Thursday 31 December 2009

31th Dec. 2009: Happy Birthday to you Sir Alex!

Salaam za siku yako ya kuzaliwa (leo Alhamis ya 31/12/2009) zikufikie
Sir Alex C. Ferguson, meneja wa timu yetu, Manchester United!

Mungu akujalie miongo zaidi na uendelee kutuletea mataji zaidi.

Nasikia mzee wa BOGOF anamezea mate mafanikio yako OT! We usijali -Atajijeijei!!


Nakutakia pia Heri ya Mwaka Mpya 2010 pamoja na wachezaji na ma-staff wote wa Man United!


........................................................................
Sir Alex can celebrate his 68th birthday on New Year’s Eve safe in the knowledge United are within striking distance of leaders Chelsea (two points behind).
He made just one change from the team that beat Hull on Sunday; Ji-Sung Park replacing Ryan Giggs on the left flank - such continuity has been rare given the chopping and changing the United boss has been forced into in recent weeks.

source: www.manutd.com 31/12/2009 (on Man Utd v Wigan game of 30/12/2009)
........................................................................

No comments: