Wednesday, 27 April 2011

Tofauti ni nini?

Kuna kipindi unaomba contacts za watu, unawatafuta sana!

Kuna wakati watu wanakuomba contact yako, wanakutafuta sana!

(Can you spot the difference?)

Wednesday, 13 April 2011

'Chagua KIKWETE'

Tukuyu, Agosti 31, 2010
Ilikuwa ktk tafrija ya birthday ya rafiki yangu Fujii kutoka Japani wakati harakati za kampeni uchaguzi mkuu zimepamba moto. Tafrija hiyo ilifanyika ktk mgahawa ulio opposite na ofisi ya ccm wilaya.
Fujii akaona bango la kampeni limeandikwa 'Chagua Kikwete' likiwa na picha ya JK!

Akaniuliza;
'so "Kikwete" is his surname?',

nikamjibu yes.

Akauliza tena, 'and "Chagua" is his first name?'

(sina mbavu!! Nilicheka kwa kweli kabla sijamuelemisha. Hii ndo Lugha Yetu ya Taifa!)

Tuesday, 25 January 2011

New Born

It must be good news!!!!
An enterprise with branches in Dar es Salaam and Mbeya (Tanzania)has been inaugurated.

I thought that it's high time now to throw myself into the sea of entrepreneurship. It is somehow a gamble but who knows ....!

Please do not forget to include this one in your Prayers!


E. M. Raphael,
EDISONS (TM)

Friday, 31 December 2010

Happy Birthday Sir Alex!

I wish you a Happy Birthday (today), Sir Alex Ferguson!!!!

Saturday, 4 September 2010

What Others Say About My Blog: A Big 'THANK YOU!'

"I have been visiting various blogs for my term papers writing research. I have found your blog to be quite useful.
Keep updating your blog with valuable information... Regards"

Thursday, 29 July 2010

Bongo in 3D!!!!!

Hivi karibuni (miezi kadhaa hivi iliyopita) nilienda Mwanjelwa jijini Mbeya kutafuta/kununua tv. Baada ya kupitapita nikafika duka moja na nikaipenda tv moja aina ya hitachi. nikaomba waniletee mpya (siyo ya display window). Jamaa mwenye duka akaleta moja ya hitachi. Tatizo likawa hiyo tv iko ktk box la tv aina ya Ouling(?) -made in China na remote yake haikuwa na nembo/brand ya hitachi. Nikaikataa tv na kuondoka!
Kesho yake nikaamkia mji wa Tunduma mpakani na Zambia. Nikaingia duka moja linaloaminika mji mzima. Baada ya kupitisha macho huku na huko nikapendezewa na tv aina ya philips. Nikaiagiza waniletee. Nikasubiri wakaichukue 'stoo' na baada ya kama nusu saa baadae ndo mtu akaibuka nayo!
1. ilikuwa ktk box la tv aina ya ouling - made in China!!!
2. ikawekwa mezani - testing time (nayo pia ilikuwa na nembo 'pure' ya philips). alipoiwasha tu ile rangi ya bluu ikatokea ikiwa imebeba jina la 'HITACHI'!!!!
3. baada ya kuuliza kulikoni philips inaandika hitachi ktk kioo wakajibu: ukitaka tunaweza kukubadilishia nembo na kukuwekea ya hitachi ifanane na hayo maneno.
Kumbe tv huwa zinaingizwa hazina majina yaliyobandikwe pale mbele, ila maneno hayo nayo huagizwa separately (kwa magendo)na kuja kuwabambika watu Bongo!
Kumbe kule kuchelewa kote kuleta tv walikuwa wanagundisha kialama cha philips kwenye tv maana hata gundi ya superglue ilikuwa inaonekana kama ukichunguza pale kwenye jina la tv na pia walikuwa wamepindisha kidogo maandishi hayakuwa ktk mstari sambamba!

hii ndio Bongo Bandugu! Usidhani tv mpya unayonunua ni brand kamili uliyokuwa unaifikiria (kama umenunua tv mpya Bongo).

ABIRIA CHUNGA MIZIGO YAKO! MALI IKISHANUNULIWA HAIRUDISHWI!
..............................................................

Monday, 21 June 2010

Beautiful Britain: One year On!

Sub: The Cornerstone of Civilization and Development.

Great Britain is the capital of world and centre for civilization!

It is place where I learned a lot, especially about CIVILIZATION. Its people are civilized,developed as well as their culture, too. It is a tolerant society.

Democracy
Media and Celebrities
Infrastructure (Transport)
Sports and facilities
Security (CCTVs)
Food security and availability
-Big stores: Tesco, ASDA, Sainsbury's, Morrisons, Lidl
Towns and Cities
Local Government Authorities (and the way they fulfil their responsibilities and involve citizens)