Naomba niseme ukweli kidogo ....
Wanaume (karibu) wote na rika zote tunapenda kuangalia (sometimes kutamani) mwanamke ambaye amevalia nguo fupi na ya kubana maungo. Hasa hasa kama ana miguu au maungo yaliyojaa!
Wenye busara humezea na kujizuia, lakini kutamani kupo! FACT!!!
Friday, 8 February 2008
Man U vs. 5 of 8 in the drop zone!
Manchester United will be playing 5 of the remaining Premier League matches against sides fighting for their survival.
These matches are very tricky as the teams at the bottom of the table tend to throw everything into the match in order to avoid relegation! And suprises do happen, especially when they (the bottom sides) play at home (4 of 5 matches will be away from Old Trafford)!
01/3/2008 Fulham vs. Man Utd A
09/3/2008 Man Utd vs. Bolton H
15/3/2008 Derby vs. Man Utd A
05/4/2008 Middlesborough vs. Man Utd A
11/5/2008 Wigan vs. Man Utd A
What about Arsenal, Chelsea and Liverpool?
23/2/2008
Liverpool v. Middlesborough
Birmingham v. Arsenal
02/3/2008 Bolton v. Liverpool
15/3/2008
Arsenal v. Middlesborough
Sunderland v. Chelsea
Liverpool v. Reading
(all big 4 will be playing teams at bottom of the table)
31/3/2008
Chelsea v. Middlesborough
Bolton v. Arsenal
12/4/2008 Chelsea v. Wigan
19/4/2008
Arsenal v. Reading
Fulham v. Liverpool
26/4/2008
Birmingham v. Liverpool
Derby v. Arsenal
11/5/2008
Chelsea v. Bolton
Sunderland v. Arsenal
But Man U have to win these matches because other big 4 are expected to win them!
These matches are very tricky as the teams at the bottom of the table tend to throw everything into the match in order to avoid relegation! And suprises do happen, especially when they (the bottom sides) play at home (4 of 5 matches will be away from Old Trafford)!
01/3/2008 Fulham vs. Man Utd A
09/3/2008 Man Utd vs. Bolton H
15/3/2008 Derby vs. Man Utd A
05/4/2008 Middlesborough vs. Man Utd A
11/5/2008 Wigan vs. Man Utd A
What about Arsenal, Chelsea and Liverpool?
23/2/2008
Liverpool v. Middlesborough
Birmingham v. Arsenal
02/3/2008 Bolton v. Liverpool
15/3/2008
Arsenal v. Middlesborough
Sunderland v. Chelsea
Liverpool v. Reading
(all big 4 will be playing teams at bottom of the table)
31/3/2008
Chelsea v. Middlesborough
Bolton v. Arsenal
12/4/2008 Chelsea v. Wigan
19/4/2008
Arsenal v. Reading
Fulham v. Liverpool
26/4/2008
Birmingham v. Liverpool
Derby v. Arsenal
11/5/2008
Chelsea v. Bolton
Sunderland v. Arsenal
But Man U have to win these matches because other big 4 are expected to win them!
"Richmond 'yatafuna' watatu"
Richmond 'yatafuna' watatu: Lowassa, Karamagi, Msabaha wajiuzulu
MZIMU wa Richmond sasa umeanza kutafuna Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Nne, baada ya mawaziri watatu akiwamo Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa kutangaza kujiuzulu, kutokana na kutajwa katika tuhuma za kuipa zabuni kampuni hiyo.
Wengine waliotangaza kujiuzulu jana ni pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Bw. Nazir Karamagi na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Ibrahim Msabaha.
Hatua hiyo inafanya hatma ya uhai wa Baraza la Mawaziri la sasa kubakia kiganjani mwa Rais Jakaya Kikwete, kwa kuwa Bw. Lowassa ndiye Kiongozi Mkuu wa shughuli za Serikali kila siku na bungeni, hivyo kutokuwapo kwake ni sawa na kukosekana kwa uhai wa Baraza la Mawaziri.
Akitangaza uamuzi wake bungeni jana, Bw. Lowassa alisema alitafakari kwa makini jinsi taarifa ya Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Mbunge wa Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe, ilivyofanya kazi yake na kuwasilisha taarifa yake ambayo alidai haikumtendea haki, hivyo kuamua kumwandikia Rais barua ya kuomba kujiuzulu.
"Mheshimiwa Spika napenda kumpongeza Dkt. Mwakyembe kwa kuwasilisha taarifa ya Kamati kwa mbwembwe nyingi sana, nataka kuweka kumbukumbu ya kutoridhika kwangu katika hoja hii, Dkt. Mwakyembe ni mwanasheria, alifundisha vyuo Vikuu, anatambua maana ya Natural Justice (kutenda haki).
"Kamati Teule iliwaita watu wote mpaka Marekani, lakini mimi niliyetuhumiwa hawakuniita hata siku moja, umbali kutoka ofisini kwangu mpaka ofisi za Bunge ni karibu hata ningekosa gari ningekwenda kwa miguu, kulikuwa na shida gani kuniuliza Waziri Mkuu ulitoa dokezi hili je ni sawa?," alihoji Bw. Lowassa.
Aliendelea: "Taifa letu ni changa, chombo hiki (Bunge), ndicho chenye demokrasia na kinatakiwa kuwa na haki, kama haki, Demokrasia haitatendeka, basi nchi yetu haitakwenda vizuri, naona si sahihi, nimefadhaika sana, nimeonewa sana, nimedhalilishwa sana, Mheshimiwa Spika nimetafakari kwa makini jambo hili, nimejiuliza hivi kulikoni? Tatizo ni Waziri Mkuu ... kwa niaba ya Serikali na kwa niaba ya chama changu, nimeandika barua kwa Rais kuomba kuachia ngazi," alisema Waziri Mkuu.
Alisema hajui sababu za Kamati hiyo kuamini minong'ono ya mitaani, kabla ya kumuuliza yeye kama mtuhumiwa na kwamba alimpa taarifa Spika Bw. Samwel Sitta, kuwa katika taarifa ya Kamati hiyo, hakukuwa na maelezo yake.
Alisema yapo hadi magazeti ya udaku ndani ya taarifa hiyo na kwamba kujenga hoja bungeni ambapo nchi nzima wanasikia na kushuhudia moja kwa moja kupitia vyombo vya habari, kuonesha kwamba amefanya jambo fulani bila kuhojiwa ili kujua ukweli si jambo la kawaida.
"Naona moyo wangu mweupe, namshukuru sana mheshimiwa Rais kwa uteuzi wake kwangu kuwa Waiziri Mkuu kwa miaka miwili, nakushukuru Mheshimiwa Spika, nawashukuru sana mawaziri na naibu mawaziri, nawashukuru waheshimiwa wabunge kwa heshima mliyonipa kwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM," alisema Bw. Lowassa.
Mara baada ya hotuba hiyo fupi ya Waziri Mkuu, joto lilizidi kupanda ndani ya Bunge kutokana na mshituko mkubwa ambapo wabunge kadhaa walisimama kuomba mwongozo wa Spika, kuhusu kuendelea kwa mjadala au kusitisha shughuli za Bunge kwa muda, ili kutoa nafasi ya kutafakari jambo hilo.
Wabunge waliosimama kuomba mwongozo wa Spika juu ya suala hilo ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), Mbunge wa Karatu Dkt. Wilbrod Slaa (CHADEMA), Mbunge wa Muleba Kusini, Bw. Willson Masilingi (CCM) baada ya kuombwa na Spika, Mbunge wa Bukoba Mjini Balozi Khamis Kagasheki na wengine ambao hata hivyo hawakupewa nafsi ya kuzungumza.
Akihitimisha hoja ya wabunge hao ambayo ilitaka kuleta mvutano wa aina fulani huku wengine wakiomba mwongozo wa kuendelea na mjadala na wengine wakitaka wapate nafasi ya kutafakari kwanza, Bw. Sitta alisema:
"Naona kama mnanipeleka mbali, sasa naamua, kutokana na hali hii isiyokuwa ya kawaida, nasitisha Bunge kwa muda hadi saa 11 jioni, ili nipate ushauri wa kisheria na kuwasiliana na mamlaka za juu," alisema na kuhitimisha mjadala huo.
Awali akiwasilisha taarifa yake bungeni juzi, Dkt. Mwakyembe, alisema Kamati yake haikumhoji Waziri Mkuu moja kwa moja, kwa kuwa watu ambao wangetoa ushahidi wa kuwafanya wamwite Waziri Mkuu hawakufanya hivyo, hivyo wasingemwita.
"Watu pekee waliokuwa na ukweli wenyewe, ukweli ambao ungeipa Kamati Teule msingi wa kumhoji Waziri Mkuu kwa kiapo, walikuwa watatu; Waziri Dkt. Msabaha (Ibrahim), Katibu Mkuu Mwakapugi na Mwenyekiti wa Bodi Balozi Kazaura, Kamati Teule mara mbili iliwaita Dkt. Msabaha na ndugu Arthur Mwakapugi kwa mahojiano zaidi, wote wawili walikataa kupokea maagizo kutoka kwa Waziri Mkuu ya kuipa Richmond upendeleo.
"Lakini Dkt. Ibrahim Msabaha baada ya mahojiano chini ya kiapo, akaiuma sikio Kamati Teule kuwa katika suala hilo yeye atakuwa kondoo wa kafara tu, au kwa maneno yake mwenyewe 'Bangusilo' kwa lugha ya kizaramo," alisema Dkt. Mwakyembe na Kuongeza:
"Maelezo ya Waziri nje ya kiapo yalioana na maelezo aliyotoa Balozi Kazaura nje ya kiapo Novemba 30, 2007, ambapo baada ya kumaliza mahojiano na Kamati Teule kwa kiapo, akatoa maelezo ya ziada kuwa Richmond ilikuwa mradi wa Bwana Mkubwa na mshirika mkubwa kibiashara akimaanisha Waziri Mkuu na Rostam Aziz," alisema.
"Hii haikuwa mara ya kwanza kwa Balozi Kazaura kuhusisha uteuzi wa Richmond na mkono wa Waziri Mkuu, mara ya kwanza ilikuwa Januari 2007 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Biashara, nimelazimika kueleza mambo tuliyoelezwa kwa siri kiungwana kutokana na uzito wa suala lenyewe na dhamana kubwa tuliyopewa na Bunge kueleza kilichotokea kwa uwazi na ukweli.
“Lakini ushahidi huu wa ziada na nje ya kiapo wa viongozi hao wawili haukutoa msaada stahili kwa Kamati Teule, kwa kuwa msingi wa uamuzi wote wa Bunge si minong'ono au tetesi, bali taarifa zenye uthibitisho halisi," alisema Dkt. Mwakyembe.
Alisema Kamati hiyo ilibaini, kwamba hali ya uoga na ya kutojiamini inawakumba Watanzania walio wengi, hususan pale wanapotakiwa kuelezea kwa uwazi maneno yale yale wanayoyanong’ona pembeni kwa hamasa kubwa na kwamba kwa mtindo huo, Taifa linaweza kuishia kuwa la walalamishi wasio na ujasiri wala dhamira ya dhati ya kukemea maovu inapobidi.
Baadhi tu ya vipengele vilivyomgusa Bw. Lowasa moja kwa moja katika taarifa hiyo ni pamoja na barua ya Katibu wake aliyeandikwa kwa jina moja la Bw. B. Olekuyan ya Juni 21 mwaka juzi, kwenda Wizara ya Nishati na Madini iliyoeleza kuwa Bw. Lowassa alikubali mapendekezo na ushauri wa Waziri wa Nishati na Madini, kuhusu Serikali kuteua kampuni ya Richmond kuingia mkataba na TANESCO.
Katika taarifa hiyo, pia ilielezwa kuwa barua nyingine iliyotoka kwa Waziri wa Nishati na Madini, Juni 19 mwaka juzi kwenda kwa Bw. Lowassa ikieleza kwamba Kamati ya Serikali ya Majadiliano na Richmond ilikuwa tayari imekamilisha majadiliano, hivyo kupendekeza Serikali iiteue kampuni hiyo kwa lengola kuingia mkataba wa kuzalisha umeme na TANESCO.
Akinukuu sehemu ya barua hiyo, Dkt. Mwakyembe alisema: “Kamati ya Serikali ya Majadiliano (GNT), inayojumisha wataalamu kutoka Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Benki ya Tanzania (BoT) na TANESCO, ilifanya majadiliano na Richmond ya Marekani tangu Juni 8-16,” alisema akinukuu barua hiyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kutoka ukumbini, Bw. Lowassa alisema huo ndio uamuzi wake kwa sasa. Alipoulizwa itakuwaje kama Rais atakataa kujiuzulu kwake alisema: "Nitafikiria kwa wakati huo." Alipotakiwa kumtaja Waziri Mkuu mtarajiwa kutokana na kauli yake kwamba 'tatizo ni Waziri Mkuu,' alijibu kwa kifupi: "sijui".
Hata hivyo kujiuzulu kwa Waziri Mkuu kuliandika historia mpya ambapo mtu wa kwanza kumsalimia na kutoka naye nje ya eneo lake hadi karibu na mlango wa kutokea alikuwa ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Bw. Hamad Rashid Mohamed (CUF).
Habari zilizopatikana wakati tunakwenda mitamboni zilisema Rais Kikwete aliwakubalia viongozi hao maombi yao ya kujiuzulu na kwamba huenda leo Waziri Mkuu mpya akatangazwa.
kutoka: gazeti majira, 08.02.2008 0123 EAT
Na Waandishi Wetu, Dodoma
Richmond aibu! *Lowassa, Karamagi, Msabaha, Mwanyika, Hosea mh!
WINGU jeusi juu ya hatma ya Baraza la Mawaziri limetanda mkoani hapa baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya Kamati Teule ya Bunge, iliyochunguza mchakato wa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura ulioipa ushindi kampuni ya Richmond Development Company, kumhusisha moja kwa moja Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa.
Taarifa hiyo iliyosomwa bungeni jana asubuhi na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mbunge wa Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe (CCM), iliacha wingu hilo baada ya mapendekezo ya mwisho ya kamati hiyo kumtaka Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa kupima uzito wa yanayomuhusu na kufanya uamuzi wa 'busara'.
Weusi wa wingu hilo, ulizidi kuongezeka baada ya kikao cha Bunge
kuahirishwa jana asubuhi kwa ajili ya kutoa nafasi kwa wabunge kupitia na kutolewa taarifa kwa wabunge kwenda kumpokea Rais Jakaya Kikwete aliyetarajiwa kuwasili jana alasiri.
Wabunge hao kwa pamoja wanatakiwa kuhakikisha wameipitia, ili wawe tayari kuijadili kwa siku mbili mfululuzo, kuanzia leo asubuhi.
Taarifa ya kwenda kumpokea Rais Kikwete aliyeelezwa kuwa na kauli
ya mwisho kuhusu Baraza la Mawaziri, iliambatana na taarifa ya
kuwakumbusha wabunge wote wa CCM, kuhudhuria kikao maalumu
kilichotarajiwa kuanza saa mbili usiku.
Kikao hicho kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu na baadhi ya wabunge wa
CCM, kilielezewa kufanyika kwa ajili ya kuhoji wote waliotajwa katika ripoti hiyo.
Pamoja na ripoti hiyo kupendekeza baadhi ya mawaziri, akiwamo Waziri
wa Nishati na Madini, Bw. Nazir Karamagi, Waziri wa zamani wa wizara
hiyo ambaye ni Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Ibrahim
Msabaha, wachukuliwe hatua kali, kamati hiyo pia ilieleza kutofurahishwa na taarifa zilizomgusa Bw. Lowassa moja kwa moja.
Aidha Kamati hiyo ilipendekeza Bunge lililoidhinisha uteuzi wa Bw.
Lowassa, kuangalia athari za matokeo ya ripoti hiyo katika hadhi na
uzito wa Waziri Mkuu, katika utekelezaji wa shughuli za Serikali
bungeni.
Mapendekezo mengine ya kamati hiyo yalishabihiana na kauli ya hivi karibuni ya Rais Kikwete ya kuwataka viongozi kuchagua kati ya siasa na biashara.
Taarifa zilizomgusa Lowassa
Dkt. Mwakyembe alisema kamati yake ilipomhoji Dkt. Msabaha, alitoa
maelezo ya kiitifaki na mwishowe, akiwa nje ya kiapo, alisema "Mradi
huu ni wa Mkubwa, akimaanisha Bw. Lowassa na rafiki yake
kibiashara akimaanisha Mbunge wa Igunga, Bw. Rostam Aziz," Dkt.
Mwakyembe alinukuu kauli hiyo ya Bw. Msabaha bungeni huku baadhi ya
mawaziri wakibadilisha mikao kuonesha masikitiko.
"Mimi natolewa kafara tu," Bw. Mwakyembe aliendelea kunukuu sehemu ya
maneno hayo ya Dkt. Msabaha aliyomweleza nje ya kiapo na kuongeza
kuwa Waziri wa Nishati wa zamani, alitumia neno la kizaramo
'Bangusilo' lenye maana sawa na kondoo wa kafara.
Dkt. Mwakyembe alisema kiburi cha Wizara ya Nishati na Madini kukaidi
maagizo ya Baraza la Mawaziri na kukaidi ushauri wa wataalamu
mbalimbali wakiwamo Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kilitoka kwa Bw. Lowassa.
"Uamuzi wa Serikali kuizuia TANESCO kuvunja mkataba na kampuni hiyo
licha ya sababu zote kisheria kuwapo ni baadhi tu ya viashiria vya
nguvu kubwa, iliyo juu ya Wizara ya Nishati na Madini, kutumika katika
suala hili na hivyo, kamati teule kutokana na ushahidi wa kimaandishi,
kimazingira na wa mdomo, inaiona nguvu hiyo kuwa ni Waziri Mkuu,"
alisema Bw. Mwakyembe.
Vile vile Bw. Lowassa aliyelezewa kuhusika kwa karibu kuonesha upendeleo kwa kampuni hiyo ambayo Dkt. Mwakyembe aliita ya mfukoni na isiyokuwa na uzoefu hata wa kuweka balbu ya umeme kwenye kishikizo chake.
"Richmond Development Company LLC, imepewa zabuni ya umeme wa dharura
kutokana na maelekezo ya mara kwa mara ya Waziri Mkuu kwa Wizara ya Nishati na Madini katika kila hatua ya mchakato huo (Mchakato wa kumpata mkandarasi)," alisema Dkt. Mwakyembe.
Licha ya kuhusika katika mchakato huo, Bw. Mwakyembe alisema Bw.
Lowassa ndiye aliyefanya uteuzi wa mwisho wa kampuni hiyo.
"Uteuzi wa mwisho wa Richmond kuwa mkandarasi, ulifanywa na Waziri Mkuu mwenyewe tarehe 21 Juni 2006," alisema Bw. Mwakyembe.
Ushauri wa kamati kwa Lowassa, Bunge
Dkt. Mwakyembe alisema Kamati hiyo ilishindwa kumhoji Bw. Lowassa, kwa kuwa watu ambao wangeweza kutoa taarifa ambazo zingesaidia kuombwa kwa hati ya dharua ambao ni Bw. Karamagi na Dkt. Msabaha, walitoa ushahidi ambao haukuweza kusaidia kupatikana kwa hati hiyo.
"Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji,
utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi za Serikali, kamati
haikufurahishwa na taarifa zinazomgusa moja kwa moja katika kuipendelea Richmond," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Ni wajibu wake mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huu ndani na nje ya Bunge," alielezea Dkt. Mwakyembe, ambaye hata baada ya muda wake kwisha, wabunge waliamua kwa kauli moja kumwongezea nusu saa zaidi ya kuzungumza.
"Vilevile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake
kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito
wake ndani ya Bunge," aliendelea Dkt. Mwakyembe.
Wanaotakiwa kuchukuliwa hatua kali
"Kamati teule inapendekeza Waziri wa Nishati na Madini wa wakati huo, Dkt. Ibrahim Msabaha na Katibu Mkuu, Bw. Arthur Mwakapugi,
wachukuliwe hatu kali za kinidhamu kwa kuingiza Taifa kwa makusudi
kwenye mkataba na kampuni ya mfukoni ambao umesababisha hasara kubwa
kwa nchi," alisema Dkt. Mwakyembe.
Wengine waliotakiwa kuchukuliwa hatua ya kinidhamu ni Kamishna wa
Nishati, Bw. Bashir Mrindoko, kwa kushindwa kumshauri Katibu Mkuu mpya
wa Wizara kuhusu udhaifu wa kampuni hiyo.
Kutokana na matokeo ya taarifa ya uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kupotosha ukweli, Kamati hiyo pia
ilipendekeza uongozi wa juu wa taasisi hiyo ubadilishwe.
"Taarifa ya TAKUKURU, ililenga kuficha ukweli (White wash) hivyo
ikaishia kujikanganya kwa kukiri kuwapo upungufu, lakini yasiyokuwa na
athari. Taarifa hiyo iliondoa kwa kiasi kikubwa hadhi na heshima ya
chombo hiki muhimu cha kitaifa," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Kamati teule inapendekeza mabadiliko ya haraka ya uongozi wa taasisi
hiyo," alisema Dkt. Mwakyembe.
Wengine waliotakiwa kuwajibishwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw.
Johnson Mwanyika kwa kushindwa kutumia taaluma yake kuishauri
Serikali.
Kilichotokea
Dkt. Mwakyembe alisema pamoja na dharura iliyokuwa inalikabili Taifa,
Serikali ilikuwa kinara wa kuvunja taratibu, kanuni na sheria za
nchi.
"Kamati teule imeainisha katika taarifa hii vitendo vya ubabe, ujeuri
na kiburi vilivyofanywa na viongozi wa Nishati na Madini, ili mradi
kampuni waliyotaka iteuliwe, kiasi cha kupindisha hata uamuzi wa
Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Wizara ilikaidi ushauri wa kitaalamu wa Mamlaka ya Udhibiti wa
Ununuzi wa Umma mara tatu mfululuzo na kinyume na maagizo ya Baraza
la Mawaziri lililotaka Sheria ya Ununuzi wa Umma izingatiwe,"
alielezea Dkt. Mwakyembe.
Licha ya kupuuza sheria na agizo hilo, Dkt. Mwekyembe alisema wizara
hiyo pia ilipuuza vyombo vya ndani vya uamuzi vya TANESCO, ambavyo ni
Bodi ya Wakurugenzi na Bodi ya Zabuni.
"Waliilazimisha Bodi ya Menejimenti ya TANESCO, kuridhia uamuzi
uliofanywa na Wizara ya kuibeba Richmond, kinyume na sheria na taratibu," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Ilifikia hatua ya kupotosha kwa makusudi ushauri wa Wizara ya Fedha
uliozuia malipo ya awali ya dola za Marekani milioni 10 (zaidi ya sh.
bilioni 10)," alielezea Dkt. Mwakyembe.
Maswali yaliyokosa majibu
Dkt. Mwakyembe alisema baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri cha
Februari 10, mwaka juzi kuagiza wataalamu kutoka wizara mbalimbali
kushungulikia suala la ununuzi, ukaguzi na mambo mengine kuhusu
mitambo ya kuzalisha umeme, siku hiyo hiyo Wizara ya Nishati na
Madini ilituma ujumbe unaopingana na agizo la Baraza la Mawaziri
kwenda kampuni mama ya Songas ya CDC Globeleg.
Pamoja na kufanya na kufikia hatua ambayo baadhi ya watu walilazimika
kuhojiwa zaidi ya mara moja, Dkt. Mwakyembe alisema baadhi ya maswali
hayajapata majibu.
Maswali ambayo majibu yake yalitarajiwa kupatikana kutoka kwa Dkt.
Msabaha na Bw. Mwakapugi bila mafanikio ni:
"Je, kulikuwa na kikao kingine cha Baraza la Mawaziri siku hiyo hiyo
ya Februari 10, mwaka juzi, kilichotengua uamuzi wake wa awali wa siku
hiyo?"
"Ikiwa jibu ni hapana, kwa nini wizara ilipeleka ujumbe kwenda CDC
Globeleq, ujumbe tofauti na ule ilioagizwa na Baraza la Mawaziri?"
kutoka: majira, 07.02.2008 0157 EAT
Na Waandishi Wetu, Dodoma
MZIMU wa Richmond sasa umeanza kutafuna Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Nne, baada ya mawaziri watatu akiwamo Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa kutangaza kujiuzulu, kutokana na kutajwa katika tuhuma za kuipa zabuni kampuni hiyo.
Wengine waliotangaza kujiuzulu jana ni pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Bw. Nazir Karamagi na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Ibrahim Msabaha.
Hatua hiyo inafanya hatma ya uhai wa Baraza la Mawaziri la sasa kubakia kiganjani mwa Rais Jakaya Kikwete, kwa kuwa Bw. Lowassa ndiye Kiongozi Mkuu wa shughuli za Serikali kila siku na bungeni, hivyo kutokuwapo kwake ni sawa na kukosekana kwa uhai wa Baraza la Mawaziri.
Akitangaza uamuzi wake bungeni jana, Bw. Lowassa alisema alitafakari kwa makini jinsi taarifa ya Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Mbunge wa Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe, ilivyofanya kazi yake na kuwasilisha taarifa yake ambayo alidai haikumtendea haki, hivyo kuamua kumwandikia Rais barua ya kuomba kujiuzulu.
"Mheshimiwa Spika napenda kumpongeza Dkt. Mwakyembe kwa kuwasilisha taarifa ya Kamati kwa mbwembwe nyingi sana, nataka kuweka kumbukumbu ya kutoridhika kwangu katika hoja hii, Dkt. Mwakyembe ni mwanasheria, alifundisha vyuo Vikuu, anatambua maana ya Natural Justice (kutenda haki).
"Kamati Teule iliwaita watu wote mpaka Marekani, lakini mimi niliyetuhumiwa hawakuniita hata siku moja, umbali kutoka ofisini kwangu mpaka ofisi za Bunge ni karibu hata ningekosa gari ningekwenda kwa miguu, kulikuwa na shida gani kuniuliza Waziri Mkuu ulitoa dokezi hili je ni sawa?," alihoji Bw. Lowassa.
Aliendelea: "Taifa letu ni changa, chombo hiki (Bunge), ndicho chenye demokrasia na kinatakiwa kuwa na haki, kama haki, Demokrasia haitatendeka, basi nchi yetu haitakwenda vizuri, naona si sahihi, nimefadhaika sana, nimeonewa sana, nimedhalilishwa sana, Mheshimiwa Spika nimetafakari kwa makini jambo hili, nimejiuliza hivi kulikoni? Tatizo ni Waziri Mkuu ... kwa niaba ya Serikali na kwa niaba ya chama changu, nimeandika barua kwa Rais kuomba kuachia ngazi," alisema Waziri Mkuu.
Alisema hajui sababu za Kamati hiyo kuamini minong'ono ya mitaani, kabla ya kumuuliza yeye kama mtuhumiwa na kwamba alimpa taarifa Spika Bw. Samwel Sitta, kuwa katika taarifa ya Kamati hiyo, hakukuwa na maelezo yake.
Alisema yapo hadi magazeti ya udaku ndani ya taarifa hiyo na kwamba kujenga hoja bungeni ambapo nchi nzima wanasikia na kushuhudia moja kwa moja kupitia vyombo vya habari, kuonesha kwamba amefanya jambo fulani bila kuhojiwa ili kujua ukweli si jambo la kawaida.
"Naona moyo wangu mweupe, namshukuru sana mheshimiwa Rais kwa uteuzi wake kwangu kuwa Waiziri Mkuu kwa miaka miwili, nakushukuru Mheshimiwa Spika, nawashukuru sana mawaziri na naibu mawaziri, nawashukuru waheshimiwa wabunge kwa heshima mliyonipa kwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM," alisema Bw. Lowassa.
Mara baada ya hotuba hiyo fupi ya Waziri Mkuu, joto lilizidi kupanda ndani ya Bunge kutokana na mshituko mkubwa ambapo wabunge kadhaa walisimama kuomba mwongozo wa Spika, kuhusu kuendelea kwa mjadala au kusitisha shughuli za Bunge kwa muda, ili kutoa nafasi ya kutafakari jambo hilo.
Wabunge waliosimama kuomba mwongozo wa Spika juu ya suala hilo ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), Mbunge wa Karatu Dkt. Wilbrod Slaa (CHADEMA), Mbunge wa Muleba Kusini, Bw. Willson Masilingi (CCM) baada ya kuombwa na Spika, Mbunge wa Bukoba Mjini Balozi Khamis Kagasheki na wengine ambao hata hivyo hawakupewa nafsi ya kuzungumza.
Akihitimisha hoja ya wabunge hao ambayo ilitaka kuleta mvutano wa aina fulani huku wengine wakiomba mwongozo wa kuendelea na mjadala na wengine wakitaka wapate nafasi ya kutafakari kwanza, Bw. Sitta alisema:
"Naona kama mnanipeleka mbali, sasa naamua, kutokana na hali hii isiyokuwa ya kawaida, nasitisha Bunge kwa muda hadi saa 11 jioni, ili nipate ushauri wa kisheria na kuwasiliana na mamlaka za juu," alisema na kuhitimisha mjadala huo.
Awali akiwasilisha taarifa yake bungeni juzi, Dkt. Mwakyembe, alisema Kamati yake haikumhoji Waziri Mkuu moja kwa moja, kwa kuwa watu ambao wangetoa ushahidi wa kuwafanya wamwite Waziri Mkuu hawakufanya hivyo, hivyo wasingemwita.
"Watu pekee waliokuwa na ukweli wenyewe, ukweli ambao ungeipa Kamati Teule msingi wa kumhoji Waziri Mkuu kwa kiapo, walikuwa watatu; Waziri Dkt. Msabaha (Ibrahim), Katibu Mkuu Mwakapugi na Mwenyekiti wa Bodi Balozi Kazaura, Kamati Teule mara mbili iliwaita Dkt. Msabaha na ndugu Arthur Mwakapugi kwa mahojiano zaidi, wote wawili walikataa kupokea maagizo kutoka kwa Waziri Mkuu ya kuipa Richmond upendeleo.
"Lakini Dkt. Ibrahim Msabaha baada ya mahojiano chini ya kiapo, akaiuma sikio Kamati Teule kuwa katika suala hilo yeye atakuwa kondoo wa kafara tu, au kwa maneno yake mwenyewe 'Bangusilo' kwa lugha ya kizaramo," alisema Dkt. Mwakyembe na Kuongeza:
"Maelezo ya Waziri nje ya kiapo yalioana na maelezo aliyotoa Balozi Kazaura nje ya kiapo Novemba 30, 2007, ambapo baada ya kumaliza mahojiano na Kamati Teule kwa kiapo, akatoa maelezo ya ziada kuwa Richmond ilikuwa mradi wa Bwana Mkubwa na mshirika mkubwa kibiashara akimaanisha Waziri Mkuu na Rostam Aziz," alisema.
"Hii haikuwa mara ya kwanza kwa Balozi Kazaura kuhusisha uteuzi wa Richmond na mkono wa Waziri Mkuu, mara ya kwanza ilikuwa Januari 2007 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Biashara, nimelazimika kueleza mambo tuliyoelezwa kwa siri kiungwana kutokana na uzito wa suala lenyewe na dhamana kubwa tuliyopewa na Bunge kueleza kilichotokea kwa uwazi na ukweli.
“Lakini ushahidi huu wa ziada na nje ya kiapo wa viongozi hao wawili haukutoa msaada stahili kwa Kamati Teule, kwa kuwa msingi wa uamuzi wote wa Bunge si minong'ono au tetesi, bali taarifa zenye uthibitisho halisi," alisema Dkt. Mwakyembe.
Alisema Kamati hiyo ilibaini, kwamba hali ya uoga na ya kutojiamini inawakumba Watanzania walio wengi, hususan pale wanapotakiwa kuelezea kwa uwazi maneno yale yale wanayoyanong’ona pembeni kwa hamasa kubwa na kwamba kwa mtindo huo, Taifa linaweza kuishia kuwa la walalamishi wasio na ujasiri wala dhamira ya dhati ya kukemea maovu inapobidi.
Baadhi tu ya vipengele vilivyomgusa Bw. Lowasa moja kwa moja katika taarifa hiyo ni pamoja na barua ya Katibu wake aliyeandikwa kwa jina moja la Bw. B. Olekuyan ya Juni 21 mwaka juzi, kwenda Wizara ya Nishati na Madini iliyoeleza kuwa Bw. Lowassa alikubali mapendekezo na ushauri wa Waziri wa Nishati na Madini, kuhusu Serikali kuteua kampuni ya Richmond kuingia mkataba na TANESCO.
Katika taarifa hiyo, pia ilielezwa kuwa barua nyingine iliyotoka kwa Waziri wa Nishati na Madini, Juni 19 mwaka juzi kwenda kwa Bw. Lowassa ikieleza kwamba Kamati ya Serikali ya Majadiliano na Richmond ilikuwa tayari imekamilisha majadiliano, hivyo kupendekeza Serikali iiteue kampuni hiyo kwa lengola kuingia mkataba wa kuzalisha umeme na TANESCO.
Akinukuu sehemu ya barua hiyo, Dkt. Mwakyembe alisema: “Kamati ya Serikali ya Majadiliano (GNT), inayojumisha wataalamu kutoka Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Benki ya Tanzania (BoT) na TANESCO, ilifanya majadiliano na Richmond ya Marekani tangu Juni 8-16,” alisema akinukuu barua hiyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kutoka ukumbini, Bw. Lowassa alisema huo ndio uamuzi wake kwa sasa. Alipoulizwa itakuwaje kama Rais atakataa kujiuzulu kwake alisema: "Nitafikiria kwa wakati huo." Alipotakiwa kumtaja Waziri Mkuu mtarajiwa kutokana na kauli yake kwamba 'tatizo ni Waziri Mkuu,' alijibu kwa kifupi: "sijui".
Hata hivyo kujiuzulu kwa Waziri Mkuu kuliandika historia mpya ambapo mtu wa kwanza kumsalimia na kutoka naye nje ya eneo lake hadi karibu na mlango wa kutokea alikuwa ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Bw. Hamad Rashid Mohamed (CUF).
Habari zilizopatikana wakati tunakwenda mitamboni zilisema Rais Kikwete aliwakubalia viongozi hao maombi yao ya kujiuzulu na kwamba huenda leo Waziri Mkuu mpya akatangazwa.
kutoka: gazeti majira, 08.02.2008 0123 EAT
Na Waandishi Wetu, Dodoma
Richmond aibu! *Lowassa, Karamagi, Msabaha, Mwanyika, Hosea mh!
WINGU jeusi juu ya hatma ya Baraza la Mawaziri limetanda mkoani hapa baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya Kamati Teule ya Bunge, iliyochunguza mchakato wa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura ulioipa ushindi kampuni ya Richmond Development Company, kumhusisha moja kwa moja Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa.
Taarifa hiyo iliyosomwa bungeni jana asubuhi na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mbunge wa Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe (CCM), iliacha wingu hilo baada ya mapendekezo ya mwisho ya kamati hiyo kumtaka Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa kupima uzito wa yanayomuhusu na kufanya uamuzi wa 'busara'.
Weusi wa wingu hilo, ulizidi kuongezeka baada ya kikao cha Bunge
kuahirishwa jana asubuhi kwa ajili ya kutoa nafasi kwa wabunge kupitia na kutolewa taarifa kwa wabunge kwenda kumpokea Rais Jakaya Kikwete aliyetarajiwa kuwasili jana alasiri.
Wabunge hao kwa pamoja wanatakiwa kuhakikisha wameipitia, ili wawe tayari kuijadili kwa siku mbili mfululuzo, kuanzia leo asubuhi.
Taarifa ya kwenda kumpokea Rais Kikwete aliyeelezwa kuwa na kauli
ya mwisho kuhusu Baraza la Mawaziri, iliambatana na taarifa ya
kuwakumbusha wabunge wote wa CCM, kuhudhuria kikao maalumu
kilichotarajiwa kuanza saa mbili usiku.
Kikao hicho kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu na baadhi ya wabunge wa
CCM, kilielezewa kufanyika kwa ajili ya kuhoji wote waliotajwa katika ripoti hiyo.
Pamoja na ripoti hiyo kupendekeza baadhi ya mawaziri, akiwamo Waziri
wa Nishati na Madini, Bw. Nazir Karamagi, Waziri wa zamani wa wizara
hiyo ambaye ni Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Ibrahim
Msabaha, wachukuliwe hatua kali, kamati hiyo pia ilieleza kutofurahishwa na taarifa zilizomgusa Bw. Lowassa moja kwa moja.
Aidha Kamati hiyo ilipendekeza Bunge lililoidhinisha uteuzi wa Bw.
Lowassa, kuangalia athari za matokeo ya ripoti hiyo katika hadhi na
uzito wa Waziri Mkuu, katika utekelezaji wa shughuli za Serikali
bungeni.
Mapendekezo mengine ya kamati hiyo yalishabihiana na kauli ya hivi karibuni ya Rais Kikwete ya kuwataka viongozi kuchagua kati ya siasa na biashara.
Taarifa zilizomgusa Lowassa
Dkt. Mwakyembe alisema kamati yake ilipomhoji Dkt. Msabaha, alitoa
maelezo ya kiitifaki na mwishowe, akiwa nje ya kiapo, alisema "Mradi
huu ni wa Mkubwa, akimaanisha Bw. Lowassa na rafiki yake
kibiashara akimaanisha Mbunge wa Igunga, Bw. Rostam Aziz," Dkt.
Mwakyembe alinukuu kauli hiyo ya Bw. Msabaha bungeni huku baadhi ya
mawaziri wakibadilisha mikao kuonesha masikitiko.
"Mimi natolewa kafara tu," Bw. Mwakyembe aliendelea kunukuu sehemu ya
maneno hayo ya Dkt. Msabaha aliyomweleza nje ya kiapo na kuongeza
kuwa Waziri wa Nishati wa zamani, alitumia neno la kizaramo
'Bangusilo' lenye maana sawa na kondoo wa kafara.
Dkt. Mwakyembe alisema kiburi cha Wizara ya Nishati na Madini kukaidi
maagizo ya Baraza la Mawaziri na kukaidi ushauri wa wataalamu
mbalimbali wakiwamo Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kilitoka kwa Bw. Lowassa.
"Uamuzi wa Serikali kuizuia TANESCO kuvunja mkataba na kampuni hiyo
licha ya sababu zote kisheria kuwapo ni baadhi tu ya viashiria vya
nguvu kubwa, iliyo juu ya Wizara ya Nishati na Madini, kutumika katika
suala hili na hivyo, kamati teule kutokana na ushahidi wa kimaandishi,
kimazingira na wa mdomo, inaiona nguvu hiyo kuwa ni Waziri Mkuu,"
alisema Bw. Mwakyembe.
Vile vile Bw. Lowassa aliyelezewa kuhusika kwa karibu kuonesha upendeleo kwa kampuni hiyo ambayo Dkt. Mwakyembe aliita ya mfukoni na isiyokuwa na uzoefu hata wa kuweka balbu ya umeme kwenye kishikizo chake.
"Richmond Development Company LLC, imepewa zabuni ya umeme wa dharura
kutokana na maelekezo ya mara kwa mara ya Waziri Mkuu kwa Wizara ya Nishati na Madini katika kila hatua ya mchakato huo (Mchakato wa kumpata mkandarasi)," alisema Dkt. Mwakyembe.
Licha ya kuhusika katika mchakato huo, Bw. Mwakyembe alisema Bw.
Lowassa ndiye aliyefanya uteuzi wa mwisho wa kampuni hiyo.
"Uteuzi wa mwisho wa Richmond kuwa mkandarasi, ulifanywa na Waziri Mkuu mwenyewe tarehe 21 Juni 2006," alisema Bw. Mwakyembe.
Ushauri wa kamati kwa Lowassa, Bunge
Dkt. Mwakyembe alisema Kamati hiyo ilishindwa kumhoji Bw. Lowassa, kwa kuwa watu ambao wangeweza kutoa taarifa ambazo zingesaidia kuombwa kwa hati ya dharua ambao ni Bw. Karamagi na Dkt. Msabaha, walitoa ushahidi ambao haukuweza kusaidia kupatikana kwa hati hiyo.
"Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji,
utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi za Serikali, kamati
haikufurahishwa na taarifa zinazomgusa moja kwa moja katika kuipendelea Richmond," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Ni wajibu wake mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huu ndani na nje ya Bunge," alielezea Dkt. Mwakyembe, ambaye hata baada ya muda wake kwisha, wabunge waliamua kwa kauli moja kumwongezea nusu saa zaidi ya kuzungumza.
"Vilevile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake
kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito
wake ndani ya Bunge," aliendelea Dkt. Mwakyembe.
Wanaotakiwa kuchukuliwa hatua kali
"Kamati teule inapendekeza Waziri wa Nishati na Madini wa wakati huo, Dkt. Ibrahim Msabaha na Katibu Mkuu, Bw. Arthur Mwakapugi,
wachukuliwe hatu kali za kinidhamu kwa kuingiza Taifa kwa makusudi
kwenye mkataba na kampuni ya mfukoni ambao umesababisha hasara kubwa
kwa nchi," alisema Dkt. Mwakyembe.
Wengine waliotakiwa kuchukuliwa hatua ya kinidhamu ni Kamishna wa
Nishati, Bw. Bashir Mrindoko, kwa kushindwa kumshauri Katibu Mkuu mpya
wa Wizara kuhusu udhaifu wa kampuni hiyo.
Kutokana na matokeo ya taarifa ya uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kupotosha ukweli, Kamati hiyo pia
ilipendekeza uongozi wa juu wa taasisi hiyo ubadilishwe.
"Taarifa ya TAKUKURU, ililenga kuficha ukweli (White wash) hivyo
ikaishia kujikanganya kwa kukiri kuwapo upungufu, lakini yasiyokuwa na
athari. Taarifa hiyo iliondoa kwa kiasi kikubwa hadhi na heshima ya
chombo hiki muhimu cha kitaifa," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Kamati teule inapendekeza mabadiliko ya haraka ya uongozi wa taasisi
hiyo," alisema Dkt. Mwakyembe.
Wengine waliotakiwa kuwajibishwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw.
Johnson Mwanyika kwa kushindwa kutumia taaluma yake kuishauri
Serikali.
Kilichotokea
Dkt. Mwakyembe alisema pamoja na dharura iliyokuwa inalikabili Taifa,
Serikali ilikuwa kinara wa kuvunja taratibu, kanuni na sheria za
nchi.
"Kamati teule imeainisha katika taarifa hii vitendo vya ubabe, ujeuri
na kiburi vilivyofanywa na viongozi wa Nishati na Madini, ili mradi
kampuni waliyotaka iteuliwe, kiasi cha kupindisha hata uamuzi wa
Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Wizara ilikaidi ushauri wa kitaalamu wa Mamlaka ya Udhibiti wa
Ununuzi wa Umma mara tatu mfululuzo na kinyume na maagizo ya Baraza
la Mawaziri lililotaka Sheria ya Ununuzi wa Umma izingatiwe,"
alielezea Dkt. Mwakyembe.
Licha ya kupuuza sheria na agizo hilo, Dkt. Mwekyembe alisema wizara
hiyo pia ilipuuza vyombo vya ndani vya uamuzi vya TANESCO, ambavyo ni
Bodi ya Wakurugenzi na Bodi ya Zabuni.
"Waliilazimisha Bodi ya Menejimenti ya TANESCO, kuridhia uamuzi
uliofanywa na Wizara ya kuibeba Richmond, kinyume na sheria na taratibu," alisema Dkt. Mwakyembe.
"Ilifikia hatua ya kupotosha kwa makusudi ushauri wa Wizara ya Fedha
uliozuia malipo ya awali ya dola za Marekani milioni 10 (zaidi ya sh.
bilioni 10)," alielezea Dkt. Mwakyembe.
Maswali yaliyokosa majibu
Dkt. Mwakyembe alisema baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri cha
Februari 10, mwaka juzi kuagiza wataalamu kutoka wizara mbalimbali
kushungulikia suala la ununuzi, ukaguzi na mambo mengine kuhusu
mitambo ya kuzalisha umeme, siku hiyo hiyo Wizara ya Nishati na
Madini ilituma ujumbe unaopingana na agizo la Baraza la Mawaziri
kwenda kampuni mama ya Songas ya CDC Globeleg.
Pamoja na kufanya na kufikia hatua ambayo baadhi ya watu walilazimika
kuhojiwa zaidi ya mara moja, Dkt. Mwakyembe alisema baadhi ya maswali
hayajapata majibu.
Maswali ambayo majibu yake yalitarajiwa kupatikana kutoka kwa Dkt.
Msabaha na Bw. Mwakapugi bila mafanikio ni:
"Je, kulikuwa na kikao kingine cha Baraza la Mawaziri siku hiyo hiyo
ya Februari 10, mwaka juzi, kilichotengua uamuzi wake wa awali wa siku
hiyo?"
"Ikiwa jibu ni hapana, kwa nini wizara ilipeleka ujumbe kwenda CDC
Globeleq, ujumbe tofauti na ule ilioagizwa na Baraza la Mawaziri?"
kutoka: majira, 07.02.2008 0157 EAT
Na Waandishi Wetu, Dodoma
Richmondgate: ...Wabunge wachachamaa
Wabunge wametaka Baraza la Mawaziri lijiuzulu na viongozi waliohusika katika kashfa ya kampuni ya Richmond wafikishwa mahakamani na kufilisiwa mali walizojipatia kwa njia ya rushwa na ufisadi.
Waliyasema hayo bungeni jana wakati wakichangia ripoti ya Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza sakata la mkataba bomu wa Richmond ambayo ilipewa zabuni ya kuzalisha umeme.
Ripoti ya kamati hiyo ilisomwa bungeni juzi na Mwenyekiti wake, Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM), ambapo ilipendekeza mambo kadhaa ikiwataka mawaziri wa Nishati na Madini, Nazir Kamaragi na Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha kujiuzulu nyadhifa zao.
Aidha kamati hiyo ilipendekeza kuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa atumie busara kuamua jambo la kufanya. Wote hao jana walitangaza kujiuzulu baada ya kumwandikia Rais Jakaya Kikwete kusudio hilo.
Akichangia hoja hiyo, Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Bw. Christopher ole Sendeka (CCM) aliwataka viongozi waliohusika katika tuhuma hiyo kujiuzulu nyadhifa zao na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
``Tusiishie hapa tu wachunguzwe na kufilisiwa viongozi wote waliohusika kuanzia Mwanasheria Mkuu wa Serikali na uongozi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).``
Alisema inasikitisha TAKUKURU ilipotangaza kwamba mkataba wa Richmond uko safi na haukuwa na dalili yo yote ya rushwa wakati si kweli.
Alisema uandaliwe mpango wa mikataba kutokuwa siri ya Mawaziri na Makatibu Wakuu, bali ifikishwe bungeni na kujadiliwa ili kuwakwepa mafisadi kutumia dhamana waliyopewa kujinufaisha na kulitwisha taifa mzigo.
Aidha, aliwataka wote waliohusika katika kashfa hiyo kunyang`anywa kadi za uanachama wa CCM ili kukiondolea sifa mbaya chama hicho alichodai kinaaminiwa duniani.
Naye Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Bi. Anne Kilango Malecela alisema viongozi wa serikali waliokabidhiwa dhamana na heshima kubwa lakini wakafanya madudu, wameitia aibu serikali.
``Mheshimiwa spika, naomba nizungumzie hoja hii hata kama itanigharimu: Wenzetu wa serikali wanatutia aibu, yote yaliyozungumzwa na Kamati yana vithibitisho kuanzia Waziri Mkuu, Bw. Nazir Karamagi, Msabaha na hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali,`` alisema.
Alisema gharama kubwa inayolipwa na Tanesco kwa kampuni ya Richmond ndiyo inayopandisha gharama za umeme na kusababisha mzigo kwa wananchi.
``Waliotajwa kwenye kamati hii hawafai kabisa kuwa viongozi na wote wanatakiwa kujiuzulu kwa maslahi ya taifa kwa sababu ndiyo wanaosababisha maisha magumu kwa wananchi,`` alisema.
Alisema mambo yote yaliyoandikwa katika ripoti hiyo hayana utata na kwamba yana vielelezo vya kutosha vinavyowatia hatiani watuhumiwa.
Alilitaka bunge kubadilika na kutowaachia na kufanya kazi kwa pamoja bila kujali vyama.
``Tusiwaachie akina Kabwe tu kuwakosoa viongozi wabovu serikalini, bali tuungane bila kujali vyama na kulifanya bunge kuwa mtetezi mkubwa wa wananchi,`` alisema.
Aliwakumbusha wabunge kwamba wapo viongozi wa aina mbili; wale wanaokufa na kusahauliwa na wale ambao wakifa huendelea kuishi vichwani mwa watu.
Alisema viongozi wanaoendelea kuishi baada ya kufa ni wale wanaowatumikia wananchi na hivyo akawataka viongozi wote wajitahidi kuishi baada ya vifo vyao.
Kwa upande wake, Mbunge wa Karatu, Dk. Wilbroad Slaa (CHADEMA), alitaka Baraza zima la Mawaziri kujiuzulu kutokana na kashfa hiyo kwa sababu ya uwajibikaji wa pamoja.
Aidha alitaka Mwanasheria Mkuu awajibishwe kutokana na tuhuma hizo.
``Nataka Baraza la Mawaziri lijiuzulu kwa kuwa maagizo, maelezo na majadiliano ya baraza hilo hayawezi kuvunjwa na agizo la waziri mmoja au wawili,`` alisema.
Alisema katika mkataba huo kuna wingu kubwa la rushwa na akataka uchunguzi wa tuhuma hizo ufanywe na Jeshi la Polisi.
Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Bi. Anna Komu alisema kinachosababisha mfumko wa bei kila siku kunatokana na kupanda kwa gharama za mafuta na umeme.
``Maisha magumu yanayolalamikiwa na Watanzania hivi sasa yanasababishwa na viongozi hawa ambao siyo waaminifu, ``alisema kwa uchungu.
* SOURCE: Nipashe, 08 Feb 2008
By Waandishi Wetu
Waliyasema hayo bungeni jana wakati wakichangia ripoti ya Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza sakata la mkataba bomu wa Richmond ambayo ilipewa zabuni ya kuzalisha umeme.
Ripoti ya kamati hiyo ilisomwa bungeni juzi na Mwenyekiti wake, Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM), ambapo ilipendekeza mambo kadhaa ikiwataka mawaziri wa Nishati na Madini, Nazir Kamaragi na Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Ibrahim Msabaha kujiuzulu nyadhifa zao.
Aidha kamati hiyo ilipendekeza kuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa atumie busara kuamua jambo la kufanya. Wote hao jana walitangaza kujiuzulu baada ya kumwandikia Rais Jakaya Kikwete kusudio hilo.
Akichangia hoja hiyo, Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Bw. Christopher ole Sendeka (CCM) aliwataka viongozi waliohusika katika tuhuma hiyo kujiuzulu nyadhifa zao na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
``Tusiishie hapa tu wachunguzwe na kufilisiwa viongozi wote waliohusika kuanzia Mwanasheria Mkuu wa Serikali na uongozi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).``
Alisema inasikitisha TAKUKURU ilipotangaza kwamba mkataba wa Richmond uko safi na haukuwa na dalili yo yote ya rushwa wakati si kweli.
Alisema uandaliwe mpango wa mikataba kutokuwa siri ya Mawaziri na Makatibu Wakuu, bali ifikishwe bungeni na kujadiliwa ili kuwakwepa mafisadi kutumia dhamana waliyopewa kujinufaisha na kulitwisha taifa mzigo.
Aidha, aliwataka wote waliohusika katika kashfa hiyo kunyang`anywa kadi za uanachama wa CCM ili kukiondolea sifa mbaya chama hicho alichodai kinaaminiwa duniani.
Naye Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Bi. Anne Kilango Malecela alisema viongozi wa serikali waliokabidhiwa dhamana na heshima kubwa lakini wakafanya madudu, wameitia aibu serikali.
``Mheshimiwa spika, naomba nizungumzie hoja hii hata kama itanigharimu: Wenzetu wa serikali wanatutia aibu, yote yaliyozungumzwa na Kamati yana vithibitisho kuanzia Waziri Mkuu, Bw. Nazir Karamagi, Msabaha na hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali,`` alisema.
Alisema gharama kubwa inayolipwa na Tanesco kwa kampuni ya Richmond ndiyo inayopandisha gharama za umeme na kusababisha mzigo kwa wananchi.
``Waliotajwa kwenye kamati hii hawafai kabisa kuwa viongozi na wote wanatakiwa kujiuzulu kwa maslahi ya taifa kwa sababu ndiyo wanaosababisha maisha magumu kwa wananchi,`` alisema.
Alisema mambo yote yaliyoandikwa katika ripoti hiyo hayana utata na kwamba yana vielelezo vya kutosha vinavyowatia hatiani watuhumiwa.
Alilitaka bunge kubadilika na kutowaachia na kufanya kazi kwa pamoja bila kujali vyama.
``Tusiwaachie akina Kabwe tu kuwakosoa viongozi wabovu serikalini, bali tuungane bila kujali vyama na kulifanya bunge kuwa mtetezi mkubwa wa wananchi,`` alisema.
Aliwakumbusha wabunge kwamba wapo viongozi wa aina mbili; wale wanaokufa na kusahauliwa na wale ambao wakifa huendelea kuishi vichwani mwa watu.
Alisema viongozi wanaoendelea kuishi baada ya kufa ni wale wanaowatumikia wananchi na hivyo akawataka viongozi wote wajitahidi kuishi baada ya vifo vyao.
Kwa upande wake, Mbunge wa Karatu, Dk. Wilbroad Slaa (CHADEMA), alitaka Baraza zima la Mawaziri kujiuzulu kutokana na kashfa hiyo kwa sababu ya uwajibikaji wa pamoja.
Aidha alitaka Mwanasheria Mkuu awajibishwe kutokana na tuhuma hizo.
``Nataka Baraza la Mawaziri lijiuzulu kwa kuwa maagizo, maelezo na majadiliano ya baraza hilo hayawezi kuvunjwa na agizo la waziri mmoja au wawili,`` alisema.
Alisema katika mkataba huo kuna wingu kubwa la rushwa na akataka uchunguzi wa tuhuma hizo ufanywe na Jeshi la Polisi.
Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Bi. Anna Komu alisema kinachosababisha mfumko wa bei kila siku kunatokana na kupanda kwa gharama za mafuta na umeme.
``Maisha magumu yanayolalamikiwa na Watanzania hivi sasa yanasababishwa na viongozi hawa ambao siyo waaminifu, ``alisema kwa uchungu.
* SOURCE: Nipashe, 08 Feb 2008
By Waandishi Wetu
JK avunja Baraza la Mawaziri
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amelivunja Baraza la Mawaziri baada ya kukubali ombi la kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Mheshimiwa Edward Lowassa .
Kuvunjwa kwa baraza hilo kumekuja baada ya Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa pamoja na Mawaziri wawili kumwandikia barua za kujiuzulu.
Kujiuzulu kwa mawaziri hao kunafuatia kutajwa katika ripoti ya Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza uhalali wa mkataba wa kampuni hiyo.
Tukio hilo ni la kihistoria katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mawaziri waliojiuzulu ni Waziri wa Nishati na Madini Bw. Nazir Karamagi na Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Ibrahim Msabaha.
Bw. Lowassa anakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuwajibika kutokana na kuhusishwa na tuhuma za kuchanganya maslahi binafsi na madaraka ya umma.
Maamuzi hayo ya kiongozi mkuu wa shughuli za serikali bungeni na mtendaji mkuu wa serikali unaweka uhai wa Baraza la Mawaziri wa awamu ya nne kuwa kiganjani mwa Rais.
Akiwa na uso wa tabasamu tofauti na juzi, Bw. Lowassa jana alikuwa mtu wa kwanza kutoa hoja bungeni baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu na kutangaza kuwa amewasilisha waraka kwa Rais Jakaya Kikwete kuwa anaachia ngazi.
Alitoa tamko hilo akishuhudiwa na mkewe, Bi. Regina Lowassa, ambaye tangu kuanza kwa mkutano huo, jana ilikuwa mara yake ya kwanza kuonekana bungeni.
Bw. Lowassa alianza kwa kuipongeza kamati ya Bunge ya kuchunguza zabuni tata ya Richmond na `kumsifu` Mwenyekiti wake, Dk. Harrison Mwakyembe kwa ujasiri wa mbwembwe aliouonyesha wakati akiwasilisha ripoti hiyo.
Baadaye alisema kwa uchungu:``Sikuridhika hata kidogo na jinsi ambavyo kamati ilivyofanyakazi yake na hasa jinsi ambavyo haikunitendea haki.``
Mwakyembe ni mwansheria tena dokta. Alikuwa anafundisha wanafunzi vyuo kikuu.
Anafahamu maana ya natural justice... Sikufanyiwa natural justice, sikuulizwa ili nijitetee. Watu wote wameulizwa na kamati imekwenda mpaka Marekani kutafuta ushahidi lakini mimi niliyetuhumiwa sikusikilizwa.
Mimi niliyetuhumiwa hawakunihoji. Ofisi ya Bunge iko karibu na ofisi yangu hata kwa miguu ningeweza kwenda...``
``There is a wish I want to grant (kuna jambo nalazimishwa kutenda), nadhani ni uwaziri mkuu, nimetafakari sana ripoti hii, nimefikiri sana, nimejiuliza hivi kulikokoni mpaka watu wazima wafanye jambo kama hili?
Naona tatizo hapa ni uwaziri mkuu nimeona niachie ngazi... Nimemuandika Rais barua ya kuachia ngazi... Kuonyesha kutoridhika kwangu jinsi kamati teule ilivyofanya kazi,`` alisema na kushangaliwa kwa makofi mengi.
Alisema anaamini ingekuwa heshima kama maoni yake yangekuwemo katika ripoti hiyo.
Alisema: ``Taifa letu ni changa. Bungeni ndiko kuliko na demokrasia, sasa kama katika Bunge hili haki haitatendeka nchi haitakwenda vyema.``
Alilalamika: ``Nimefedheheka sana, nimeonewa sana , nimedhalilishwa sana: Sote tu wanasiasa, tukisliliza (na kufanyia kazi) minong`ono hakuna atakayesimimama,`` alisema.
Alimshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kumpa heshima ya kulitumikia taifa hili kwa kipindi cha miaka miwili pamoja na Bunge na viongozi wote alioshirikiana nao kwenye kipindi chake.
Akiendelea kuilalamikia kamati, alisema alitoa ushahidi wa maandishi kwa Spika lakini katika ripoti ya kamati hakuna kielelezo cha ushahidi kutoka kwake na kushangaa kuna majedwali mengi na pia taarifa za magazeti yakiwemo ya udaku.
Baada ya kutangaza kubwaga manyanga, kipaza sauti kilirudi kwa Spika, ambaye alishindwa la kufanya na kuomba ushauri kwa wabunge.
``Tamko ni zito hili waheshimiwa. Sikutegemea, sijui tufanyeje. Tuendelee au tusiendelee?``
Baada ya kuali hiyo, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), Kigoma Kaskazini, alitoa hoja: ``Kwa mujibu wa sheria ya nchi Waziri Mkuu ndiye kiongozi mkuu wa shughuli za serikali bungeni na mtendaji mkuu wa kazi serikali, tamko la Waziri Mkuu kumuomba Rais kujiuzulu linaamanisha kuwa hataba Baraza la Mawaziri limevunjika.``
Hata hivyo, Spika alisema kilichotokea ni Waziri Mkuu kuandika barua ya kuomba kujiuzulu lakini hajakubaliwa na Rais ama kukataa.
Baadaye aliliahirisha bunge hilo ambalo liliendelea tena jioni.
Akizungumza jioni hiyo wakati wa kuchangia hoja, Bw. Karamagi alisema ingawa aliingia katika wizara hiyo wakati mkataba huo umeshasainiwa, ameamua kujiuzulu ili kujenga imani kwa wananchi anaowatumikia.
Alisema ingawa alifahamu kuwa kampuni hiyo ni ya matapeli alihofia kusimamia kuvunja mkataba kwa sababu kampuni hiyo ingekimbilia mahakamani, kudai fidia kubwa na kuipotezea muda serikali.
Halikadhalika alisema yeye aliingia madarakani wakati mkataba wa Richmond umeshafikiwa na alijitahidi kadri alivyoweza kuhakikisha nchi inapata umeme.
Kwa upande wake, Dk. Msabaha alisema yeye ni mwadilifu lakini amefikia hatua hiyo ili kuiletea heshima serikali iendelee kuaminiwa na wananchi wake.
Alisema amekuwa akishirikiana kwa karibu na viongozi mbalimbali wa serikali na hata ndani ya Bunge.
``Kutajwa katika kamati kwamba mimi ni jeuri nisiyependa ushirikiano si jambo la kweli, kuna mambo mengi ya kweli lakini kuna mengine ambayo kamati imefanya bila kufanya uchunguzi,`` alisema.
Bw. Msabaha aliipongeza ripoti ya Kamati ya Bunge lakini akasema ilikuwa na mapungufu mawili matatu ambayo yanatakiwa kuboreshwa kwa ajili ya kumbukumbu za baadaye.
Mapema jana akihojiwa na waandishi wa habari itakuwaje kama Rais atakataa pendekezo lake la kujiuzulu, Bw. Lowassa alijibu: ``Kama atanikatalia nitajua la kufanya wakati huo.``
Katika hatua nyingine, mjumbe wa Kamati ya Bunge iliyochunguza kashfa hiyo, Bw. Lucas Selelii, alipinga hoja iliyotolewa mapema na Waziri Mkuu kwamba Kamati ilisema uongo bungeni na kutumia magazeti ya udaku kama kielelezo.
Alisema utafiti wao hauna mushkeli kwani umeambatana na vielelezo vya uhakika.
Aidha alisema hawakumuita Waziri Mkuu kumhoji kwa vile waliliridhika na vielelezo vyao.
Pia alisema huko nyuma Waziri Mkuu hakuitwa kwenye moja ya kamati kama hiyo na wala hakulalamika.
Wakati huo huo, Mwandishi Wetu Dar na Idda Mushi, PST Morogoro wanaripoti kwamba Jaji Mkuu wa Tanzania, Bw. Augustino Ramadhani amempongeza Waziri Mkuu Edward Lowassa kwa uamuzi wa kumwandikia barua ya kujiuzulu wadhifa wake, Rais Jakaya Kikwete.
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya saa 7:00 mchana jana ya Shirika la Utangazaji Tanzania, Jaji Ramadhani alitoa pongezi hizo kufuatia kauli ya Bw. Lowassa aliyoitoa bungeni jana kuelezea nia yake ya kujiuzulu.
Katika pongezi zake, Jaji Mkuu alisema kitendo cha alichoonyesha Bw. Lowassa hakijawahi kuchukuliwa na viongozi walio wengi katika Afrika.
Habari zilizopatikana kutoka Morogoro, zilisema jana kuwa wadau mbalimbali mkoani humo wametoa maoni tofauti juu ya hatua ya Bw. Lowassa kutangaza azma ya kujiuzulu.
Wakiongea na waandishi wa habari hizi kwa nyakati
tofauti mjini Morogoro jana, wadau hao walidai kuwa hatua hiyo ni ya kiungwana na inaliweka taifa katika mwelekeo wa kujali zaidi maslahi ya wananchi kuliko maslahi yao binafsi.
Baadhi ya wadau hao walisema kitendo Bw. Lowassa kutangaza kujiuzulu nafasi hiyo kinaonesha uzalendo wa hali ya juu na kusisitiza kuendelea kujadiliwa bungeni kwa hoja hiyo ya Richmond ili watu wengi zaidi wafahamu ukweli zaidi wa sakata hilo.
Mmoja wa wadau hao, Profesa Emmanuel Luoga ambaye ni Mhadhiri Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) alisema kuwa hatua ya Bw. Lowassa ni ya kiungwana na itaweza kutoa nafasi kwa bunge kuendelea kuijadili hoja iliyo mbele yao kwani ni vigumu kujadiliwa kwa upana wakati kiongozi huyo akiwa bado madarakani.
Wahadhiri wengine wa chuo hicho, Profesa Ephraim Senkondo na Profesa Haron Matei walisema hatua hiyo itatoa mwanya kwa viongozi wengine kujifunza na kukubali kuwajibika mapema ili kumaliza suala la ufisadi ambalo limekuwa likilalamikiwa sana na wananchi.
Alisema kilichofanyika tayari kimemwajibisha kiongozi huyo na kutoa nafasi kwa viongozi wengine wasioweza kutumikia taifa kwa uadilifu kuachia ngazi.
* SOURCE: Nipashe, 08 Feb 2008
By Waandishi Wetu
Cabinet dissolved
President Jakaya Mrisho Kikwete has dissolved the cabinet, a terse State House press release said yesterday. The move follows Premier Edward Lowassa`s resignation yesterday, which the President had accepted.
Earlier, Lowassa had told the National Assembly that he had tendered his resignation to the President, hardly a day after a damning report of a parliamentary select committee implicated him in the Richmond scandal.
Lowassa told the House that due to the fact that he had been linked to the allegations, he had asked the President to allow him to step down.
Findings of the select committee, formed last year to investigate circumstances which led the government to enter into a power generating contract with Richmond Development Company LLC in 2006, have implicated Lowassa as one of the architects of the controversial deal.
Announcing his decision yesterday, Lowassa said although the committee, under Kyela MP Harrison Mwakyembe, did not give him a chance to respond to charges that his office had violated the bidding process by awarding the tender to an American company; he had decided to step down for the sake of his party and the government.
``With great honour to my party (CCM), fellow ministers, members of parliament and the public, I have decided to tender my resignation to President Jakaya Kikwete.
I thank him for his confidence in my person, appointing me to this post and the cooperation he extended to me during the two years I served this nation as prime minister,`` said Lowassa.
Silence reigned in the House as the PM read his speech and accused the committee of violating principles of natural justice by condemning him unheard, despite the fact that the allegations leveled against him were serious.
``I would like to thank Dr. Harrison Mwakyembe for his presentation. Mwakyembe, a university lecturer in the department of law is aware of the law of natural justice, yet he refused to seek my response over the allegations,`` Lowassa said.
The report of the select committee, which implicated Lowassa and other high ranking officials, was presented to Parliament on Wednesday by Dr Mwakyembe and was supposed to be discussed by legislators for two days.
At the end of the morning session yesterday, the Speaker of the National Assembly Samuel Sitta, announced he already received names of 51 legislators who wanted to debate on the issue.
In a solemn mood, the Prime Minister sprang to his feet and approached the microphone which was positioned close to the Speaker`s podium.
``I am standing here in this House where we all gather to uphold good governance and democracy.
I want to put on record the way the select committee, comprising of credible members who travelled as far as the United States to seek evidence, but deliberately refused to call me for interrogation and instead passed judgement against me on the basis of gossip.
We are all politicians. If we are judged so unfairly, then who will be spared, and how will justice be dispensed to ordinary people?`` asked Lowassa.
He said his office was located hardly a walking distance from the Bunge offices, adding, ``I could have walked there if there was no vehicle to take me to the place for the questioning. Quite unfortunately, that did not happen. I am deeply humiliated and oppressed.``
In the presence of his wife Regina, who took her seat in the visitors` gallery - in clear and sharp voice— Lowassa said: ``There is a wish that I am going to grant. That is nothing other than resigning from my post of Prime Minister.``
As he returned to his seat, the Speaker said the Prime Minister’s statement had taken him by surprise. Sitta then sought for advice from fellow legislators on how to proceed.
Responding to the request, Chadema MP Zitto Kabwe said according to the country`s constitution, the Prime Minister represented the executive powers and was the head of government business in the House.
``If the Prime Minister has expressed his wish to resign, will the cabinet be allowed to remain intact while there is no Prime Minister to advise the President on government matters?,`` asked Zitto.
Sitta said President Kikwete was yet to communicate to him to confirm whether he had accepted Lowassa`s resignation, therefore Lowassa was still the PM.
CCM MP Wilson Masillingi called for patience among legislators while studying the unfolding situation before jumping to conclusions. ``Serious issues are always judged by patient people,`` he said.
He made the entire House burst into laughter when he said; ``For the first time in history, the Speaker is seeking advice from MPs. This shows how serious the matter is. We need time to contemplate on the situation because the Prime Minister, whose appointment we endorsed, has now tendered his resignation,`` suggested Masillingi.
Dr. Wilbrod Slaa (Chadema) said claims by the Prime minister that the select committee was unjust to him were unfounded as the committee had attached copies of official communication from his office instructing officials in the ministry of Energy and Minerals to disqualify other bidders and award the tender to Richmond Development Company LLC.
The committee`s report indicated that Richmond, which signed the contract with TANESCO on June 23, 2006 for generating 100 megawatts of electricity during power crisis in 2006, had no track record, lacked expertise and was financially incapacitated.
* SOURCE: Guardian, 08 Feb 2008
By Angel Navuri, Dodoma
...as Karamagi, Msabaha follow suit
Just hours after Prime Minister Edward Lowassa announced his intention to resign over the Richmond scandal, two cabinet ministers told the House yesterday evening that they were also following suit.
Minister for Energy and Minerals Nazir Karamagi and Minister for East African Cooperation Dr. Ibrahim Msabaha had also been implicated in the scandal.
Findings of the committee, formed last year to investigate circumstances which led the government enter into a power generating contract with Richmond Development Company LLC in 2006 indicated the two ministers among the key players who facilitated the costly but dubious transactions, which has cost the country billions of shillings.
Announcing his decision, Karamagi said he was transferred to the ministry of Energy in October 2006, six months after the contract had been sealed.
He, however, said by that time it was too late to terminate the contract as Richmond could have taken the government to court for breaching the agreement.
Karamagi said the government signed the agreement in god faith because the country was facing power problems.
However, he admitted that they later discovered that Richmond was not a genuine company.
Karamagi said he had formally requested President Kikwete to relieve him of his duties.
Dr Msabaha, who was the minister for Energy when the contract was signed, said Prime Minister Edward Lowassa had shown the way.
He said as principles of collective responsibility demanded that he should also step down to pay for mistakes that might have been made by his subordinates.
The probe team`s report was tabled in Parliament on Wednesday by Committee Chairman Harrison Mwakyembe.
It recommended a number of measures, including taking to task all those implicated in the scandal.
* SOURCE: Guardian, 08 Feb 2008
By Guardian Reporters
Kuvunjwa kwa baraza hilo kumekuja baada ya Waziri Mkuu, Bw. Edward Lowassa pamoja na Mawaziri wawili kumwandikia barua za kujiuzulu.
Kujiuzulu kwa mawaziri hao kunafuatia kutajwa katika ripoti ya Kamati Teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza uhalali wa mkataba wa kampuni hiyo.
Tukio hilo ni la kihistoria katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mawaziri waliojiuzulu ni Waziri wa Nishati na Madini Bw. Nazir Karamagi na Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Ibrahim Msabaha.
Bw. Lowassa anakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuwajibika kutokana na kuhusishwa na tuhuma za kuchanganya maslahi binafsi na madaraka ya umma.
Maamuzi hayo ya kiongozi mkuu wa shughuli za serikali bungeni na mtendaji mkuu wa serikali unaweka uhai wa Baraza la Mawaziri wa awamu ya nne kuwa kiganjani mwa Rais.
Akiwa na uso wa tabasamu tofauti na juzi, Bw. Lowassa jana alikuwa mtu wa kwanza kutoa hoja bungeni baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu na kutangaza kuwa amewasilisha waraka kwa Rais Jakaya Kikwete kuwa anaachia ngazi.
Alitoa tamko hilo akishuhudiwa na mkewe, Bi. Regina Lowassa, ambaye tangu kuanza kwa mkutano huo, jana ilikuwa mara yake ya kwanza kuonekana bungeni.
Bw. Lowassa alianza kwa kuipongeza kamati ya Bunge ya kuchunguza zabuni tata ya Richmond na `kumsifu` Mwenyekiti wake, Dk. Harrison Mwakyembe kwa ujasiri wa mbwembwe aliouonyesha wakati akiwasilisha ripoti hiyo.
Baadaye alisema kwa uchungu:``Sikuridhika hata kidogo na jinsi ambavyo kamati ilivyofanyakazi yake na hasa jinsi ambavyo haikunitendea haki.``
Mwakyembe ni mwansheria tena dokta. Alikuwa anafundisha wanafunzi vyuo kikuu.
Anafahamu maana ya natural justice... Sikufanyiwa natural justice, sikuulizwa ili nijitetee. Watu wote wameulizwa na kamati imekwenda mpaka Marekani kutafuta ushahidi lakini mimi niliyetuhumiwa sikusikilizwa.
Mimi niliyetuhumiwa hawakunihoji. Ofisi ya Bunge iko karibu na ofisi yangu hata kwa miguu ningeweza kwenda...``
``There is a wish I want to grant (kuna jambo nalazimishwa kutenda), nadhani ni uwaziri mkuu, nimetafakari sana ripoti hii, nimefikiri sana, nimejiuliza hivi kulikokoni mpaka watu wazima wafanye jambo kama hili?
Naona tatizo hapa ni uwaziri mkuu nimeona niachie ngazi... Nimemuandika Rais barua ya kuachia ngazi... Kuonyesha kutoridhika kwangu jinsi kamati teule ilivyofanya kazi,`` alisema na kushangaliwa kwa makofi mengi.
Alisema anaamini ingekuwa heshima kama maoni yake yangekuwemo katika ripoti hiyo.
Alisema: ``Taifa letu ni changa. Bungeni ndiko kuliko na demokrasia, sasa kama katika Bunge hili haki haitatendeka nchi haitakwenda vyema.``
Alilalamika: ``Nimefedheheka sana, nimeonewa sana , nimedhalilishwa sana: Sote tu wanasiasa, tukisliliza (na kufanyia kazi) minong`ono hakuna atakayesimimama,`` alisema.
Alimshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kumpa heshima ya kulitumikia taifa hili kwa kipindi cha miaka miwili pamoja na Bunge na viongozi wote alioshirikiana nao kwenye kipindi chake.
Akiendelea kuilalamikia kamati, alisema alitoa ushahidi wa maandishi kwa Spika lakini katika ripoti ya kamati hakuna kielelezo cha ushahidi kutoka kwake na kushangaa kuna majedwali mengi na pia taarifa za magazeti yakiwemo ya udaku.
Baada ya kutangaza kubwaga manyanga, kipaza sauti kilirudi kwa Spika, ambaye alishindwa la kufanya na kuomba ushauri kwa wabunge.
``Tamko ni zito hili waheshimiwa. Sikutegemea, sijui tufanyeje. Tuendelee au tusiendelee?``
Baada ya kuali hiyo, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), Kigoma Kaskazini, alitoa hoja: ``Kwa mujibu wa sheria ya nchi Waziri Mkuu ndiye kiongozi mkuu wa shughuli za serikali bungeni na mtendaji mkuu wa kazi serikali, tamko la Waziri Mkuu kumuomba Rais kujiuzulu linaamanisha kuwa hataba Baraza la Mawaziri limevunjika.``
Hata hivyo, Spika alisema kilichotokea ni Waziri Mkuu kuandika barua ya kuomba kujiuzulu lakini hajakubaliwa na Rais ama kukataa.
Baadaye aliliahirisha bunge hilo ambalo liliendelea tena jioni.
Akizungumza jioni hiyo wakati wa kuchangia hoja, Bw. Karamagi alisema ingawa aliingia katika wizara hiyo wakati mkataba huo umeshasainiwa, ameamua kujiuzulu ili kujenga imani kwa wananchi anaowatumikia.
Alisema ingawa alifahamu kuwa kampuni hiyo ni ya matapeli alihofia kusimamia kuvunja mkataba kwa sababu kampuni hiyo ingekimbilia mahakamani, kudai fidia kubwa na kuipotezea muda serikali.
Halikadhalika alisema yeye aliingia madarakani wakati mkataba wa Richmond umeshafikiwa na alijitahidi kadri alivyoweza kuhakikisha nchi inapata umeme.
Kwa upande wake, Dk. Msabaha alisema yeye ni mwadilifu lakini amefikia hatua hiyo ili kuiletea heshima serikali iendelee kuaminiwa na wananchi wake.
Alisema amekuwa akishirikiana kwa karibu na viongozi mbalimbali wa serikali na hata ndani ya Bunge.
``Kutajwa katika kamati kwamba mimi ni jeuri nisiyependa ushirikiano si jambo la kweli, kuna mambo mengi ya kweli lakini kuna mengine ambayo kamati imefanya bila kufanya uchunguzi,`` alisema.
Bw. Msabaha aliipongeza ripoti ya Kamati ya Bunge lakini akasema ilikuwa na mapungufu mawili matatu ambayo yanatakiwa kuboreshwa kwa ajili ya kumbukumbu za baadaye.
Mapema jana akihojiwa na waandishi wa habari itakuwaje kama Rais atakataa pendekezo lake la kujiuzulu, Bw. Lowassa alijibu: ``Kama atanikatalia nitajua la kufanya wakati huo.``
Katika hatua nyingine, mjumbe wa Kamati ya Bunge iliyochunguza kashfa hiyo, Bw. Lucas Selelii, alipinga hoja iliyotolewa mapema na Waziri Mkuu kwamba Kamati ilisema uongo bungeni na kutumia magazeti ya udaku kama kielelezo.
Alisema utafiti wao hauna mushkeli kwani umeambatana na vielelezo vya uhakika.
Aidha alisema hawakumuita Waziri Mkuu kumhoji kwa vile waliliridhika na vielelezo vyao.
Pia alisema huko nyuma Waziri Mkuu hakuitwa kwenye moja ya kamati kama hiyo na wala hakulalamika.
Wakati huo huo, Mwandishi Wetu Dar na Idda Mushi, PST Morogoro wanaripoti kwamba Jaji Mkuu wa Tanzania, Bw. Augustino Ramadhani amempongeza Waziri Mkuu Edward Lowassa kwa uamuzi wa kumwandikia barua ya kujiuzulu wadhifa wake, Rais Jakaya Kikwete.
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya saa 7:00 mchana jana ya Shirika la Utangazaji Tanzania, Jaji Ramadhani alitoa pongezi hizo kufuatia kauli ya Bw. Lowassa aliyoitoa bungeni jana kuelezea nia yake ya kujiuzulu.
Katika pongezi zake, Jaji Mkuu alisema kitendo cha alichoonyesha Bw. Lowassa hakijawahi kuchukuliwa na viongozi walio wengi katika Afrika.
Habari zilizopatikana kutoka Morogoro, zilisema jana kuwa wadau mbalimbali mkoani humo wametoa maoni tofauti juu ya hatua ya Bw. Lowassa kutangaza azma ya kujiuzulu.
Wakiongea na waandishi wa habari hizi kwa nyakati
tofauti mjini Morogoro jana, wadau hao walidai kuwa hatua hiyo ni ya kiungwana na inaliweka taifa katika mwelekeo wa kujali zaidi maslahi ya wananchi kuliko maslahi yao binafsi.
Baadhi ya wadau hao walisema kitendo Bw. Lowassa kutangaza kujiuzulu nafasi hiyo kinaonesha uzalendo wa hali ya juu na kusisitiza kuendelea kujadiliwa bungeni kwa hoja hiyo ya Richmond ili watu wengi zaidi wafahamu ukweli zaidi wa sakata hilo.
Mmoja wa wadau hao, Profesa Emmanuel Luoga ambaye ni Mhadhiri Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) alisema kuwa hatua ya Bw. Lowassa ni ya kiungwana na itaweza kutoa nafasi kwa bunge kuendelea kuijadili hoja iliyo mbele yao kwani ni vigumu kujadiliwa kwa upana wakati kiongozi huyo akiwa bado madarakani.
Wahadhiri wengine wa chuo hicho, Profesa Ephraim Senkondo na Profesa Haron Matei walisema hatua hiyo itatoa mwanya kwa viongozi wengine kujifunza na kukubali kuwajibika mapema ili kumaliza suala la ufisadi ambalo limekuwa likilalamikiwa sana na wananchi.
Alisema kilichofanyika tayari kimemwajibisha kiongozi huyo na kutoa nafasi kwa viongozi wengine wasioweza kutumikia taifa kwa uadilifu kuachia ngazi.
* SOURCE: Nipashe, 08 Feb 2008
By Waandishi Wetu
Cabinet dissolved
President Jakaya Mrisho Kikwete has dissolved the cabinet, a terse State House press release said yesterday. The move follows Premier Edward Lowassa`s resignation yesterday, which the President had accepted.
Earlier, Lowassa had told the National Assembly that he had tendered his resignation to the President, hardly a day after a damning report of a parliamentary select committee implicated him in the Richmond scandal.
Lowassa told the House that due to the fact that he had been linked to the allegations, he had asked the President to allow him to step down.
Findings of the select committee, formed last year to investigate circumstances which led the government to enter into a power generating contract with Richmond Development Company LLC in 2006, have implicated Lowassa as one of the architects of the controversial deal.
Announcing his decision yesterday, Lowassa said although the committee, under Kyela MP Harrison Mwakyembe, did not give him a chance to respond to charges that his office had violated the bidding process by awarding the tender to an American company; he had decided to step down for the sake of his party and the government.
``With great honour to my party (CCM), fellow ministers, members of parliament and the public, I have decided to tender my resignation to President Jakaya Kikwete.
I thank him for his confidence in my person, appointing me to this post and the cooperation he extended to me during the two years I served this nation as prime minister,`` said Lowassa.
Silence reigned in the House as the PM read his speech and accused the committee of violating principles of natural justice by condemning him unheard, despite the fact that the allegations leveled against him were serious.
``I would like to thank Dr. Harrison Mwakyembe for his presentation. Mwakyembe, a university lecturer in the department of law is aware of the law of natural justice, yet he refused to seek my response over the allegations,`` Lowassa said.
The report of the select committee, which implicated Lowassa and other high ranking officials, was presented to Parliament on Wednesday by Dr Mwakyembe and was supposed to be discussed by legislators for two days.
At the end of the morning session yesterday, the Speaker of the National Assembly Samuel Sitta, announced he already received names of 51 legislators who wanted to debate on the issue.
In a solemn mood, the Prime Minister sprang to his feet and approached the microphone which was positioned close to the Speaker`s podium.
``I am standing here in this House where we all gather to uphold good governance and democracy.
I want to put on record the way the select committee, comprising of credible members who travelled as far as the United States to seek evidence, but deliberately refused to call me for interrogation and instead passed judgement against me on the basis of gossip.
We are all politicians. If we are judged so unfairly, then who will be spared, and how will justice be dispensed to ordinary people?`` asked Lowassa.
He said his office was located hardly a walking distance from the Bunge offices, adding, ``I could have walked there if there was no vehicle to take me to the place for the questioning. Quite unfortunately, that did not happen. I am deeply humiliated and oppressed.``
In the presence of his wife Regina, who took her seat in the visitors` gallery - in clear and sharp voice— Lowassa said: ``There is a wish that I am going to grant. That is nothing other than resigning from my post of Prime Minister.``
As he returned to his seat, the Speaker said the Prime Minister’s statement had taken him by surprise. Sitta then sought for advice from fellow legislators on how to proceed.
Responding to the request, Chadema MP Zitto Kabwe said according to the country`s constitution, the Prime Minister represented the executive powers and was the head of government business in the House.
``If the Prime Minister has expressed his wish to resign, will the cabinet be allowed to remain intact while there is no Prime Minister to advise the President on government matters?,`` asked Zitto.
Sitta said President Kikwete was yet to communicate to him to confirm whether he had accepted Lowassa`s resignation, therefore Lowassa was still the PM.
CCM MP Wilson Masillingi called for patience among legislators while studying the unfolding situation before jumping to conclusions. ``Serious issues are always judged by patient people,`` he said.
He made the entire House burst into laughter when he said; ``For the first time in history, the Speaker is seeking advice from MPs. This shows how serious the matter is. We need time to contemplate on the situation because the Prime Minister, whose appointment we endorsed, has now tendered his resignation,`` suggested Masillingi.
Dr. Wilbrod Slaa (Chadema) said claims by the Prime minister that the select committee was unjust to him were unfounded as the committee had attached copies of official communication from his office instructing officials in the ministry of Energy and Minerals to disqualify other bidders and award the tender to Richmond Development Company LLC.
The committee`s report indicated that Richmond, which signed the contract with TANESCO on June 23, 2006 for generating 100 megawatts of electricity during power crisis in 2006, had no track record, lacked expertise and was financially incapacitated.
* SOURCE: Guardian, 08 Feb 2008
By Angel Navuri, Dodoma
...as Karamagi, Msabaha follow suit
Just hours after Prime Minister Edward Lowassa announced his intention to resign over the Richmond scandal, two cabinet ministers told the House yesterday evening that they were also following suit.
Minister for Energy and Minerals Nazir Karamagi and Minister for East African Cooperation Dr. Ibrahim Msabaha had also been implicated in the scandal.
Findings of the committee, formed last year to investigate circumstances which led the government enter into a power generating contract with Richmond Development Company LLC in 2006 indicated the two ministers among the key players who facilitated the costly but dubious transactions, which has cost the country billions of shillings.
Announcing his decision, Karamagi said he was transferred to the ministry of Energy in October 2006, six months after the contract had been sealed.
He, however, said by that time it was too late to terminate the contract as Richmond could have taken the government to court for breaching the agreement.
Karamagi said the government signed the agreement in god faith because the country was facing power problems.
However, he admitted that they later discovered that Richmond was not a genuine company.
Karamagi said he had formally requested President Kikwete to relieve him of his duties.
Dr Msabaha, who was the minister for Energy when the contract was signed, said Prime Minister Edward Lowassa had shown the way.
He said as principles of collective responsibility demanded that he should also step down to pay for mistakes that might have been made by his subordinates.
The probe team`s report was tabled in Parliament on Wednesday by Committee Chairman Harrison Mwakyembe.
It recommended a number of measures, including taking to task all those implicated in the scandal.
* SOURCE: Guardian, 08 Feb 2008
By Guardian Reporters
To win the titles 2007/08!
Here is a simple piece of advice to Manchester United on how they can win the remaining title races this year.
1. Left backs (Evra & co.) should be aggressive enough and be able to stop or block crosses; examples on both recent Tottenham H/spurs matches Man U conceded from defendable crosses.
2. Don't loose balls unnecessarily. examples Arsenal match this and last season, Man U conceded in this way.
3. More sources of goals (Rooney, Tevez, Saha, Giggs, Anderson, Hargreaves, Fletcher, Carrick). Don't leacve it to Ronaldo only!
All the best on Sunday vs. City!
1. Left backs (Evra & co.) should be aggressive enough and be able to stop or block crosses; examples on both recent Tottenham H/spurs matches Man U conceded from defendable crosses.
2. Don't loose balls unnecessarily. examples Arsenal match this and last season, Man U conceded in this way.
3. More sources of goals (Rooney, Tevez, Saha, Giggs, Anderson, Hargreaves, Fletcher, Carrick). Don't leacve it to Ronaldo only!
All the best on Sunday vs. City!
Richmondgate: Ripoti yasomwa Bungeni
Kamati yawahusisha Waziri Mkuu, mawaziri Kashfa ya Richmond
* Richmond ni ujasiri wa kifisadi
* Zabuni ilitolewa kwa shinizo
* Uongozi wa Takukuru kitanzini
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
Mwananchi
KAMATI Teule ya Bunge ya Kuchunguza Mchakato wa Zabuni ya Uzalishaji Umeme wa Dharura imependekeza kuwa viongozi wote waliosimamia na kuhakikisha kuwa Kampuni ya Richmond Development LLC inashinda zabuni hiyo wawajibishwe.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo bungeni jana, Mwenyekiti wake, Dk Harrison Mwakyembe, alisema wamebaini na kuridhika ukiukaji mkubwa wa taratibu na sheria za nchi.
Dk Mwakyembe alisema, kamati imeona mawasiliano ya karibu kati ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Waziri wa Nishati na Madini wa zamani, Dk Ibrahim Msabaha na wa sasa, Nazir Karamag, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Arthur Mwakapungi katika hatua mbalimbali za zabuni hiyo, lakini hawakukiri kutumwa au kuagizwa kubeba kampuni hiyo ya Marekani na kwamba, kwa mfumo wa uongozi na utawala bora wanawajibika wenyewe.
Baada ya uchunguzi wake na kubaini mianya inayoashiria rushwa, kamati imependekeza wahusika kuwajibishwa na mamlaka husika, huku Waziri Mkuu akitakiwa kupima uzito wa suala hilo kwa kuamua kuwajibika mwenyewe au bunge kumwajibisha.
Alisema uhuru mkubwa ambao viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini waliutumia bila wasiwasi kuhakikisha kampuni waliyotaka inapewa zabuni ya umeme unoanyesha kuwa ulitokana na maelekezo ya mara kwa mara waliyopata kutoka kwa Waziri Mkuu katika kila hatua ya mchakato huo.
Aliendelea kuwa, upendeleo wa dhahiri ambao Richmond ilipata kutoka taasisi mbalimbali za serikali ni kama Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kilifikia hatua ya kufumbia macho baadhi ya taratibu zake za msingi ili kuipa kampuni tanzu ya Richmond Development Company LLC cheti cha uwekezaji haraka iwezekanavyo bila kutimiza masharti ya Bodi za Makandarasi na Wahandisi na Wizara ya Nishati na Madini kuikingia kifua kampuni hiyo isichukuliwe hatua za kisheria.
Lowassa amehusishwa na upendeleo wa kampuni hiyo kutokana na barua yake Juni 21, 2006 akiagiza kuwa Richmond ipewe zabuni hiyo na kwamba.
Mwenyekiti wa kamati hiyo alisema, Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za serikali na ndiye kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni.
Alisema kamati haikufurahishwa na taarifa zinazomgusa moja kwa moja Lowassa katika kupendelea Kampuni ya Richmond Development na kwamba, kamati imetimiza wajibu wake kwa uwazi na ukweli kama ilivyoagizwa na Bunge.
"Kwa kuzingatia umuhimu wa nafasi aliyonayo Waziri Mkuu katika uendeshaji wa shughuli za serikali na uongozi wa nchi kwa ujumla, ni wajibu wake yeye mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huu na wajibu wake kikatiba ndani na nje ya Bunge," alisema na kuongeza:
"Vile vile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake kwa mujibu wa Ibara ya 51 inayothibitisha uteuzi wake kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito wake ndani ya Bunge."
Wengine waliopendekezwa kuwajibishwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, aliyeshabikia na kuingilia uhuishaji wa mkataba huo ambao ulikuwa tayari umekoma, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Msabaha ambaye alikuwa waziri katika wizara hiyo kabla ya kuhamishwa.
Hata hivyo, Dk Mwakyembe alisema, Dk Msabaha akiwa nje ya kiapo alieleza kamati kwamba, yeye ni mbuzi wa kafara kwa sababu biashara hiyo ilikuwa ya Lowassa na mshirika wake, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.
Viongozi wengine ambao wamehusihwa na tuhuma hizo za kuingiza taifa kwenye mkataba na kampuni ya mfukoni na kusababisha hasara kwa nchi.
Maafisa wa wizara hiyo waliopendekezwa kuwajibishwa ni Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, Arthur Mwakapugi na Kamishna wa Nishati, Bashir Mrindoko.
Mrindoko anadaiwa kushindwa kumshauri Katibu Mkuu mpya wa Wizara kuhusu udhaifu wa Richmond Development ambao ulijulikana na wizara hiyo tangu mwaka 2004 kwenye Mkataba wa bomba la mafuta.
Rungu la uwajibika ambalo linashikiliwa na Rais Jakaya Kikwete pia, limeelekezwa kuangukia Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) kutokana na taarifa yake kuwa taifa halikupata hasara kutokana na mkataba huo.
"Taarifa hiyo imemong’oa kwa kiasi kikubwa hadhi na heshima ya chombo hiki muhimu cha kitaifa kilichopewa dhamana na rushwa na sio kuipamba, ili kurejesha heshima ya umma katika taasisi hiyo, Kamati teule inapendekeza yafanyike mabadiliko ya haraka ya uongozi wa taasisi hiyo," alisema.
Wengine wanatatakiwa kuwajibishwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika ambaye katika majadiliano yake na Kamati Teule alionyesha kutoelewa kabisa kilichokuwa kinatendeka na wasaidizi wake na mwakilishi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Wakili wa Serikali, Donald Chidowu ambaye ushiriki wake katika GNT haukuwa na tija yeyote, hivyo kuchangia kuingiza nchi katika mkataba wa aibu.
Kamati Teule imeanisha katika taarifa hiyo vitendo vya ubabe, ujeuri na kiburi vilivyofanywa na viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini alimradi kampuni waliyotaka iteuliwe kiasi cha kupindisha hata maamuzi ya Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote.
Dk Mwakyembe alisema, wengine wanaotakiwa kuwajibishwa ni wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Tanesco ambao walishindwa kuzuia shinikizo kutoka uongozi wa juu.
Naye Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, ametakiwa kuendesha uchunguzi na kubaini wakurugenzi waliohusika kwenye malipo ya kampuni hiyo na kuwachukulia hatua za nidhamu.
source: jambo-forum(jf)
* Richmond ni ujasiri wa kifisadi
* Zabuni ilitolewa kwa shinizo
* Uongozi wa Takukuru kitanzini
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
Mwananchi
KAMATI Teule ya Bunge ya Kuchunguza Mchakato wa Zabuni ya Uzalishaji Umeme wa Dharura imependekeza kuwa viongozi wote waliosimamia na kuhakikisha kuwa Kampuni ya Richmond Development LLC inashinda zabuni hiyo wawajibishwe.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo bungeni jana, Mwenyekiti wake, Dk Harrison Mwakyembe, alisema wamebaini na kuridhika ukiukaji mkubwa wa taratibu na sheria za nchi.
Dk Mwakyembe alisema, kamati imeona mawasiliano ya karibu kati ya Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Waziri wa Nishati na Madini wa zamani, Dk Ibrahim Msabaha na wa sasa, Nazir Karamag, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Arthur Mwakapungi katika hatua mbalimbali za zabuni hiyo, lakini hawakukiri kutumwa au kuagizwa kubeba kampuni hiyo ya Marekani na kwamba, kwa mfumo wa uongozi na utawala bora wanawajibika wenyewe.
Baada ya uchunguzi wake na kubaini mianya inayoashiria rushwa, kamati imependekeza wahusika kuwajibishwa na mamlaka husika, huku Waziri Mkuu akitakiwa kupima uzito wa suala hilo kwa kuamua kuwajibika mwenyewe au bunge kumwajibisha.
Alisema uhuru mkubwa ambao viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini waliutumia bila wasiwasi kuhakikisha kampuni waliyotaka inapewa zabuni ya umeme unoanyesha kuwa ulitokana na maelekezo ya mara kwa mara waliyopata kutoka kwa Waziri Mkuu katika kila hatua ya mchakato huo.
Aliendelea kuwa, upendeleo wa dhahiri ambao Richmond ilipata kutoka taasisi mbalimbali za serikali ni kama Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kilifikia hatua ya kufumbia macho baadhi ya taratibu zake za msingi ili kuipa kampuni tanzu ya Richmond Development Company LLC cheti cha uwekezaji haraka iwezekanavyo bila kutimiza masharti ya Bodi za Makandarasi na Wahandisi na Wizara ya Nishati na Madini kuikingia kifua kampuni hiyo isichukuliwe hatua za kisheria.
Lowassa amehusishwa na upendeleo wa kampuni hiyo kutokana na barua yake Juni 21, 2006 akiagiza kuwa Richmond ipewe zabuni hiyo na kwamba.
Mwenyekiti wa kamati hiyo alisema, Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za serikali na ndiye kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni.
Alisema kamati haikufurahishwa na taarifa zinazomgusa moja kwa moja Lowassa katika kupendelea Kampuni ya Richmond Development na kwamba, kamati imetimiza wajibu wake kwa uwazi na ukweli kama ilivyoagizwa na Bunge.
"Kwa kuzingatia umuhimu wa nafasi aliyonayo Waziri Mkuu katika uendeshaji wa shughuli za serikali na uongozi wa nchi kwa ujumla, ni wajibu wake yeye mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huu na wajibu wake kikatiba ndani na nje ya Bunge," alisema na kuongeza:
"Vile vile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake kwa mujibu wa Ibara ya 51 inayothibitisha uteuzi wake kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito wake ndani ya Bunge."
Wengine waliopendekezwa kuwajibishwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, aliyeshabikia na kuingilia uhuishaji wa mkataba huo ambao ulikuwa tayari umekoma, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Msabaha ambaye alikuwa waziri katika wizara hiyo kabla ya kuhamishwa.
Hata hivyo, Dk Mwakyembe alisema, Dk Msabaha akiwa nje ya kiapo alieleza kamati kwamba, yeye ni mbuzi wa kafara kwa sababu biashara hiyo ilikuwa ya Lowassa na mshirika wake, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.
Viongozi wengine ambao wamehusihwa na tuhuma hizo za kuingiza taifa kwenye mkataba na kampuni ya mfukoni na kusababisha hasara kwa nchi.
Maafisa wa wizara hiyo waliopendekezwa kuwajibishwa ni Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, Arthur Mwakapugi na Kamishna wa Nishati, Bashir Mrindoko.
Mrindoko anadaiwa kushindwa kumshauri Katibu Mkuu mpya wa Wizara kuhusu udhaifu wa Richmond Development ambao ulijulikana na wizara hiyo tangu mwaka 2004 kwenye Mkataba wa bomba la mafuta.
Rungu la uwajibika ambalo linashikiliwa na Rais Jakaya Kikwete pia, limeelekezwa kuangukia Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) kutokana na taarifa yake kuwa taifa halikupata hasara kutokana na mkataba huo.
"Taarifa hiyo imemong’oa kwa kiasi kikubwa hadhi na heshima ya chombo hiki muhimu cha kitaifa kilichopewa dhamana na rushwa na sio kuipamba, ili kurejesha heshima ya umma katika taasisi hiyo, Kamati teule inapendekeza yafanyike mabadiliko ya haraka ya uongozi wa taasisi hiyo," alisema.
Wengine wanatatakiwa kuwajibishwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika ambaye katika majadiliano yake na Kamati Teule alionyesha kutoelewa kabisa kilichokuwa kinatendeka na wasaidizi wake na mwakilishi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Wakili wa Serikali, Donald Chidowu ambaye ushiriki wake katika GNT haukuwa na tija yeyote, hivyo kuchangia kuingiza nchi katika mkataba wa aibu.
Kamati Teule imeanisha katika taarifa hiyo vitendo vya ubabe, ujeuri na kiburi vilivyofanywa na viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini alimradi kampuni waliyotaka iteuliwe kiasi cha kupindisha hata maamuzi ya Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote.
Dk Mwakyembe alisema, wengine wanaotakiwa kuwajibishwa ni wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Tanesco ambao walishindwa kuzuia shinikizo kutoka uongozi wa juu.
Naye Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu, ametakiwa kuendesha uchunguzi na kubaini wakurugenzi waliohusika kwenye malipo ya kampuni hiyo na kuwachukulia hatua za nidhamu.
source: jambo-forum(jf)
Subscribe to:
Posts (Atom)