Monday 15 September 2008

UCLAS mates, lecturers

Classmates; Architecture, UCLAS
Huruma Nkone
Gozbert Kakiziba
Eliah Mpembeni
Emmanuel Ngadu
Emmanuel Naikara
Benjamin Maula
Ms Yvonne Ketang'enyi
George Raiton
Ms Veronika Peter Otaru
Ms Scolastica Mandwa
Raphael Mbabu
Ray Sitta
Shempemba
Ms Joyce Romwald
Maro
Ernest W M Makale
.....

Hamis (Patrick) Madaki -'Kirumba'
Goodluck Malle
Ms Amina Abdalla
Joseph Ringo
Rajabu Mazola
Mgeni
Edwin Sannda
Fadhili Msemo
Emmanuel Nyengo
Idd Ally
Aidan
Ms Nneka Minja
John Makoye
et al.

My Lecturers (Architecture, UCLAS)
(Regards to you and thank you very much for your support! I will always remember you and am proud of you all!!!)

Lazaro Peter C1 III, C6 III; C9.1 I
A Mosha C1 I, II; C6 I; C9.1 I, II; C15 IV
Gillya C2 I, II, III; C9.1 V
Simon Mhando C3 I; C4 III
Nderimo C4 I, II
Cyriacus Lwamayanga C5.1 I, II, III; C5.2 II(part); C9.1 I; C13 IV; Field training I-III
Kyomi* C5.2 II(part)
Z Moshi C5.2 III, IV; C10
Lekule C6 II, C9.1 V, C11 IV
Mkonny C7 III, C9.1 III
K A W Byabato C5.3 I, II; C15 I
Mattesso C8 II, III(part of), IV; C9.1 II
Mandwa (of URP Dept) C8 III(part of)
L B Bulamile C7 II, IV; C9.1 III
Kajuna* C9.1 I, C9.2 I
L Mosha C9.1 IV, C10
Liberatus Mrema C9.1 II, IV; C14 IV
Adrian C5.2 II
Tirio Manga C1 I; C9.1 I
Ms Eliofoo C12 III
Mwakipesile C1 IV
...(part time lecturer) C7 V
...(part time lecturer) C12 IV
...(part time lecturer, from UDSM) C4 IV
...(part time lecturer, from Min. of Lands HQ) C8 III(part of)
Kai.?. C12 II

*passed away.
........................................................

Key (for Course Codes; not official):
C1. Theory of Architectural Design (Principles of Design)
C2. History of Architecture
C3. (Engineering) Mathematics
C4. Theory of Structures
C5.1 Building Materials
C5.2 Building Construction
C5.3 Building Services
C6. Environmental Science
C7. Professional Practice
C8. Settlement Planning
C9.1 Design studio
C9.2 Design Art and Presention Technique
C10. Dissertation/Thesis
C11. Urban Planning
C12. Building Economics
C13. Architectural Conservation
C14. Landscape Architecture
C15. Interior Design
C16. Workshop

3 comments:

MOSONGA RAPHAEL said...

Wanafunzi 227 kutimuliwa UCLAS

2008-09-23 11:20:36
Na Richard Makore


Zaidi ya wanafunzi 227 wa Chuo Kikuu cha Ardhi (UCLAS) jijini Dar es Salaam wameamriwa kufunga virago na kukatisha masomo yao endapo watashindwa kulipa ada.

Wanafunzi hao wanaosoma kati ya mwaka wa pili na tatu wametakiwa kuondoka baada ya kunyimwa matokeo yao ya mitihani hivyo kuwafanya wasiendelee na masomo kwa mwaka mwingine kwa madai ya kushindwa kulipa asilimia 40 ya ada.

Ofisa Uhusiano wa Chuo hicho, Alfred Mwanisongole alikiri wanafunzi hao kushindwa kulipa ada ya asilimia 40 wanayodaiwa.

Alisema awali wanafunzi hao walikata rufaa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kuomba kusamehewa kulipa kiasi hicho cha ada lakini waligonga mwamba.

Kutokana na hali hiyo, wao kama chuo alisema, hawana uwezo wa kuwasamehe wanafunzi hao na badala yake wanatakiwa kulipa ada ili kuendelea na masomo.

Aliliambia Nipashe kuwa maamuzi ya bodi hiyo ya kuwataka kulipa kiasi hicho yanatokana na fomu walizojaza wanafunzi hao wakati wanajiunga chuoni hapo.

Aliongeza kuwa Chuo hakiwezi kutengua maamuzi ya bodi hivyo lazima wanafunzi hao walipe ili waweze kuruhusiwa kuendelea na masomo.

Kwa upande wake Waziri Mkuu wa Serikali ya wanafunzi, Mwalembe Frank alithibitisha wanafunzi hao kutimuliwa chuoni hapo.

Frank alisema hawakubaliani na uamuzi wa bodi hiyo, hivyo wanatarajia kukata rufaa kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Jumanne Maghembe.

Alisema awali idadi ya wanafunzi waliokuwa wamenyimwa matokeo ilikuwa kubwa lakini baada ya kuzungumza na uongozi wa chuo hicho, 228 walipewa matokeo yao licha ya kushindwa kumalizia kulipa ada na kwa wale waliofeli wameruhusiwa kurudia mitihani yao.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Profesa Maghembe alikaririwa akisema hakutakuwa na mabadiliko wala msamaha kwa watakoshindwa kulipa asilimia 40 ya ada.

Alisema lazima kila mwanafunzi alipe ada kulingana na fomu aliyojaza wakati anajiunga na chuo.

Jana serikali ya wanafunzi wa chuo hicho, ilisitisha mgomo iliokuwa imetangaza kufanya baada ya wenzao 228 kuruhusiwa kuingia madarasani na kufanya mitihani ya marudio.

Uongozi wa wanafunzi ulipanga kufanya mgomo huo jana kama wenzao wangezuiwa kufanya mitihani ya marudio.
Kwa muda mrefu, kumekuwepo na msuguano kati ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini na bodi hiyo au uongozi wa vyuo vyenyewe.

Miongoni wa misuguano hiyo ni ile ya baadhi ya wanafunzi kushindwa kulipa ada kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za wazazi wao kutokuwa na uwezo.

Hivi karibuni zaidi ya wanafunzi 500 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliripotiwa kutakiwa kukatisha masomo kutokana na kushindwa kulipa asilimia 40 ya ada.

SOURCE: Nipashe

Anonymous said...

Hi guys,

I was so glad to find this posting, and thank you Raphael for putting this out.

So much has happened in all the years, and it's nice to simply touch base with all my old friends.

I am working as an Architect/Project Manager in the Washington DC metro area, and also currently pursuing a Master in City and Regional Planning at The Catholic University of America, here in the DC area. I am married, with two sons, Kevin Mwita (5) and Eric Chacha (2).

Please stay in touch.

MOSONGA RAPHAEL said...

you can contact me thru:
mosonga3@yahoo.com