Thursday 31 December 2009

Kwenu, Dada Suzana na Dr Ezra Chomete

.........................................................
Nawapongezeni kwa kuadhimisha siku yenu ya ndoa hapo Januari 03, 2010.
Nawatakieni maisha mema ya pamoja na mzidi kuimarika kindoa!

Mungu awabariki pamoja na watoto wenu Lameck na Raphael.

Nawatakieni kila la kheri, mafanikio na afya njema ktk mwaka mpya 2010.


Ni mimi
Mosonga,
kwa niaba ya mke wangu na mwanangu Tezzy.
.............................................................

No comments: