Saturday, 4 September 2010

What Others Say About My Blog: A Big 'THANK YOU!'

"I have been visiting various blogs for my term papers writing research. I have found your blog to be quite useful.
Keep updating your blog with valuable information... Regards"

Thursday, 29 July 2010

Bongo in 3D!!!!!

Hivi karibuni (miezi kadhaa hivi iliyopita) nilienda Mwanjelwa jijini Mbeya kutafuta/kununua tv. Baada ya kupitapita nikafika duka moja na nikaipenda tv moja aina ya hitachi. nikaomba waniletee mpya (siyo ya display window). Jamaa mwenye duka akaleta moja ya hitachi. Tatizo likawa hiyo tv iko ktk box la tv aina ya Ouling(?) -made in China na remote yake haikuwa na nembo/brand ya hitachi. Nikaikataa tv na kuondoka!
Kesho yake nikaamkia mji wa Tunduma mpakani na Zambia. Nikaingia duka moja linaloaminika mji mzima. Baada ya kupitisha macho huku na huko nikapendezewa na tv aina ya philips. Nikaiagiza waniletee. Nikasubiri wakaichukue 'stoo' na baada ya kama nusu saa baadae ndo mtu akaibuka nayo!
1. ilikuwa ktk box la tv aina ya ouling - made in China!!!
2. ikawekwa mezani - testing time (nayo pia ilikuwa na nembo 'pure' ya philips). alipoiwasha tu ile rangi ya bluu ikatokea ikiwa imebeba jina la 'HITACHI'!!!!
3. baada ya kuuliza kulikoni philips inaandika hitachi ktk kioo wakajibu: ukitaka tunaweza kukubadilishia nembo na kukuwekea ya hitachi ifanane na hayo maneno.
Kumbe tv huwa zinaingizwa hazina majina yaliyobandikwe pale mbele, ila maneno hayo nayo huagizwa separately (kwa magendo)na kuja kuwabambika watu Bongo!
Kumbe kule kuchelewa kote kuleta tv walikuwa wanagundisha kialama cha philips kwenye tv maana hata gundi ya superglue ilikuwa inaonekana kama ukichunguza pale kwenye jina la tv na pia walikuwa wamepindisha kidogo maandishi hayakuwa ktk mstari sambamba!

hii ndio Bongo Bandugu! Usidhani tv mpya unayonunua ni brand kamili uliyokuwa unaifikiria (kama umenunua tv mpya Bongo).

ABIRIA CHUNGA MIZIGO YAKO! MALI IKISHANUNULIWA HAIRUDISHWI!
..............................................................

Monday, 21 June 2010

Beautiful Britain: One year On!

Sub: The Cornerstone of Civilization and Development.

Great Britain is the capital of world and centre for civilization!

It is place where I learned a lot, especially about CIVILIZATION. Its people are civilized,developed as well as their culture, too. It is a tolerant society.

Democracy
Media and Celebrities
Infrastructure (Transport)
Sports and facilities
Security (CCTVs)
Food security and availability
-Big stores: Tesco, ASDA, Sainsbury's, Morrisons, Lidl
Towns and Cities
Local Government Authorities (and the way they fulfil their responsibilities and involve citizens)

Tuesday, 15 June 2010

Beautiful Britain!

What can I say abaout Great Britain? Nothing except praises, really!!

This is an island which, while you are there, you can not easily experience its small size! You might think that it is a big country or continent! Sometimes people think Britain is a place filled with houses and industrial parks - no green fields, open spaces etc. It is when you get there that you realise how it looks like! Just imagine the distance from Southampton or Penzance to Newcastle! You just travel long distances exchanging one motorway to another for almost the whole day! Along the way you experience the beauty and spectacular scenes of Britain, not to mention some thick forests like those of the Chilterns, Costwold, lake District, River Thames and its valley spanning almost the whole width of this Island!

What about London! Maida Vale Avenue (my smartest/cleanest street in London!) I walked along this street one day and wondered its beauty - wide road, good street planning etc! Hyde Park, the Serpent and long water views are the sceneries to remember. Exhibition Road, Cromwell Road, Piccadilly Circus, Westminster (Parliament Square and St Margreth Church/Westminster Abbey), MillBank, South Bank, Parliament View Apartments, the London Eye etc. are places attacted me most among others.

Underground London Trains (tubes) caught my eyes a great deal! The Wembley Stadium (Brent Borough Council, postcode: HA) and The Emirates (Arsenal FC home Ground) (Islington Borough Council famousily known by its first half of its postcode as N5) are places you should visit while you are in London.

How can I forget such days as those of Euro 2008 qualifiers; England v. Russia 3-0, England v. Israel 3-0, England v. Estonia 3-0, and friendlies like England v. German 1-2, Chelsea v. Man United 1 Marluda (0)-1 Giggs(3) with United winning on pens., the Community Shield March. All of these matches were played on the new Wembley Stadium! And just imagine you being among 90,000-plus fans watching these matches while sitting on the red seats of Wembley! Premier League games and Coca Cola championship matches involving for example Crystal Palace, Watford, Newcastle united, Aston Villa, Liverpool, Man United, Man City (seeing the rising stars like Joe Hart of Man City), Reading FC. and Rubgy matches like the likes of the London Irish, Sales. Concerts at Wembley of Diana 10 years and Earth Concert where P Diddy performed live. I had a priviledge to watch Sir Elton John's show at Madejski Stadium in Reading the other night.

I support England National (Football) team and Manchester United is the Club I support.

..............................................................................

Since I left UK, I am still filled with good memories about this wonderful Island! I remember my friends from differnt corners of the world, for example Javier of Equador; Maurice, Iza, Zuzan from Poland; Space from Macedonia; Amur from Darfur Sudan; Mammadou Ba, Idrisou, Mohammed all from Gambia; B Coe of Berks, the Midwinter's family of Tilehurst, Tim of Woodcote, South Oxfordshire, England; Tiz from Torino Italy, my friends at High Wycombe (Buckinghamshire).

Special thanks and regards are due to this lovely family: Lameck, Rapha (Battle Primary School)and Dr. Ezra Chomete and Suzi) of Shaftesbury Rd, Berks.

God Bless you all incling those whom I haven't mentioned their names here! You were wonderful and made me always feel at home in the UK.

Thank you, again!!!
............................................................................

Quoted: Prophet T B Joshua

If you hear a Pastor, Preacher, T B Joshua, Bishop etc. saying 'this is what I hear from the radio, this is what I see on TV or internet ...' ... they are confessing their weakness.
Their weakness is that they are not linked with God!

A true christian knows his/her source of information ... the source of information for a christian is Holly Spirit. When you read the Bible you read Holly Spirit.
25/05/2010
.....................................................................

I can be hapy as a christian when there is nothing to be happy about
12th April, 2010
........................................................................

The situation you are facing today may be ....
1. to prepare you for challenges ahead
2. to keep you for a new level in life
3. to preserve you for redemption
4. to strengthen you for desire
12/04/2010
.........................................................

Wednesday, 5 May 2010

'Wewe Mungu Ni wa Ajabu' - Mchungaji Abiudi Misholi

...................................
Wimbo: Wewe Mungu Ni wa Ajabu
Muda: Dakika 7 Sek. 46
Wimbo wa: 1 kati ya nyimbo 9
Mtunzi/Mwimbaji: Mch. Abiud Misholi (Faraja Band)
Album: Shuka Bwana Shuka (Nyimbo Za Kuabudu)

Mwandishi: Mosonga (Pamoja na msaada kutoka kwa Mch. Abiudi Misholi tar. 15/05/2010 ktk kuboresha mstari mmojawapo).
......................................


Wewe Mungu ni wa Ajabu, Fadhili zako ni za Milele.
Unastahili kupewa sifa, kwa kila hali na kila sababu.
Haleluya.


Nikifikiri maisha yangu, Mapito ninayopitia.
Taabu na shida, Kero nazopitia.
Ndipo ninapojua mimi, Wewe ni Mungu.
Ndipo nnapojua mimi, Wewe ni Baba.

Ukasema Abiudi, Nenda kanitumikie.
Nikasema siwezi, Sitaki Kukutumikia.
Dada yangu mgonjwa, Nyumba yenye majaribu.
Mama yangu huzuni kutwa, Mimi niache!

Ukaanza kunitesa Mungu, Pasipo sababu.
Ukaharibu biashara zangu, na kila nilolifanya.
Nikawa na maisha magumu, kula kwa taabu.
Madeni ni mengi, Sabuni taabu.
Nikataka kujiua, Maisha magumu.
Sina amani, vidonda vya tumbo.
Usiku silali mimi, Mawazo tele.
Maisha magumu mimi, mimi nifanyeje.

Ukajibu usijue, niende kukutumikia.
Na mimi nikakubali, kwenda kukutumikia.
Nikaenda kijijini mimi, kufungua kanisa.
Na mke wangu cheupe, na Noah mwanangu.

Oh! Nikikumbuka, nafika mbali.
Haleluya.


Nikafikiri matatizo, sasa yatakwisha.
Lakini badala yake, Matatizo yakaendelea.

Wewe ni Mungu ee, Mungu nakuabudu.
Wewe ni Baba, Sikuachi hata iweje.

Siku moja mke wangu, akiwa mjamzito.
Uchungu umemshika, Pastor ana 'Mia Hamsini'!
Mke wangu kwa uzuri, anasema mume wangu.
Nenda kakope pesa, nipeleke hospitali.
Nikajibu siendi, nimechoka kuombaomba.
Pesa za malalamiko, pesa za masimango.
Kama Mungu Ametuita, mke wangu tusubiri.
Kama Mungu Ametuita, Yeye Atutetee.
Saa kumi za usiku, mke wangu anajifungua.
Mbele ya macho yangu, Daktari mimi mwenyewe!

Wewe ni Mungu tuu, Wewe ni Baba
Haleluya!
Wewe ni Mungu, Wewe ni Baba

Ndugu yangu nataka nikuambie neno moja.
Mungu kumuelewa ni kazi sana, lakini endelea kumwabudu.
Usinung'unike!
Muheshimu na kumtukuza.
Iko siku Atakujibu.
Haleluya!


Wewe ni Baba. Wewe ni Baba. Wewe ni Baba. Wewe ni Baba.

Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)
Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)
Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)
Wewe ni Baba. (Wewe ni Mungu)

Mungu wa Elia. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Isaka. (wewe ni Mungu)
Mungu wa Yakobo. (wewe ni Mungu)
Mungu wa Mwalengo (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Misholi. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Jeremia. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Maliseli. (Wewe ni Mungu)
Mungu wa Licheli. (Wewe ni Mungu)

Ayubu alipata mateso,
Ayubu alipata Shida.
Mimi sio wa kwanza.

Mitume na manabii walipata taabu,
Walipata shida, lakini waliendelea kusema wewe Mungu ni Baba.
Katika matanuru ya moto wakasema Wewe Mungu ni Baba.
Wakawekwa magerezani, wakasema Wewe Mungu ni Baba.
Hawajaacha kukiri, kila mara wakasema Wewe ni Baba.

Mke wa Ayubu alicharuka, akasema Wewe sio Mungu.
Wewe Mungu ni Nani, Mungu gani mkorofi.
Mungu Umeua watoto wangu,
Mungu Umeua, Umeua mifugo yetu!
Mungu Unamtesa mume wangu,
Ayubu kufuru ufe mume wangu

Lakini Ayubu akasema Huyu ni Baba tu!
Hata iweje Huyu ni Baba!
Hata tutesekeje Wewe ni Mungu.
Tupate shida, tusimangwe, tuchekwe, tudharauliwe - Bado Wewe ni Mungu.
Wewe ni Baba, Wewe ni Baba tu!

Usimwache Mungu ndugu yangu! Hata ukitengwa.
Hata ukitesekaje, Yeye ni Baba Yako tu!
Mshukuru, Mwimbie
Tena saa nyingine hata Akikulaza njaa - ndio kwanza piga pambio.
Uko gerezani, Fanya kama Paulo na Sila. Piga Makofi.
Yeye ni Baba tu! Hata Iweje.
Haleluyah!


Wewe ni Baba, Wewe ni Baba, Wewew ni Bab, Wewe ni Baba.
Wewe ni Baba, Wewe ni Baba, Wewe ni Baba, Wewe ni Baba.
..................................................

MWISHO!

............

Shukurani kwa Mch. Abiudi Misholi, kwa kunisaidia maeneo fulani ktk huu wimbo yaliyokuwa yananitatiza wakati naendelea kuuandika huu wimbo kutoka kwenye CD ya album yake.

Feliz CumpleaƱos!!!!

........................
Dear Mpendwa wetu, Baba Tezy.

On this special day in our Family, we would like to say,


HAPPY BIRTHDAY to you!!!

We love you, our dady and hubby!

From,
Tezy and Mama Tezy

..........................