Mvuto kwa vijana wa jinsia nyingine
Kuwa na hamu ya ngono ni sehemu ya ujinsia. Kufanya ngono ni namna moja ya kuonyesha ujinsia , lakini ia unaweza kuonyesha ujinsia huu kwa kuongea, kushikana mikono, kupigana busu, kushikanashikana na kupapasana.
Mara nyingi madhumuni ya kufanya ngono ni kutaka kuzaa mtoto. Sababu nyingine za kufanya ngono ni kwa kujifurahisha, kuonyesha mapenzi na kuimarisha uhusiano wa kimapenzi. Jambo la msingi ni kuwa hapo utakapoamua wakati umefika wa kujihusisha na ngono umefika zingatia hiyo ngono iwe salama na kuwa wote yaani wewe na mwenzi wako mifurahie hiyo ngono.
Zamani au hata mila na desturi na desturi zetu zimetufanya tufikiri kwamba mwanamke pekee yake ndiye mwenye jukumu la kumfurahisha mume kwenye ngono bila mume kujali kama mpenzi wake naye ametoshelezwa.
Siku hizi angalau mambo yameeanza kubadilika na wanaume wengi wanatambua umuhimu wa kujali kumtosheleza mwenzi wake wakati wa kujamiiana. Tendo la ngono linakuwa nzuri pale wote wahusika watakapokuwa wamefanya kwa hiari, wametoshelezana na ngono hiyo ilikuwa salama ( hakuna mimba kama haikutakiwa, wala magonjwa ya zinaa au maambukizo ya UKIMWI)
chanzo: tovuti ya cheza salama (tanzania)
Showing posts with label Health. Show all posts
Showing posts with label Health. Show all posts
Friday, 5 June 2009
Tuesday, 21 April 2009
Madawa ya kukuza miili (misuli) yanaua
Tuesday, 21/04/2009
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia jana asubuhi hospitalini alipokuwa amelazwa kutokana na 'side effects' za madawa ya kutunisha misuli (body building) aina ya 'steroids'.
Kwa mujibu wa gazeti la leo la Daily Mirror, wazazi wa kijana huyo wamesema kuwa kifo cha mtoto wao kilisababishwa na kuvimba ubongo na hatimae kupoteza fahamu (ubongo ulikufa) kutokana na kuzidiwa na madawa hayo ambayo aliyanunua kienyeji. Kijana huyo alikunywa dawa hizo ili ajenge misuli na hatimae afaulu usaili wa kujiunga na jeshi nchini Uingereza.
Watu waliomuuzia dawa hizo marehemu wamekamatwa na polisi na kusailiwa na kisha kuachiwa kwa dhamana.
Wazazi wa marehemu wameomba kuwa kifo cha mwanao kiwe funzo kwa wengine wenye tabia kama hiyo - na wamewataka vijana kuachana na madawa hayo ili yasije yakawakuta yaliyomkuta kijana wao mpendwa!
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia jana asubuhi hospitalini alipokuwa amelazwa kutokana na 'side effects' za madawa ya kutunisha misuli (body building) aina ya 'steroids'.
Kwa mujibu wa gazeti la leo la Daily Mirror, wazazi wa kijana huyo wamesema kuwa kifo cha mtoto wao kilisababishwa na kuvimba ubongo na hatimae kupoteza fahamu (ubongo ulikufa) kutokana na kuzidiwa na madawa hayo ambayo aliyanunua kienyeji. Kijana huyo alikunywa dawa hizo ili ajenge misuli na hatimae afaulu usaili wa kujiunga na jeshi nchini Uingereza.
Watu waliomuuzia dawa hizo marehemu wamekamatwa na polisi na kusailiwa na kisha kuachiwa kwa dhamana.
Wazazi wa marehemu wameomba kuwa kifo cha mwanao kiwe funzo kwa wengine wenye tabia kama hiyo - na wamewataka vijana kuachana na madawa hayo ili yasije yakawakuta yaliyomkuta kijana wao mpendwa!
Thursday, 9 April 2009
Salt intake
The Food Standards Agency recommends that only 6 grams of salt a day should be consumed.
I have started to adhere to this useful healthy eating guidelines. Excessive consumption can be fatal!
Even sugar - in tea cups and drinks - shouldn't exceed certain acceptable levels (I do not have the FSA guideline with me at the moment).
Ready cooked meals in supermarkets and takeaways are not good, according to dieticians.
We should read the ingredients on the packages (sometimes the percentages of ingredients on the package are misleading). It's better to prepare food on you own, just to make sure the ingredients are within acceptable levels.
I have started to adhere to this useful healthy eating guidelines. Excessive consumption can be fatal!
Even sugar - in tea cups and drinks - shouldn't exceed certain acceptable levels (I do not have the FSA guideline with me at the moment).
Ready cooked meals in supermarkets and takeaways are not good, according to dieticians.
We should read the ingredients on the packages (sometimes the percentages of ingredients on the package are misleading). It's better to prepare food on you own, just to make sure the ingredients are within acceptable levels.
Skin cancer
I have read somewhere than skin cancer cases are on the rise, thanks to 'sun beds' (burning) culture.
Hope ladies will take note of that. To be honest this is avoidable, no reason to die so young, ladies!!!
Hope ladies will take note of that. To be honest this is avoidable, no reason to die so young, ladies!!!
Tuesday, 7 April 2009
How to know if it's STROKE
..........................................
When STROKE strikes, it spreads like a fire in the brain.
But you can't see the damage.
Just spot the signs of stroke, you have to think and act F.A.S.T.
1. Face
-has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms
-can they raise both arms and keep them there?
3. Speech
-is their speech slurred?
4. Time
-Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania, it's time send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
When STROKE strikes act FAST!
............................................
When STROKE strikes, it spreads like a fire in the brain.
But you can't see the damage.
Just spot the signs of stroke, you have to think and act F.A.S.T.
1. Face
-has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms
-can they raise both arms and keep them there?
3. Speech
-is their speech slurred?
4. Time
-Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania, it's time send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
When STROKE strikes act FAST!
............................................
Friday, 27 March 2009
Signs of STROKE! Act F.A.S.T
..........................................
When STROKE strikes, it spreads like fire in the brain.
But you can't see the damage.
Just spot the signs of stroke, you have to think and act F.A.S.T.
1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania, it's time send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
When STROKE strikes act FAST!
............................................
When STROKE strikes, it spreads like fire in the brain.
But you can't see the damage.
Just spot the signs of stroke, you have to think and act F.A.S.T.
1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania, it's time send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
When STROKE strikes act FAST!
............................................
Monday, 23 March 2009
Heart Attack
When do you get the alarm bells ringing?
Here is one of the early indicators of the potential danger of the heart attack!
If your waist measures as follows (below), then you are in a danger zone and you should be thinking of doing something positive about it (to avoid problems).
Men: over 40 inches (40")
Women: 35 inches (35")
(data source: channel 4 tv, May 02, 2006, UK, 21:00 BST)
Here is one of the early indicators of the potential danger of the heart attack!
If your waist measures as follows (below), then you are in a danger zone and you should be thinking of doing something positive about it (to avoid problems).
Men: over 40 inches (40")
Women: 35 inches (35")
(data source: channel 4 tv, May 02, 2006, UK, 21:00 BST)
Act FAST on STROKE!
When STROKE strikes, it spreads like fire. But you can't see the damage.
Symptoms 'F.A.S.T'
1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs. (for Tanzania: send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
When STROKE strikes act FAST!
Symptoms 'F.A.S.T'
1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs. (for Tanzania: send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
When STROKE strikes act FAST!
Thursday, 12 March 2009
Kiharusi (Stroke)
Hili ni tangazo la idara ya huduma za afya ktk vyombo vya habari Uingereza.
When STROKE strikes, it spreads like fire.
When STROKE strikes act F.A.S.T:
1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs. (for Tanzania: send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
source: an advert by NHS, www.nhs.uk/act fast
When STROKE strikes, it spreads like fire.
When STROKE strikes act F.A.S.T:
1. Face -has their face fallen one side? Can they smile?
2. Arms -can they raise both arms and keep them there?
3. Speech -is their speech slurred?
4. Time -Just like fire, it's time to call 999 if you see any single one of these signs. (for Tanzania: send the patient to hospital immediately)
The earlier you act the more of a person you save.
source: an advert by NHS, www.nhs.uk/act fast
Tuesday, 17 February 2009
Tujihadhari na Nyama nyekundu
Utafiti umeonyesha kuwa nyama ya ng'ombe, kondoo, nguruwe n.k. husababisha magaonjwa ya saratani ya; matiti, ... (prostate) na tumbo. Pia nyama hizo ambazo hujulikana kama red meat zikiwa na mafutamafuta husababisha magonjwa ya moyo na kiharusi. Tunapotumia nyama ni vizuri kuondoa tabaka la mafuta ili kujiepusha na madhara hayo kiafya.
Sio vibaya kula nyama, ila tunachoshauriwa ni kuwa isiwe kila siku na kila mlo (kula nyama mara 2 kwa wiki sio vibaya).
Wataalamu wa afya na vyakula wanatushauri kutumia nyama za kuku na samaki kwa wingi huku tukipunguza matumizi ya nyama nyekundu.
Pia tunashauriwa kutumia matunda na mboga za majani ili kujikinga na saratani na magonjwa ya moyo.
Habari hii ni kwa mujibu wa gazeti la daily-express la J'nne Februari 17, 2009 ukurasa wa 7.
Sio vibaya kula nyama, ila tunachoshauriwa ni kuwa isiwe kila siku na kila mlo (kula nyama mara 2 kwa wiki sio vibaya).
Wataalamu wa afya na vyakula wanatushauri kutumia nyama za kuku na samaki kwa wingi huku tukipunguza matumizi ya nyama nyekundu.
Pia tunashauriwa kutumia matunda na mboga za majani ili kujikinga na saratani na magonjwa ya moyo.
Habari hii ni kwa mujibu wa gazeti la daily-express la J'nne Februari 17, 2009 ukurasa wa 7.
Labels:
Autobiography,
Health,
Knowledge Sharpening,
My Topic,
UK
Monday, 16 February 2009
Stroke
When STROKE strikes, act F.A.S.T.
FACE -has their face fallen one side? Can they smile?
Arms -can they raise both arms and keep them there?
Speech -is their speech slurred?
Time -time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania: send the patient to hospital immediately)
source: an advert by NHS, www.nhs.uk/act fast
FACE -has their face fallen one side? Can they smile?
Arms -can they raise both arms and keep them there?
Speech -is their speech slurred?
Time -time to call 999 if you see any single one of these signs.
(for Tanzania: send the patient to hospital immediately)
source: an advert by NHS, www.nhs.uk/act fast
Monday, 11 June 2007
I didn't know this, did you?
1. Everyday we take 21,600 breaths!
2. Eye tests are recommended every 2 years!
3. A human being have 2 sq.m. of skin (area) and that it weighs a total of 5kg!!
4. We shed 19kg. of skin in our life time!
5. Tony Blair's father was a Conservative (Torry) member who, at one time, wanted to contest for a Parliamentary seat through Torry ticket!!
2. Eye tests are recommended every 2 years!
3. A human being have 2 sq.m. of skin (area) and that it weighs a total of 5kg!!
4. We shed 19kg. of skin in our life time!
5. Tony Blair's father was a Conservative (Torry) member who, at one time, wanted to contest for a Parliamentary seat through Torry ticket!!
Labels:
Autobiography,
Health,
Knowledge Sharpening,
Statistics,
UK
Subscribe to:
Posts (Atom)