jiji)
4. Abeid Mziba
5. Edgar Fongo
6. Said Mrisho (Zico wa Kilosa)
7. Said Mwamba (Kizota) jezi no.14
8. Said Suedi (Scud)
9. Mohamed Husein (Mmachinga)
10. Zamoyoni Mogella (dhl) 1992/93??
11. Hamis Gaga (Gaggarinho/Chiluba) 1992?

Yanga ya sasa ikumbuke historia ya klabu na kuienzi. Vijana waliopo waturudishie hiyo heshima ya enzi hizo.
Yapo mazuri yaliyotokea ktk klabu ya Yanga kabla ya 1980, na inafaa nayo yakubalike na kuenziwa - na kwa kweli sikuyabagua bali imenibidi nianzie pale ambapo mimi mwenyewe nilikuwa nafuatilia maendeleo ya Yanga.

No comments: