April 2009: Manchester United v. .....
05 Apr Barclays Premier League Aston Villa H 16:00 W 3-2 Ronaldo(2), Macheda
07 Apr UEFA Champions League FC Porto H 19:45 D 2-2 Rooney, Tevez
11 Apr Barclays Premier League Sunderland A 15:00 W 2-1 Scholes, Macheda
15 Apr UEFA Champions League FC Porto A 19:45 W 1-0 Ronaldo
19 Apr FA Cup Everton A 16:00 D 0-0 (AET); Everton win on pens. 4-2
22 Apr Barclays Premier League Portsmouth H 20:00 W 2-0 Rooney, Carrick
25 Apr Barclays Premier League Tottenham H 17:30 W 5-2 Ronaldo(2)*, Rooney(2), Berbatov
29 Apr UEFA Champions League Arsenal H 19:45 W 1-0 John O'shea
*scored 1 penalty.
Thursday, 30 April 2009
Tuesday, 28 April 2009
45th Anniversary of the Union (26th April)
On Sunday April 26, 2009 the United Republic of Tanzania marked the 45th anniversary of the Union between Tanganyika and Zanzibar.
First leaders of two countries, the late Mwalimu Julius Nyerere of Tanganyika and late Abedi Amani Karume of Zanzibar, signed the contract of the Union on behalf of their respective countries and people.
Today all of us are proud to be called Tanzanians irrespective which side of the union we come from; we are one people, one country!
First leaders of two countries, the late Mwalimu Julius Nyerere of Tanganyika and late Abedi Amani Karume of Zanzibar, signed the contract of the Union on behalf of their respective countries and people.
Today all of us are proud to be called Tanzanians irrespective which side of the union we come from; we are one people, one country!
Friday, 24 April 2009
HQ wilaya ya Rorya: Rais kakosea?
Jana nimesoma gazeti kuwa Rasi Jakaya Kikwete amekata mzizi wa fitina kwa kuchagua kijiji fulani kuwa makao makuu ya wilaya ya Rorya.
Ktk enzi hizi za demokrasia sio vizuri kwa mkuu wa nchi kuchagulia wananchi ni wapi pawe makao makuu yao. Serikali ilifanya uamuzi mzuri wa kuunda wilaya mpya ya Rorya, ila sidhani kuwa ni busara tena kuwachagulia wana-Rorya makao yao makuu.
Kama kulikuwepo mgogoro kuhusu ni wapi yawe makao makuu, basi ingeundwa tume huru ya wataalamu (tawala za mikoa) ili ichunguze na kuainisha eneo muafaka kwa ajili ya makao makuu ya wilaya halafu tume ingetoa mapendekezo kwa waziri mkuu ambaye wizara ya tawala za mikoa iko chini yake.
Ni kwa kuzingatia mapendekezo ya tume pekee ndipo serikali ingetoa tamko husika lakini sio kwa Rais mwenyewe kuingilia. Kuna mabo mengi sana nchini ambayo hayajapatiwa ufumbuzi miaka nenda rudi, mbona Rais hajayatolea tamko?
Inawezekana kabisa hapo alipopendekeza Rais ndipo panafaa, ila tatizo ni kuwa ameingilia. Ni vizuri nchi iendeshwe kwa misingi hai ya demokrasia na utawala wa sheria. Siamini kuwa hili tatizo liliwashinda madiwani, wataalamu -tawala za mikoa na waziri husika hadi ofisi ya waziri mkuu.
Nina imani kama kuna wana-Rorya ambao hawakufurahia agizo la Rais wanaweza kutumia haki yao kisheria na kikatiba kwenda mahakamani kudai kupitiwa upya utaratibu uliotumika kuamua jina la makao makuu.
Ipo miji kama Ochuna, Kowaki na Shirati ambayo imeshajengeka na ni rahisi kuogezea ofisi za makao makuu ya wilaya. Kijiji alichochagua Rais hakina huduma nyingi, na itakuwa gharama sana kukinyayua hadi kufikia hadhi ya makao makuu. Tusisahau ya Dodoma, tangu pawe makao makuu ya nchi mwaka 1973 hadi leo wazito wanaishi Dar (nyumba walijengewa lakini hawataki kuhamia!), wanaenda na tu kuhudhuria vikao vya chama au bunge na kurudi Dar, sembuse kule Rorya!
Ktk enzi hizi za demokrasia sio vizuri kwa mkuu wa nchi kuchagulia wananchi ni wapi pawe makao makuu yao. Serikali ilifanya uamuzi mzuri wa kuunda wilaya mpya ya Rorya, ila sidhani kuwa ni busara tena kuwachagulia wana-Rorya makao yao makuu.
Kama kulikuwepo mgogoro kuhusu ni wapi yawe makao makuu, basi ingeundwa tume huru ya wataalamu (tawala za mikoa) ili ichunguze na kuainisha eneo muafaka kwa ajili ya makao makuu ya wilaya halafu tume ingetoa mapendekezo kwa waziri mkuu ambaye wizara ya tawala za mikoa iko chini yake.
Ni kwa kuzingatia mapendekezo ya tume pekee ndipo serikali ingetoa tamko husika lakini sio kwa Rais mwenyewe kuingilia. Kuna mabo mengi sana nchini ambayo hayajapatiwa ufumbuzi miaka nenda rudi, mbona Rais hajayatolea tamko?
Inawezekana kabisa hapo alipopendekeza Rais ndipo panafaa, ila tatizo ni kuwa ameingilia. Ni vizuri nchi iendeshwe kwa misingi hai ya demokrasia na utawala wa sheria. Siamini kuwa hili tatizo liliwashinda madiwani, wataalamu -tawala za mikoa na waziri husika hadi ofisi ya waziri mkuu.
Nina imani kama kuna wana-Rorya ambao hawakufurahia agizo la Rais wanaweza kutumia haki yao kisheria na kikatiba kwenda mahakamani kudai kupitiwa upya utaratibu uliotumika kuamua jina la makao makuu.
Ipo miji kama Ochuna, Kowaki na Shirati ambayo imeshajengeka na ni rahisi kuogezea ofisi za makao makuu ya wilaya. Kijiji alichochagua Rais hakina huduma nyingi, na itakuwa gharama sana kukinyayua hadi kufikia hadhi ya makao makuu. Tusisahau ya Dodoma, tangu pawe makao makuu ya nchi mwaka 1973 hadi leo wazito wanaishi Dar (nyumba walijengewa lakini hawataki kuhamia!), wanaenda na tu kuhudhuria vikao vya chama au bunge na kurudi Dar, sembuse kule Rorya!
Enough is enough: Reginald shows the way
IPP Limited Executive Chairman Reginald Mengi:
``Our country is currently facing a huge problem of corruption and is troubled by the fact that the people involved in acts of corruption do not what to be touched.
``The great efforts of His Excellency the President to hasten economic development and better living for every Tanzanian are weakened by the horrendous theft of national resources.
A great majority of Tanzanians still face extreme poverty; they are unable to determine where the one meal a day is going to come from.
``I would like to conclude by saying that all corrupt people and especially those who are being accused of notorious corruption must be dealt with conclusively, otherwise they will rock the stability of our nation. We must realise that we have now reached the stage when we must say enough is enough.``
SOURCE: Guardian, 2009-04-24 12:52:23
By Patrick Kisembo
``Our country is currently facing a huge problem of corruption and is troubled by the fact that the people involved in acts of corruption do not what to be touched.
``The great efforts of His Excellency the President to hasten economic development and better living for every Tanzanian are weakened by the horrendous theft of national resources.
A great majority of Tanzanians still face extreme poverty; they are unable to determine where the one meal a day is going to come from.
``I would like to conclude by saying that all corrupt people and especially those who are being accused of notorious corruption must be dealt with conclusively, otherwise they will rock the stability of our nation. We must realise that we have now reached the stage when we must say enough is enough.``
SOURCE: Guardian, 2009-04-24 12:52:23
By Patrick Kisembo
Thursday, 23 April 2009
reading, uk: radio stations and media (print)
Thu. 23/04/2009
here in reading, listerners can get news, information, views, analysis, music etc. via reading based radio (fm/am) stations, namely:
1. bbc radio berkshire (from caversham studios),
2. heart (formerly 2-ten fm) -from bath road,
3. 107 fm from madejski stadium,
4. gold
5. absolute radio (formerly virgin)
local newspapers include:
1. reading chronicle (on thurs., 60p), midweek (free, on weds.) (published by berkshire media group), weeklies.
2. reading post (published by surrey ...), monday-friday (40p, free on weds.)
here in reading, listerners can get news, information, views, analysis, music etc. via reading based radio (fm/am) stations, namely:
1. bbc radio berkshire (from caversham studios),
2. heart (formerly 2-ten fm) -from bath road,
3. 107 fm from madejski stadium,
4. gold
5. absolute radio (formerly virgin)
local newspapers include:
1. reading chronicle (on thurs., 60p), midweek (free, on weds.) (published by berkshire media group), weeklies.
2. reading post (published by surrey ...), monday-friday (40p, free on weds.)
Tuesday, 21 April 2009
Madawa ya kukuza miili (misuli) yanaua
Tuesday, 21/04/2009
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia jana asubuhi hospitalini alipokuwa amelazwa kutokana na 'side effects' za madawa ya kutunisha misuli (body building) aina ya 'steroids'.
Kwa mujibu wa gazeti la leo la Daily Mirror, wazazi wa kijana huyo wamesema kuwa kifo cha mtoto wao kilisababishwa na kuvimba ubongo na hatimae kupoteza fahamu (ubongo ulikufa) kutokana na kuzidiwa na madawa hayo ambayo aliyanunua kienyeji. Kijana huyo alikunywa dawa hizo ili ajenge misuli na hatimae afaulu usaili wa kujiunga na jeshi nchini Uingereza.
Watu waliomuuzia dawa hizo marehemu wamekamatwa na polisi na kusailiwa na kisha kuachiwa kwa dhamana.
Wazazi wa marehemu wameomba kuwa kifo cha mwanao kiwe funzo kwa wengine wenye tabia kama hiyo - na wamewataka vijana kuachana na madawa hayo ili yasije yakawakuta yaliyomkuta kijana wao mpendwa!
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia jana asubuhi hospitalini alipokuwa amelazwa kutokana na 'side effects' za madawa ya kutunisha misuli (body building) aina ya 'steroids'.
Kwa mujibu wa gazeti la leo la Daily Mirror, wazazi wa kijana huyo wamesema kuwa kifo cha mtoto wao kilisababishwa na kuvimba ubongo na hatimae kupoteza fahamu (ubongo ulikufa) kutokana na kuzidiwa na madawa hayo ambayo aliyanunua kienyeji. Kijana huyo alikunywa dawa hizo ili ajenge misuli na hatimae afaulu usaili wa kujiunga na jeshi nchini Uingereza.
Watu waliomuuzia dawa hizo marehemu wamekamatwa na polisi na kusailiwa na kisha kuachiwa kwa dhamana.
Wazazi wa marehemu wameomba kuwa kifo cha mwanao kiwe funzo kwa wengine wenye tabia kama hiyo - na wamewataka vijana kuachana na madawa hayo ili yasije yakawakuta yaliyomkuta kijana wao mpendwa!
Subscribe to:
Posts (Atom)