Tuesday, 9 December 2008

Uhuru wa Tanganyika: Miaka 47 leo

09/12/2008
Leo ni siku ya uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara).
Naitakia kila la heri nchi yangu Tanzania. Tanzania Bara ilipata uhuru wake tarehe 09/12/1961.

Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa moyo woteee!
....
Nilalapo nakuota wewe, jina lako ni tamu sana wee!
Tanzania, Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote
.

(Nilipokuwa JKT Masange, mwaka 1990, Mkuu wa JKT wakati huo Maj.Gen. Makame Rashid alitoa ofa ya 'pass' ya siku 3 ikiwa kuruta (serviceman/woman) atajitokeza na kuuimba wimbo huu wote! Dada mmoja alipata pass hiyo!
Maj. Gen. Makame alikuwa ametembelea kambi yetu iliyokuwa jirani na Kalunde, jimbo la Tabora Kaskazini)

Reginald Mengi vs. 'Vitisho'

Hivi karibuni, Reginald Mengi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), alikaririwa akisema, ameanza kuandamwa na vitisho dhidi ya maisha yake.

Kwa mujibu wa Mengi, kuandamwa huko kumetokea baada ya watu wasiojulikana, kumtumia ujumbe wa maandishi kwa njia ya simu, ukimtaja kuwa kinara wa mapambano dhidi ya ufisadi nchini.

Mengi alishatoa taarifa za vitisho hivyo katika kituo cha polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, alisema vitisho hivyo haviwezi kamwe kumkatisha tamaa na kumfanya aache kutetea haki na kupambana na vitendo ya ufisadi.

Vitisho dhidi ya Mengi, vilitumwa kwa ujumbe wa maneno kupitia simu ya mkononi, yenye namba 0768 373967.

Ulisomeka hivi: ``Ni afadhali kunyofoa roho yako ipotee kuliko kuendelea kukuachia uchafue amani na utulivu wa nchi kwa tamaa zako za kutaka urais.``

Ujumbe mwingine alisomeka, "Unachafua sana amani ya nchi kwa uchochezi wako. Tunajua unawahonga wahariri wote na kukusujudia kama Mungu mtu.
Unapenyeza sumu kali ya uzandiki watu waichukie serikali.
Hivi yakitokea machafuko wewe utasalimika?"


``Wewe ni mnafiki mkubwa, unajifanya upo karibu na `Government` (serikali) kumbe ni mnafiki wa kutisha. Jihadhari lazima tukumalize!``

Pia, Mengi alisema kuna waziri mmoja kijana katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, ameshaanza kuandaa mikakati ya kumhujumu kibiashara.

Ingawa hakumtaja kwa jina, lakini Mengi alisema waziri huyo anaongoza wizara nyeti na kwamba alitoa pendekezo hilo katika kikao kinachotambulika, akitaka kuona (Mengi) anafilisiwa kama alivyofanyiwa tajiri mmoja mkubwa nchini Urusi.

Siku chache baadaye, Masha alijitokeza hadharani na kupitia waandishi wa habari, alimtaka Mengi kuthibitisha madai ya kuwepo waziri anayefanya njama za kutaka kummaliza kibiashara, kwa kumbambikizia kodi kubwa, ili ashindwe kulipa na baadaye afilisiwe.

Masha ambaye ni mmoja wa mawaziri vijana katika Baraza la Mawaziri wa serikali ya awamu ya nne, alijitokeza na kumpa Mengi siku saba kutoa ushahidi wa madai yake na kusema akishindwa kuthibitisha, atachukuliwa hatua.

SOURCE: Nipashe, 09/12/2008

Saturday, 6 December 2008

League Cup: Man Utd face Derby County

United must beat Derby County over two legs in order to reach the Carling Cup final.

The semi-final draw, made at 12:20 GMT on Saturday, pitted the Reds away from home in the first match, which will be played in the week commencing 5 January. The second leg will be played in the week commencing 19 January.

In the other semi-final, Burnley will travel to White Hart Lane first to take on Carling Cup holders Tottenham Hotspur.

United have reached the semi-final stage of the competition 10 times before, progressing to the final on six occasions.

The Reds have met Derby Country just twice in the League Cup, back in 1969 in the fifth round. The sides drew 0-0 at The Baseball Ground before a Brian Kidd goal settled the replay at Old Trafford seven days later.

Paul Jewell's Derby side have reached the semi-final stage by beating Lincoln City, Preston North End, Brighton & Hove Albion, Leeds United and Stoke City so far this season.

Ticket news will be announced on ManUtd.com in the coming days.
Carling Cup semi-final draw
Tottenham Hotspur v Burnley
Derby County v United

Semi-finals are two-legged affairs.

First-leg ties will be played week commencing 5 January, second-leg ties week commencing 19 January.

Carling Cup final to be played at Wembley Stadium on 1 March 2009
(source: www.manutd.com, 06/12/2008 12:20, Report by Nick Coppack)

Tuesday, 2 December 2008

"give me fish, i will be satisfied today.
teach me how to fish, i will be satisfied forever"
-old chinese saying!

Mwaka, karibu sana

Leo nimebahatika kupata mawasiliano na rafiki yangu ndugu Mwaka. Mimi na Mwaka ni ma-'classmate' pale Ardhi-Chuo enzi hizo -Architecture (then Ardhi Institute/Uclas, now Ardhi University).

Napenda kumkaribisha rasmi Mkuu hapa jukwaani - Karibu sana mkuu!!!

Kwa wale vijana wa enzi hizo pale Ardhi ambao wangependa kupata mawasiliano na Mkuu Mwaka au kwa yeyote ambaye angependa kuulizia huduma ambazo Mwaka na wenzie wanazitoa kikazi asisite kuwasiliana nae kupitia:

MWAKA ARCHCONSULT
Architects and Projects Management Consultants
327 Garden road,mikocheni
P.O.Box 35492
Dar es salaam
Tel +255 22 277 2480
Fax +255 22 277 2481
Mob +255 754 292 621

email: mwakaarch@yahoo.com

Kwa upande wangu, kama kawaida napatikana mosonga2002@yahoo.com

Monday, 1 December 2008

Sincerity is the virtue of one who speaks truly about his or her own feelings, thoughts, desires.
Sincere expression carries risks to the speaker, since the ordinary screens used in everyday life are opened to the outside world. At the same time, we expect our friends, our lovers, our leaders "to be sincere".

01/12/2008: World AIDS Day (20yrs on!)

The number of people living with HIV is continuing to rise in every part of the world - including in the UK. There are now 33 million people living with HIV worldwide and 80,000 people living with HIV in the UK.

What is HIV?
HIV is a virus that attacks the body's immune system - the body's defence against diseases. The latest research suggests that between 70 and 90 per cent of people may experience symptoms of infection a few days after having been infected. Three symptoms occurring together: fever, rash and a severe sore throat should always be considered a potential indicator of HIV infection. These symptoms usually disappear within two or three weeks. Other people may not have symptoms to start with. In all cases, without effective treatment the immune system will eventually become very weak and no longer be able to fight off illnesses.

Are HIV and AIDS the same?
No. When someone is described as living with HIV, they have the HIV virus in their body. A person is considered to have developed AIDS when the immune system is so weak it can no longer fight off a range of diseases with which it would normally cope.

I don't know anyone with HIV... do I?
There are approximately 80,000 people living with HIV in the UK and about a third of these don't know that they are infected. The epidemic is still growing in the UK with around 7,000 new diagnoses every year. Even if someone you know is living with HIV, they may not feel able to tell you.

Is there a cure for HIV?
No, but treatment can keep the virus under control and the immune system healthy. People on HIV treatment can live a healthy, active life, although they may experience side effects from the treatment. If HIV is diagnosed late, treatment may be less effective in preventing AIDS.

What's it like living with HIV?
If people with HIV are diagnosed early and respond to treatment they can be healthy, work and have relationships like anyone else and have a long life expectancy.

Coming to terms with an HIV diagnosis and getting used to treatment can be very difficult however, and people living with HIV will often need support from healthcare providers, friends and family, employers and support organisations.

Why do people find it hard to tell others they are HIV positive?
People living with HIV may find it hard to tell others about their condition as they worry that people will reject them, or they will experience prejudice from friends, family and colleagues. People living with HIV can also experience discrimination in their workplace, in healthcare settings (e.g., GPs and dentists), from members of their local community and through the media.

HIV prejudice is often the result of ignorance about how HIV is passed on and unfounded fear of becoming infected. Encouraging those around us to talk about HIV and find out the facts can help overcome this. (source: www.worldaidsday.org)