Showing posts with label My Topic. Show all posts
Showing posts with label My Topic. Show all posts

Saturday, 6 June 2009

Jicho la 3: "Kimbelembele"

Na tuwe wakweli: Hakuna jambo kubwa lililofanyika katika historia ya dunia bila kusimamiwa na watu ambao wangeweza kusemwa kwamba wana ‘kimbelembele’.

Hatari ya kujitokeza na kuchukua nafasi ya mbele katika jambo lo lote ina zahma zake, kama ambavyo historia inatufunza.

Yesu Kristo asingewambwa msalabani kama angetulia Nazareti akatengeneza vitanda vya samadari akawauzia wakoloni wa Kirumi.

Patrice Lumumba asingechinjwa na kuyeyushwa katika mapipa ya tindikali kama angekubali ubeberu ufanye unavyotaka nchini Kongo, wala Nelson Mandela asingefungwa kwa miongo mitatu kama angekubali kwamba ni ada ya mtu mweusi kumtumikia mtu mweupe.

Wote hawa walikuwa ni watu wa ‘kimbelembele’ cha aina fulani, ‘kimbelembele’ kilichowasukuma na kuwaweka mbele ya wenzao, wakati mwingine bila hata kujua kwamba walikuwa wamesimama mbele, wanaonekana, na kwa hiyo ni mabango ya shabaha.

Issa Shivji angeweza akabakia katika taaluma ya uwakili na akatengeneza ‘vijisenti’ vya kutosha na akaendesha gari linalofanana na la profesa wa kisasa (achana na magari ya akina Calculus). Lakini amejitokeza, akasimama mbele katika masuala kadhaa. Ana kimbelembele.

Masoud Kipanya angeweza akachora picha za ndege wanafurahi angani, au jua linakuchwa magharibi mwa Kigoma na zikampa utajiri mkubwa kutoka kwa watalii na Wazungu waliopotea njia. Asingekuwa kiongozi bali angekuwa mchoraji tajiri, kwa sababu angekuwa amekosa kimbelembele.

Lakini Kipanya ni kiongozi kwa sababu amesukumwa na kimbelembele kitakatifu kutumia sanaa yake kujenga demokrasia na jamii iliyo bora nchini mwake. Ni kiongozi.

Filbert Bayi (Christchurch, 1974) angeweza akabaki ndani ya kundi kubwa la wakimbiaji, asichukue ‘risk’ ya kujitanguliza na kujifanya shabaha, na akamwachia John Walker ashinde mbio zile, rekodi ya dunia isingevunjwa siku hiyo.

Alichofanya Bayi ni kwamba mara aliposikia mlio wa bunduki, aliruka na kwenda mbele ya kila mtu, na akabakia mbele hadi mwisho wa mbio hizo. Kimbelembele chake kikaleta sifa ambayo haijawahi kuletwa na mtu mwingine nchini Tanzania.

Naam, kiongozi hana budi kuwa na kimbelembele!



source: raia mwema (rai ya jenerali)

Friday, 3 April 2009

It's a big 'No' to Madonna!

Friday, April 03, 2009
Madonna has lost her court battle to adopt a second child in Malawi. Malawi's High Court ruled that she could not be granted an interim adoption of a four-year-old girl, Mercy James.

Court registrar Ken Manda said her bid had been rejected because the singer was not a resident of Malawi.

Malawian civil society groups opposed the adoption attempt and a local human rights activist said it would amount to child trafficking.

Rights groups had accused Malawian authorities of giving the pop star special treatment.

Earlier, Malawian information minister Patricia Kaliati said Madonna had helped in the country and was a worthy mother.

She said: "Madonna has been good to us, she is supporting over 25,000 orphans in this country and she has proved that she can take care of David.

"Very few rich and famous people can take time to fly all the way to Malawi to support our children - we support her adoption process."


-source: yahoo news website.

Thursday, 2 April 2009

Rais Kikwete na mgao wa umeme Dar

Thu. April 02, 2009

Hali ya Upatikanaji wa Umeme Nchini
Ndugu Wananchi,Kwa takriban miezi mwili sasa umeme umekuwa gumzo kubwa hapa nchini. Mjadala umekuwa wa namna mbili.

Kwanza umehusu nia ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kununua mitambo ya Kampuni ya Dowans pale Ubungo.

Na, pili, umehusu mgao wa umeme unaoendelea tangu tarehe 26 Machi, 2009 mpaka sasa hasa hapa Dar es Salaam na wilaya jirani.

Mgao wa Umeme
Ndugu Wananchi,Kiini cha kuwepo kwa mgao wa umeme ni kuharibika kwa mitambo miwili ya kuzalisha MW 53 za umeme katika kituo cha kuzalisha umeme cha SONGAS. Jumamosi tarehe 28 Machi, 2009 mtambo mmoja wenye uwezo wa kuzalisha MW 20 ulitengemaa hivyo upungufu umebaki MW 33 kutoka kwenye mashine ya pili.

Taarifa niliyopewa leo ni kuwa hitilafu yake ni kubwa hivyo huenda ikachukua mpaka wiki mbili au tatu au zaidi kutengemaa. Maana yake ni kwamba mgao utaendelea kuwepo kwa kipindi hicho.

Hivyo, Ndugu zangu, mgao huu hauna uhusiano na ile hadhari aliyoitoa Dkt. Idris Rashid, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO alipokuwa akizungumzia suala la Dowans kuwa nchi inaweza kuingia kwenye giza siku za usoni.

Ndugu Wananchi;
Kwa mujibu wa wataalamu wa TANESCO, mfumo wetu wa umeme nchini, kwa sasa, hauna ziada ya umeme unaosubiri kutumika kama akiba. Kutokana na hali hiyo, kunapotokea upungufu wowote wa uzalishaji wa umeme kwa sababu yoyote ile, kama huu uliotokea tarehe 26 Machi, 2009, husababisha kuwepo kwa mgao wa umeme kwa watumiaji.

Umeme wote unaozalishwa hapa nchini hutumika na wala mahitaji halisi hayajatoshelezwa. Kimsingi umeme unaopatikana na kutumika ni chini ya mahitaji (supressed demand). Ni asilimia 14 tu ya Watanzania ndiyo wanaopata na kutumia umeme wakati watu wengi sana wanaohitaji umeme bado hawajapata.

Ndugu Wananchi;
Wakati wote Serikali kwa kushirikiana na TANESCO imekuwa na mipango ya kuongeza uzalishaji na usambazaji wa umeme nchini. Kwa upande wa uzalishaji kumekuwepo hata na ratiba ya lini, kituo kipi na cha ukubwa gani kinaratajiwa kuwepo. Utekelezaji wa mipango hiyo ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo sasa.

Mwaka 2007, kufuatia matatizo makubwa ya umeme unaozalishwa kwa nguvu ya maji, mpango huo ukaboreshwa na kuongezwa ujenzi wa vituo vya kutumia gesi asilia na makaa ya mawe. Utekelezaji wa mpango wa uzalishaji wa umeme kwa mujibu wa uboreshaji uliofanywa mwaka 2007 uko nyuma ya wakati. Mradi wa kuzalisha umeme wa megawati 200 kwa kutumia makaa ya mawe Kiwira umechelewa kwa sababu ya ugumu wa kupata mikopo kutoka kwenye vyombo vya fedha. Kiini cha tatizo ni hofu inayotokana na taarifa hasi kuhusu mradi huo. Mradi wa kuzalisha megawati 300 kutokana na gesi asilimia ya Mnazi Bay unacheleweshwa na matatizo ya sasa ya kudorora kwa uchumi wa dunia ambapo nimeambiwa kwamba wabia muhimu wamejitoa kwa sasa.

Ndugu Wananchi,
Kuchelewa kutekelezwa kwa miradi hiyo ni dalili kuwa baada ya muda si mrefu hali ya upatikanaji wa umeme itakuwa mbaya hata kama mitambo yote ya sasa itakuwa inafanya kazi kwa ukamilifu. Kwa sasa mahitaji yanaongezeka kwa asilimia 10 – 15 kwa mwaka. Hili ni ongezeko kubwa sana ambalo linahitaji kusiwepo kukwama kokote. Kwa nia ya kutaka kupunguza makali ya tatizo hilo, ndipo uongozi wa TANESCO ukaona waombe kununua mitambo ya Dowans ambayo wakati huo ilikuwa inatangazwa kuuzwa. Uamuzi huo ukazua mtafaruku mkubwa ambao sina haja ya kuelezea kwa kirefu kwani wengi wetu tunaufahamu vizuri. Baada ya kuona ugumu wa kuendelea na nia hiyo, uongozi wa TANESCO umechukua uamuzi wa kuachana na nia yao hiyo.

Ndugu Wananchi;
Katika taarifa yake ya kutamka uamuzi wa kuachana na nia ya kununua mitambo ya Dowans, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO alielezea hofu yake kwamba uamuzi huo unaweza kusababisha nchi kuwa gizani hapo baadaye. Taarifa hiyo imeleta hofu kubwa katika jamii. Nataka kuwatoa hofu na kuwahakikishia Watanzania wenzangu wote kuwa Serikali itafanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa nchi yetu haifikii hatua hiyo. Tutahakikisha kuwa nchi haiwi gizani na kwamba umeme wa ziada unaotakiwa utapatikana na shughuli za uzalishaji mali na utoaji huduma zitaendelea kama kawaida.

Ndugu Wananchi;
Tayari Wizara ya Nishati na Madini imeshaanza kuchukua hatua ambazo zinaonesha kuwa na mwelekeo wa kutia matumaini. Naamini tutafanikiwa. Tukiwa tayari, taarifa itatolewa. Penye nia pana njia.

Napenda kutumia nafasi hii kusema mambo mawili.

Kwanza, kwamba, nawapongeza viongozi wa TANESCO kwa uamuzi wao wa busara wa kuachana na nia yao ya kununua mitambo ya Dowans. Wameyasoma vizuri mazingira na nyakati na kufanya uamuzi muafaka.

Pili, niwaombe wanasiasa wenzangu kuwa, maadam waliokuwa na nia ya kununua mitambo hiyo hawanayo tena, suala hili limemalizika.

Sioni sababu ya kuendelea kulumbana, kutiana vidole machoni na kutoleana maneno makali na mengine hata hayastahili kusemwa. Tumekuwa tunawatia hofu wananchi kwa jambo lisilokuwepo tena. Nawaomba muzihifadhi nguvu zenu na bongo zenu ili muwafanyie wananchi mambo yenye tija kwao. Wanalo jukumu kubwa la kujiletea maendeleo kwa lengo la kujiondoa kwenye umaskini na kuwa na hali bora ya maisha yao.
Uongozi wetu wanasiasa unahitajika sana katika juhudi zao hizo. Tuelekeze nguvu zetu na maarifa yetu huko. Wapeni pumzi wananchi kutokana na malumbano haya.


(hotuba ya Rais, 31/march/2009)

Rais Kikwete na g20

Thursday, April 02, 2009

Mkutano wa G-20
Ndugu Wananchi;
Jambo la mwisho ambalo ningependa kuliongelea leo hii ni kuhusu msukusuko wa uchumi wa dunia na hasa mkutano wa Kundi la Nchi Ishirini Tajiri Duniani (G-20) ambao unategemewa kufanyika kesho tarehe 2 Aprili na kumazika tarehe 3 Aprili, 2009 mjini London, Uingereza. Mkutano huu umeitishwa kutafuta njia za pamoja za kukabili kudorora kwa uchumi duniani.

Mataifa haya tajiri ishirini, ambayo yanamiliki asilimia 85 ya uchumi wa dunia ni pamoja na Marekani, Uingereza, China, Japan, Ujerumani, Ufaransa, Afrika ya Kusini, Australia, Uturuki, Brazil, Canada, Argentina, Mexico, Indonesia, India, Italy, Urusi, Korea Kusini, Umoja wa Nchi za Ulaya na Saudi Arabia.

Kwa muhtasari, matarajio ya Afrika katika mkutano wa G-20 ni kwa Afrika kusaidiwa kujikinga na kukabili madhara ya kudorora kwa uchumi wa dunia.

Miongoni mwa mambo ambayo tuliyasisitiza ni;

1. haja ya kuanzishwa mfuko maalum ambapo fedha zake zitatumika kuzisaidia nchi za Afrika kuchukua hatua za kunusuru uchumi wao kama wafanyavyo mataifa tajiri.Kwa maneno mengine tuliunga mkono pendekezo la Benki ya Dunia na kutaka Mkutano wa G-20 ukubali kwamba asilimia 0.7 ya fedha walizotumia kugharamia mipango yao ya kuchochea uchumi wao (stimulus packages) zitengwe kwa ajili ya kusaidia kuchochea kukua kwa uchumi kwa nchi za Afrika.

2. tulisitiza kuwa nchi tajiri zisipunguze misaada ya maendeleo kwa nchi maskini. Badala yake misaada hiyo iongezwe kama walivyoahidi kwenye mikutano ya Monterrey, Gleneagles na kwingineko.

3. tulisema kwamba tunatarajia pia misaada kwa Afrika, na uwekezaji kutoka nje vitaelekezwa katika kujenga na kuboresha miundombinu, kuleta mapinduzi katika kilimo, kukuza biashara miongoni mwa nchi za Kiafrika na baina yake na nchi nyingine za dunia na kusaidia zaidi makundi katika jamii ambayo yanahitaji msaada zaidi (vulnerable groups).

4. kwamba nchi tajiri duniani pamoja na Taasisi za Kimataifa za Fedha Duniani zilegeze masharti na kupunguza urasimu wa kupata fedha za misaada na mikopo kwa kutambua kwamba hiki ni kipindi kugumu na cha dharura.
Aidha, masharti ya kukopa kutoka vyombo vingine vya fedha yalegezwe pia.

5. kwamba nchi tajiri zisaidie nchi za Afrika kujenga mitaji ya vyombo vya fedha vya kikanda kama vile Benki ya Maendeleo ya Afrika.

6. kwamba, nchi tajiri zitakubaliana kuruhusu uwazi katika mabenki yao na taasisi zao za fedha ili kuwezesha nchi za Kiafrika kufuatilia na kurudishiwa fedha, majumba na rasilimali zilizoporwa kutoka katika bara letu na kuhifadhiwa kisirisiri katika mabenki ya nchi tajiri.

Ndugu Wananchi, Tunamshukuru Mheshimiwa Waziri Mkuu Gordon Brown kwa kuyapokea mapendekezo haya ya Afrika kwa moyo mkunjufu na kuahidi kuyafikisha na kusaidia kuyatetea katika kikao hicho. Pia tunamshukuru amepokea rai ya Afrika ya kuwakilishwa kwenye mkutano huo kwa kumwalika Waziri Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Meles Zenawi, ambaye atatuwakilisha kwa kofia yake ya Uenyekiti wa NEPAD.


(hotuba ya Mhe Rais, 31/March/2009)

Monday, 30 March 2009

Entertainment Awards Diary, 2009

Entertainment Awards 2009
February 2009:
1. BAFTA: British Academy of Film and Television Arts
2. Brit Awards: (The Brits) -2nd weekend of Feb?
3. Oscars Academy awards; last Sunday of February.
4. RTS: Royal Television Society -Last wednesday of Feb?

March 2009:
1. TRIC - The Television and Radio Industries Club.
Held in March 10 (2nd Tuesdat of March?). Founded 1931.
The TRIC Awards have honoured stars and celebrities each year for three decades.
2. Empire Awards, held 29/03/2009

Friday, 27 March 2009

Signs of STROKE! Act F.A.S.T

..........................................
When STROKE strikes, it spreads like fire in the brain.
But you can't see the damage.
Just spot the signs of stroke, you have to think and act F.A.S.T.

1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania, it's time send the patient to hospital immediately)

The earlier you act the more of a person you save.

When STROKE strikes act FAST!
............................................

Business Ideas(?)

-Business is about spotting a gap in the market and filling it better than anyone else.

-Business is about a simple formula. Make more than you spend. Keep business simple and it works.


source: Reading Midweek (newspaper powered by Reading Chronicle),
Wed. March 25, 2009 page3

Premiership Grounds (A-Z): 2008/09

Stadiums (Home of Premier League Clubs) + crowd capacity:

Anfield - Liverpool (L/pool, Merseyside); capacity: 45,276
Brittania Stadium - Stoke City; 27,300
City of Manchester Stadium - Manchester City; 47,726
Craven Cottage - Fulham FC (London); 26,600
Emirates - Arsenal 60,361

Ewood Park - Blackburn Rovers; 31,154
Fratton Park - Portsmouth (South); 20,709
Goodison Park - Everton (Liverpool, Merseyside); 40,157
JJB Stadium - Wigan Athletics; 25,135
Kingston Communications (KC) Stadium - Hull City; 25,504

Old Trafford - Manchester United; 76,180
Reebok Stadium - Bolton (Greater Manchester); 28,101
Riverside Stadium - Middlesborough (North east); 34,998
Stadium of Light - Sunderland (North East); 49,000
Stamford Bridge - Chelsea 40,000+ (London); 41,841

St James' Park - Newcastle United (North East); 52,407
The Hawthorns - West Bromwich Albion (Birmingham); 27,000
Upton Park (Boleyn Groun) - West Ham United (London); 35,300
Villa Park - Aston Villa (Birmingham); 42,640
White Hart Lane - Tottenham Hotspur (London); 36,237

Tuesday, 24 March 2009

Quiz

What is 'altimeter'

-it is an instrument to measure change in altitude.


source: sky-news 04/march/2009

Friday, 20 March 2009

Ladies' Detective Agency: DVD release

No.1 Ladies Detective Agency: Series 1 (TV Series)

RRP £29.99 your saving £13.00

release date: 8-6-2009

pre order now DVD £16.99 Free Delivery


source: www.hmv.com

Tuesday, 17 March 2009

Saint Patrick's Day

Saint Patrick's Day (Irish: Lá ’le Pádraig or Lá Fhéile Pádraig), colloquially St. Paddy's Day or Paddy's Day, is an annual feast day which celebrates Saint Patrick (circa AD 385–461), one of the patron saints of Ireland, and is generally celebrated on March 17.

The day is the national holiday of Ireland. It is a bank holiday in Northern Ireland and a public holiday in the Republic of Ireland and Montserrat. In Canada, Great Britain, Australia, the United States, and New Zealand, it is widely celebrated but is not an official holiday.

St. Patrick's feast day was placed on the universal liturgical calendar in the Catholic Church due to the influence of the Waterford-born Franciscan scholar Luke Wadding in the early part of the 17th century, although the feast day was celebrated in the local Irish church from a much earlier date. St. Patrick's Day is a holy day of obligation for Roman Catholics in Ireland. The feast day usually falls during Lent; if it falls on a Friday of Lent (unless it is Good Friday), the obligation to abstain from eating meat can be lifted by the local bishop. The church calendar avoids the observance of saints' feasts during certain solemnities, moving the saint's day to a time outside those periods. St. Patricks Day is very occasionally affected by this requirement. Thus when March 17 falls during Holy Week, as in 1940 when St. Patrick's Day was observed on April 3 in order to avoid it coinciding with Palm Sunday, and again in 2008, having been observed on 15 March.


(From Wikipedia, the free encyclopedia)

Political Parties (UK)

This page lists the political parties with sites which have Parliamentary representatives from the United Kingdom. As not all political parties have websites, and links often change, we would be grateful if updates could be sent to keep the list as complete and accurate as possible. Contact us using the feedback form.
The Prime Minister’s Office is not responsible for the content of other websites.

United Kingdom Parliament
The Labour Party
The Conservative Party
The Liberal Democrats
The Scottish National Party
The Scottish Labour Party
Plaid Cymru
Green Party of England and Wales
The Social Democratic and Labour Party
The Democratic Unionist Party
Sinn Fein
The Ulster Unionist Party

Scottish Parliament
The Conservative Party (Scotland)
The Green Party (Scotland)
The Labour Party (Scotland)
The Liberal Democrats (Scotland)
The Scottish National Party
The Scottish Socialist Party

National Assembly for Wales
The Conservative Party (Wales)
The Labour Party (Wales)
The Liberal Democrats (Wales)
Plaid Cymru
Green Party of England and Wales

The Northern Ireland Assembly
The Alliance Party
The Democratic Unionist Party
TheSocal Democratic and Labour Party
The UK Unionist Party
Sinn Fein
The Ulster Unionist Party

European Parliament
The Conservatives in Europe
The European Parliamentary Labour Party
The Liberal Democrats (Europe)
The UK Independence Party
The Green Party (Europe)
The Scottish National Party (Europe)
Plaid Cymru (Europe)
The Democratic Unionist Party (Europe)
The Social Democratic Labour Party
The Ulster Unionist Party (Europe)

Youth Political Organisations
Conservative Future
Liberal Democrat Youth and Students
Young Scots for Independence
Scottish Young Labour
Young Greens
SDLP Youth


source: www.number10.gov.uk/page205
Last Edited: Monday 17 December 2001

Monday, 16 March 2009

Ladies' Detective Starts (1/6)

The No. 1 Ladies’ Detective Agency

BBC One, March 15, 2009, 9pm.

The ultimate in feelgood Sunday night television returns for a six-part series. Adapted from Alexander McCall Smith’s bestselling novels and filmed entirely on location in Botswana, it is bursting with warmth, colour and rosy optimism.

The “fat and fabulous” Precious Ramotswe (Jill Scott) takes on three new cases at her detective agency – a missing dog, a missing husband, and a Nigerian dentist who looks after his patients one day and tortures them the next.

She is still being bossed around by her hyper-efficient and highly strung secretary (Anika Noni Rose), and now the cheerful assortment of hangers-on – kindly car mechanics, comical hairdressers and the like – are joined by an endearing little boy, which ups the cute quota still further.

This is a series determined to present a jolly view of Africa and send you to bed basking in a warm, sunny glow.

source: times-online (entertainment) 14.03.2009
....................


I watched the show last night and wasn't disappointed at all. As I predicted, there were many new characters including Mma Maktsi's old friend and classmate who got a mere 40% in the exam but have got better job than Mma Makutsi who scored a record 97% in the Botswana's sectretarial college final Exam!

Mma Ramotswe, Mma Makutsi with her ailing boyfriend(?), JLB Matekoni and BK were all fantastic!!

I can't wait to see the remaining 5 episodes!

Do not forget to switch to BBC Radio 7 - soon after the dramma (at 22:00 GMT) to listend to Ladies' Detective Favourite Radio Show - a 20 minute program.

Friday, 13 March 2009

Entertainment: Awards Diary 2009

February:
1. BAFTA: British Academy of Film and Television Arts
2. Brit Awards: (The Brits) -2nd weekend of Feb?
3. Oscars Academy awards; last Sunday of February.
4. RTS: Royal Television Society) -Last wednesday of Feb?

March 2009:
1. TRIC - The Television and Radio Industries Club.
Held in March 10 (2nd Tuesdat of March?). Founded 1931.
The TRIC Awards have honoured stars and celebrities each year for three decades.

Saturday, 28 February 2009

Saint David's Day

Saint David's Day (Welsh: Dydd Gŵyl Dewi) is the feast day of Saint David, the patron saint of Wales, and falls on 1 March each year. The date of March 1st was chosen in remembrance of the death of Saint David on that day in 589, and has been celebrated by followers since then. The date was declared a national day of celebration within Wales in the 18th century.

In 2006 Saint David's Day was officially celebrated on 28 February by Roman Catholics and on 2 March by the Anglican Church in Wales, because 1 March 2006 was Ash Wednesday, which is a day of penitence on which feast days are not celebrated.

A poll conducted for Saint David's Day in 2006 found that 87% of the Welsh wanted it to be a bank holiday, with 65% prepared to sacrifice a different bank holiday to ensure this. A petition in 2007 to make St. David's Day a bank holiday was rejected by the then British Prime Minister Tony Blair.


(From Wikipedia, the free encyclopedia)

Tuesday, 24 February 2009

'Georgina' - Marijani Rajabu

Pata Miziki ya Dansi (Tanzania) ya kina Marijani Rajabu, Hemedi Maneti n.k.

Ingia link hii

http://home.arcor.de/tizedboy/

Ebu jikumbushe wimbo huu:
GEORGINA - Safari Trippers (Marijani)

[Wote]
Ooo Georginaaaa....

Siku uliyoondoka, uliniacha nalia na machozi.

Umekwenda kuishi mbali nami, Georgina wa mamaaaa.

Sipati usingizi, nikikumbuka tulivyoishi mimi nawe Georginaaaaa.

Ooo Georgina.

(repeat Wote)


(Chorus)
[Wote]:
Umeondoka Georgina, umeniachia masikitiko

Georgina, Georgina oooo (repeat)

[Marijani]
Nauliza Georgina oooo
Ni lini utarudi? oooooo
Uniondoe wasiwasi oooooooo

Georgina wa mama aaa
Georgina Georgina oooo

(Repeat Chorus)

source: Michuzi Blog. Tuesday, February 24, 2009

Tuesday, 17 February 2009

Tujihadhari na Nyama nyekundu

Utafiti umeonyesha kuwa nyama ya ng'ombe, kondoo, nguruwe n.k. husababisha magaonjwa ya saratani ya; matiti, ... (prostate) na tumbo. Pia nyama hizo ambazo hujulikana kama red meat zikiwa na mafutamafuta husababisha magonjwa ya moyo na kiharusi. Tunapotumia nyama ni vizuri kuondoa tabaka la mafuta ili kujiepusha na madhara hayo kiafya.

Sio vibaya kula nyama, ila tunachoshauriwa ni kuwa isiwe kila siku na kila mlo (kula nyama mara 2 kwa wiki sio vibaya).

Wataalamu wa afya na vyakula wanatushauri kutumia nyama za kuku na samaki kwa wingi huku tukipunguza matumizi ya nyama nyekundu.

Pia tunashauriwa kutumia matunda na mboga za majani ili kujikinga na saratani na magonjwa ya moyo.


Habari hii ni kwa mujibu wa gazeti la daily-express la J'nne Februari 17, 2009 ukurasa wa 7.

Friday, 30 January 2009

'Uzawa' waingia Uingereza!

Umeshasikia kauli mbiu ya Waingereza siku hizi? Baada ya hali ya uchumi kuwa mbaya, wazawa wa UK wamekuja na mpya! Wanadai kuwa nafasi zote za kazi nchini kwao ni kwa ajili yao tu - yaani wazawa wa UK!!

Leo waliandamana mahala fulani kupinga kampuni moja iliyoko UK kuajiri wafanyakazi toka Italia na Ureno, wakiwa na mabango yasemayo:
'UK jobs for UK workers'!

Tena ni afadhali watu wanaotoka maeneo ya Jumuia ya Ulaya, maana sheria za EU zinawalinda kufanya kazi popote ndani ya EU. Hali ni mbaya kwa wenzangu mie wanaotoka nje ya eneo la EU (kwa mfano Afrika, Asia na Amerika Kusini). Miaka ijayo watu wasio wakazi wa EU watapata wakati mgumu sana nchini UK kwani sheria* zinatungwa ili kuwazuia kuja kufanya kazi UK na hata kama watakuja kwa ajili ya kusoma, hawataweza kupata ruhusa ya kuajiriwa/kufanya kazi maana vitambulisho vya wasio raia vimeshaanza kutumika kwa hiyo itakuwa vigumu kupata ajira ya kujikimu kimaisha!

Uzalendo umeanza kuwashinda Waingereza na sasa wameshikilia sera za Uzawa.

Je, wa-kuja tutafika kweli?
.............................

*Australian Points Based System (PBS).

Monday, 26 January 2009

Tujali misaada tuipatayo

Napenda kuongelea misaada kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) ya kimataifa ambayo husaidia maendeleo ya wananchi nchini kwetu. Kuna mashirika kama oxfam, worldvision n.k. ambayo tunayo hapa kwetu Tanzania.

Mashirika haya yamekuwa yakiongeza nguvu za maendeleo pale tunapohitaji kupigwa jeki. Na yamekuwa yakifanya hivyo bila kuchoka.

Ni vema sisi tunaofaidika na misaada hii tuonyeshe nia ya kuipokea na kifanyia kazi ipasavyo na kutunza kile wanachotuachia. Hii ni pamoja na matumizi mzuri ya fedha na vifaa tunavyopokea kutoka mashirika hayo. Fedha zitumike katika shughuli zilizokusudiwa na vifaa pia vifanye kazi iliyokusudiwa na kama kuna vyombo vya usafiri tumeachiwa mfano magari, pikipiki, baiskeli n.k. navyo tuheshimu matumizi yake na kuvitunza vidumu.

Haya mashirika yanapata rasilimali na fedha (wanazotuletea) ktk mazingira magumu sana. Hizi ni hela kutoka nchi nyingine ambako wamejinyima wao ili sisi tufaidi, na wakati mwingine hawa watu wa mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa hutafuta michango ya wananchi wao kwa njia ya omba-omba -wanasimama mabarabarani na mitaani na kopo au bakuli kuomba mwenye chochote achangie. Kwa kweli wanafanya 'umatonya'ktk nchi zao na wanapopata chochote hutukumbuka ili nasi tufaidi. Wengine hukusanya nguo chakavu (mitumba) na vitabu vya zamani na kuviuza tena ili wapate hela ya kutusaidia.

Kutokana na juhudi za haya mashirika ktk kukusanya chochote ili hela ipatikane kwa ajili yetu wa dunia ya tatu, ni vema nasi tuwe waadilifu ktk kujitolea, kutunza na kuendeleza vitu wanavyotuletea kwa ajili ya maisha na maendeleo yetu. Tuonyeshe kujali na sio kuwakatisha tamaa.

Saturday, 3 January 2009

Wafanyakazi na muda wa kazi

Muda maalumu uliopangwa kwa wafanyakazi wa serikali huwa ni saa 8 kwa siku za Jumatatu hadi Ijumaa, na kwa jumamosi huwa ni nusu siku.

Mara nyingi uatona wafanyakazi nchini tanzania wanaendelea kuwepo maofisini hata baada ya muda wa kazi kupita hadi saa za usiku. Siku za Jumamosi na Jumapili pia huwa wanaenda maofisini.

Nimebahatika kukaa nje ya bara la Afrika na nimeona jinsi wenzetu wanavyo heshimu muda wa kuingia kazini na wa kutoka kazini. Na pia wanaheshimu sana siku wanazokuwa off, kwasababu ni muda adimu kwa ajili ya mambo yao binafsi na pia kujumuika na familia au mambo yahusuyo familia.

Familia zinahitaji muda na ndio maana serikali za ulaya hutoa likizo kwa wazazi wote (mama na baba) ili walee watoto mama anapojifungua. Muda wa kazi ni wa kazi, muda wa off ni off. Sio vibaya waafrika tukiiga hili kwa manufaa yetu na familia zinazotuhusu. Tuachane ni porojo za 'niko bize!'